Mama Anafanikisha

Mama Anafanikisha Tunaangazia mafanikio tunayoyapata katika nchi yetu (Tanzania) kutokana na uongozi thabiti wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kura yako ni sauti yako itumie kubadilisha kesho yako.
29/10/2025

Kura yako ni sauti yako itumie kubadilisha kesho yako.

Leo Tunatiki Samia kwa ajili ya maendeleo, amani na umoja.
29/10/2025

Leo Tunatiki Samia kwa ajili ya maendeleo, amani na umoja.

Timu ya ushindi.Oktoba29 Tunatiki Samia
28/10/2025

Timu ya ushindi.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Asante Dkt. Samia Suluhu kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kitaifa mkoani Rukwa iliyogharimu zaidi ya shilingi bil...
27/10/2025

Asante Dkt. Samia Suluhu kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kitaifa mkoani Rukwa iliyogharimu zaidi ya shilingi bilioni 424.6.

Oktoba29 Tunatiki Samia kwa maendeleo zaidi.

Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua na kuthamini mchango wa wenye ulemavu katika ujenzi wa Tanzania Jumuishi na ndio maan...
27/10/2025

Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua na kuthamini mchango wa wenye ulemavu katika ujenzi wa Tanzania Jumuishi na ndio maana amezindua Ilani yenye toleo la nukta nundu maalumu kwa wasioona na toleo la wenye ualibino.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Oktoba29 Tunatiki SamiaAmetoa mikopo iliyowezesha uwekaji wa vizimba 1,636 vya samaki katika Ziwa Victoria vilivyowaweze...
26/10/2025

Oktoba29 Tunatiki Samia

Ametoa mikopo iliyowezesha uwekaji wa vizimba 1,636 vya samaki katika Ziwa Victoria vilivyowawezesha vijana kufanya ufugaji wa kisasa .

Zaidi ya wafanyabiashara 1,464, mkoani Mwanza, wananufaika na ujenzi wa soko kuu jipya mkoani humo. Mradi umegharimu TZS...
26/10/2025

Zaidi ya wafanyabiashara 1,464, mkoani Mwanza, wananufaika na ujenzi wa soko kuu jipya mkoani humo. Mradi umegharimu TZS bilioni 26.6.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Mitungi ya gesi 19,530 yaanza kusambazwa mkoani Mara.Azma ya Serikali ni kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia.Ok...
26/10/2025

Mitungi ya gesi 19,530 yaanza kusambazwa mkoani Mara.

Azma ya Serikali ni kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Oktoba29 Tunatiki Samia

25/10/2025
Serikali ya Awamu ya Sita imewezesha upanuzi wa kiwanda cha sukari Kilombero.Bada ya upanuzi kiwanda hicho kinatarajia k...
25/10/2025

Serikali ya Awamu ya Sita imewezesha upanuzi wa kiwanda cha sukari Kilombero.

Bada ya upanuzi kiwanda hicho kinatarajia kuongeza uzalishaji wa sukari kutoka tani 132,394.8 hadi tani 271,000 ifikapo 2026/27.

Oktoba29 Tunatiki Samia

SIDO imewezesha viwanda vipya 3,126 kuanzishwa na kutengeneza ajira mpya za kudumu 87,533.Oktoba29 Tunatiki Samia
25/10/2025

SIDO imewezesha viwanda vipya 3,126 kuanzishwa na kutengeneza ajira mpya za kudumu 87,533.

Oktoba29 Tunatiki Samia

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mama Anafanikisha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share