MP. David Kizenga

MP. David Kizenga Lakini saa inakuja, nayo saa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu k**a hao wamwbudu.(Yoh.4:24).

PASSION.Passion is not what you like.Passion is what you can constantly spend your time in.Passion is not what you wish ...
10/08/2023

PASSION.

Passion is not what you like.
Passion is what you can constantly spend your time in.

Passion is not what you wish to do.
Passion is what you're capable of doing without ceasing.

Passion is not what you know well.
Passion is what you can curiously learn about nonstop.

Passion is not what can bring you money.
Passion is what can bring you satisfaction.

Passion is not what you can do seasonally.
Passion is a permanent purpose that bring the whole meaning of your life.
fortune

Joshua 1:99 Remember that I have commanded you to be determined and confident! Do not be afraid or discouraged, for I, t...
18/02/2022

Joshua 1:9
9 Remember that I have commanded you to be determined and confident! Do not be afraid or discouraged, for I, the Lord your God, am with you wherever you go.”

and teach them to obey everything I have commanded you. And I will be with you always, to the end of the age.”Matthew 28...
11/01/2022

and teach them to obey everything I have commanded you. And I will be with you always, to the end of the age.”
Matthew 28:20 GNT

“Therefore keep watch, because you do not know on what day your Lord will come." Matthew 24:42                          ...
09/05/2021

“Therefore keep watch, because you do not know on what day your Lord will come." Matthew 24:42

04/05/2021

"For God so loved the world...." John 3:16 - 17

*PREPARED FOR ME* 🚗🏦🍹🥘•1 Wakorintho.2:9  lakini, k**a ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyas...
04/02/2021

*PREPARED FOR ME* 🚗🏦🍹🥘
•1 Wakorintho.2:9
lakini, k**a ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, (Wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu,) Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao.

- Umeshawahi kujiuliza kwanini kuna watu wengine wanaona👀 fursa lakini wewe huoni, kwanini watu wengine wanasikia👂 maelekezo ya namna ya kuenenda lakini wewe husikii.
- Katika maisha yetu kuna fursa, kuna mafanikio, kuna mambo mazuri ambayo kila mtu angependa kupata.
Lakini mambo hayo Mungu amewaandalia wale wampendao. 💕💞
- Ili tuweze kuona yale ambayo wengine hawawezi kuona na kusikia yale ambayo wengine hawawezi kusikia ni lazima tuwe miongoni mwa wale wampendao Mwokozi.💗

- Unaweza ukajiuliza mwenyewe;
• *JE UNAMPENDA MUNGU?*
- Na k**a *_NDIO_* unampenda Mungu; *Je kwanini bado unashindwa kuona na kusikia yale ambayo Mungu amekuandalia?*
- Wakati unajiuliza hilo swali nataka nikupitishe katika mifano michache katika biblia.

• Mwanzo.37:3
Basi Israeli akampenda Yusufu kuliko wanawe wote, maana ni mwana wa uzee wake, akamfanyia kanzu ndefu.
- Hapo tunaweza kujiuliza kwanini kanzu ndefu iliandaliwa kwa ajili ya Yusuph pekee na sio watoto wake wengine.
- Biblia inasema Israeli alimpenda Yusuph kuliko wanawe wote, sio kwamba hakuwapenda wengine lakini alimpenda Yusuph zaidi.
• Hapo tunaweza tukajifunza kitu fulani; kwamba kuna *_upendo_* alafu kuna *_upendo wa kipekee_*

• Matendo ya Mitume.13:22
Na alipokwisha kumwondoa huyo, akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye alimshuhudia, akisema, Nimemwona Daudi, mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayefanya mapenzi yangu yote.
- Kuna jambo la kushangaza katika huu mstari, unaweza ukajiuliza je katika Israeli yote ni Daudi pekee aliyekua anampendeza Mungu.

• Mathayo.3:17
na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
- Tuone huo mfano mwingine wakati Yesu anabatizwa 💦, Biblia inatuambia kwamba sauti ilitoka mbinguni ikisema "huyu ndie mwanangu mpendwa"
- unaweza ukajiuliza kwanini hii sauti ilisikika wakati Yesu anabatizwa na haikusikika wakati mtu mwingine yoyote anabatizwa, wakati maji ni yaleyale na mbatizaji ni yuleyule.

- Sasa unaweza ukajiuliza tena kwa mara nyingine;
• *JE UNAMPENDA MUNGU❓*
- Katika mifano yote hiyo tuliopitia unaweza ukagundua kwamba kuna *UPENDO* na kuna *UPENDO WA KIPEKEE*
- Watu wengi wanampenda Mungu lakini hawaoni na hawasikii yale mambo ambayo Mungu amewaandalia
- Tuombe Mungu🙏 ili atusaidie tuwe na Upendo wa Kipekee ili tuwe na uwezo wa kuona👀 yale ambayo wengine hawawezi kuyaona na tuweze kuyasikia👂 yale ambayo watu wengine hawawezi kuyasikia, mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao❤️.
- Mungu Akubariki.

Be on the watch & always focus on what is ahead of you...... There is always a way out over everything, just focus 👀And ...
18/01/2021

Be on the watch & always focus on what is ahead of you...... There is always a way out over everything, just focus 👀
And God will make a way for you have showed the efforts. @ Dar es Salaam, Tanzania

Signs the Lord is preparing their heart to love you ❤                                                            @ Dar e...
18/01/2021

Signs the Lord is preparing their heart to love you ❤ @ Dar es Salaam, Tanzania

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MP. David Kizenga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category