
22/08/2025
Droo ya kupanga timu zitakazoshiriki kombe la dunia la mwaka 2026 nchini Marekani kupangwa mwezi wa 12 tarehe 5 Washington nchini Marekani.
Mashindano ya mwisho ya Kombe la dunia yalifanyika nchini Quatar mwaka 2022 na Bingwa aliibuka timu ya Taifa ya Argentina baada ya kuifunga timu ya Taifa ya Ufaransa katika hatua ya fainal.
Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.