Tiba Facts

Tiba  Facts Katika ukurasa huu utajifunza namna mbalimbali ya kujitibu kupitia Qur'an,mimea na matunda ukiwa nyumbani.

FAIDA NA MATUMIZI YA MAJINA 28                YA BARHATIH           3.TATILIYH  1.KUMUHAMISHA  MTU DHWALIMU /ADUI YAKO K...
12/06/2026

FAIDA NA MATUMIZI YA MAJINA 28
YA BARHATIH
3.TATILIYH

1.KUMUHAMISHA MTU DHWALIMU /ADUI YAKO KATIKA NYUMBA YAKO.
Liandike jina hili katika kitu kilichokigumu mfano ubao kwa idadi ya mara 13 ,kisha lisomee jina hilo hilo kwa idadi ya mara 13,kisha nenda kafukie au kuzika katika nyumba yako kwa manuizi ya kuhitaji kumuhamisha mtu dhalimu au audui yako unayehitaji aondoke katika eneo lako.Inshaallah adui huyo ataondoka yeye mwenyewe kwa idhini ya mwenyezimungu

2.KUPATA UTAJIRI WA HALALI NA MAISHA YENYE KURIDHISHA.
Mwenye kusoma jina hili kwa idadi ya mara 70 kwa muda wa siko 40 mfululizo inshaallah mwenyezimungu atamruzuku utajiri wa halali na maisha yenye kuridhisha kabla mtu huyo hajafa.

3.KUONDOA MIGOGORO NA MAGOMVI NDANI YA NYUMBA AU KATIKA NDOA.
Iwapo k**a kumekosekana maelewano au kuna ugomvi baina ya mke na mme ,basi liandike jina hili katika karatasi nyeupe kwa kutumia wino wa dhafarani iliyochanganywa na miski kwa idadi ya mara 70, kisha apewe mmojawapo wa wanandoa aibebe ile karatasi kichwani,(k**a ni mwanamme ataiweka kichwani kisha atavaa na kofia na k**a ni mwanamke ataiweka kichwani kisha atavalia na ushungi juu yake) inshaallah ugomvi huo utakwisha.

4. KUONDOA MAUZAUZA NDANI YA NYUMBA.
K**a ndani ya nyumba kuna mauzauza au vituko vya kishirikina visivyojulikana basi tamka majina haya matatu kwa idadi ya mara 100 huku ukiwa unachoma Bukhuri shari au chumvi ya mawe BARHATIH, KARIYR ,TATILIYH inshaallah mauzauza yatakwisha.

Unaweza kufatilia somo hili kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "UTUKUFU WA MAJINA 28 YA BARHATIH" No. 1
kitabu hiki bei yake ni Tsh 15,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

FAIDA  NA MATUMIZI  YA  SURAT        QURAYSH  KATIKA  TIBA                     ( Part, 1 )1.KUKIKINGA CHAKULA KUTOKANA N...
10/06/2026

FAIDA NA MATUMIZI YA SURAT
QURAYSH KATIKA TIBA
( Part, 1 )

1.KUKIKINGA CHAKULA KUTOKANA NA MAZONGO YA KICHAWI.
Utachukua kiasi cha pishi la chakula kilicho andaliwa kwa ajiri ya kupikwa kisha utakisomea chakula hicho Surat Quraysh kwa idadi ya mara 11 kisha utakwenda kukichanganya na chakula kingine kilichoandaliwa pamoja kwa ajiri ya kupikwa, kwa nia ya kukikinga chakula hicho kutokana na mazongo ya kishirikina, kisha kitapikwa pamoja.Hakika chakula hicho hakitokuwa na madhara yoyote kwa walaji hata k**a kitafanyiwa zongo la uchawi.

2.FIMBO YA KUWAADHIBU WACHAWI NA MAJINI.
Utakwenda katika mti wa msonobari kisha ukifika hapo utatia nia yako ya kuhitaji kuuchukua mti huo uende ukatengeneze fimbo ya kuwaadhibu majini na wachawi.Kisha baada ya kutia nia yako utauzunguka mti huo huku ukiwa unasoma Surat Quraysh kwa idadi ya mara 11.kisha utakata fimbo ya mti huo kisha utarudi nayo nyumbani.Baada ya kufika nyumbani fimbo hiyo utaisomea tena Surat Quraysh kwa idadi ya mara 11. kisha utatia nia yako ya kuhitaji fimbo hiyo iwe k**a siraha ya kwaadhibu majini na wachawi.kisha fimbo hiyo utaiweka katika mlango wako au utaitumia kipindi unamsomea dua mtu mwenye mashetani basi utakuwa unamsontea nayo kwa kumua shiria huyo mtu mwenye mashetani hakika atapiga kelele sana kwa uchungu na maumivi anayo yapata kupitia fimbo hiyo.

3.KINGA YA MABALAA KATIKA SAFARI ZA MAJINI NA NCHI KAVU.
Utaiandika surat Yasiin aya ya 1-2 kisha chini yake utaiandika surat Quraysh yote katika karatasi kwa kalamu ya kawaida .Kisha karatasi hiyo utaiweka sehemu ya mbele ya kile chombo cha usafiri ,Hakika hamtopata dhoruba ya aina yoyote katika safari yenu wala misukosuko yoyote njiani.
Pia mwenye kusoma Sura hii mara 11 mwanzo wa safari yake ya nchi kavu mwenyezimungu atamfupishia urefu wa safari yake.Njia itakuwa fupi na atamkinga na mabalaa mbalimbli njiani katika safari hiyo.

4.KUFUNGUA VIFUNGO SUGU VYA KICHAWI.
Utachukua n**i tatu kisha utaziandika Surat Quraysh yote kwa herufi mojamoja kisha . K**a ni mtu unahitaji kumfungua utamwambia akae chini kisha utamwekea n**i moja katika mguu wake wa kulia na nyingine mguu wake wa kushoto na n**i nyingine itaiweka nyuma ya mgongo wake.
Kisha utamsomea surat Yasiin yote kwa nia ya kumfungua vifungo.Kisha ukifika mwisho wa surat yasiin,utamsomea ayatul Qursiyyu mara 11 kisha utamwambia achukue n**i moja iliyo katika mguu wake wa kulia aende akavunje kwa nia ya kujifungua vifungo vyote vilivyo katika mwili wake,kisha atarudi tena utamsomea tena Ayatul Qursiyyu mara 11 kisha utamwambie akavunje tena n**i iliyo katika upande wa mguu wa kushoto.Kisha atarudi tena utamsomea tena Ayatul Qursiyyu mara 11 kisha utamwambia aende akavunje n**i iliyokuwa nyuma ya mgongowa wake kwa manuizi hayo hayo. Kisha atarudi palepale alafu mtamswalia mtume mara 100 kisha mtaomba dua hapo.

5.KUTOSHEREZWA KWA CHAKULA.
Iwapo k**a unawasiwasi wa chakula kutokutosha kwa kuchelea uchache wake basi utachukua kiasi cha pishi la chakula hicho kisha utakisomea chakula hicho Surat Quraysh mara 11 na Ayatul Qursiyyu mara 11 kisha utapuliza chakula hicho.Kisha utakwenda kuchanganya katika kile chakula kingine.Inshaallah chakula hicho kikipikwa kitawatosha walaji wake wote na wataridhika kabisa.


Somo hili linapatikana kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "MAAJABU YA QUR'AN KATIKA KUTIBU MARADHI NA KUONDOSHA SHIDA MBALIMBALI" No. 2
kitabu hiki bei yake ni Tsh 15,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

FAIDA  NA  MATUMIZI   YA  CHUMVI      YA  MAWE  KATIKA  TIBA.               (Part, 2)  6.KUMZUIA MCHAWI  KUJA AU KUPITA ...
10/06/2026

FAIDA NA MATUMIZI YA CHUMVI
YA MAWE KATIKA TIBA.
(Part, 2)

6.KUMZUIA MCHAWI KUJA AU KUPITA KATIKA ENEO LAKO KICHAWI.
Chukua chumvi ya mawe tupia juu ya paa la bati la nyumba yako kwa manuizi,hakika mchawi yeyote hawezi kuja katika eneo lako kichawi, wala hawezi kupita juu ya anga usawa wa nyumba yako kichawi.

7.KINGA YA KUMZUIA MCHAWI KATIKA ENEO LAKO.
Chukua chumvi ya mawe madonge 14 kisha yaweke katika kila pembe ya
nyumba yako au kiwanja chako kwa manuizi maalumu ya kuzuia na kuweka kinga katika eneo hilo,pia utaweka na katikati ya nyumba yako au kiwanja chako.Hakika mchawi hawezi kugusa au kufika eneo hilo kichawi ni kinga tosha.

8. KUMNASA MCHAWI KATIKA ENEO LAKO.
Chukua chumvi ya mawe na majani ya kisamvu mpira kisha twanga pamoja,alafu changanya na maji kiasi.Tumia maji hayo kumwagamwaga katika eneo la nyumba yako au eneo la kiwanja chako.Hakika mchawi yeyote akija katika eneo hilo atanasa na hatoki.
Na opoo lake ni tumia kumchapa na fagio ambalo kile kijiti cha kushikia kiwe ni kijiti cha mti wa muhogo,utamchapa bakora moja tu na atakuwa ni mwenye kuzinduka akili.

9.KINGA YA MWILI.
Andika jina lako katika karatasi na manuizi yako ya kuhitaji kuweka kinga usilogeke,kisha chukua chumvi ya mawe kidogo,kata na kucha zako za miguuni na mikononi changanya na mate yako kisha funga pamoja katika ile karatasi yenye manuizi kisha nenda kafukie sehemu yoyote ile au njia panda.Hakika hakuna mchawi yeyote au jini anaeweza kukuroga na kukutia madhara kwa uwezo wa mungu.

10 KUMUACHISHA MTU TABIA MBAYA YOYOTE ILE.(UONGO,UZINIFU,ULEVI n.k)
Chukua karatasi nyeupe kisha andika majina ya huyo unayetaka kumuachisha tabia mbaya usiyoipenda kisha andika na manuizi yako ya kutaka kumuachisha tabia hiyo, tumia peni nyekundu kuandikia majina na manuizi yako,kisha funga pamoja na chumvi ya mawe kisha weka katika chupa nyeusi au k**a chupa hiyo sio nyeusi basi utaifunika na kitambaa cheusi kisha nenda kafukie mahala popote pale kwa manuizi ya kumuachisha tabia hiyo usiyoipenda.Hakika mtu huyo ataacha kabisa tabia hiyo inshaallah.


Unaweza kufatilia somo hili kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "MAAJABU YA MITISHAMBA KATIKA KUTIBU MARADHI YA KIJINI NA UCHAWI" No. 2
kitabu hiki bei yake ni Tsh 10,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

MAAJABU YA CHUMVI YA MAWE         KATIKA  TIBA  MBALIMBALI.                  (Part, 1)    Moja kati ya vitu vyenye maaja...
04/06/2026

MAAJABU YA CHUMVI YA MAWE
KATIKA TIBA MBALIMBALI.
(Part, 1)
Moja kati ya vitu vyenye maajabu makubwa katika ulimwengu wa tiba ni chumvi ya mawe.Chumvi hii inawezo wa kuzuia mionzi yenye nguvu za giza kuweza kupenya katika eneo furani au ndani ya nyumba, pia chumvi hii inaweza kutumika katika mambo mbali mbali ya kitiba.
Tuangalie baadhi ya faida za chumvi ya mawe.

1. KUONDOA NUKSI NA MIKOSI KATIKA MWILI.
Chukua chumvi ya mawe kiasi cha gao la mkono mmoja kisha tia kwenye maji ya kuoga iache iyeyuke vizuri kisha nenda kaoge kwa manuizi ya kuondoa mikosi na nuksi ni dawa nzuri sana na nyepesi kuitumia inshaallah.

2.KINGA YA NYUMBA NA SEHEMU YA BIASHARA .
Chukua chumvi ya mawe ya kutosha kisha isomee Ayatul Qursiyyu mara7 au 21 kisha muombe Allah (s.w) akupe kinga na shari mbalimbali katika eneo lako.Kisha chukua chumvi hiyo mwagiamwagia katika eneo lako inshaallah k**a mtu mbaya atakuja kukuchezea eneo hilo hakika ataanguka na kuanza kuropoka maneno ya ajabu.

3.KUMVUTA MTU ALIOKO MBALI .
Chukua chumvi ya mawe,baruti, mlipu, mbegu za ufuta na ubani maka,ubani dhukra na ubani jawi au sandarusi na mafuta ya N**i ,kisha andika jina la mtu unayetaka kumvuta katika karatasi kisha weka pamoja vitu vyote hivyo katika sufuria alafu tia na mafuta ya n**i kisha anza kukaanga huku unatia manuizi yako,Fanya hivyo kwa muda wa siku tatu inshaallah mtu huyo atarudi kwa uwezo wa mwenyezimungu.

4.KUONDOA UCHAWI WA KUTUPIWA KATIKA MWILI.
Chukua chumvi ya mawe ,kisha itwange upate unga wake chukua na kivumbasi utwange upate unga wake ,chukua na majani ya muosha fedha twanga upate unga wake chukua na habati nuksi kisha changanya pamoja kwenye maji yako ya kuoga. Tumia kuoga maji hayo kwa muda wa siku tatu mpaka saba mfululizo asubuhi na jioni,inshaallah uchawi huo utakuwa ni wenye kubatilika na kukosa nguvu ya kukudhuru katika mwili.

5.KUUWA UCHAWI NDANI YA NYUMBA.
Chukua chombo kikubwa mfano,ndoo yenye ujazo wa lita kumi, weka chumvi ya mawe kiasi cha gao la mkono mmoja kisha somea majina ya BARHATIHI jina la tano na la sita
1.MAZJARIN
2.BAZJARIN
kila moja mara 66.kisha tumia maji hayo kumwagimwagia ndani ya nyumba yako,inshaallah utakuwa umeuuwa uchawi huo ndani ya nyumba,pia baada ya kufanya hivyo unaweza kuona baadhi ya viumbe ndani ya nyumba yako wamekufa hivyo usishangae.


Unaweza kufatilia somo hili kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "MAAJABU YA MITISHAMBA KATIKA KUTIBU MARADHI YA KIJINI NA UCHAWI" No. 2
kitabu hiki bei yake ni Tsh 10,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

Au
Unaweza pia kufatilia darasa k**a hizi kwa undani zaidi katika chanel yangu ya YouTube kwa kubonyeza link hii hapa chini
https://www.youtube.com/

FAIDA ZA MTI WA PILIPILI KICHAA         KATIKA TIBA MBAKIMBALI                    (Part,2)   6.KUMDHIBITI MWANAUME BAHIR...
03/06/2026

FAIDA ZA MTI WA PILIPILI KICHAA
KATIKA TIBA MBAKIMBALI
(Part,2)

6.KUMDHIBITI MWANAUME BAHIRI ASIYETOA PESA ZA MATUMIZI KWA MKEWE.
Chukua kitambaa kidogo kisha wakati wa kufanya tendo la ndoa tumia kitambaa hicho kumfutia sehemu zake za siri ule uchafu wa mbegu,kisha kitambaa hicho utatia kidogo unga wa pilipili kichaa katika kitambaa hicho,kisha utatia nia yako mfano wa nia "Ewe furani bin furan kuanzia sasa nataka uwe mpole kwangu na chochote nitakacho kuomba unitimizie na hii sio hiari ni lazima,pia unipende mimi tulee watoto tufanye maisha n.k"

Kisha kitambaa hicho baada ya kutia nia utakikunja vizuri kisha utakiweka chini ya mtungi au ndani ya friji kipigwe na baridi masaa 24.kisha utakitoa kitambaa hicho kisha utatia nia yako tena k**a ulivyofanya mwanzo,kisha utakihifadhi.

Sasa pindi utakapohitaji kuongea na mume wako ili akupe kitu chochote cha thamani au fedha nawe ukahisi atakuwa mgumu kukutimizia ,basi chukua kile kitambaa kisha k**a umevaa viatu basi kiweke ndani ya kiatu katika mguu wa kulia kisha vaa kiatu hicho kisha kikanyage, alafu anza kuongea naye vile unavyohitaji akutimizie.Na k**a yuko mbali sehemu ambapo unapoongea nae ni mpaka umpigie simu basi utakiweka chini kisha utaanza kuongea nae mtu huyo ukiwa umekikanyaga kitambaa hicho kwa mguu wa kulia,inshaallah atakutimizia shida yako.

7. KUMVUTA MTU ALIOKO MBALI.
Chukua pilipili tatu au moja kisha zifunge katika karatasi yenye umeiandika majina ya huyo mtu unayetaka kumvuta na manuizi yako yote,kisha uzivilingisha zile pilipili zako katika ile karatasi kisha choma katika moto au jiko au chimba pembeni ya jiko la kuni chini kidogo alafu ufukie ile karatasi yako,hakika mtu huyo atakuijia k**a kichaa.

8.KUSIKILIZWA NA MTU YOYOTE KATIKA HAJA YAKO (KUOMBA KAZI ,KULIPWA DENI,KUMSHAWISHI MTU AKUTIMIZIE JAMBO)
Chukua unga wa pilipili,unga wa kitunguu swaumu na unga wa chumvi ya mawe kisha funga pamoja katika kitambaa cheupe ,kisha weka katika kiatu cha kulia kisha vaa viatu vyako alafu nenda katika sehemu husika ,hakika kila utakacho zungumza atakusikilizwa na kukutimizia inshaallah.

9.KURUDISHA UBAYA UNAOFANYIWA,KUVUTA MTU AU KUSIKILIZWA.
Chukua unga wa pilipili kichaa changanya na unga wa chumvi ya mawe kisha chukua karatasi kisha andika majina matatu ya mtu husika kisha choma karatasi hiyo katika jiko la mkaa au katika chungu kilicho katika moto ,kisha rushia mchanganyiko wa unga wako katika moto huo mara tatu huku ukitia nia yako ,yale unayoyataka ndivyo yatakavyokuwa inshaallah.

10.KUONGEZA NGUVU ZA KIUME.
Chimba mzizi wa pilipili kichaa kisha chemsha alafu tumia kwa kunywa grasi moja asubuhi na jioni kwa muda wa siku 14 inshaallah utakuwa sawa na nguvu zitakuwa vizuri kabisa.

11.KUFARAKANISHA WATU/KUMUHAMISHA MTU ANAYEKUFANYIA UBAYA.
Tumia unga wa pilipili kichaa changanya na chumvi ya mawe kisha tumia kuchoma katika jiko la moto mkali huku ukiwa unatia nia nia yako juu ya jambo lako.
Inshaallah haja yako itatimia kwa uwezo wa mwenyezimungu.


Unaweza kufatilia somo hili kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "MAAJABU YA MITISHAMBA KATIKA KUTIBU MARADHI YA KIJINI NA UCHAWI" No. 2
kitabu hiki bei yake ni Tsh 10,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

Au
Unaweza pia kufatilia darasa k**a hizi kwa undani zaidi katika chanel yangu ya YouTube kwa kubonyeza link hii hapa chini
https://www.youtube.com/

;ELIMU YA ABJADFAIDA YA HERUFI RE (ر )  Hii ni herufi ya 10 katika alphabet za ABJAD na inauzito(thamani ) wa 200.   Mo...
03/06/2026

;ELIMU YA ABJAD
FAIDA YA HERUFI RE (ر )
Hii ni herufi ya 10 katika alphabet za ABJAD na
inauzito(thamani ) wa 200.
Moja kati ya kazi za herufi
hii ni pamoja na kupandishwa cheo au kupata utukufu katika jamii.

1.KUPANDISHWA CHEO KAZINI.
 Mwenye kuandika herufi hii katika siku ya ijumaa
kabla ya jua kuchomoza mara 21 katika karatasi
kisha ukaisomea maneno haya YAA RAHMAAN
YAA DAIMA X 210 kisha karatasi hiyo ukaifanya
k**a azima yako ukawa unatembea nayo, kwa
hakika atapanda cheo na kupendwa na watu kazini.

2.KUWA MUHESHIMIWA NA KUPATA UONGOZI
Mwenye kuiandika herufi hii kwa idadi ya X1000
katika karatasi katika usiku wa jumapili kuamkia
jumatatu kisha karatasi hiyo ukaifunga katika
kipande cha ngozi ya swala kisha ukaifanya k**a
azma yako ukawa unatembea nayo hakika utapata
uongozi(k**a wewe ni mgombea wa nyazifa Fulani) na kuheshimika sana na watu katika nafasi
yako.Wakati unaiandika herufi hii utakuwa unasema
"YAA RAHMAAN YAA DAYYAN" mpaka
utakapomaliza kuandika herufi hiyo pia azima hiyo
k**a wakati wa kulala utaiweka katika mchegemeo wako wa kulalia huleta ndoto za mambo yako yanakuja katika maisha yako.



Unaweza kulifatilia masomo ya herufi hizi kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "ABJAD "
kitabu hiki bei yake ni Tsh 20,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

Au
Unaweza pia kufatilia darasa k**a hizi kwa undani zaidi katika chanel yangu ya YouTube kwa kubonyeza link hii hapa chini
https://www.youtube.com/

FAIDA  NA MATUMIZI  YA  SURAT      QAFIRUUN  KATIKA  TIBA.                   (Part, 2)    6.MWENYE KUHITAJI CHEO,KUKUBAL...
02/06/2026

FAIDA NA MATUMIZI YA SURAT
QAFIRUUN KATIKA TIBA.
(Part, 2)

6.MWENYE KUHITAJI CHEO,KUKUBALIKA NA KUPENDWA KATIKA JAMII.
Iandike surat Qafiruun kwa wino wa dhafarani katika chombo kisafi,kisha weka maji ya mvua au maji ya zamzam kisha changanya na marashi ya miski ndani yake.Kisha yasomee maji hayo sura hiyohiyo mara 11.
kisha ifikapo siku ya ijumaa wakati adhana inapoanza kutolewa,basi chukua yale maji kisha osha uso wako wote pamoja na kichwa chako kizima,kisha osha mikono yako mpaka kwenye vifundo,osha na miguu yote miwili mpaka kwenye magoti kwa nia ya kuhitaji kupata cheo,mvuto wa kukubalika na kupendwa katika jamii, inshaallah jambo lako litakuwa.

7.KUVUNJAVUNJA NGUVU ZA UCHAWI NA MAJINI KATIKA MWILI.
Chukua majani ya mbaazi na majani ya mkun**i kisha yapondeponde majani hayo kisha weka maji ya mvua alafu yasomee,
Surat JINI AYA 1-4 mara 7
Surat QAFIRUUN yote mara 7
Surat IKHLASWI yote mara 7
Surat Al FALAQ yote mara 7
Surat NNAS yote mara 7
kisha mpe mgonjwa maji hayo anywe grasi moja kutwa mara tatu kwa muda wa siku saba mfululizo,na mengine atatumia kwa kuoga kwa siku saba mfululizo.Hakika uchawi huo utakuwa umeuvunja nguvu katika mwili.

8.KUTIBU MARADHI YALIYOKOSA TIBA AU MGONJWA ALIYEKATA TAMAA YA KUPONA.
Msomee mgonjwa mwenye maradhi sugu yasiyo na tiba au mgonjwa aliekatiwa tamaa ya kupona kutokana na kusumbuliwa na maradhi dua hii kwa utaratibu ufuatao.

Kwanza mshike kidole chake cha shahada katika mkono wake wa kulia,kisha msomee surat QAFIRUUN mara 1002,

kisha shika tena kidole chake cha kati katika mkono huohuo kisha msomee surat IKHLASWI mara 1002,

kisha mshike tena kidole chake cha pete kisha msomee surat AL FALAQ mara 1002,

kisha shika tena kidole chake cha mwisho katika mkono huohuo kisha msomee surat NNAS mara 1002.

Na k**a unajisomea wewe mwenyewe basi utakuwa unanyoosha kidole kimoja baada ya kingine pindi unaposoma dua hiyo.
Njia hii ni mujarabu sana na inaweza kufanywa mara moja tu na mgonjwa akawa amepata nafuu na kupona na k**a maradhi yatakua ni sugu zaidi basi inaweza kufanywa kwa muda wa siku saba mfululizo.

FAIDA  NA  MATUMIZI  YA MTI WA        PILIPILI KICHAA KATIKnyumba.                    (Part, 1)    Pilipili kichaa ni mt...
02/06/2026

FAIDA NA MATUMIZI YA MTI WA
PILIPILI KICHAA KATIKnyumba.
(Part, 1)
Pilipili kichaa ni mti maalufu sana ambao unatumika zile tunda zake kuweka katika mboga k**a sehemu ya kiungo cha kuongeza hamu ya kula.
Katika tiba pilipili kichaa ina kazi nyingi sana na maajabu makubwa.Tuangalie baadhi ya faida zake kimatibabu.

1.KUMZUIA MCHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO.
Chukua mzizi wa pilipili kichaa,mzizi wa mkomamanga,na mzizi wa ndimu au limao.Kisha funga pamoja k**a pigi,kisha nenda kaweke katika mlango wako mkuu wa nyumba kwa nia ya kuweka kinga eneo hilo, hakika nyumba hiyo endapo k**a mchawi atakuja kichawi katika eneo hilo hawezi kuingia ndani.Usisahau nia yako pindi unapoweka pigi hizo katika eneo lako inshaallah.

2.KUMTIBU MTU ALIYEPALALAIZI KUTOKANA NA MAJINI.
Chukua unga wa pilipili kichaa kisha changanya na mafuta ya zeituni,kisha tumia kumpakaa mgonjwa huyo mwili mzima isipokuwa sehemu za siri na usoni,fanya hivyo kwa muda wa siku saba mpaka 14 mfululizo inshaallah mgonjwa huyo atapona kwa uwezo wa m/mwenyezimungu.

3.KUMTULIZA JINI ANAYEPIGA KELELE NA KULETA VURUGU.
Chukua fusho lolote unalotumia kisha changanya na unga wa pilipili kisha choma pamoja alafu tumia kumfusha mgonjwa huyo ukiwa umemfunika shuka hakika atatulia kabisa.

4.KUZIMA NYODO ZA WACHAWI KATIKA MTAA.
Tengeneza fusho kali kisha changanya na unga wa pilipili kichaa,kisha tumia kuchoma ndani ya nyumba yako kila siku kwa muda wa siku saba jioni.Wachawi wataiona nyumba hiyo ni k**a moto na hawatoweza kuichezea nyumba hiyo inshaallah.

5.KUMGANDISHA MCHAWI KATIKA NYUMBA YAKO.
Kata shina la mti mkuu wa pilipili kisha tengeneza pigi sita kutoka katika jiti hilo,kisha pigi hizo unaweza kuzisomea dua yoyote ya kinga unayoijua kisha fukia katika pembe nne za nyumba yako kwa manuizi ya kutaka kumgandisha mchawi yeyote atakayekuja katika eneo lako,wakati unafukia vijiti hivyo fukia huku umefumba macho yako.na kijiti kingine fukia katika mlango wako au mbele ya nyumba yako kisha kijiti kingine weka katika njia inayoinga nyumbani kwako.K**a mchawi atakuja eneo hilo hakika ataganda na utamkuta nje ya nyumba yako.
Na kumzingua kwake ni kumsemesha tu,ila usimpige mtu huyo.


Unaweza kufatilia somo hili kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "MAAJABU YA MITISHAMBA KATIKA KUTIBU MARADHI YA KIJINI NA UCHAWI" No. 2
kitabu hiki bei yake ni Tsh 10,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

Au
Unaweza pia kufatilia darasa k**a hizi kwa undani zaidi katika chanel yangu ya YouTube kwa kubonyeza link hii hapa chini
https://www.youtube.com/

FAIDA  NA  MATUMIZI  YA  SURAT      KAFIRUUN  KATIKA  TIBA.                     (Part, 1)   1.KUFURUSHA MASHETANI WALIO ...
01/06/2026

FAIDA NA MATUMIZI YA SURAT
KAFIRUUN KATIKA TIBA.
(Part, 1)

1.KUFURUSHA MASHETANI WALIO KATIKA MWILI NA KUBATILSHA UCHAWI WOWOTE KATIKA MWILI.
Soma sura tano za amri mara saba kwa kuanza na
Surat JINNI kuanzia aya 1-4 X7
- QAFIRUUN X 7
- IKHLASWI X7
- FALAQ X 7
- NNAS X 7
Katika maji kisha mpe mgonjwa mwenye kusumbuliwa na majini au uchawi katika mwili anywe maji hayo grasi moja asubuhi na jioni,na mengine atumie kwa kuoga asubuhi na jioni kwa muda wa siku saba mfululizo.Hakuna shetani atakayebaki katika mwili wa mtu huyo.Na k**a kuna uchawi wowote katika mwili wake utakuwa ni wenye kubatilika kwa uwezo wa Allah (s.w)

2. KUMKINGA MTOTO MDOGO ALIYEZALIWA NA HILA ZA WASHIRIKINA NA MAJINI.
Baada ya kuzaliwa mtoto msomee adhana kisha ,msomee surat MULK YOTE mara moja kisha soma na surat QAFIRUUN mara tatu kwa nia ya kumkinga mtoto huyo kutokana na vitimbi vya mashetani wa kijini na kibinadamu.

3.KINGA DHIDI YA MASHETANI WA KIJINI NA KIBINADAMU NA KUZUIA KUOTA NDOTO MBAYA USIKU.
Wakati unakwenda kulala soma surati Qafiruun mara mara tatu au saba kwa nia ya kinga,hakuna shetani wa kijini wala wa kibinadamu atakayekusogelea katika usiku huo, wala kuota ndoto mbaya mbaya katika usiku huo.

4.KINGA YA KUZUIA KULISHWA KITU KIBAYA KATIKA CHAKULA AU UCHAWI.
Chukua tonge la chakula,kisha tia nia ya kuhitaji m/mungu akupe kinga kuwa usilishwe kitu chochote kibaya katika chakula,na k**a utagusa chakula chenye sumu au uchawi ndani yake basi chombo hicho kivunjike au kukudondoka,au tonge la chakula hicho usiwe kulimeza na lisipite katika koo yako.
Kisha lisomee tonge hilo surat Qafiruun mara 11 au 45 kisha meza tonge lile,hakika mwenyezimungu atakukinga na madhara hayo.

5.KUKIDHIWA HAJA YA JAMBO LAKO LOLOTE MBELE YA MWENYEZIMUNGU.
Ifikapo asubuhi wakati jua linachomoza soma surat Qafiruun mara 10 huku ukiwa unalitazama jua,fanya hivyo kwa siku kadhaa hakika utaona maajabu ya kisomo hicho.Mwenyezimungu atakutimizia haja ya jambo lako inshaallah.


Unaweza kulifatilia somo hili kwa kina zaidi katika kitabu changu cha "MAAJABU YA QUR'AN KATIKA KUTIBU MARADHI NA KUONDOSHA SHIDA MBALIMBALI" No. 1
kitabu hiki bei yake ni Tsh 12,000/=

UKikihitaji kitabu hiki wakati wowote utalipia pesa hiyo kisha utatumiwa kitabu hicho kwa njia ya whatApp au email (kitabu kipo katika mfumo wa PDF

Namba za kufanya malipo ni
+255782010104
+255764010104
+255672410104
Jina katika namba zote ni BASHIRI HUSSEN LUGAMBA.

Namba hizo zote zinapatikana whatsApp

Au
Unaweza pia kufatilia darasa k**a hizi kwa undani zaidi katika chanel yangu ya YouTube kwa kubonyeza link hii hapa chini
https://www.youtube.com/

Address

Majengo
Mpanda
50110

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba Facts posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tiba Facts:

Share