FurahaFmtz

FurahaFmtz its a radio Station situated in Dar es salaam and Zanzibar
(1)

Furaha Media tunawatakia wananchi wote wa Tanzania kwa ujumla heri na baraka tele katika kuadhimisha Miaka 62 ya Mapindu...
11/01/2026

Furaha Media tunawatakia wananchi wote wa Tanzania kwa ujumla heri na baraka tele katika kuadhimisha Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyotokea Januari 12, 1964, chini ya uongozi wa Abeid Amani Karume.

Tudumishe umoja, amani na mshik**ano, tukilinda na kuenzi tunu za Mapinduzi kwa maendeleo ya Zanzibar na Taifa letu.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

10/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka wazi sababu za kufanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri yaliyohusisha kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu).

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

10/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipongeza timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, kwa mafanikio makubwa na ya kihistoria waliyoyapata katika Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

Rais Samia ametoa pongezi hizo baada ya Taifa Stars kutimiza safari yao katika michuano hiyo, wakitolewa na Morocco kwenye hatua ya 16 bora. Ameeleza kuwa licha ya matokeo hayo, Taifa Stars wameiletea nchi heshima kubwa kwa kufanikiwa kufika hatua hiyo kwa mara ya kwanza kihistoria tangu Tanzania ianze kushiriki mashindano ya AFCON.

Rais Samia amesema kiwango cha mchezo, nidhamu na uzalendo uliooneshwa na wachezaji hao ni ishara ya ukuaji wa soka la Tanzania, na amewahimiza kuendelea kufanya kazi kwa bidii zaidi. Aidha, amewashukuru benchi la ufundi, viongozi wa michezo na Watanzania kwa ujumla kwa mchango na sapoti waliyoitoa kwa timu hiyo.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

10/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameipongeza timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, kwa mafanikio makubwa na ya kihistoria waliyoyapata katika Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

Rais Samia ametoa pongezi hizo baada ya Taifa Stars kutimiza safari yao katika michuano hiyo, wakitolewa na Morocco kwenye hatua ya 16 bora. Ameeleza kuwa licha ya matokeo hayo, Taifa Stars wameiletea nchi heshima kubwa kwa kufanikiwa kufika hatua hiyo kwa mara ya kwanza kihistoria tangu Tanzania ianze kushiriki mashindano ya AFCON.

Rais Samia amesema kiwango cha mchezo, nidhamu na uzalendo uliooneshwa na wachezaji hao ni ishara ya ukuaji wa soka la Tanzania, na amewahimiza kuendelea kufanya kazi kwa bidii zaidi. Aidha, amewashukuru benchi la ufundi, viongozi wa michezo na Watanzania kwa ujumla kwa mchango na sapoti waliyoitoa kwa timu hiyo.

10/01/2026

Green Mining awareness

Uchimbaji wa Kijani kwa Maendeleo Endelevu

Uchimbaji wa madini unaowajibika ni msingi wa kulinda mazingira, afya ya jamii, na rasilimali kwa vizazi vijavyo. Tuchimbe kwa kuzingatia usalama, urejeshaji wa mazingira, na matumizi sahihi ya teknolojia.

👉 Madini leo, mazingira salama kesho.

10/01/2026

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

08/01/2026

DRC ilitolewa katika hatua ya 16 bora baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Algeria, bao la ushindi likipatikana katika dakika za nyongeza. Hata hivyo, kivutio kikubwa katika mashindano hayo kilikuwa ni raia wa Congo, Michel Nkuka Mboladinga, anayejulikana sana k**a shabiki “sanamu” wa nchi hiyo.

Akiwa amevalia mavazi yenye rangi tofauti, Nkuka amejizolea umaarufu kwa kusimama kimya katika mechi zote, akinua mkono wake wa kulia, akiwa amefungua kiganja chake na macho kuelekeza angani, ikiwa ni ishara ya mfano wa sanamu ya mwanasiasa mashuhuri wa Congo, Patrice Lumumba.

Aina hii ya ushabiki iliwavutia si tu raia wa Congo, bali pia mashabiki kutoka mataifa mengine pamoja na jumuiya ya kimataifa, ambapo maudhui yake yalisambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii na kuwa moja ya vivutio vya mashindano hayo.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

08/01/2026

Mapokezi ya Timu ya Taifa Stars baada ya kuwasili nchini.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

08/01/2026

Majibu ya Meneja wa wasanii wa singeli na mmiliki wa label ya International Gang, Meneja Badloso, kufuatia kauli iliyoibua mjadala mkubwa mitandaoni, ambapo wasanii wa singeli waliitwa washamba.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika

Azam Tv Furaha TV Channel Number 419

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

Address

Kiko Street, Mikocheni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FurahaFmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to FurahaFmtz:

Share

Category