31/08/2025
LIGI Kuu ya England inaendelea leo Agosti 31, 2025, kwa michezo minne kwenye viwanja tofauti, lakini macho yote yameelekezwa Anfield, ambako mabingwa watetezi Liverpool watakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Arsenal, waliomaliza nafasi ya pili msimu uliopita
Liverpool wanakabiliwa na changamoto ya kuvunja mnyororo wa matokeo duni dhidi ya Arsenal, wakiwa hawajapata ushindi katika mechi zao 6 za mwisho za Ligi Kuu dhidi ya Washika Mitutu, wamesuluhu mara nne (4) na kupoteza mara mbili (2).
Liverpool vs Arsenal
18:30 jion
Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.
StarTimes Furaha TV Channel Number 118