FurahaFmtz

FurahaFmtz its a radio Station situated in Dar es salaam and Zanzibar
(3)

Droo ya kupanga timu zitakazoshiriki kombe la dunia la mwaka 2026 nchini Marekani kupangwa mwezi wa 12 tarehe 5 Washingt...
22/08/2025

Droo ya kupanga timu zitakazoshiriki kombe la dunia la mwaka 2026 nchini Marekani kupangwa mwezi wa 12 tarehe 5 Washington nchini Marekani.

Mashindano ya mwisho ya Kombe la dunia yalifanyika nchini Quatar mwaka 2022 na Bingwa aliibuka timu ya Taifa ya Argentina baada ya kuifunga timu ya Taifa ya Ufaransa katika hatua ya fainal.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

22/08/2025

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

22/08/2025

mchina_fitness

Sikiliza FURAHA MORNING kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 12:00 kamili asubuhi mpaka saa 03:00 asubuhi Kupitia masafa ya 90.9 Furaha Fm.

Cc:

22/08/2025

Trainer amesema viongozi wengi wana nidhamu wakati wa mazoezi na pia hawafokewi bali wanelekezwa.

Sikiliza FURAHA MORNING kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 12:00 kamili asubuhi mpaka saa 03:00 asubuhi Kupitia masafa ya 90.9 Furaha Fm.

Cc:

21/08/2025

Kwenye kipindi cha Nipe Tano with ametembelea moja ya Gereji hapa Mikocheni kujua ni changamoto gani wanapitia kwenye kazi yao.

FULL VIDEO IPO YOUTUBE YA FURAHA TV.

Host

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

21/08/2025

Mwalimu Hafidh Issa kutoka shule ya al_irshaad_schools akieleza namna ambavyo wamepata nafasi ta kuwa wenyeji wa kwanza kwa upande wa shule za Tanzania bara.

Michuano hiyo itafanyika kwa siku mbili kuanzia september 20 mpaka 21 mwaka huu.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

21/08/2025

Mwenyekiti wa karume interschools debate championship series akifungua rasmi michuano hiyo kwa mara ya kwanza Tanzania bara ambapo michuano hiyo ikiwa imeanza rasmi mwaka 2023 lakini ilikuwa ikifanyika katika visiwa vya Zanzibar.

Ikumbukwe michuano hii huwakutanisha wanafunzi mbalimbali kutoka kila shule na hufanyika mara moja kila mwaka, Lakini kwa mwaka huu itafanyika mara mbili ambapo imefanyika mwezi wa nne katika visiwa vya Zanzibar na kwa awamu ya pili itafanyika katika shule ya mwezi wa tisa kuanzia tarehe 20 mpaka 21, Huku wakiwa na lengo la kufika katika shule nyingi zaidi ndani na nje ya nchi ya Tanzania.

Tufatilie kupitia YouTube ya FURAHA TV, upate habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika kila siku. Usisahau ku-like, ku-comment, na kusubscribe ili uweze kuendelea kuhabarika na taarifa za uhakika.

Address

Kiko Street, Mikocheni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FurahaFmtz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to FurahaFmtz:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share