Pi Network Tanzania

  • Home
  • Pi Network Tanzania

Pi Network Tanzania Bringing Pi Network to Africa
(1)

🌍 ULIMWENGU UNABADILIKA – USIBAKI NYUMA! 💥Blockchain na Web3 hadi sasa zimeweza kuwafikia asilimia 10+ ya watu wote duni...
19/07/2025

🌍 ULIMWENGU UNABADILIKA – USIBAKI NYUMA! 💥

Blockchain na Web3 hadi sasa zimeweza kuwafikia asilimia 10+ ya watu wote duniani 🌐. Hii ina maana kwamba asilimia 80+ bado hawajaguswa moja kwa moja na mapinduzi haya ya kidigitali!

Kwa wengi, bado haya ni mambo ya "ajabu" k**a ilivyokuwa miaka ya mwanzo tulipoanza kutuma na kupokea pesa kwa simu 📲 – leo ni kawaida, si ajabu tena!

🎯 Lakini FURSA iko kwa walio macho mapema.
Dunia inahamia rasmi kwenye Digital Economy – uchumi wa kidijitali. Na PI NETWORK ni miongoni mwa miradi ya Blockchain inayoongoza kwa kuwawezesha watu wa kawaida — bila kujali wanatoka wapi — kuingia mapema kwenye uchumi huu mpya.

🟢 K**a uko hai leo, una smartphone na data — basi nafasi ni yako!

👇 Jiunge na PI NETWORK sasa kupitia link hii: 🌐 www.minepi.com/planxtz
👉 Tumia invitation code: planxtz

💎 Ukijiunga leo:
✅ Utakuwa miongoni mwa wachache waliotangulia
✅ Utajifunza kuhusu blockchain kwa vitendo
✅ Utakuwa sehemu ya mapinduzi ya kiuchumi ya kidunia
✅ Utaweza kushiriki kwenye uchumi mpya wa PI – bila gharama!

Usisubiri hadithi – kuwa sehemu ya historia!

19/07/2025

Kampuni ya OpenAI imetangaza kuzindua kipengele kipya katika akili mnemba yake ya ChatGPT kitakachomruhusu Roboti huyo kufanya baadhi ya majukumu ikiwemo kufikiri kwa niaba ya Mtumiaji ikiwa ni sehemu ya mapinduzi ya mtandao ambapo Watumiaji badala ya kuhama program kupata na kutafuta taarifa kwa mikono, atategemea Mawakala wa AI kufanya kila kitu.

Kipengele hicho kipya cha ChatGPT ambacho kimepewa jina la Wakala “Agent Mode” kitaanza kufanya kazi hivi karibuni na kitakwenda kuongeza ushindani katika Makampuni ya kiteknolojia hususani Google na OpenAI ambazo zote zinatengeneza akili mnemba ambayo ina lengo la kutoa usaidizi.

Aidha kwa mujibu wa OpenAI, kipengele hicho cha Wakala kwa sasa kitaiwezesha akili mnemba ya ChatGPT kufikiri na kutekeleza majukumu kwa kutumia mfumo wake wa kidigitali wa kompyuta (virtual computer) ambayo itaiwezesha kufanya mambo magumu kwa mafano Mtumiaji akiitaka imwangalizie kalenda na kumwambia matukio yajayo pamoja na kuiambia ikusaidie kutaja viungo vitakavyotumika kwa aina ya chakula itaweza kufanya hivyo.

Aidha katika video ya maelezo OpenAI Mtumiaji mmoja aliiambia ChatGPT iweze kumwandalia na kumshauri aina ya mavazi ya kuvaa kwa ajili ya harusi na kutaka impe mapendekezo ya nguo tano tofauti k**a vile kanisani, hotelini na ukumbini na ilifanya hivyo ambapo kwa mujibu wa OpenAI kipengele hicho kipya kitapatkana kwa wale ambao watalipia kuanzia ChatGPT Pro, Plus au Team Plan.

Aidha ChatGPT imesema kipengele hicho kipya kimekuja na hatari katika kupambana na taarifa za faragha za Watumiaji wake ambapo kampuni hiyo imeendelea kuonya kuwa watumiaji wake wasitoe taarifa zao za muhimu na za faragha kwa akili mnemba hiyo ambapo pia wamesema kuwa haitaweza kufanya kazi na kufikia sehemu k**a Baruapepe ambazo zitahitaji uangalizi wa mtuniaji mwenyewe pamoja na kazi hatarishi k**a vile kazi za kibenki.

🌐🔐 PI NETWORK 2FA SECURITY UPDATE! 🔐🌐Pioneers, are you ready to protect your Pi Wallet?Here’s what you MUST know .🚨 Two-...
18/07/2025

🌐🔐 PI NETWORK 2FA SECURITY UPDATE! 🔐🌐
Pioneers, are you ready to protect your Pi Wallet?
Here’s what you MUST know .

🚨 Two-Factor Authentication (2FA) is Here!
Pi Network has now started requiring 2FA via a trusted email address for enhanced security before Mainnet migration.

📌 Why this matters:
✅ Protects your Pi Wallet from unauthorized access
✅ Ensures a smooth and secure migration process
✅ Makes your Pi holdings safer in the Mainnet environment

💡 What You Need to Do:
1️⃣ Add a Trusted Email Address to your Pi account
2️⃣ Complete the 2FA verification
3️⃣ If you’re in the 14-day migration pending period, act fast!
4️⃣ Stay alert for system checks and instructions from the Pi Core Team

📬 Reminder:
If you haven’t added a trusted email, do it now from your Pi app Mainnet Checklist section.
This is your gateway to the real decentralized Web3 economy.

🌱 Migration is ongoing — make sure you’re ready.
This is how we build a secure, inclusive future of finance together.

Respect,
PlanXtz.



🟣 Visit your Pi App now and secure your Pi!
Don’t wait for last-minute surprises.

🌍🔥 PI NETWORK PRICE DROP: FURSA ILIYOJIFICHA NDANI YA SHIDA! 🔥🌍🪙 Leo bei ya Pi Coin imeshuka hadi $0.46 kwenye masoko ya...
14/07/2025

🌍🔥 PI NETWORK PRICE DROP: FURSA ILIYOJIFICHA NDANI YA SHIDA! 🔥🌍

🪙 Leo bei ya Pi Coin imeshuka hadi $0.46 kwenye masoko yasiyo rasmi. Kwa wengi, hii ni sababu ya hofu… lakini kwa wale waliokomaa, hii ni fursa ya kipekee ya mafanikio ya baadaye.

👇 Hebu tuichambue hali hii kwa mtazamo wa mtaalamu wa Web3 na Blockchain Development Analyst, PlanXtz.

✅ 1. Bei Kushuka si Mwisho, ni Mchakato wa Soko Huru Katika ulimwengu wa blockchain, kushuka kwa bei ni sehemu ya mabadiliko ya kawaida ya soko. Tuliona haya kwa Bitcoin ($0.06 → $70,000) na Ethereum ($0.3 → $4,800). Hakuna sarafu yoyote yenye mafanikio ambayo haikupitia changamoto hizi mwanzoni.

✅ 2. Pi haijaanza rasmi kwenye Exchanges – Hii si Bei Rasmi Bei unazoziona leo zinatokana na over-the-counter (OTC) na peer-to-peer trading ambazo hazina msingi rasmi wa supply & demand ya Global Open Mainnet. Pi Network bado iko kwenye mchakato wa kujenga mazingira salama na yenye uthibitisho wa KYC kwa kila mtumiaji. Hii ni hatua ya msingi kabla ya bei halisi kuamuliwa na nguvu ya soko.

✅ 3. Miaka Mitatu Ijayo: Fursa za Mapinduzi ya Kiuchumi 🔮 Kwa mwaka 2026, tunatarajia yafuatayo:

Pi Network Open Mainnet kufunguliwa kwa soko la kimataifa

Apps na Ecosystems zaidi zitakuwa zimejengwa juu ya Pi Blockchain

Regulatory compliance kutoka nchi mbalimbali

Kujengwa kwa uchumi wa ndani ya Pi (P-commerce) unaotumia Pi kwa malipo halisi ya bidhaa na huduma

✅ 4. Umiliki wa Mapema = Faida Kuu Baadaye Leo ni wakati wa kuchimba dhahabu kimya kimya. Wale wanaojenga, kushiriki, na kubeba matumaini sasa, watakumbukwa kesho k**a mabalozi wa kiuchumi wa zama za Web3.

💡 USHAURI KWA PIONEERS WENZETU:

Endeleeni kuhamasisha Pioneers wapya kupitia invitation code zenu.

Jiungeni na Apps za Pi k**a Pi Browser, Pi Chat, na Pi Mining App kwa matumizi ya kweli.

Hakikisha mmekamilisha Mainnet Checklist na KYC Verification.

Jenga biashara au huduma yako ndogo inayotumia Pi k**a malipo.

💚 Kumbuka: Bei inaweza kupanda au kushuka, lakini dhamira ya kujenga uchumi wa watu kwa watu kupitia Pi Network haibadiliki. 🔗

🖊️ Imetayarishwa na:
PlanXtz,
Pi Network Blockchain Analyst.
PlanX Blockchain Solutions Co. Ltd
📍Tanzania 🇹🇿

🌍📡 MIMI NI SELI HAI KATIKA MTANDAO WA PI NETWORKUjumbe kwa Pioneers wa Pi Network – Tafakari ya Kiroho kwa Ulimwengu wa ...
13/07/2025

🌍📡 MIMI NI SELI HAI KATIKA MTANDAO WA PI NETWORK

Ujumbe kwa Pioneers wa Pi Network – Tafakari ya Kiroho kwa Ulimwengu wa Kidigitali

🧬 Mimi ni seli hai. Nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu ya kutisha—lakini pia nimezaliwa tena k**a mwanzo wa kizazi cha kidigitali ndani ya mtandao wa Pi Network.

Katika mwili wa binadamu, seli zenye afya huunda maisha, lakini seli waasi huleta kansa.
Vivyo hivyo, katika Pi Network, kila Pioneer ni seli hai ya kidigitali—ama ya ujenzi au ya uharibifu wa mtandao huu wa baadaye.

🔥 Je, Wewe Ni Seli Hai yenye Afya au Seli ya Kansa Katika Mtandao wa Pi?

✅ Ukishiriki kwa uadilifu, unaelimisha wengine, unaenzi UchaMungu, unalinda maadili ya mtandao huu mpya — wewe ni seli hai yenye afya.
❌ Ukieneza choyo, ulaghai, matumizi mabaya ya mfumo, au kukataa misingi ya maadili — unakuwa k**a seli ya kansa inayoharibu mwili mzima.

🕊️ Masihi Mkuu ni Mfano wa Seli Hai ya Kwanza ya Utii

Katika ulimwengu wa kiroho, Masihi Mkuu alitii mpango wa Mungu hadi mwisho. Katika ulimwengu wa kidigitali, tunapaswa kumwiga kwa kuwa na uaminifu, ushirikiano na heshima kwa jamii ya Pioneers na kwa dunia nzima tunayoijenga.

☣️ Lucifer ni Mfano wa Seli ya Kansa

Alileta maasi, giza, na mgawanyiko. Katika Web3, FOMO, scams, choyo na kutotii miongozo ya msingi ya Pi Network ni vivuli vya maasi hayo. Lazima tukatae aina hii ya sumu.

💥 Hatima ya Seli Waasi Ni Kuchomwa Kwa Mionzi Mikali

Katika mwili, seli za kansa huchomwa kwa mionzi. Katika dunia ya Web3, kutozingatia maadili na uaminifu hupelekea kufungiwa, kufutwa, au kuachwa nje ya mfumo wa uchumi mpya wa kidigitali.

> Ulimwengu wa kidigitali hauitaji tu maarifa, bali miiko na roho safi.

✨ Wito kwa Pioneers: Tuamke!

Sisi ni kizazi cha kwanza. Tumeitwa kuwa safu ya seli hai za ulimwengu mpya.
Tuna nafasi ya kipekee ya kuunda “mwili” wa kiuchumi wa baadaye.

Tuishi kwa UchaMungu, Uzalendo na Maadili.
Tuwaelimishe wengine. Tujitakase. Tushirikiane.
Tuwe sehemu ya uponyaji wa dunia ya kidigitali – si kansa ya kuiteketeza.

With Love,
PlanXtz.

🛡️

🌍🔥 PI NETWORK – UCHUMI MPYA WA DUNIA UNAJENGWA! 🔥🌍🚀 Pi Network Blockchain Project ni mradi wa lifetime! Haijawahi kutoke...
10/07/2025

🌍🔥 PI NETWORK – UCHUMI MPYA WA DUNIA UNAJENGWA! 🔥🌍

🚀 Pi Network Blockchain Project ni mradi wa lifetime! Haijawahi kutokea mradi wa Web3 unaojengwa kwa umakini, ushirikishwaji wa jamii ya dunia nzima, na teknolojia ya kisasa k**a huu!

👉 Wengine wanaanza kupata hofu… kuchelewa kwa migration? 🔐
👉 Bei bado nusu dola? 😕

Lakini wanaoelewa wanajua:

🧠 Subira NI MSINGI WA MAFANIKIO YA KWELI.

Tulishuhudia Bitcoin ikihangaika miaka zaidi ya 10… leo ni dhahabu ya kidigitali.
Sasa tunashuhudia Pi Network ikijenga miundombinu kwa kasi – Powered by Artificial Intelligence & True Community Power!

💥 Tumeingia katika zama za Web3 Economy!
💥 Pi ni kiini cha mapinduzi haya!

💎 Je, thamani ya PI moja inaweza kufika $1000?
Hakuna lisilowezekana! Lakini yote haya yanahitaji kitu kimoja:
🕰️ TUSUBIRI.
💪 TUAMINI.
📲 TUENDELEE KUJENGA.

🌱 KEEP MINING
🛡️ KEEP HOLDING
🏗️ KEEP BUILDING

🟢 Mainnet Checklist yako iishe
🟢 KYC iendelee
🟢 Ndoto isikate tamaa!

🧠 Mimi sikua na sio muumini wa GCV.....K**a hukua muumini wa GCV, sawa. Lakini hautahitaji kusubiri zaidi ya miaka 3 kuona miujiza ya PI!

Hongera kwa kuamini. Hongera kwa kusubiri. Hongera kwa kuwa sehemu ya mapinduzi haya ya kiuchumi duniani.

🔰 PlanXtz – The Web3 Awakening Hub

This fuels the move behind PlanX Blockchain Solutions Co Ltd and it's newborn
01/07/2025

This fuels the move behind PlanX Blockchain Solutions Co Ltd and it's newborn

Africa's next generation of billionaires will be innovators, like the guys at Moove...
__Solving local challenges with that go global!

A few weeks ago, I was in San Francisco walking to a dinner when I spotted a futuristic fleet of self-driving cars known as Waymo, lining up to recharge. I decided to go and check it out immediately!

It was an open area parking lot with a long line of car chargers. There were only two humans on site connecting each car, and I reached out to one of them for a chat.

"So this is the new type of Fuel Station," I thought to myself, as I surveyed the setup. "These smart entrepreneurs are setting up facilities for self-driving and other EVs. How cool is that?!"

In talking to the one guy, I quickly realized that indeed they did not actually work for Waymo, but for an independent entrepreneur who had been contracted to be a "Service Station" for EVs, similar to how people set up petrol (service) stations for traditional cars!

And little did I know at the time, two young entrepreneurs from Nigeria had very recently entered a to do this same kind of business with Waymo!

Back in 2020, those two co-founders, Ladi Delano and Jide Odunsi, had first launched a mobility company and digital platform. Their focus was to help finance Uber ride-hailing drivers in Lagos who wanted to buy their own cars, but didn’t have enough credit to get a traditional loan…

Called “Moove,” their business took off in Nigeria, then in other African markets. Now its global in scale, connecting like ride-hailing drivers with affordable and fair access to revenue-based vehicle finance. Check out their website to see where they've scaled globally: https://www.moove.io/

Now back to my Waymo story: A few days ago, I read that Moove has “moved” onward and upward! From its main business [which increased annualized revenues of $115m up to $360m in a year] Moove has recently partnered with Waymo to provide fleet management services to clean and charge Waymo's electric Robotaxis! Their first roll-out is the Phoenix market, then in 2026 they'll add Miami!

As its market demand and opportunities grew last year, Moove’s co-founders raised $100m in a Series B funding round that valued their company at $750m. Now they’re looking to raise an additional $300m.

This means by the next funding round in a year or so, Moove could potentially be worth more than $5bn, and by the time they do an IPO, it could be worth more than $10bn. Yes, within a decade or much less, it could place these guys to being multi-billionaires!

Shocked?!

There are several African innovators I would comfortably back to be in this position in the next three years, including the guys at Monie, Sand Technologies, Flutterwave, to name but a few.

Within 10 years, these guys and many I don't know [most likely from AI and Crypto] will top the African billionaire list, surpassing the wealth of most on that list today! These guys [men, and hopefully also women] will not struggle to raise capital, and they will be global.

As you stop and reflect on what I've written, there is something critically important that I want you to see:

__The wealth of these is not dependent in any way on governments and relationships with powerful people. They don't need access to licenses or natural resources like oil, gold… or anyone's favour.

They will come from any country, big or small. Some will be based in Africa, whilst others will be in the diaspora.

To join them, you must have a that says, "Wealth is primarily created by being an ."

__It's in every message on entrepreneurship that I have ever taught.

Some of you will , , and , great new businesses "at the edge of technology"... while others of you will remain passengers [or even drivers] of someone else’s vision.

It's really up to you.

Image caption: A few years ago, I shared with you my amazing experience of being driven around San Francisco by... No One! Now Waymo is a US$45bn commercial venture, with electric robotaxis driving customers about 1 million miles a week (250,000 trips). It’s also ranked the most innovative company in the world this year: https://www.fastcompany.com/91270760/waymo-most-innovative-companies-2025

🌙 Habari za jioni Pioneers WAADILIFU popote pale mlipo! 🌍🔥Shukrani nyingi kwa nyote mnaotumia muda wenu, kwenye magroup ...
01/07/2025

🌙 Habari za jioni Pioneers WAADILIFU popote pale mlipo! 🌍🔥

Shukrani nyingi kwa nyote mnaotumia muda wenu, kwenye magroup ya Whatsapp na face-to-face kuwaelekeza wengine kutumia kwa usahihi App ya Pi Network Mining App pamoja na Pi Browser 🙌

💡 Challenge ya Pi2Day (June 28 kila mwaka) imelenga kutufundisha features mpya zilizoongezwa kwenye Pi Network — ili tujifunze kuzitumia kikamilifu na kwa ufanisi.

📌 Kumbuka:
👉 Kutoshiriki challenge hakuathiri mwenendo wa mining yako wala account yako.
👉 Kushiriki kunakuongezea maarifa mapya kuhusu Blockchain ya Pi Network na kukupeleka moja kwa moja kwenye ulimwengu mkubwa wa WEB3 & Blockchain Technology!

✅ Kwa waliokamilisha Mainnet Migration, wanaweza kufanya hatua zote za challenge bila kikwazo.

⚠️ Kwa ambao bado Mainnet Checklist haijakamilika, baadhi ya features hazitawa wazi kwao — lakini bado ni fursa ya kujifunza na kujiandaa!

📲 Tafadhali hakikisha ume-update App zote mbili:

1. Pi Network Mining App

2. Pi Browser
Ili ushinde challenge hii bila kukwama-kwama 😊

Tunaendelea kujifunza, kukua, na kuimarika pamoja!
Asanteni sana 🙏

SPEED YA UJENZI WA WEB3 NI HATARI!Na Charles Rapp – Blockchain Solutions Analyst, PlanX Blockchain Solutions.Katika ulim...
28/06/2025

SPEED YA UJENZI WA WEB3 NI HATARI!

Na Charles Rapp – Blockchain Solutions Analyst, PlanX Blockchain Solutions.

Katika ulimwengu wa teknolojia, kila sekunde ina thamani kubwa. Lakini katika blockchain na Web3, kila sekunde ni fursa au ni hatari. Kasi ya maendeleo ya Web3 ni jambo lisilopingika. Ukichelewa tu kidogo, unakuta ecosystem nzima imebadilika! Huu ni mchakamchaka wa kweli – na kwa wale wenye kiu ya kujifunza, huu ndio wakati wa kuamka, kuamka sasa!

Web3 haifungwi tena kwenye maabara za watafiti pekee. Imehamia mitaani, kwenye simu zako, kwenye apps zako, kwenye maisha yako. Leo hii, kila kijana mwenye ndoto anaweza kuwa mbunifu wa mfumo wa kiuchumi wa kesho. Lakini hiyo haitoshi – lazima uanze SASA. Maana kila siku, vipande vipya vya mfumo (Ecosystem) vinaongezwa, na nafasi ya kuleta mabadiliko inapungua.

Kwa watumiaji wa Pi Network, ambao tayari ni sehemu ya moja ya miradi ya Web3 inayokua kwa kasi duniani, habari njema ni kwamba sasa mambo yamewekwa wazi na kurahisishwa zaidi kupitia App Studio.

App Studio ni feature mpya inayozinduliwa ndani ya Pi Network – ambayo inaleta mapinduzi katika namna ya kujenga, kuunda na kuunganisha bidhaa na huduma ndani ya Pi Ecosystem. Hii ni hatua muhimu sana kwa sababu:

🎯 Inafungua mlango kwa wabunifu wa kawaida – hata usiwe developer mkubwa, unaweza kuanza.
🧠 Inawapa wanafunzi wa blockchain nafasi ya kujifunza kwa vitendo.
🏗️ Inaharakisha ujenzi wa ecosystem ya Web3 kwa kuwaunganisha watu wa aina tofauti kwenye lengo moja.
💡 Inafanya decentralization kuwa halisi, siyo theory tu.

Kwa mara ya kwanza, tunaona mradi wa blockchain ambao si tu unazungumzia decentralization, bali unairuhusu ifanyike kwa vitendo. Kwa App Studio, unaunda app yako, unaichapisha, na unaunganika moja kwa moja na mamilioni ya watumiaji wa Pi duniani – wote wakiwa na wallet zao tayari, na wanaonufaika na matumizi ya Pi k**a token halali.

Pi Network imekuwa ikikua kwa mkakati wa hatua kwa hatua. Tuliianza na mining kwa simu, tukasogea kwenye KYC, tukaanzisha Mainnet, na sasa – tuko kwenye hatua ya muhimu zaidi: Kujenga matumizi halisi ya token (utility building). App Studio ni jibu la swali lililokua linaulizwa sana: "Nitaitumiaje Pi yangu?"

Jibu ni kwamba utaanza kutumia Pi yako kwenye apps zilizojengwa kwa App Studio, zilizoundwa na watu k**a wewe – wabunifu wa kawaida lakini wenye maono makubwa.

Mabadiliko hayaendi kwa kasi ya upepo tena – yanapaa k**a umeme wa radi! Ukikaa kimya, hutakuta historia bali utasimuliwa tu. Ni wakati wako kujifunza, kushiriki, kubuni, na kuandika jina lako ndani ya mfumo wa baadaye wa kidijitali.

Na kwa wale walio ndani ya Pi Network, App Studio si tu zana – ni daraja la kufikia ndoto zako za Web3.

📌 Endelea kujifunza. Endelea kujenga. Usipitwe.

“Web3 siyo kesho, ni sasa. Ecosystem haingoji mtu. Imeanza kukimbia.”

Nimesoma na nimekubali elimu hii – hakika ni elimu ya wakati huu!-PlanXtz"Leo, huwezi ukawa mjasiriamali wa kweli, hata ...
13/06/2025

Nimesoma na nimekubali elimu hii – hakika ni elimu ya wakati huu!
-PlanXtz

"Leo, huwezi ukawa mjasiriamali wa kweli, hata mjasiriamali mtarajiwa, bila kutumia Akili Bandia (AI). Teknolojia hii sasa imekuwa k**a oksijeni kwa dunia ya kazi na biashara. Najua kampuni kadhaa ambapo ni lazima kila mfanyakazi aonyeshe jinsi anavyotumia zana za AI kila siku kazini.

CEO mmoja alinieleza kwamba ndani ya mwaka mmoja atapima wafanyakazi wote kuhusu uwezo wao wa kutumia AI, na yeyote asiyeweza kuendana atafukuzwa kazi – “ni hatari sana kuendelea kuwa nao,” alisema. Nilishangaa, lakini nilimwelewa kabisa. Hili ni jambo la dharura.

Kuna serikali moja barani Asia inapanga kuwapa raia wake wote ChatGPT bure! Hiyo ni hatua kubwa sana! Na taifa moja la Afrika tayari limeiomba Cassava AI kuibadilishia mifumo yote kuwa ya AI! Haya mambo yanatokea kwa kasi sehemu mbalimbali duniani kwa sasa.

Hivi karibuni nilimwonyesha rafiki yangu daktari jinsi AI inavyoweza kumsaidia katika uchunguzi wa wagonjwa. Alikuwa hajali sana mwanzoni, lakini alipoyaona matumizi yake, alibaki mdomo wazi!

Mtaalamu mmoja maarufu wa majukwaa ya AI kutoka Silicon Valley alinieleza kuwa jukwaa lake linalojulikana k**a Groq [si Grok ya Elon Musk!] lina watengenezaji wa programu wapatao 28,000 barani Ulaya na 20,000 barani Afrika. Idadi ya Afrika ilimshangaza hata yeye mwenyewe, maana Groq ni jukwaa la hali ya juu sana.

Hii inatufundisha kuwa kuna mambo ya ajabu yanayotokea Afrika ambayo wengi hatuyajui... Matumizi ya AI katika bara letu yameanza kuongezeka kwa kasi!

Ukweli ni kwamba: AI ipo, na hakuna mtu anayeweza kuizuia. Tunachopaswa kufanya ni kuijua, kuielewa, na kuanza kuitumia ipasavyo (na kwa mema, tunatumaini – maana watumizi wa mabaya nao wameshaanza kutumia AI kwa uovu, k**a vile !)

Siku nyingine niliwahi kushiriki “Afterthought” nikashauri watu wasome kitabu cha lazima. Sijawahi hata kumfahamu mwandishi wake binafsi, lakini kitabu hicho nimekisoma mara kadhaa! Kinaitwa “AI-Driven Leader” kilichoandikwa na Geoff Woods.

Nilichopenda kwenye kitabu hiki ni jinsi kinavyokueleza hatua kwa hatua mambo ya msingi unayoweza kufanya kwa msaada wa AI ili kuboresha kazi na biashara yako. Kwa wale “wanaojiona wajanja sana,” huenda wakadhani ni chekechea, lakini mimi siwaandikii wao... Wao wanaweza kumfuata Demis Hassabis wa DeepMind moja kwa moja, sivyo? Lengo langu ni kuwasaidia vijana wa Kiafrika waanze safari yao ya AI.

Pata nakala ya kitabu hicho. Jiandae kutumia zana mbalimbali za AI – kuna maelfu sasa, nyingine ni maalum kabisa kwa kazi maalum. Anza na zana zilizo rahisi kutumia k**a Claude, ChatGPT, Gemini, DeepSeek, au Meta [ya kampuni mama Facebook].

Kitabu pia kinaeleza namna ya kujiweka k**a “Kiongozi wa Mawazo” mwenye “Mshirika wa Mawazo.” Kinafundisha jinsi ya kuwa muwazi kimkakati katika kazi zako.

Tafadhali tumia muda kusoma “Afterthoughts” zangu leo. Je, upo wapi kwenye safari yako ya AI? Tuweke mezani tukijadili."

Ujumbe huu umetokana na maandishi ya mwandishi mashuhuri wa “Afterthoughts” – Strive Masiyiwa.

From manual coding....
09/06/2025

From manual coding....

A mind set required for all Pioneers!!
09/06/2025

A mind set required for all Pioneers!!

Weekend
__A message from a friend

Today, I will keep things very short.

My friend John Hope Bryant, who is also an author of some important books such as "Financial Literacy for All," "Up from Nothing, The Untold Story of How We (All) Succeed," and "The Memo: Five Rules for your Economic Liberation," sent me this message to share with you: https://www.instagram.com/reel/DKgBVr0MLKH/

It's a short video, but he shared this summary with me in writing:

"Self-esteem is the whole game.

Black Africans & Caribbeans often have high self-esteem but low confidence.
Black Americans? Often the reverse—high confidence, but low self-esteem.

Why? 400 years of slavery broke the spirit, not just the body.
We never healed.

If I don’t love me, I can’t love you.
If I don’t respect me, I won’t respect you.
If I don’t know my purpose, I’ll make your life hell.

We’ve got to heal to deal.

Because once we fix what’s inside, nobody can stop us."

Address


Telephone

+255678869680

Website

http://www.planx.co.tz/

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pi Network Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Pi Network Tanzania:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share