08/01/2026
Taifa Stars leo timu ya taifa ya Tanzania imepokelewa kwa shangwe na mashabiki wa mpila wamiguu,wadau na viongozi wa serikali akiwepo Waziri wa habari, utamaduni, Sanaa na michezo mhe Kabudi wakiipongeza kwa kazi nzuri waliofanya katika michuano ya nchini Morocco.
Taifa stars ilionesha upinzani hasa katika mchezo wa kufuzu hatua ya robo fainali dhidi ya Morocco na kushindwa kupenya huku mchezo ukitawaliwa na maamuzi ya sio sawa kutoka kwa refa TRAORE.
Tu follow kwa taarifa zaidi na za uhakika MHT TV
゚viralシ