Chiefbaru TV

Chiefbaru TV media for up coming young talented people

10/08/2025
10/08/2025

Mazoezi ni muhim

10/08/2025

WATAALAMU WA MIFUGO EBU TUPENI HII CODE HAYA MAFUTA YANASAIDIA NINI AU KUTIBU NINI AU LADHA GANI

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani. Hii inatokana na k...
14/06/2025

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani. Hii inatokana na kuongezeka kwa mapato ya dola kutoka sekta za dhahabu, kilimo, utalii na usafirishaji, pamoja na kanuni mpya zilizowekwa kuhusu matumizi ya fedha za kigeni nchini.

Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa BoT, Emmanuel Akaro, amesema sababu kubwa ya kuimarika kwa shilingi ni kupanda kwa bei ya dhahabu duniani, ambapo sasa inauzwa zaidi ya dola 3,300 kwa wakia moja. Tanzania huzalisha wakia milioni 1.9 za dhahabu kwa mwaka, hivyo mapato kutoka sekta hiyo yameongezeka kwa karibu dola bilioni 2.

Akaro ameongeza kuwa sekta ya utalii nayo imechangia kwa kiasi kikubwa, ambapo mwaka jana Tanzania ilipokea watalii milioni 2.6 walioliingizia Taifa Dola bilioni 3.9 ikiwa ni ongezeko kubwa ikilinganishwa na Dola milioni 715 zilizopatikana mwaka 2020 wakati wa janga la UVIKO-19.

Zaidi tembelea swahilitimes.co.tz

"Tumeamua kushiriki uchaguzi huu baada ya kupitia uzoefu kote duniani wenzetu walifanya nini walipokuwa kwenye changamot...
14/06/2025

"Tumeamua kushiriki uchaguzi huu baada ya kupitia uzoefu kote duniani wenzetu walifanya nini walipokuwa kwenye changamoto k**a tuliyonayo. Hawakususa!"

Kiongozi wa


Oktoba

Unaambiwa Tiketi za Kusalimiana na Kupiga Picha Na SIMBA 🦁  huko Jijini London Ni Kiasi Cha £55 Ambazo Ni Takribani Tsh ...
14/06/2025

Unaambiwa Tiketi za Kusalimiana na Kupiga Picha Na SIMBA 🦁 huko Jijini London Ni Kiasi Cha £55 Ambazo Ni Takribani Tsh 165,000/=. Tukio Linalotajwa Kufanyika Leo Jijini London Nchini Uingereza

Tiketi Hiyo Itampa Nafasi ya Kipekee Shabiki Kukutana Na (Meet & Greet) Kusalimiana na Kupigana Nae Picha K**a Kumbukumbu.

Ukiachilia Mbali Hivo Tiketi Pia Za Onesho Hilo Kubwa Lililofanyika Ukumbi Wa Royal Albert Hall Zilikuwa Zinanzia Tsh 90,000/= Na Kuendelea . Hivyo Hii Inaonesha Thamani Na Mafanikio Makubwa Ya Star Huyu Wa Muziki Duniani. ( Fungua comment)

14/06/2025

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chiefbaru TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category