MHT TV

MHT TV EVENTS/ENTERTAINMENT & SPORTS
WhatsApp -0672875654 you tube https://www.youtube.com/

08/01/2026

Taifa Stars leo timu ya taifa ya Tanzania imepokelewa kwa shangwe na mashabiki wa mpila wamiguu,wadau na viongozi wa serikali akiwepo Waziri wa habari, utamaduni, Sanaa na michezo mhe Kabudi wakiipongeza kwa kazi nzuri waliofanya katika michuano ya nchini Morocco.

Taifa stars ilionesha upinzani hasa katika mchezo wa kufuzu hatua ya robo fainali dhidi ya Morocco na kushindwa kupenya huku mchezo ukitawaliwa na maamuzi ya sio sawa kutoka kwa refa TRAORE.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

゚viralシ

  kwa namna ilivyo cheza Taifa Stars  dhidi ya Morocco, una dhani stars wana deni kwa watanzania?Tu follow kwa taarifa z...
04/01/2026

kwa namna ilivyo cheza Taifa Stars dhidi ya Morocco, una dhani stars wana deni kwa watanzania?

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Timu ya taifa Tanzania Taifa Stars imeishangaza Dunia kwa kuonesha ukomavu na upinzani katika mchezo wa leo dhidi ya M...
04/01/2026

Timu ya taifa Tanzania Taifa Stars imeishangaza Dunia kwa kuonesha ukomavu na upinzani katika mchezo wa leo dhidi ya Morocco katika michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika.

Ambapo wadau na mashabiki wa mpira wengi waliamini mchezo ungeisha mapema katika kipindi cha kwanza Morocco akiongoza hata kwa goli 2_0 lakini haikua hivo.

Kongole kwa kocha mkuu Miguel Gamond kwa kukifua kikosi cha stars vizuri hata kuishangaza Dunia ya mkini mchezo ungeisha sare na kwenda katika matuta na lolote lingetokea kuliko kuonewa kwa wazi kupitia Refa Traore.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

   Refa Traore aliye chezesha mchezo wa leo wa Taifa Stars  dhidi ya Morocco anapaswa kuchukuliwa hatua na Tanzania kwa ...
04/01/2026

Refa Traore aliye chezesha mchezo wa leo wa Taifa Stars dhidi ya Morocco anapaswa kuchukuliwa hatua na Tanzania kwa kuigharimu timu hiyo kwa maamuzi yake mabaya.

Hakika hujuma za kimichezo Afrika zime zidi kushamili nyingine zikiwa za wazi kabisa, japo hatua zina chukuliwa lakini si zile zenye tija ndio maana yana jirudia.

kwa tukio la leo stars kunyimwa "penalty" lina onesha muhisika kutetea maslahi yake nje ya pazia kwa kukataa kwa makusudi kurejea au kupata msaada wa VAR.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Timu ya taifa Tanzania Taifa Stars  imetolewa katika michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika hatua ya 16 bora baada ya ...
04/01/2026

Timu ya taifa Tanzania Taifa Stars imetolewa katika michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika hatua ya 16 bora baada ya kufungwa goli moja kwa bila dhidi ya Morocco.

Mchezo ulio tawaliwa na uonevu wa wazi kwa wachezaji wa Tanzania kwa kupewa kadi za njano kwenye kila kosa na kukataa penalty ya idd Nado huku akifumbia macho makosa ya mwenyeji Morocco na kumbeba.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Simba sc imeshinda mchezo dhidi ya Muembe makumbi city kwa goli moja bila michuano ya Kombe la Mapinduzi inayo endelea...
03/01/2026

Simba sc imeshinda mchezo dhidi ya Muembe makumbi city kwa goli moja bila michuano ya Kombe la Mapinduzi inayo endelea visiwani Zanzibar.

Kwa Muembe makumbi city Wamecheza mechi mbili, wamepoteza moja, wametoka sare moja.

Hivyo Muembe Makumbi City safari yao inaishia hapa.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Mapinduzi CUP

  Senegal imeibuka na ushindi na kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali ya AFCON 2025/26 baada ya kuichabanga Sudan ...
03/01/2026

Senegal imeibuka na ushindi na kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali ya AFCON 2025/26 baada ya kuichabanga Sudan goli 3_1.

Mchezo ulianza kwa tahadhari, lakini Aamir Abdallah ndiye aliyefungua alama mapema kwa Sudan. Senegal wakajibu na Pape Gueye aliyefunga mara mbili (bao la kusawazisha na bao la kuongoza kabla ya mapumziko). Senegal ik**alizia ushindi na goli la Ibrahim Mbaye.

6’ – Aamir Abdallah (Sudan) — alifunga goli la kwanza kwa Sudan kuipa nafasi ya kushtua mapema.
29’ – Pape Gueye (Senegal) — alipata bao la kusawazisha kupitia shuti kali nje ya kisanduku.
45’+3 – Pape Gueye (Senegal) — alifunga tena kabla ya mapumziko na kuongoza Senegal.

77’ – Ibrahim Mbaye (Senegal) — aliongeza bao la tatu akitumia pasi ya Sadio Mané.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

    Singida BS 1-1 URA (Idriss Diomande 45' /  Mulikyi Hudu 26')Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV        ...
03/01/2026



Singida BS 1-1 URA (Idriss Diomande 45' / Mulikyi Hudu 26')

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV


Rais Samia Suluhu Hassan ameizawadia Taifa Stars  shilingi milioni 500 baada ya kufanikiwa kufuzu hadi hatua ya 16 bora ...
03/01/2026

Rais Samia Suluhu Hassan ameizawadia Taifa Stars shilingi milioni 500 baada ya kufanikiwa kufuzu hadi hatua ya 16 bora kwenye michuano ya Mataifa Afrika inayondelea nchini Morocco.

Imethibitishwa na Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakati akizungumza kwa njia ya simu na wachezaji pamoja na benchi la ufundi kupitia Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda.

Taifa Stars watashuka dimbani kesho kukipiga na wenyeji Morocco kwenye dimba la Prince Moulay Abdellah kuanzia saa 1:00 usiku.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Tanzania Football Federation

01/01/2026

Je, una fahamu kuhusu ibada za makaburi?

Makaburi ni mahali ambapo wanadamu hupumzishwa mara baada ya kufikwa na umauti kuna ibada tofauuti tofauti hufanyika kulingana na imani ya jamii husika.

Zipo ibada za kidini na hata za asili ya jamii fulani, kwetu sisi kutembelea makaburi ya Ndugu zetu na kuya fanyia usafi ni ibada kubwa sana na hapo huongelewa mambo ya kifamilia k**a kuonyana na kuomba mwenyezi awape pumziko la amani ndugu zetu na sisi pia tuishi tuki muabudu yeye pekee katika roho na kweli.

Je kuna ibada gani za makaburi katika jamii yenu hufanyika?

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

31/12/2025



Mungu akubariki sana mpendwa wetu akupe heri na mafanikio tele.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

31/12/2025

Bishop Gwajima amewaomba utulivu waumini wake akitaka wa msikilize kwa umakini kile anacho taka kuwa eleza.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Address

Kitunda
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MHT TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MHT TV:

Share