11/01/2026
Furaha Media tunawatakia wananchi wote wa Tanzania kwa ujumla heri na baraka tele katika kuadhimisha Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyotokea Januari 12, 1964, chini ya uongozi wa Abeid Amani Karume.
Tudumishe umoja, amani na mshik**ano, tukilinda na kuenzi tunu za Mapinduzi kwa maendeleo ya Zanzibar na Taifa letu.
Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika
Azam Tv Furaha TV Channel Number 419
StarTimes Furaha TV Channel Number 118