FurahaFmtz

FurahaFmtz its a radio Station situated in Dar es salaam and Zanzibar
(2)

31/08/2025

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

31/08/2025

LIGI Kuu ya England inaendelea leo Agosti 31, 2025, kwa michezo minne kwenye viwanja tofauti, lakini macho yote yameelekezwa Anfield, ambako mabingwa watetezi Liverpool watakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Arsenal, waliomaliza nafasi ya pili msimu uliopita

Liverpool wanakabiliwa na changamoto ya kuvunja mnyororo wa matokeo duni dhidi ya Arsenal, wakiwa hawajapata ushindi katika mechi zao 6 za mwisho za Ligi Kuu dhidi ya Washika Mitutu, wamesuluhu mara nne (4) na kupoteza mara mbili (2).

Liverpool vs Arsenal
18:30 jion

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

30/08/2025

FT 🇲🇬 MADAGASCAR 2–3 MOROCCO 🇲🇦
⚽️ Magoli:

Madagascar

09’ – Felicite

68’ – Toky

Morocco

27’ – Mehri

44’ – Lamlioui

80’ – Lamlioui (goli la ushindi!)

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

29/08/2025

Klabu ya yawasiri mkoani Iringa kwenye ufunguzi wa Simba Day ambapo kwa mwaka huu ufunguzi unafanyika mkoani humo.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

29/08/2025

Aliwahi kusema Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

29/08/2025

Mazungumzo ya Bw. Ali Haidar Madeweya, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uzini kupitia chama cha Mapinduizi - CCM.

Full video ipo You Tube.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

29/08/2025

Kituko gani huwezi kusahau kutoka kwa marehemu King majuto pamoja na sharobaro.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

29/08/2025

Mwanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM), amemuomba Rais asisahau kuangalia kwa watu wenye ulemavu na pia amemuomba Mkurugenzi wa Furaha Media .furahadominick aendelee kuwasaida na kuthamini wahitaji.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

StarTimes Furaha TV Channel Number 118

Kesho usikose! Tutakuwa na mgeni maalum.Bw. Ali Haidar Madeweya, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uzini kupitia chama cha Mapi...
28/08/2025

Kesho usikose! Tutakuwa na mgeni maalum.

Bw. Ali Haidar Madeweya, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uzini kupitia chama cha Mapinduizi - CCM

Hakikisha unasikiliza, usipitwe

Sikiliza FURAHA MORNING kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 12:00 kamili asubuhi mpaka saa 03:00 asubuhi Kupitia masafa ya 90.9 Furaha Fm.

Cc:

Address

Kiko Street, Mikocheni
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FurahaFmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to FurahaFmtz:

Share

Category