MKOI TV Online

MKOI TV Online Karibu kwenye kurasa yetu ya habari na matukio pamoja na makala za kweli za simulizi za kusisimu zin

Hapa ndipo kiburi cha mwandamu huishia hapa. Uzuri wa nyama zako hauna thamani tena wadudu wameshaumaliza imebaki mifupa...
15/01/2026

Hapa ndipo kiburi cha mwandamu huishia hapa. Uzuri wa nyama zako hauna thamani tena wadudu wameshaumaliza imebaki mifupa mitupu, pengine mifupa ya mtu huyu
alikuwa, mrembo, mpambanaji kuliko wewe na mimi au alikuwa masikini kuliko mimi na wewe au alikuwa tajiri kuliko matajiri wa sasa.

Usimdharau mwanadamu mwenzako ni dhambi kwa sababu sisi wote pua zetu zimeangalia Chini. Forward kwa mwingine ili ampe Mungu utukufu bila kujal dini yake +255713575718

Nimetoka mbali, Usipokumbuka ulipotoka ipo siku utasahau unapokwenda.
14/01/2026

Nimetoka mbali, Usipokumbuka ulipotoka ipo siku utasahau unapokwenda.

OMBA SANA MUNGU ASIKUONDOLEE ULINZI WAKE.TATIZO KUBWA LINALOTUTAFUNA WANADAMU NI KIBURI CHA UZIMA, WAPO WENGINE WANAJISA...
14/01/2026

OMBA SANA MUNGU ASIKUONDOLEE ULINZI WAKE.

TATIZO KUBWA LINALOTUTAFUNA WANADAMU NI KIBURI CHA UZIMA, WAPO WENGINE WANAJISAHAU UTADHANI WAMEJIUMBA WENYEWE AU WANALIPITA SALIO LA UHAI.
1. Mungu anachukizwa sana na watu wanaodharau binadamu wenzao.

Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, Hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake.  .fur...
14/01/2026

Lengo la kwanza la vita sio kufa kwa ajili ya nchi yako, Hapana. Bali ni kuua mtu mwingine kwa ajili ya nchi yake.


.furahadominick

@ Nyakasangwempya2026

KIBURI HAKIJA WAHI KUMUACHA MTU SALAMA NI SUALA LA MUDA TU..!
14/01/2026

KIBURI HAKIJA WAHI KUMUACHA MTU SALAMA NI SUALA LA MUDA TU..!

Tafadhari Naomba tumsaidie kijana huyu anatakiwa aka tole we BANDANNA tumboni limeoza hali inayofanya damu kupungua kila...
13/01/2026

Tafadhari Naomba tumsaidie kijana huyu anatakiwa aka tole we BANDANNA tumboni limeoza hali inayofanya damu kupungua kila wakati.

Zinatakiwa milioni 1.5 Ili wakampasue tumbo na kuondoa BANDAMA.

Tunaomba tumshike mkono
Kwa kumchangia chochote ulichonacho

Namba ya kutuma mchango wako
0671535661 JINA MKOI TV ONLINE

Ahsanten🙏🏻

Rugby Inna mi blood🙏🏻
12/01/2026

Rugby Inna mi blood🙏🏻

INAUMIZA: ATAKIWA KUKATWA BANDAMA LAKE HARAKA ILI AWEZE KUISHI,  AWAOMBA WASAMALIA WEMA MIL 1.5 ILI AOKOE MAISHA YAKE.ht...
12/01/2026

INAUMIZA: ATAKIWA KUKATWA BANDAMA LAKE HARAKA ILI AWEZE KUISHI, AWAOMBA WASAMALIA WEMA MIL 1.5 ILI AOKOE MAISHA YAKE.
https://youtu.be/qYEN1G3iRvs
ATAKIWA KUKATWA BANDAMA LAKE HARAKA ILI AWEZE KUISHI, AWAOMBA WASAMALIA WEMA MIL 1.5 ILI

Hakika hujafa hujaumbika hivi ndivyo tunavyoweza kusema, Wakati wewe unalalamika mafua tu yanakusumbua kijana huyu yeye kwa miaka kdhaa amekuwa akipambania afya yake walau aweze kupona na kurejea kwenye harakati zake za kila ziku za utafutaji wa ridhiki.

Kijana Jeremia Msimbazi anayesumbuliwa na maradhi ya BANDAMA hali inayompelekea kupungua damu kila siku huku akielezwa BANDAMA lake kwa sasa halifai na limeharibika kabisa njia pekee ya kunusuru maisha yake ni kuondoa bandama hilo kwa kulikata kabisa.

Kijana huyu ambaye ni mwenyeji wa Mwanza amewaomba wasamalia wema toka pembe zote za DUNIA kumsaidia gharama za kwenda kuondolewa BANDAMA hilo ambalo kwa mujibu wa Madaktari lisipoondolewa haraka linaweza kumletea shida kwa viungo vingine ndani ya tumbo k**a kuharibi INI na FIGO.

Zinahitajika Milioni 1.5 Ili akafanyiwe upasuaji wa kuondoa BANDAMA.
CHONDE Watazamaji wetu wa Mkoi Tv Online toka pande zote za Dunia tunaomba tumshike mkono

Kijana huyu ambaye amekimbiwa na mkewe baada kukumbwa na maradhi haya huku mkewe akidhani mumewe huyu ATAKUFA.

NAMBA ZA KUMCHAGIA
M-PESA-0741 161 607

HALLO PESA-0628 946 155

AU WASILIANA NA CHUMBA CHETU CHA HABARI KUPITIA
SIMU NAMBA 0713575718.

ATAKIWA KUKATWA BANDAMA LAKE HARAKA ILI AWEZE KUISHI, AWAOMBA WASAMALIA WEMA MIL 1.5 ILI Hakika hujafa hujaumbika hivi ndivyo tunavyoweza kusema, Wakati wew...

UPOLE NI TABIA YA MUNGU🙏🏻
11/01/2026

UPOLE NI TABIA YA MUNGU🙏🏻

05/01/2026

Mungu endelea kumpa nguvu ili aendelee kugusa maisha ya wengine kwa ajili ya UTUKUFU wako MUNGU.

Ahsant sana familia yetu watazamaji wa Mkoi Tv Online hakika ninyi ndiyo Mnaendeleaje kumpa nguvu Livingstone Mkoi ya kuitumikia jamii kwa nguvu zote kutokana na supoti yenu.

Ujumbe wangu watu wote tusichoke kuitumikia jamii yenye uhitaji kwani kufanya hivyo tunatimiza IBADA njema kwa MUNGU. Ahsanten

Happy birthday to him 💐

05/01/2026

Address

NYAKASANGWE Street
Dar Es Salaam

Telephone

+255713575718

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MKOI TV Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share