
04/07/2025
Taifa Leo, Jumamosi, Julai 5, 2025
1. JOTO KUHUSU KANISA IKULU - Wataalam wa sheria wasema Rais anakiuka Katiba mbali na kutumia ardhi ya umma k**a mali binafsi
2. Mavoko wakataa Saba Saba
3. Upinzani warai wakazi kutimua Ruto, Raila