Prince ModelAfrica

Prince ModelAfrica Talents Base Over East Africa

HISTORIA RASMI IMEANDIKWA NA PETER EMMANUEL MNUNKE BAADA YA KUTEULIWA NA CCM AMESINDIKIZWA NA NYOMI YA WANANCHI KUCHUKUA...
20/08/2025

HISTORIA RASMI IMEANDIKWA NA PETER EMMANUEL MNUNKE BAADA YA KUTEULIWA NA CCM AMESINDIKIZWA NA NYOMI YA WANANCHI KUCHUKUA FOMU YA UDIWANI KATA YA MASUMBWE
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/Sjo2lMbV4Bc?si=jascxFs0o7_UE0m6

Mjumbe wa Mkutano mkuu CCM Taifa Kutokea Wilaya ya Mbogwe Ndugu. *PATRICK GEORGE MSAFI* ambae ni Mkazi wa Masumbwe Kijij...
04/07/2025

Mjumbe wa Mkutano mkuu CCM Taifa Kutokea Wilaya ya Mbogwe Ndugu. *PATRICK GEORGE MSAFI* ambae ni Mkazi wa Masumbwe Kijiji cha Nyakasaluma amerejesha rasmi Fomu yake ya kuwania Kiti Cha Ubunge katika Jimbo la Mbogwe. Hii ni baada ya Kufanya vizuri katika nafasi aliyoaminiwa na Wana CCM tangu 2022 alipochaguliwa katika nafasi yake ya ujumbe. Amekuwa Kiongozi Msikivu,Mwenye hekima na msaada mkubwa ndani ya chama na jamii inayomzunguka.

Richa yakuwa mwaka 2020 *MSAFI* aliingia katika kinyang'anyiro cha ubunge bila Mafanikio yoyote hakukata tamaa na hakusita kukisaidia chama chake na watu wanaomzunguka tangu *2021*. Historia inaonyesha ,amekuwa ni kiongozi mwenye Hofu ya Mungu na upendo mkubwa kwa kila mmoja. Kiongozi mwenye utashi aneyeoongozwa kwa *Hekima* na *BUSARA* katika kufanya maamuzi Sahihi.

Uongozi ni kuonyesha njia *PATRICK* amefanya kazi hiyo kwa kuonyesha dira na muelekeo kwa vijana, Wanawake na makundi Maalum Kwa Vitendo.Kulingana na uzoefu wake katika Masuala ya uongozi na utumishi Bora kwa umma. Vikundi,Taasis Binafsi na za kiserikali zimenufaika na matunda ya *MSAFI* tangu alipochaguliwa kuwa Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa zikiwemo asasi za Kidini,Elimu,Michezo n.k

Aidha *PATRICK GEORGE MSAFI* Baada ya Kusaidiwa Michango Mbalimbali na kodi za Wananchi Kupitia Halmashauri ya Mbogwe Kipindii hicho ikiwa Bukombe Walimsaidia kuendelea na masomo ya Elimu ya Juu katika Masuala ya Uchumi na Fedha,aliamini Ajira ya kwanza ingemrudisha nyumbani kuwatumikia Waliomsomesha k**a ishara ya shukurani. Richa ya Kufanya kazi nje ya wilaya yake baada ya masomo, Jicho na moyo wake aliwaza nyumbani. Amerudisha Fadhila Mbogwe kwa Vitendo na kushiriki shughuli nyingi za maendeleo Kupitia chama cha mapinduzi na serikali yake.

Hata hivyo Kipimo cha imani yake ya utu na vitendo viliyotukuka, vimeendana na kauli mbiu ya Dokta *SAMIA SULUHU HASSAN* "KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE". Wananchi wa Mbogwe na Watanzania kwa ujumla wanamtakia kila la kheri *PATRICK GEORGE MSAFI* , katika

JOGOO LAWIKA MBOGWE HAPATOSHI JIMBO LAKABWA KOONI IDADI YA WATIA NIA YAONGEZEKA PATRICK GEORGE MSAFI KUTOKA MZAMBALAUNI ...
30/06/2025

JOGOO LAWIKA MBOGWE HAPATOSHI JIMBO LAKABWA KOONI IDADI YA WATIA NIA YAONGEZEKA PATRICK GEORGE MSAFI KUTOKA MZAMBALAUNI MASUMBWE AJITOSA KUWANIA UBUNGE
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/R9PU0Su4faE?si=FrBxpxEph8HYA8vb

TAZAMA TUKIO LA WAFUNGWA WA GEREZA LA KANEGELE WILAYA YA MBOGWE WALIVYO SHEREHEKEA MWAKA MPYA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU ...
03/01/2025

TAZAMA TUKIO LA WAFUNGWA WA GEREZA LA KANEGELE WILAYA YA MBOGWE WALIVYO SHEREHEKEA MWAKA MPYA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU TAIFA PATRICK GEORGE MSAFI ALIESHIRIKI SHAKULA PAMOJA NAO.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/-Q6S36BHfco?si=5uBLcanFKT12kDm9

HII FUNGA KAZI SIMBA DAY MASUMBWE KITUO CHA AFYA WATOTO WALIVYOPEWA MAJINA YA WACHEZAJI/WAGONJWA WACHEKA NA ZAWADI SHUGH...
04/08/2024

HII FUNGA KAZI SIMBA DAY MASUMBWE KITUO CHA AFYA WATOTO WALIVYOPEWA MAJINA YA WACHEZAJI/WAGONJWA WACHEKA NA ZAWADI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZA SIMAMA KWA MUDA
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/bwc73WBaweY?si=BNg3dgdU3PTFkWbL

Address

Ilala
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Prince ModelAfrica posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category