Chiefbaru TV

Chiefbaru TV media for up coming young talented people

11/01/2026
11/01/2026
11/01/2026

K**A NI KWELI BASI HAWA JAMAA WAKO MBALI SANA KWENYE SWALA LA KULINDA KIONGOZI WAO ,

ILA WAMAREKANI SHOW OFF NYINGI SANA .

TRUMP AMUONYA KIONGOZI WA MUDA WA VENEZUELADonald Trump amemuonya Rais wa muda wa Venezuela, Delcy Rodríguez, kwamba ana...
05/01/2026

TRUMP AMUONYA KIONGOZI WA MUDA WA VENEZUELA

Donald Trump amemuonya Rais wa muda wa Venezuela, Delcy Rodríguez, kwamba anaweza kukabiliwa na adhabu kali kuliko ya Maduro.

Rais wa muda wa Venezuela Delcy Rodriguez ameunda tume ya kutaka kuachiliwa kwa Rais Nicolas Maduro na mkewe Cilia Flores ambao walik**atwa na Majeshi ya Marekani na kupelekwa Marekani.

Rodriguez alimteua kaka yake, Jorge Rodriguez, Rais wa bunge la kitaifa, na Waziri wa Mambo ya nje Yvan Gil kuwa Mwenyekiti Mwenza wa tume hiyo. Waziri wa habari Freddy Nandez pia atahudumu katika tume hiyo.

Akishutumiwa kwa ulanguzi wa dawa za kulevya, ugaidi na uhalifu mwingine, Maduro anatazamiwa kufika mbele ya hakimu huko Manhattan, New York, leo Jumatatu saa kumi na mbili jioni ili kujulishwa rasmi kuhusu mashtaka dhidi yake.

Trump pia alimuonya Rais wa Colombia, nchi jirani ya Venezuela, katika matamshi aliyoyatoa alipokuwa akipanda Air Force One, ndege iliyombeba Rais huyo wa Marekani.

NB : Kwa matangazo ya biashara Chiefbaru TV ni rahisi sana

Call us : +255764935365

 : Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ambayo Tanzania imeshinda kuwa e...
05/01/2026

: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ambayo Tanzania imeshinda kuwa eneo bora la Utalii wa Safari Duniani (World’s Leading Safari Destination) kutoka kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji, Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar Januari 05, 2026. Tuzo hiyo imetolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA) yenye Makao Makuu yake jijini London, Uingereza.




NB : Kwa matangazo ya biashara wasiliana nasi Chiefbaru TV

Call us : +255764935365

Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda Jeshi la Marekani likafanya oparesheni ya kwenda kumng’oa Rais wa Colombia,...
05/01/2026

Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda Jeshi la Marekani likafanya oparesheni ya kwenda kumng’oa Rais wa Colombia, Gustavo Petro, k**a ilivyofanya kwa Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, ili kukomesha biashara ya dawa za kulevya inayoongozwa na Gustavo.

Akijibu maswali mbalimbali ya Waandishi wa Habari Trump amesema “Colombia inaugua, inaongozwa na Mgonjwa ambaye anapenda kutengeneza co***ne na kuuza Marekani, na nawaambia hatoendelea kufanya hilo kwa muda mrefu”

Alipoulizwa k**a ataendesha oparesheni ya kumteka Gustavo nchini Colombiabk**a alivyofanya kwa Maduro, Trump amesema hilo kwake ni jambo zuri na huenda wakafanya hivyo kwakuwa dawa za kulevya zinaua Watu wengi

NB : kwa matangazo ya biashara wasiliana nasi Chiefbaru TV.

Call us +255764935365

Akiwa yupo nchini Korea Niffer amesaini Mkataba Mkubwa na Wakorea Kusambaza Vipodozi.Niffer ameandika hivi"KWA MARA NYIN...
05/01/2026

Akiwa yupo nchini Korea Niffer amesaini Mkataba Mkubwa na Wakorea Kusambaza Vipodozi.

Niffer ameandika hivi

"KWA MARA NYINGINE MUNGU AMEFANYA
Kila nikijiangalia, Na nikiwaza namna nilivyoanza safar hii ya kuuza vipodoz nabaki namwambia Mungu asante kwa kujidhihirisha kupitia mimi, Mungu akiamua kumuinu mtu haangalii background yake, aangalii ana utoto kias gani au anachukiwa kias gani, anamuinua kwa njia anayotaka yeye kwa wakati ambao ni sahihi
Kuna wakt nilkua natumia nguvu sana kuwaaminisha watu nauza original cosmetics, Mungu akawa ananiangalia anacheka sana nna uhakika maana saiv ndo ile inaitwa bila jasho. KIBALI KINAONGEA, malaika wanatangulia kila napoingia kabla sijafika🙌🏽
LEO NIFFER COSMETICS TUNESIGN CONTRACK NA KAMPUNI YA EKEL 🙌🏽🙏🏽😍 cosmetics nzuri sana haswa face wash kutoka korea k**a MAIN DISTRIBUTORS

NB : Kwa matangazo hapa Chiefbaru TV wasiliana nasi +255764935365

05/01/2026

Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan ametoa ndege maalum aina ya *Dream Liner* kwa ajili ya kuwafata Taifa Stars Morocco.

Asante Mh Rais🙏🏾

Wasiliana nasi kwa matangazo ya biashara kwa bei chee hapa Chiefbaru TV

Call us : +255764935365

25/12/2025

Merry xmas,mkumbuke kuwasiliana na marafiki zenu k**a hamlali home😀😀😀😀

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Chiefbaru TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category