FurahaFmtz

FurahaFmtz its a radio Station situated in Dar es salaam and Zanzibar
(2)

13/06/2026

Mwigizaji maarufu nchini, Shamsa Ford, ameungana na familia, marafiki na wadau wa tasnia ya filamu kuomboleza kifo cha mwigizaji mkongwe Issa Joseph maarufu k**a Mzee Onyango, Shamsa Ford alitoa salamu za pole zilizojaa hisia na kumuombea marehemu apumzike kwa amani, huku akieleza kuwa Mzee Onyango alikuwa nguzo muhimu katika tasnia ya sanaa na mtu aliyegusa maisha ya wengi kupitia kazi zake.

Kifo cha Mzee Onyango kimeacha pengo kubwa kwa mashabiki na wasanii wengi waliopata nafasi ya kufanya kazi naye katika safari yake ya muda mrefu ya uigizaji.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Furaha TV channel no 419 kwenye kisimbuzi cha Azam na Startimes Channel no 118

13/06/2026

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Furaha TV channel no 419 kwenye kisimbuzi cha Azam na Startimes Channel no 118

13/06/2026

Msanii wa kiwanda cha filamu ameeleza kuwa mzee Onyango ameweza kuishi maisha yake yote k**a mwingizaji hivo pia anatamani kuishi k**a yeye.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Furaha TV channel no 419 kwenye kisimbuzi cha Azam na Startimes Channel no 118

13/06/2026

Rapa amefunguka mazito na kuweka wazi kuhusu wasanii wa vichekesho wanaoingia kwenye kiwanda cha muziki wa Hip Hop kuwa maudhui yao hayaui muziki wa Hip Hop.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Furaha TV channel no 419 kwenye kisimbuzi cha Azam na Startimes Channel no 118

13/06/2026

Mwili wa aliyekuwa mwigizaji mkongwe nchini, marehemu Mzee Onyango, umewasili nyumbani kwake kwa ajili ya kuagwa na kutoa heshima za mwisho kabla ya mazishi yake yanayotarajiwa kufanyika leo.

Tukio hilo limehudhuriwa na ndugu, jamaa, marafiki pamoja na waombolezaji mbalimbali waliofika nyumbani hapo kumuaga msanii huyo aliyekuwa na mchango mkubwa katika tasnia ya filamu na maigizo nchini.

13/06/2026

Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, amejifungua mtoto wa kiume akiwa na mchumba wake, msanii wa Bongo Fleva, Whozu, na hivyo kutimiza ndoto aliyokuwa akiisubiri kwa miaka mingi.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Furaha TV channel no 419 kwenye kisimbuzi cha Azam na Startimes Channel no 118

12/06/2026

Mtangazaji maarufu ameelezea jinsi alivyokuwa na bifu na

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Furaha TV channel no 419 kwenye kisimbuzi cha Azam na Startimes Channel no 118

Address

Kiko Street, Mikocheni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FurahaFmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to FurahaFmtz:

Share

Category