09/06/2026
π’ TANGAZO RASMI LA FAGASON MUSIC FESTIVAL 2026 π€πποΈ
Mheshimiwa Fagason Aron Nkingwa, Mbunge wa Jimbo la Mbogwe, anawatangazia vijana wote wa Wilaya ya Mbogwe kuwa anatarajia kuzindua rasmi mashindano makubwa ya kusaka na kuendeleza vipaji vya vijana, maarufu k**a FAGASON MUSIC FESTIVAL 2026.
Uzinduzi utafanyika tarehe 20 Julai 2026 katika Viwanja vya Masumbwe, Wilaya ya Mbogwe. Tamasha hili limeanzishwa mwaka 2021, likiwa limelenga kuibua vipaji vya vijana, kuhamasisha ubunifu, kuzalisha ajira na kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia sekta ya sanaa, utamaduni na burudani.
πΆ Fani zitakazoshindaniwa: β
Uimbaji
β
Uchezaji wa Muziki (Dansi)
β
Uigizaji
β
Uchekeshaji
β
Utangazaji na Ushereheshaji wa Matukio (MC).
π Fomu za Usajili na ushiriki ni shilingi 10,000 zitaanza kutolewa rasmi kuanzia tarehe 10 Juni 2026 na zitapatikana katika kata zote 17 za Wilaya ya Mbogwe
π Zawadi kwa Washindi Bora 5 Jumla ya zawadi ni Shilingi Milioni 10, zitakazogawiwa k**a ifuatavyo:
π₯ Mshindi wa Kwanza β Shilingi Milioni 4
π₯ Mshindi wa Pili β Shilingi Milioni 3
π₯ Mshindi wa Tatu β Shilingi Milioni 1.5
π
Mshindi wa Nne β Shilingi Milioni 1
π
Mshindi wa Tano β Shilingi Laki 5
Mshiriki awe na Sifa Zufuatazo*
1.Awe na umri wa miaka 18_35
2.Awe ni raia wa Tanzania pia awe anatokea ndani ya Wilaya ya Mbogwe
3.Awe na Akili timamu na Mwenye nidhamu isiyotiliwa shaka.
4.Asieweza kutoa Wala kupokea rushwa.
π Sambamba na tamasha hilo kutakuwa na: β
Utoaji wa motisha kwa wanafunzi wanaofanya vizuri kitaaluma
β
Ugawaji wa vifaa vya shule
β
Msaada wa unga lishe kwa jamii
Aidha Mheshimiwa Fagason Aron Nkingwa anawaalika vijana wote wa Mbogwe kujitokeza kwa wingi na kuchangamkia fursa hii adhimu ya kuonesha vipaji vyao, ili kufungua milango ya mafanikio yao ya baadaye.
FAGASON MUSIC FESTIVAL 2026 "TANZANIA IMETUSOMA"
πΉπΏ