Chiefbaru TV

Chiefbaru TV media for up coming young talented people

💫🔹🔸⁉️Muammar Gaddafi alikuwa mtawala wa Libya kwa zaidi ya miaka 40, kuanzia mwaka 1969 hadi 2011. Utawala wake ulikuwa ...
28/01/2026

💫🔹🔸⁉️Muammar Gaddafi alikuwa mtawala wa Libya kwa zaidi ya miaka 40, kuanzia mwaka 1969 hadi 2011. Utawala wake ulikuwa na wafuasi na wapinzani wengi, kutokana na sera zake

Mwaka 2011, maandamano makubwa yalizuka Libya k**a sehemu ya Arab Spring, ambapo wananchi walidai demokrasia na kuondolewa kwa Gaddafi madarakani. Mapigano makali yalizuka kati ya majeshi ya Gaddafi na waasi.Jumuiya ya kimataifa, ikiongozwa na NATO, iliingilia kati kwa kushambulia vikosi vya Gaddafi kwa madai ya kuwalinda raia.

Tarehe 20 Oktoba 2011, Gaddafi alijaribu kutoroka kutoka mji wa Sirte, ngome yake ya mwisho. Msafara wake ulishambuliwa kwa ndege za NATO, kisha waasi wakamk**ata akiwa hai.Alipatikana akiwa amejificha kwenye bomba la maji (mtaro). Video zilionyesha akivutwa na waasi akiwa amejeruhiwa.

Baada ya kuk**atwa, Gaddafi alifariki muda mfupi baadaye. Serikali ya mpito ilisema alikufa kwa majeraha ya risasi wakati wa mapigano, lakini mashirika ya haki za binadamu k**a Human Rights Watch yalisema kuna ushahidi kwamba aliuawa baada ya kuk**atwa (yaani, alinyongwa au kupigwa risasi bila kesi – jambo linalochukuliwa k**a uhalifu wa kivita).Chanzo cha kifo chake kilisemekana kuwa jeraha la risasi kichwani.

Baada ya kufa Mwili wake uliwekwa hadharani kwa siku kadhaa katika mji wa Misrata, kisha akazikwa kwa siri jangwani ili kaburi lake lisigeuke mahali pa ibada.Kifo cha Gaddafi kilimaliza rasmi utawala wake, lakini Libya iliingia katika kipindi cha machafuko, migawanyiko ya kisiasa, na vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyoendelea kwa miaka mingi hadi leo.

💫🔹🔸⁉️Kuanzia mwaka 1885 hadi 1908, Kongo ilikuwa mali binafsi ya Mfalme Leopold II wa Ubelgiji, halikuwa koloni la serik...
28/01/2026

💫🔹🔸⁉️Kuanzia mwaka 1885 hadi 1908, Kongo ilikuwa mali binafsi ya Mfalme Leopold II wa Ubelgiji, halikuwa koloni la serikali ya Ubelgiji. Leopold alidai kuwa anaenda Kongo kuleta maendeleo, biashara halali, na kupambana na utumwa. Lakini lengo lake kubwa lilikuwa kujitajirisha kupitia biashara ya mpira , pembe za ndovu, na rasilimali nyingine k**a madini .

Wakazi wa Kongo🇨🇩 walilazimishwa kukusanya mpira porini. Kila kijiji kilipewa kiasi cha mpira (quota) cha kukusanya na ambao hawakutimiza walipigwa viboko,walifungwa,vijiji vilichomwa moto na kukata mikono

Moja ya alama mbaya zaidi za utawala wake ilikuwa kukata mikono. Askari wa jeshi la kikoloni (Force Publique) walitakiwa kuonyesha mikono ya watu waliouawa k**a uthibitisho kuwa risasi hazikupotezwa bure. Mara nyingi mikono ya watu hai ilikatwa watoto na wanawake waliathirika.Watafiti wanakadiria kuwa kati ya watu milioni 1 hadi milioni 10 walikufa kutokana na ukatili wa mfalme Leopold wa pili wa Ubelgiji.

26/01/2026

Ilikuwa ni heshima kukutana na Mheshimiwa Dkt. Bekir Gezer, Balozi wa Jamhuri ya Türkiye.

Tulibadilishana mawazo kuhusu kuimarisha uhusiano kati ya Türkiye na Tanzania, tukichunguza fursa za kushirikiana katika biashara, shughuli za kijamii, na mchango wa michezo katika kuleta umoja.

Mahusiano yanayojengwa juu ya heshima, maono ya pamoja, na dhamira ya muda mrefu huzaa matokeo yenye manufaa kwa wote.

//

It was a pleasure visiting His Excellency Dr. Bekir Gezer, Ambassador of the Republic of Türkiye.

Our discussions focused on strengthening Türkiye–Tanzania relations, with a shared focus on business opportunities, philanthropy, and the power of sports as a unifying force.

Partnerships grounded in mutual respect and shared values are key to unlocking sustainable impact.

16/01/2026

Mmarekani anashangazwa na huduma ya afya alioiona nchini China ilivyo Bora ,wepesi,haraka , gharama nafuu na Bora kuliko kwao America

Call us for advertising : +255764935365

16/01/2026
11/01/2026
11/01/2026

K**A NI KWELI BASI HAWA JAMAA WAKO MBALI SANA KWENYE SWALA LA KULINDA KIONGOZI WAO ,

ILA WAMAREKANI SHOW OFF NYINGI SANA .

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chiefbaru TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category