Mama Anafanikisha

Mama Anafanikisha Tunaangazia mafanikio tunayoyapata katika nchi yetu (Tanzania) kutokana na uongozi thabiti wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

08/10/2025

Tuachane na wanaotaka kushusha heshima ya Tanzania.

Oktoba29 Tunatiki Samia

08/10/2025
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu ameahidi...
08/10/2025

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Ndg. Dkt. Samia Suluhu ameahidi kununua boti mbili za doria kwenye Ziwa Victoria ili kuimarisha usalama wa wavuvi na shughuli za uvuvi zinazofanyika ziwani.

Oktoba29 Tunatiki Samia

08/10/2025

Uwekezaji katika Zahanati ya Nyakato umepunguza vifo vya mama na mtoto Ilemela.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Katika mwaka wa fedha 2025/26, serikali imetenga jumla ya Sh bilioni 13.80 fedha za ndani kwa ajili ya ukamilishaji wa U...
07/10/2025

Katika mwaka wa fedha 2025/26, serikali imetenga jumla ya Sh bilioni 13.80 fedha za ndani kwa ajili ya ukamilishaji wa Ujenzi wa Jengo la Abiria na Miundombinu yake.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Oktoba29 Tunatiki SamiaWaliopisha mradi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu uliopo katika Kijiji cha Sotta Igalula wilayan...
07/10/2025

Oktoba29 Tunatiki Samia

Waliopisha mradi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu uliopo katika Kijiji cha Sotta Igalula wilayani Sengerema wameanza kukabidhiwa nyumba k**a fidia.

07/10/2025

Huduma bora kwa wananchi, zinaanza na mazingira bora ya kazi. Hivi ndivyo Mheshimiwa Rais anavyoweka alama katika kuwatumikia Watanzania.

Oktoba29 Tunatiki Samia

06/10/2025

Wanafunzi katika shule ya Sekondari Nyegezi iliyopo mkoani Mwanza wamemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kakamilisha mradi wa maji wa Butimba ambao umepelekea upatikanaji wa maji kuwa wa uhakika.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mama Anafanikisha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share