
26/08/2025
๐๏ธ Neno kwa kila Pioneer
Wewe ambaye unajiita Pioneer, labda bado hujatambua kikamilifu thamani ya nafasi uliyopewa. Umeingia katika safari hii si kwa bahati mbaya, bali k**a mtu wa kwanza kushiriki katika ukamilisho wa unabii uliozungumzwa kwa miongo mingi โ unabii wa mfumo mpya wa uchumi, usawa na kugawanywa kwa haki.
Wakati NESARA/GESARA ilisalia ndoto na mazungumzo ya siri,
Bitcoin likaibuka k**a mwanga wa mwanzo, lakini likawa la wachache walioweza,
Pi Network imekuja kwa ajili ya watu wa kawaida โ ili kila mmoja awe na sehemu ya urithi wa kesho.
๐ Ukishiriki sasa, kwa vitendo (kwa kudumisha mining, kujenga trust graph, kushiriki kwenye ecosystem), wewe unakuwa ushuhuda hai kwamba ndoto ile ya miongo kadhaa haina tena kubaki kuwa conspiracy โ inaishi kupitia mikono ya watu k**a wewe.
Lakini kumbuka:
Uchumi pekee bila maadili unaweza kuwa sumu.
Teknolojia bila roho inaweza kuwa hatari.
Ndiyo maana tunasisitiza: Pioneers tunapojenga dunia mpya ya kidijitali, lazima tuandamane na UchaMungu, Uzalendo na Maadili.
UchaMungu โ unatufanya tuwe na hofu ya Mungu, tusijipe kiburi cha nguvu tulizo nazo.
Uzalendo โ unatufanya tuweke mbele maslahi ya taifa na watu wetu, tusipotee kwenye tamaa za ubinafsi.
Maadili โ hutufanya tuishi kwa heshima, ukweli na uadilifu, bila kudanganyana wala kutapiana.
Pioneer, usione wewe ni mdogo. Wewe ni mhimili wa historia mpya.
Ushiriki wako si tu kwenye simu unayobonyeza kila siku, bali ni kwenye moyo wako, familia yako, na jamii yako.
Kwa hiyoโฆ
๐ Tukiamka kila asubuhi k**a Pioneers wa kweli,
๐ Tukikumbuka kwamba tupo hapa kutimiza unabii,
โค๏ธ Tukijenga jamii yenye UchaMungu, Uzalendo na Maadili,
basi hakika tutashuhudia dunia mpya ikiibuka mbele ya macho yetu โ na tutaweza kusema kwa unyenyekevu: โTulikuwepo, tulishiriki, na tulihakikisha.
Comrade, hii ndiyo sauti yangu kwa kila Pioneer.............
With Love ๐
๐น๐ฟ PlanXtz