Chiefbaru TV

Chiefbaru TV media for up coming young talented people

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani. Hii inatokana na k...
14/06/2025

Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani. Hii inatokana na kuongezeka kwa mapato ya dola kutoka sekta za dhahabu, kilimo, utalii na usafirishaji, pamoja na kanuni mpya zilizowekwa kuhusu matumizi ya fedha za kigeni nchini.

Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa BoT, Emmanuel Akaro, amesema sababu kubwa ya kuimarika kwa shilingi ni kupanda kwa bei ya dhahabu duniani, ambapo sasa inauzwa zaidi ya dola 3,300 kwa wakia moja. Tanzania huzalisha wakia milioni 1.9 za dhahabu kwa mwaka, hivyo mapato kutoka sekta hiyo yameongezeka kwa karibu dola bilioni 2.

Akaro ameongeza kuwa sekta ya utalii nayo imechangia kwa kiasi kikubwa, ambapo mwaka jana Tanzania ilipokea watalii milioni 2.6 walioliingizia Taifa Dola bilioni 3.9 ikiwa ni ongezeko kubwa ikilinganishwa na Dola milioni 715 zilizopatikana mwaka 2020 wakati wa janga la UVIKO-19.

Zaidi tembelea swahilitimes.co.tz

"Tumeamua kushiriki uchaguzi huu baada ya kupitia uzoefu kote duniani wenzetu walifanya nini walipokuwa kwenye changamot...
14/06/2025

"Tumeamua kushiriki uchaguzi huu baada ya kupitia uzoefu kote duniani wenzetu walifanya nini walipokuwa kwenye changamoto k**a tuliyonayo. Hawakususa!"

Kiongozi wa


Oktoba

Unaambiwa Tiketi za Kusalimiana na Kupiga Picha Na SIMBA 🦁  huko Jijini London Ni Kiasi Cha £55 Ambazo Ni Takribani Tsh ...
14/06/2025

Unaambiwa Tiketi za Kusalimiana na Kupiga Picha Na SIMBA 🦁 huko Jijini London Ni Kiasi Cha £55 Ambazo Ni Takribani Tsh 165,000/=. Tukio Linalotajwa Kufanyika Leo Jijini London Nchini Uingereza

Tiketi Hiyo Itampa Nafasi ya Kipekee Shabiki Kukutana Na (Meet & Greet) Kusalimiana na Kupigana Nae Picha K**a Kumbukumbu.

Ukiachilia Mbali Hivo Tiketi Pia Za Onesho Hilo Kubwa Lililofanyika Ukumbi Wa Royal Albert Hall Zilikuwa Zinanzia Tsh 90,000/= Na Kuendelea . Hivyo Hii Inaonesha Thamani Na Mafanikio Makubwa Ya Star Huyu Wa Muziki Duniani. ( Fungua comment)

14/06/2025
14/06/2025
14/06/2025
Marubani wawili wa Jeshi la Anga la Kenya wamefariki baada ya ndege kuanguka katika kijiji cha Viramboni, Kaunti ya Kwal...
14/06/2025

Marubani wawili wa Jeshi la Anga la Kenya wamefariki baada ya ndege kuanguka katika kijiji cha Viramboni, Kaunti ya Kwale.

Ndege hiyo aina ya Grob 120A ilipata ajali wakati wa mafunzo leo mchana.

14/06/2025

🇮🇷 IRAN

Serikali ya Iran imepoti vifo 80 wakiwemo Raia wengi, na majeruhi zaidi ya 320 kutokana na mashambulizi ya Israel .

Miongoni mwa waliofariki, ni watendaji wakuu wa kijeshi k**a vibrigedia redetwali na watengenezaji wa nyuklia .

🇮🇱 ISRAEL

Shambulio lilofanywa na Iran Nchini Israel Usiku wa Jana limeripotiwa kuua watu 3 (katika maeneo ya Tel Aviv, Rishon LeZion, n.k.) na kujeruhi wengi.

Hakuna Kiongozi yeyote Mkubwa ambaye amefariki kutokana na shambulio la Iran.

Habari hii imethibitishwa na Vyombo vya Habari vikubwa Duniani k**a 🗞️Al Jazeera, Reuters, Associated, The Guardian, Financial Times, AFP, na ABC

Funzo la Maadili: Tuendelee Kuomba Israel wasijibu Amani Ipatikane.

“Kwa kuwa Dodoma ndiyo makao makuu ya nchi yetu, inatulazimu kuufungua mkoa wa Dodoma kwa njia zote, zikiwemo barabara, ...
14/06/2025

“Kwa kuwa Dodoma ndiyo makao makuu ya nchi yetu, inatulazimu kuufungua mkoa wa Dodoma kwa njia zote, zikiwemo barabara, reli na anga.” – Rais Samia Suluhu akikagua Barabara ya Mzunguko wa Nje, Dodoma

Habari za Hivi Punde 🚨🚨🚨Mkurugenzi Mtendaji wa Air India, Campbell Wilson, ametangaza kuwa kampuni hiyo itatoa dola 114,...
14/06/2025

Habari za Hivi Punde 🚨🚨🚨

Mkurugenzi Mtendaji wa Air India, Campbell Wilson, ametangaza kuwa kampuni hiyo itatoa dola 114,000 (shilingi 294.5 milioni za Kitanzania) kwa familia zote za abiria 241 waliopoteza maisha.

Cha kusikitisha ni kwamba kuna Wanandoa waliokufa pamoja na Watoto wao, hivyo basi Familia ya Ukoo Wao ndiyo Watakaopokea fedha hizo.

Abiria mmoja Pekee aliyenusurika katika Ajali hiyo pia atapewa kiasi cha kutosha cha fedha ili kujitunza.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chiefbaru TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category