Afya virutubisho

Afya virutubisho tunawasaidia wanaume kuondokana na changamoto ya nguvu za kiume

tuna safilisha mizigo kwa yaminifu popote pale ulipo tunatumia DHL kwa nje ya ñch bot visiwani zanzibar basi kwa mikoani na inch jirani

"Njoo ni Kufundishe namna ya Kuweza kumfikisha mpenzi wako kileleni" kwa kutumia hii lishe na mazoezi.  K**a unajua umes...
05/10/2025

"Njoo ni Kufundishe namna ya Kuweza kumfikisha mpenzi wako kileleni" kwa kutumia hii lishe na mazoezi.

K**a unajua umeshidwa kuperform kwenye mechi nitakusaidia kujua njia ya uhakika zaidi ambayo imeweza kuwasaidia zaidi ya wanaume 2000.Kwa kipindi Cha miezi mitatu iliyopita kurudisha furaha ndani ya mechi zaidi.

Nitakupatia muongozo sahihi wa lishe kulingana tatizo lako lilivyo...Upata formula maalumu za Mazoezi ambayo yataenda kukusaidia kukaza vizuri misuli ya kwenye nyonga,Uti wa mgongo na Kiuno ili kusaidia mishine isimame imara na Kwa muda mrefu zaidi...Vilevile nitakuongoza kwenye kupata hii lishe ambayo vitaenda kukusaidia katika kujenga,kuboresha na kuimarisha vizuri viungo vinavyounda Mfumo mzima wa uzazi ili uweze kuwa imara zaidi....

Ili uweze kufanikiwa kupata huo muongozo ni rahisi Sana na hauhitaji kutumia gharama YOYOTE ...Basi nenda Whatsaap kwenye Simu Yako nitumie ujumbe...

Tuma Neno LISHE kwenda Whatsaap namba 0697 256 960 .Vigezo na masharti huzingatiwa...hakikisha umri wako ni Miaka 30-58

USIJE UKALALA NA JIKO LA MKAA NDANI LIKIWA LINAWAKACarbon monoxide ni hewa inayotolewa na mkaa ukiwa unaungua.-Ukiivuta ...
04/10/2025

USIJE UKALALA NA JIKO LA MKAA NDANI LIKIWA LINAWAKA

Carbon monoxide ni hewa inayotolewa na mkaa ukiwa unaungua.

-Ukiivuta unaanza kujiskia k**a mchovu na unahitaji kupumzika

-Pale tu utakapojiambia upumzike wewe ni marehemu mtarajiwa.

-Itaingia kwenye mishipa ya fahamu na kublock oxygen.

-Hiki kifo huwa hakina maumivu wala kujigusa ni cha kimya kimya wala hufurukuti.

Naamini umejifunza kitu muhimu sana ndugu,

KWA USHAURI ZAIDI WA AFYA YA MWANAUME NA SULUHISHO NICHECK INBOX AU PIGA 0757156356

sambaza kwa uwapendao ujumbe huu.

JINSI YA KUIMALISHA MSULI WA UUME ILI UUME USIMAME K**A MSUMARIWatu wote tunafaham kuwa uume hauna mfupa ili usimama mis...
04/10/2025

JINSI YA KUIMALISHA MSULI WA UUME ILI UUME USIMAME K**A MSUMARI

Watu wote tunafaham kuwa uume hauna mfupa ili usimama misuli na mishipa inatanuka baada ya damu kutililika kwenye sehem hizo na kuufanya kusimama.

Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja, Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne, Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.

Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.
Hata Wakati wa tendo la ndoa mwanamke akikaribia kufika kileleni misuli hii hutanuka na kusinyaa.
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa au elimu hii, ndio maana shida hii inawasumbua wengi sana na wengine hawajijui k**a wanashida.

Suluhisho;
Moja
Tumia arg+, vitolize for men, mult maca, beepolen

Pili
fanya mazoezi

Tatu
Kula mboga na matunda kwa wingi
Pia maji ya kutosha kwa siku

Ukiyafanya haya ndani ya mda mfupi utaona mabadiliko makubwa

Tuma ujumbe kwenda WhatsApp namba +25569726960

piga
+255697256960
Tupo Dar es salaam makumbusho.

UJUE MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE.Ni wengi wanaoutumia nakuufahamu mchaichai k**akiungo cha chakula jikoni nawengine hutumia ...
01/10/2025

UJUE MCHAICHAI NA FAIDA ZAKE.

Ni wengi wanaoutumia na
kuufahamu mchaichai k**a
kiungo cha chakula jikoni na
wengine hutumia k**a dawa ya
mbu.
Lakini, je unafahamu kuwa
majani haya yana faida kubwa
kiafya . Mafuta ya mchachai
hutumika katika viwanda
vinavyotengeneza pafyumu na
sabuni.
Tafiti kadhaa zinaonyesha kuwa
mchaichai una vichocheo
muhimu vinavyoweza
kupambana na athari kadha wa
kadha tumboni, kwenye mkojo
na hata kwenye vidonda. Watu
wengine huamini kuwa
mchaichai unaweza kutibu
baadhi ya maradhi k**a vile
homa ya matumbo, matatizo ya
ngozi, madhara yanayotokana
na ulaji wa chakula chenye
uchafu na pia hutibu maradhi
ya kichwa na hata misuli.
Mchaichai pia unatajwa kuwa
kinywaji kinachoweza
kupunguza joto. Chai ya
mchaichai inasaidia kupunguza
joto kwa mgonjwa wa homa.
Faida nyingine za mchaichai
kiafya ni pamoja na:
KINGA DHIDI YA SARATA NI
Tafiti mbalimbali zimeonyesha
kuwa kwenye kila gram 100 ya
mchaichai, kuna viondosha
sumu ambavyo vina uwezo wa
kuukinda mwili dhidi ya
ugonjwa wa saratani. Mwaka
2006, timu ya watafiti kutoka
Chuo kikuu cha Gurion, Israel
waligundua mchaichai una
uwezo wa kuua seli zinaweza
kusababisha saratani.
MMENG'ENYO WA CHAKULA
-Husaidia umeng’enyaji wa
chakula
Chai ya mchaichai hurahisisha
utaratibu wa mmeng’enyo wa
chakula na pia hutibu
magonjwa ya kuhara na
maumivu ya tumbo ikiwamo
kujaa gesi.
Hurahisisha utaratibu wa
kuondoa uchafu mwilini
Katika matibabu,
unatibu magonjwa
mengi ikiwemo
kushusha joto, hasa kwa
wagonjwa wanaosumbuliwa na
malaria kali.
KUSAFISHA FIGO NA MKOJO
Mchaichai pia una kazi ya
kusafisha figo ambayo kazi yake
kubwa ni kusafisha damu
mwilini, kuondoa mafuta
mabaya mwilini ambayo mengi
yanatengenezwa na kemikali
kiwandani na hivyo mwili
kushindwa kuziondoa na
baadaye kusasababisha
magonjwa mbalimbali ikiwemo
saratani.
Figo inapokuwa safi na imara,
hata kazi nyingine k**a
kusafisha mkojo zinafanyika
kirahisi kwani mkojo unapozidi
kuwa mchafu mtu hujikuta
akivimba mwili na wakati
mwingine kufikia hata hatua ya
kupoteza maisha.
MAUMIVU WAKATI WA HEDHI
Mchaichai pia huwasaidia kina
mama ambao wanaumwa na
tumbo kipindi cha hedhi, ambao
wengi wao huchukulia k**a
chango.
“Unapokunywa mchaichai,
unawezesha kusafisha mirija ya
uzazi na hivyo kuwezesha damu
kupita kwa urahisi,”
MAJIPU NA MCHAFUKO WA DAMU
vilevile mchaichai una
kazi ya kusafisha damu, hasa
kwa watu ambao wamekuwa na
tabia ya kupata magonjwa ya
ngozi k**a mapele na kutoka
majipu
KUZUIA KUHARISHA
Mchaichai pia unaelezwa kuwa
ni dawa ya kuzuia kuharisha
ambapo una uwezo wa
kupambana na mdudu aina ya
protozoa anayesababisha
ugonjwa huo.
MAMA WAJAWAZITO
Endapo mjamzito atatumia
majani ya mmea huu kwa muda
mrefu, ataweza kujiepusha
kujifungua kwa njia ya upasuaji
kwani husaidia katika kulegeza
nyonga ambazo hubana katika
kipindi cha ujauzito na kufanya
njia kuwa ndogo kuwezesha
mtoto kupita,
WENYE VIDONDA VYA TUMBO
Hata hivyo kwa wagonjwa
wanaosumbuliwa hasa na
vidonda vya tumbo, mchaichai husaidia
kuondoa gesi ambazo huwapata
mara kwa mara.
HUONGEZA CD4
Kwa wagonjwa wa ukimwi,
mchaichai unaelezwa kuwa
huongeza CD4 na inashauriwa
kuwa ni vyema mgonjwa wa
aina hiyo akapendelea kutumia
zaidi mchaichai kuliko majani
ya chai.

SULUHISHO KWA MWENYE TATIZO LA KUWAHI HARAKA KUFIKA KILELENI, KUSIMAMISHA KWA ULEGEVU NAKUSHINDWA KURUDIA ROUND KWA WAKA...
01/10/2025

SULUHISHO KWA MWENYE TATIZO LA KUWAHI HARAKA KUFIKA KILELENI, KUSIMAMISHA KWA ULEGEVU NA

KUSHINDWA KURUDIA ROUND KWA WAKATI Uftasimitawa kurudia

Kumbuka kwa mwanaume kuwahi kufika tendo kwa wakatiinika

kileleni ni tatzo linaloweza kukupunguzia heshima yako k**a mwanaume mbele ya kila mwanamke utayeshirikinae tendo.

NJOO INBOX NIKUTUMIE VOICE USIKILIZE SULUHISHO MUHIMU UTAFAHAMU NAMNA YA KUONDOA TATIZO LAKO

Sababu Zinazo Pelekea Shahawa Nyepesi Na Idadi Ndogo Ya Manii (Low perm count).Kwakawaida ili mwanaume awezekumpa mwanam...
30/09/2025

Sababu Zinazo Pelekea Shahawa Nyepesi Na Idadi Ndogo Ya Manii (Low perm count).

Kwakawaida ili mwanaume awezekumpa mwanamke mimba anatakiwa kutoa kiasi cha mbegu kati ya 15M hadi 300M, Per Milliliter of Semen.

Mwanaume akiwa na Shahawa nyepesi ni kiashiria cha mbegu kuwa chache (Oligospermia) Au kutokwepo kwa mbegu kabisa (Azoospermia), Matatizo haya yata pelekea kushindwa kumpa mwanamke mimba.

1. Homoni kuvurugika (Hormono imbalance)

Tatzo hili limekuwa gumzo kwa wanaume wengi kutokana na mitindo ya maisha, Homoni za Testosterone zikipungua kwa mwanaume mbegu zitakua dhaifu.

2. Upungufu wa madini ya zinc kwa kiwango kikubwa mwilini,

Madini ya zinc kwa mwanaume nimuhimu sana, Mwanaume mwenye madini ya zinc ya kutosha huwa na mbegu nyingi na imara.

3. Kumwaga mbegu mara kwa mara, "KUJICHUA".

Kumwaga sana mbegu nisababu ya mbegu zako kukosa ubora na hivyo kutoa mbegu chache, Nyepesi na dhaifu,

Kujichua ni sababu moja wapo inayo kufanya umwage mbegu sana, Naitapelekea mbegu zako kuwa Nyepesi na zisizo vutia.

4. Matatizo ya tezi dume na maambukizi ya magonjwa ya zinaa kwama vile (Kisonono na kaswende) Nimoja ya sababu zinazo pelekea Matatizo ya mbegu dhaifu.

NB: Zingatia vyakula vyenye kiasi kikuwa cha madini ya zinki n kuongeza uwingi wa homoni ya Testosteroni, Nakuboresha production ya Mbegu zenye afya njema.

Nimuhimu kufanya vipimo vya Homoni level na kiwango cha S***m cells Kila baada ya miezi 6, walau mara 2 kwa mwaka.

ZINGATIA AFYA YA UZAZI 🍆💦

KUSHINDWA KUSIMAMISHA UUMEErectile Dysfunction ni nini?Erectile dysfunction kwa kifupi ED ni kupungua ama kutokuwa na uw...
30/09/2025

KUSHINDWA KUSIMAMISHA UUME
Erectile Dysfunction ni nini?

Erectile dysfunction kwa kifupi ED ni kupungua ama kutokuwa na uwezo wa kuhimili kusimama kwa uume kwa mda mrefu kwenye tendo la ndoa. Ni tatizo kubwa linalowakumba wanaume wengi hasa kwa wanaume wazee.

Asilimia 80% ya wagonjwa wanaofika ofsini kwetu wana tatizo hili na hawawezi kuwaridhirisha wanawake wao. Kikawaida unapokuwa kwenye tendo la ndoa damu nyingi husukumwa kuelekea kwenye uume na hivo
kufanya misuli kujaa na uume kusimama. Misuli inaposinyaa baada ya kumaliza kufanya ngono basi damu nyingi pia hupungua kwenye eneo la uume.

Kupungua huku kwa uwezo wa kusimama kwa uume inaonesha kwamba kuna shida ya kiafya. Kwa wanaume wachache hali hii huchukua muda mfupi na kupotea kutokana changamoto za kawaida za kimaisha k**a msongo wa mawazo, mwili kuchoka na matumizi ya pombe. Lakini kwa wanaume wengi hali hii huendelea kuwa mbaya zaidi kila wanapotaka kufanya ngono.

Tafiti za hivi karibuni zinaonesha kuongezeka kwa tatizo la ED kwa
miaka ya hivi karibuni. Hii inatokana na upatikanaji wa vifaa k**a simu na kompyuta hivo kuwarahisishia vijana wengi uwezo wa kuingia mtandaoni kiurahisi na kutazama picha za ngono muda wowote.

Wengi hutazama picha na video za ngono ili kujiridhisha kimapenzi na kupiga punyeto. Wanaume wanaoangalia pono wanafadhaika pale wenza wao wanaposhindwa kuwafanyia vitu kwa mtazamo k**a ule kwenye pono.

Mazingira mengine hatarishi yanaosabisha misuli ya uume kulegea

ED inaweza kuletekezwa na matatizo ya kiafya pamoja mitindo ya
kimaisha k**a

Kisukari:Wanaume wenye kisukari hasa tatizo la muda mrefu wana upungufu wa nguvu za kiume na uume kutosimama kwa nguvu

Shinikizo la damu: Utafiti unaonesha kwamba shinikizo kubwa la damu pamoja na uume kufeli kusimama ni vitu vinavyoenda kwa pamoja.

Matatizo kwenye njia ya mkojo: matatizo kwenye njia ya mkojo
huambatana na dalili k**a kupata mkojo mara kwa mara, kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu ambayo hupelekea kupungua kwa hamu ya tendo

Kwa matibabu ya chanzo cha tatizo wasiliana nasi: 0697 256 960

*_Hii Ni Juice Yenye Mchanganyiko Wa Karanga , Korosho , Almond , Tende , Ndizi Na Maziwa 🔥_*● Inaongeza nguvu na stamin...
29/09/2025

*_Hii Ni Juice Yenye Mchanganyiko Wa Karanga , Korosho , Almond , Tende , Ndizi Na Maziwa 🔥_*

● Inaongeza nguvu na stamina ya tendo la ndoa

● Inaongeza ubora wa mbegu za kiume

● Husaidia kuimarisha mzunguko wa damu kwenye uume

● Hupunguza msongo wa mawazo

● Husaidia kuongeza uzalishaji wa hormone za kiume

*_Jinsi Ya Kutumia Kwa Matokeo Bora 👇_*

1. Kunywa Glass Moja Ya Juice Kila Siku Asubuh Au Jioni

2. Unaweza kuongeza asali kidogo ili kupata faida nyingi zaidi

3. Fanya mazoezi mara kwa mara ili kuongeza ufanisi wa mzunguko wa damu

*_ Unaipambania Afya Yako...... 🏋️🥗_*

FAHAMU FAIDA ZA KARAFUUKarafuu ina wingi wa vitamin A, C, K na B complex pamoja na madini ya Manganese, Chuma, na Potass...
28/09/2025

FAHAMU FAIDA ZA KARAFUU
Karafuu ina wingi wa vitamin A, C, K na B complex pamoja na madini ya Manganese, Chuma, na Potassium.
Faida za karafuu ni pamoja na zifuatazo
1.Hutibu matatizo ya mmeng'enyo wa chakula.
2.Huupa nguvu mfumo wa kinga.
3.Huondoa sumu mwilini.
4.Hupambana na maambukizi ya virusi,fangasi na bakteria.
5.Huzuia jeraha bichi kuvimba.
6.Hupooza maumivu ya jeraha huku ikiondoa maumivu ya misuli.
7.Hupambana na matatizo ya gesi sugu, kukosa Choo, kichefuchefu, na matatizo ya tumbo yanayoletwa na vyakula vyenye viungo bingo.

8.Huua vijidudu katika fizi, meno, ini, pafu, ngozi na mishipa ya kupumulia.
9.Pia karafuu ina kichocheo cha "eugenol" ambacho kina nguvu ya kupooza na kuondoa maumivu na harufu mbaya mdomoni.
10.Husaidia kupambana na maumivu ya kichwa, muwasho wa koo, unaotokana na kikohozi, na matatizo ya mapafu.
Karafuu inaweza kuchanganywa na viungo vingine kisha kutwanga na kupata unga ambao hutengeneza mchanganyiko mzuri wa viungo ambayo ni Curry powder, Garam, Masala hutumika kupikia mapishi mbalimbali ya chakula ikiwemo Biriyani, Pilau, Sambusa, na vitu vingine..

LIKE PAGE HII kuendelea kupata nakala mbalimbali za Afya.

22/09/2025
*HIVI ULE USINGIZI BAADA YA KUMWAGA HUWA UNATOKEA WAPI....? 😀*Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na k...
22/09/2025

*HIVI ULE USINGIZI BAADA YA KUMWAGA HUWA UNATOKEA WAPI....? 😀*

Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu nzima k**a kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao wakati wa tendo , na hii hutokea pale Mwanaume unapogeukia upande wa pili na kushikwa na usingizi punde tu baada ya kumaliza tendo la ndoa.

Lakini utafiti uliofanywa hivi na wanasayansi unawapa wanaume ahuweni katika kuepuka lawama hizo kwamba kumbe siyo hiyari yao bali ni swala la kimfumo.

Sasa, Kwa nini tunapata usingizi baada ya kufanya mapenzi..?

Ni rahisi sana , Mwili wa Mwanaume hufanya bidii kubwa kufikia mshindo Kwa Kutumia nishati tofauti Mwilini na ndio maana Baada ya kutoa MBEGU husababisha usingizi.

Kulingana na Tafiti zilizofanywa na wataalamu wa afya, ni kwamba mara tu mwanaume anapofika kileleni process za mwili wake hubadilika

Hivyo mwili hutoa vichocheo na kemikali k**a prolactin , Oxytocin na vasopressin , pia kemikali hizi huhusishwa na usingizi mzito , Vichocheo (Kemikali) hizi zinapelekea Kupunguza msongo wa mawazo hivyo hupelekea mwili kuwa na utulivu na hivyo hupelekea usingizi mzito!!

Kutolewa kwake mara kwa mara huambatana na melatonin, Melatonin ni homoni kuu inayotolewa na ubongo ili kuupa mwili nafasi ya kupumzika na kudhibiti ufanyanyaji kazi wa mwili.

Kwa hiyo hakuna sababu ya wanawake kutulaumu tena wanaume kwakuwa hii ndio Sababu kamili! , Ila k**a Mwanaume unafanya tendo dakika chache tu umemaliza na kujikuta umelala Hili ni tatizo na unahitaji msaada.

Karibu nikusaidie kuimarisha mfumo wako wa Uzazi kupitia program za Virutubisho Maalum pamoja na miongozo sahihi ili uweze Kufanya Tendo Kwa muda mrefu 📌

Unashauriwa upate Dozi ya virutubisho ili umalize tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume, usiendelee kujizungusha unajitesa bure , usifanyie ubahili AFYA yako unajikomoa mwenyewe.

*SULUHISHO*
*DOZI kamili Tsh. 410,000/=(laki nne na elfu kumi)*

*Nusu Dozi Tsh. 210,000/=(laki mbili na elfu kumi)*

*Robo Dozi Tsh.110,000/=(Laki moja na elfu kumi)*

*NIJULISHE HAPO INBOX UNAPENDA KUPATA KIASI GANI CHA DOZI KWA SASA?*

Whatsapp namba 0697256960

*MAJUTO NI MJUKUU, USIOMBE YAKUKUTE,,,,*K**a unawahi haraka kufika kileleni na unashindwa kurudia tendo kwa wakati Ndugu...
19/09/2025

*MAJUTO NI MJUKUU, USIOMBE YAKUKUTE,,,,*

K**a unawahi haraka kufika kileleni na unashindwa kurudia tendo kwa wakati Ndugu yangu, Viungo vyako vya ndani Vimeshazeeka tayari.

Inasikitisha kuona kijana wa Miaka 30 , Viungo vyake vya ndani vinasomeka K**a vina miaka 55, korodani zina miaka 70 , uume una miaka 65😭

Mbaya zaidi watu hawajijui k**a hilo ni tatizo kubwa sana. Juzi juzi tu kijana wa miaka 32 amegundulika kuwa na tatizo la TEZI DUME. Baada yabkumuhoji vizuri alisema ukweli kwamba kipindi cha nyuma ALIJICHUA PUNYETO na hakupata Dozi ya virutubisho mapema alizembea😭

Omba yasikupate aiseee inaumiza sana hii hali , wala usiombe ndugu yako limpate tatzo hili la TEZI DUME.

*Unashindwa kupata hata ROBO DOZI ya 110,000/= kweli?*

*K**A UPO HAPA NA HAUJAPATA DOZI HADI SASA HIVI POLE SANA NDUGU , HAUJUI TATIZO UNALOLIFUGA LITAITESA FAMILIA YAKO KWA KIASI GANI😭*

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam
124

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255620414884

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya virutubisho posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share