MHT TV

MHT TV EVENTS/ENTERTAINMENT & SPORTS
WhatsApp -0672875654 you tube https://www.youtube.com/

Mkurugenzi wa MHT group of companies amesema anajivunia kuzaliwa mkoa wa    na kuzielezea sifa za mkoa huo huku akiwashu...
18/02/2026

Mkurugenzi wa MHT group of companies amesema anajivunia kuzaliwa mkoa wa na kuzielezea sifa za mkoa huo huku akiwashukuru waalimu walio walea katika shule ya msingi Kitapilimwa na Kiwere sekondari za Mkoani humo.

" Ukiachana na mandhari nzuri ya mkoa wa Iringa, malezi bora ya familia na tamaduni zenye kumjenga Mtu mwenye hekima busara na upendo.
Ukakamavu na uhodari kwa vijana, kujituma katika shughuli za kijamii huko ndio kumenilea ."

Katika malezi ya shule nimesoma S/m Kitapilimwa na Kiwere sekondari hakika Mungu awabariki sana waalimu waliotulea wakati ule na hata wanao endelea kuhudumu mahala hapo.

Wewe unajivunia nini?

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Florence Uhagile

  Leo saa moja usiku Young Africans Sports Club  itakipiga dhidi ya Cosmopolitan Fc katika michuano ya   katika dimba la...
18/02/2026

Leo saa moja usiku Young Africans Sports Club itakipiga dhidi ya Cosmopolitan Fc katika michuano ya katika dimba la KMC Complex jijini Dar es salaam.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Simba SC Tanzania yaongoza kwa dakika zawali goli moja bila dhidi ya Stade mallien katika dimba la mkapa Dar es salaam...
14/02/2026

Simba SC Tanzania yaongoza kwa dakika zawali goli moja bila dhidi ya Stade mallien katika dimba la mkapa Dar es salaam.

Simba sc 1_0 Stade mallien (Anicet Oura 5')

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Simba SC Tanzania  Kikosi cha burudani kwa wanasimba.Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV
14/02/2026

Simba SC Tanzania Kikosi cha burudani kwa wanasimba.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Simba SC Tanzania Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV               Clatous Chama
14/02/2026

Simba SC Tanzania

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Clatous Chama

10/02/2026

Goli kipa wa Pamba Jiji FC Yona Amos ameibuka mchezaji Bora wa mchezo ulio wapa ushindi wa goli moja bila dhidi ya Namungo FC.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Timu ya MBEYA City Council FC imechapisha ujumbe wa utani kwa majirani zao Tanzania prisons sc leo baada ya kupokea ki...
10/02/2026

Timu ya MBEYA City Council FC imechapisha ujumbe wa utani kwa majirani zao Tanzania prisons sc leo baada ya kupokea kichapo cha goli 4_1 dhidi ya wagosi wakaya Coastal Union FC katika dimba la sokoine jijini Mbeya.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Huu ndio uzuri wa nyumbani   tuna kula vyakula vya asili mfano matunda, mboga mboga na ugali wa mahindi, mtama, ulezi, k...
08/02/2026

Huu ndio uzuri wa nyumbani tuna kula vyakula vya asili mfano matunda, mboga mboga na ugali wa mahindi, mtama, ulezi, kunde, maharagwe na n.k

Mimi na enjoy hapa nakula embe lililo anguliwa mtini utamu wake balaaaa

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

  Mpango wa kocha wa Young Africans Sports Club ulio kuwa ni wa kuzuia na kushambulia kwa kustukiza umefeli baada ya kuk...
07/02/2026

Mpango wa kocha wa Young Africans Sports Club ulio kuwa ni wa kuzuia na kushambulia kwa kustukiza umefeli baada ya kukubali kichapo cha goli moja bila.

AsFaRabat 1 _ 0 Africans sports club

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika Jastine Mwailafu

Young Africans Sports Club

  Umeuonaje mpango wa kocha wa Yanga sc? ulio wa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza.Una dhani utaleta matokeo...
07/02/2026

Umeuonaje mpango wa kocha wa Yanga sc? ulio wa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza.

Una dhani utaleta matokeo chanya kipindi chapili?

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Young Africans Sports Club

  Simba SC Tanzania harakati za kufanya vyema kimataifa zimegonga mwamba baada ya kutofanya vizuri katika michuano ya kl...
07/02/2026

Simba SC Tanzania harakati za kufanya vyema kimataifa zimegonga mwamba baada ya kutofanya vizuri katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

Simba sc imepoteza mechi 3 za awali za mzunguko hatua ya makundi na kutoa sare michezo 2 ukiwepo huu wa leo.

Simba sc kwa sasa ijipange kwa msimu ujao lakini pia kufanya vizuri katika ligi ya ndani Tanzania bara.

Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV

Address

Kitunda
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MHT TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MHT TV:

Share