Scope Media

Scope Media Online Media deals with Sports News ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
(2)

Klabu ya Yanga imemtambulisha Emanuel Mwanengo kuwa Mchezaji mpya wa Klabu hiyo.Emanuel amejiunga na Yanga akitokea TRA ...
29/12/2025

Klabu ya Yanga imemtambulisha Emanuel Mwanengo kuwa Mchezaji mpya wa Klabu hiyo.

Emanuel amejiunga na Yanga akitokea TRA United.

29/12/2025

Katika Mfululizo wa kutupiana Maeneo baina ya Mabondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo na Twaha Kiduku, siku ya Leo Twaha Kiduku amemjibu bondia mwenzake Hassan Mwakinyo ambae alidai kuwa Kiduku aliponzwa na Dolla elfu sita Urusi.

27/12/2025

Mchezaji wa Taifa Stars akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo wa AFCON Kati ya Tanzania na Uganda.

27/12/2025

Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars akizungumza baada ya mchezo kati ya Tanzania na Uganda kumalizika.

27/12/2025

Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema Taifa Stars Kuna shida kwenye matumzi ya nafasi za kufunga.

Tazama mahojiano haya kwa urefu zaidi kwenye YouTube channel ya Scope Media.

"Nimecheka Eti Anaesema nimecheza na bondia dhaifu ni bondia kutoka morogoro kijana alie geuzwa macho Russia kwa tamaa z...
27/12/2025

"Nimecheka Eti Anaesema nimecheza na bondia dhaifu ni bondia kutoka morogoro kijana alie geuzwa macho Russia kwa tamaa za pesa baada ya kupandia uzito wa juu kisa dola 6000 Ona sasa hela zimekwisha macho yamegeuka juu k**a mzee wa kichina aliye pumzishwa wodini baada ya kufanyiwa oparetion ya makendrรช ๐Ÿ˜€"

Ameandika Bondia Hassan Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa Instagram

Nani Bondia Bora kati ya Hawa Mabondia watatu1: Hassan Mwakinyo2: Twaha Kiduku3: Ibrahim Classic
27/12/2025

Nani Bondia Bora kati ya Hawa Mabondia watatu

1: Hassan Mwakinyo
2: Twaha Kiduku
3: Ibrahim Classic

Nani golikipa Bora Afrika kwa sasa kati ya Hawa1: Djigui Diarra (Yanga SC & Mali)2: Ronwen Williams (Mamemlodi Sundowns ...
27/12/2025

Nani golikipa Bora Afrika kwa sasa kati ya Hawa

1: Djigui Diarra (Yanga SC & Mali)
2: Ronwen Williams (Mamemlodi Sundowns & A. Kusini)
3: Mohamed Elshnawy (Al Ahly & Misri)

"Binafsi sijawahi kuona dunian bondia kulaumiwa kwa kua na ngumi kali kilicho nitambulisha kwenye boxing dunian ni power...
27/12/2025

"Binafsi sijawahi kuona dunian bondia kulaumiwa kwa kua na ngumi kali kilicho nitambulisha kwenye boxing dunian ni power punch hivyo sioni kua nina jukum la kumpimia mpinzani wangu kidogo dogo mpaka watu waridhike. Boxing ni mchezo wa kutafuta makosa k**a sheria ikiwa mnaona mpinzani alikua dhaifu je, hao walio onekana bora nini niliwafanya.

Anyway mimi ni Nock out artist punch yangu ikiingia sehem yoyote ya mwili wa mtu atajua kua kapigwa kweli boxers tunzeni nguvu zenu nock out haiji kwa rehema za Mungu ni kujitunza na Adabu ya mazoezi igeni mjifunze baada ya kuonyesha chuki za wazi."

Ameandika Bondia Hassan Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.

CAF imethibitisha kuwa AS FAR itawakosa mashabiki wao kwa mechi zao mbili zijazo za Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia mat...
25/12/2025

CAF imethibitisha kuwa AS FAR itawakosa mashabiki wao kwa mechi zao mbili zijazo za Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia matukio yasiyo ya kimichezo kufanywa na mashabiki kwenye mchezo wao dhidi ya Al Ahly.

Klabu hiyo imetozwa jumla ya kiasi cha $100,000 sawa na 247m Tsh kwa makosa k**a, matumizi ya mwanga, kutupa chupa za maji, waokota mipira kwa kuficha mipira ya mechi kimakusudi, kurusha kitu chenye ncha kali uwanjani

AS FAR wamepewa siku 60 za kulipa faini hiyo

Hivyo mechi dhidi ya Yanga SC haitakuwa na mashabiki.

24/12/2025

Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema Mambo ya Albadir ndio Yana sababisha majeraha kwenye kikosi cha Simba.

Tazama mahojiano haya kwa urefu zaidi kwenye YouTube channel ya Scope Media.

"Asilimia Kubwa ya Wabongo wanaoipongeza Stars muda huu ndio walioiua Timu yetu kwenye Mikeka asubuhi.. Nchi ina Unafki ...
23/12/2025

"Asilimia Kubwa ya Wabongo wanaoipongeza Stars muda huu ndio walioiua Timu yetu kwenye Mikeka asubuhi.. Nchi ina Unafki sana Hii ๐Ÿ˜„".

Ameandika Meneja wa habari na mawasiliano wa Yanga SC Ally Kamwe kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Address

Tandika

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Scope Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share