Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema tayari limeingia makubaliano na Kampuni mbili za kigeni kwa aji...
31/12/2024

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema tayari limeingia makubaliano na Kampuni mbili za kigeni kwa ajili ya ujenzi wa mitambo ya kisasa ya kusafirisha gesi asilia katika nchi ya Uganda, Congo,Kenya na Zambia.

Kampuni ambazo zimeingia makubaliano na TPDC Mei 2024 ni ROSETTA kutoka nchi za Falme za Kiarabu na KS Energy ya Uturuki huku mkataba mwingine ukisainiwa na Kampuni ya ESSA ya nchini Indonesia kwa ajili ya uzalishaji wa mbolea aina ya urea.

Hayo yameelezwa Septemba 13,2024 na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC,Ahmad Massa wakati akifungua Semina ya Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam ambayo imeandaliwa na Shirika hilo kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutoa taarifa sahihi kuhusu masuala ya mafuta na gesi.

“TPDC inampango wa kuuza gesi asilia katika nchi za jirani ambazo tayari Serikali ilishaingia makubaliano ya awali, nchi hizo ni Uganda, Kenya, Congo na Zambia ambapo gesi inaweza kufika kwa wateja hawa kwa njia ya bomba ama LNG/Mini LNG,”amesema Massa.

Kuhusu mkataba wa kuzalisha mbolea kupitia gesi asilia, Massa amesema mbolea itakayozalishwa itakuwa mkombozi katika sekta ya kilimo nchini mwetu lakini pia italifanya taifa letu kuwa tegemeo la mbolea katika ukanda wa Kusini mwa Afrika.

Mbali na hayo, Massa ameeleza TPDC kwa kushirikiana na AR Petroleum wanatarajia kuanza uzalishaji wa gesi asilia eneo la Ntorya kwa kuanza kuzalisha futi za ujazo milioni 60 za gesi asilia kwa siku na kupeleka kwenye Kiwanda cha kuchakata gesi asilia cha Madimba mkoani Mtwara.

“Vilevile tutaenda kufahamu utekelezaji wa mashirikiano na Sekta binafsi katika kukuza matumizi ya gesi asilia nchini ambapo hadi sasa TPDC imesharuhusu Kampuni binafsi zaidi ya 30 kujenga vituo vya gesi asilia iliyogandamizwa nchini (CNG) ili kuwezesha matumizi ya gesi asilia katika maeneo mbalimbali nchini,”amesema Massa.

Akiwasilisha mada kwa Wandishi wa Habari, Mjiolojia Mwandamizi Idara ya Mkondo wa juu TPDC, Dkt. Shaidu Nuru amesema shughuli za uzalishaji gesi zilianza mwaka 2004 katika vitalu vya SongoSongo, Mnazi Bay mpaka hivi sasa visima virefu 96 vimechimbwa vikiwemo vya utafutaji na uzalishaji gesi asilia.

Kwa upande wake, Mhandisi Mwandamizi Idara ya Mkondo wa Chini TPDC, Anthony Karomba alitaja matumizi ya gesi asilia yakiwemo asilimia 50 ya umeme unaozalishwa nchini unategemea gesi hiyo, huku viwanda 56 vikiunganisha na magari na bajaji zaidi ya 5,000 yakitumia gesi hiyo na nyumba 1,511 na taasisi 13 zimeunganishwa.

Kuhusu utekelezaji wa Mpango wa matumizi ya nishati safi, Karomba amesema kwa miaka 10 ijayo asilimia 50 ya wakazi wa Dar es Salaam watakuwa wanatumia nishati safi.

Dady and daughter Diamond Platnumz
18/12/2024

Dady and daughter Diamond Platnumz

Wanangu tu unsubscribe kwa wile?mbona wamemporomossha Simba la masimba from 9.8M subscriptions to 9.5M??Hapa East Africa...
12/12/2024

Wanangu tu unsubscribe kwa wile?mbona wamemporomossha Simba la masimba from 9.8M subscriptions to 9.5M??

Hapa East Africa Simba ni mmoja tu w***y ni mbuzi k**a mbuzi

Na tobo unsubscribe kwa w***y poshqueen

Hivi mnajiuliza why master wengi,wameanza kuja Facebook ! Now facebook yako inaweza kukulipa kaa hapo na upuuzi mwingi s...
23/10/2024

Hivi mnajiuliza why master wengi,wameanza kuja Facebook ! Now facebook yako inaweza kukulipa kaa hapo na upuuzi mwingi shenzi wewe !

1. Uwe na TIN
2. Uwe na maudhui / au uwe unaiba video za watu unapost
3. Uwe na page

Kwa mwezi sio chini ya dollar 400 sawa ba Laki 800,000 huoni umefungua duka kabisa.

Kenya, Egypt lead African startup funding in 2024East African and North African nations are emerging as the new powerhou...
22/10/2024

Kenya, Egypt lead African startup funding in 2024

East African and North African nations are emerging as the new powerhouses in Africa's startup ecosystem. According to the 2024 Funding Report by Africa: The Big Deal, Kenya and Egypt are capturing the lion’s share of venture capital this year.

🇰🇪Kenya has secured $437 million in funding, representing 31% of the total investment in African startups this year. 🇪🇬Egypt follows closely with $373 million, or 27% of the funding pool. Together, these two countries account for 58% of all startup funding on the continent, marking their highest share since 2019.

🇳🇬Nigeria, traditionally a strong player in the African tech scene, has maintained a 15% share with $218
million in funding. This is consistent with its 2023 performance but represents a significant drop from its 35% average between 2019 and 2022.

🇿🇦South Africa's startup sector is facing headwinds, capturing only 9% of continental funding with $125 million raised. This is the country's weakest showing since 2019 and well below its 18% average from 2020 to 2023.

The remaining 18% of funding is spread across 23 other African markets. Among these, Tanzania, Ghana, Morocco, Uganda and Rwanda stand out, each securing at least 10 deals worth $100,000 or more since January.

This shift in funding distribution underscores the evolving nature of Africa's tech landscape, with investors increasingly looking beyond traditional hubs.

Address

Masaki
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share