18/02/2026
Mkurugenzi wa MHT group of companies amesema anajivunia kuzaliwa mkoa wa na kuzielezea sifa za mkoa huo huku akiwashukuru waalimu walio walea katika shule ya msingi Kitapilimwa na Kiwere sekondari za Mkoani humo.
" Ukiachana na mandhari nzuri ya mkoa wa Iringa, malezi bora ya familia na tamaduni zenye kumjenga Mtu mwenye hekima busara na upendo.
Ukakamavu na uhodari kwa vijana, kujituma katika shughuli za kijamii huko ndio kumenilea ."
Katika malezi ya shule nimesoma S/m Kitapilimwa na Kiwere sekondari hakika Mungu awabariki sana waalimu waliotulea wakati ule na hata wanao endelea kuhudumu mahala hapo.
Wewe unajivunia nini?
Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV
Florence Uhagile