Ammy Reporter

Ammy Reporter 📖Student at RUCU
👨🏾‍💻IT Expert | | Comedian | Animator | Grafix Designer
🖱Social Media Administrator ( Tabora United FC )²
🤲🏽

 ⚽🚨 PROFESSOR NASREDIN NABI KUJIUNGA NA SIMBA SCTetesi zinasema huenda Kocha wa zamani wa Yanga na Kaizer Chief Nasredin...
22/09/2025



🚨 PROFESSOR NASREDIN NABI KUJIUNGA NA SIMBA SC

Tetesi zinasema huenda Kocha wa zamani wa Yanga na Kaizer Chief Nasredin Nabi akajiunga na Klabu ya Soka ya Simba k**a Kocha Mkuu akichukua nafasi ya Fadlu David aliyeachana na Klabu hio mapema leo hii.

Wanalunyasi vipi?? mtampokea Professor Nabi??🤷

| | 🧠

 💊Alhamdulillah for Everythin💔🤲🙏  🎨 |   |  🧠
15/09/2025

💊

Alhamdulillah for Everythin💔🤲🙏

🎨 | | 🧠

JumaaQarim🕋JUMMAH MUBARAK!🙏Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema Inshallah🤲🙏   |   |  🧠
12/09/2025

JumaaQarim🕋

JUMMAH MUBARAK!🙏

Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema Inshallah🤲🙏

| | 🧠

 👏Hongereni kwa kufikisha jumla ya wafuasi Laki Moja (1️⃣0️⃣0️⃣k), wanaowafuatilia kwenye mtandao wenu wa kijamii wa Ins...
04/09/2025

👏

Hongereni kwa kufikisha jumla ya wafuasi Laki Moja (1️⃣0️⃣0️⃣k), wanaowafuatilia kwenye mtandao wenu wa kijamii wa Instagram.

👥 (cc: )

| | 🧠

 ⚽🚨 KHALID AUCHO ATUA SINGIDA BLACK STARS KWA MKATABA WA MIAKA MITATU👏🙌Klabu ya Soka ya Singida Black Stars imefanikiwa ...
16/08/2025



🚨 KHALID AUCHO ATUA SINGIDA BLACK STARS KWA MKATABA WA MIAKA MITATU👏🙌

Klabu ya Soka ya Singida Black Stars imefanikiwa kukamilisha usajili wa Kiungo wa chini mwenye ufundii mwingi mguuni 'Khalid Aucho' kwa mkataba wa miaka MITATU k**a mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Yanga SC mwisho mwa msimu huu.

🔔 Kwa hizi sajili hii ligii msimu ujao itakuwa ya moto sana🙌

| | 🧠

 ⚽🚨 SELEMANI MWALIMU ATUA SIMBA SC KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA!Klabu ya Soka ya Simba imefanikiwa kukamilisha usajili wa Ms...
16/08/2025



🚨 SELEMANI MWALIMU ATUA SIMBA SC KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA!

Klabu ya Soka ya Simba imefanikiwa kukamilisha usajili wa Mshambuliaji mwenye ufundii mwingi mguuni 'Selemani Mwalimu' kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja akitokea klabu ya Wydad Club Athletic.

🔔 Kipaji kikubwa ndani ya kikosi cha Wekundu wa Msimbazi🙌

| | 🧠

 🕋JUMMAH MUBARAK !🙏Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema Inshallah🤲🙏   |   |  🧠
08/08/2025

🕋

JUMMAH MUBARAK !🙏

Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema Inshallah🤲🙏

| | 🧠

 🌻Happy NaneNane Day from my Esteemed University🤩👏🎒 Admission Is in progress kindly apply now: 🖇️ oas.rucu.ac.tz🏫 (cc: )...
08/08/2025

🌻

Happy NaneNane Day from my Esteemed University🤩👏

🎒 Admission Is in progress kindly apply now: 🖇️ oas.rucu.ac.tz

🏫 (cc: )

| | 🧠

 😀Umeelewa au hadi tushike fimbo?😂😂🙌  |   |  🧠
04/08/2025

😀

Umeelewa au hadi tushike fimbo?😂😂🙌

| | 🧠

 ⚽🚨 ANTHONY MLIGO ATUA SIMBA SC KWA MIAKA MITATU!Klabu ya Soka ya Simba imefanikiwa kukamilisha usajili wa Beki wa Kusho...
04/08/2025



🚨 ANTHONY MLIGO ATUA SIMBA SC KWA MIAKA MITATU!

Klabu ya Soka ya Simba imefanikiwa kukamilisha usajili wa Beki wa Kushoto mwenye ufundii mwingi mguuni 'Anthony Mligo' kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea klabu ya Namungo yenye maskani yake huko Ruanngwa, Mkoani Lindi.

🗣️ ( cc: ) ⚽

🔔 Kipaji kikubwa ndani ya kikosi cha Wekundu wa Msimbazi🙌

| | 🧠

 ⚽🚨 SIMBA WAMEMSAJILI MCHEZAJI MWENYE VINASABA NA YANGA!!!"Huu ndio usajili pekee wa Simba sijauelewa ,huyu ni striker a...
01/08/2025



🚨 SIMBA WAMEMSAJILI MCHEZAJI MWENYE VINASABA NA YANGA!!!

"Huu ndio usajili pekee wa Simba sijauelewa ,huyu ni striker ambaye kwanza ana nasaba na watu ambao ni wapinzani wa Simba aina yake ya mpira pia sio mshambuliaji tishio ,sioni Sowah akifunga hata mabao 15 labda itokee miujiza ya Mungu"

👤Ameandika Juma Ayo Mchambuzi wa maswala ya Soka Crown FM, Tanzania.

| |

 ⚽🚨 KUSEMA KWELI SIMBA SC NI TIMU KUBWA KULIKO YANGA!!“Simba ni timu kubwa sana na inapendwa mno kule Zambia. Ukifika Za...
31/07/2025



🚨 KUSEMA KWELI SIMBA SC NI TIMU KUBWA KULIKO YANGA!!

“Simba ni timu kubwa sana na inapendwa mno kule Zambia. Ukifika Zambia, mashabiki wengi wanaifuatilia Simba na wanawajua wachezaji wake kwa majina. Sio kwamba Yanga haijulikani, ila bado haijafikia levo ya Simba kwa umaarufu na mapenzi ya mashabiki kule kwetu.”

🗣 CLATOUS Chota Chama, Kiungo wa Mpira👏

| | 🧠

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam
1508

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ammy Reporter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ammy Reporter:

Share