07/08/2025
Wachezaji watatu Waafrika wamejumuishwa kwenye orodha ya wachezaji 30 watakaowania Tuzo ya Balloon D'OR 2025
Wachezaji hao ni Mohamed Salah (Misri/Liverpool), Serouh Guirassy (Guinea/B. Dortmund) na Achraf Hakimi (Morocco/PSG) Waafrika hawa wananungana na wachezaji wengine 27 kutoka Manara tofauti ambao ni Vinicius Jr, Lamine Yamal, Cole Palmer, Desire Doue, Gianluig Donnarumma, Denzel Dumfries, Erling Haaland, Jude Bellingham, Victor Gyokeres, Harry Kane, Robert Lewandowski, Kylian Mbape, Fabian Ruiz, Pedri, Declan Rice, Raphinha, Vitinha, Virgil Van Djik, Florian Wirtz, Michael Olise, Nuno Mendes, Joao Neves, Scott Mctomnay, Oussmane Dembele, Lautaro Martinez, Alexis Mac Allister na Khvicha Kvaratskhelia.
Je nani anastahili kutwaa tuzo hii mwaka 2025..?