Wachuo sports report

Wachuo sports report Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Wachuo sports report, Media/News Company, Dar es Salaam.

Klabu ya AZAM FC imemsajiri kiungo wa zamani wa SIMBA Sadio Kanoute
11/08/2025

Klabu ya AZAM FC imemsajiri kiungo wa zamani wa SIMBA Sadio Kanoute

MWENDO MDUNDO KWA TAIFA STARS FT: TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 2-1 πŸ‡²πŸ‡¬  MADAGASCAR12β€™β€”βš½οΈ Clement Mzize19β€™β€”βš½οΈ Clement Mzize34β€™β€”βš½οΈ Gregass
09/08/2025

MWENDO MDUNDO KWA TAIFA STARS

FT: TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 2-1 πŸ‡²πŸ‡¬ MADAGASCAR
12β€™β€”βš½οΈ Clement Mzize
19β€™β€”βš½οΈ Clement Mzize

34β€™β€”βš½οΈ Gregass

MOHAMMED HUSSEIN JR NI MWANANCHI
06/08/2025

MOHAMMED HUSSEIN JR NI MWANANCHI

MBWANA ALLY SAMATTA KUKIPIGA UFARANSANahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania,  Mbwana Samatta ametangazwa rasmi kujiunga na...
05/08/2025

MBWANA ALLY SAMATTA KUKIPIGA UFARANSA

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta ametangazwa rasmi kujiunga na Klabu ya Havre inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ufaransa πŸ‡«πŸ‡· akitokea Klabu ya POK FC iliyopo Ugiriki πŸ‡¬πŸ‡·.

Samatta ameweka rekodi ya kuwa Mchezaji wa kwanza kutokea Tanzania kusajiliwa na timu ya Ligi Kuu nchini Ufaransa.

Simba SC imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Singida Black Stars Jonathan Sowah kwa mkataba wa miak...
01/08/2025

Simba SC imethibitisha kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Singida Black Stars Jonathan Sowah kwa mkataba wa miaka miwili 2027.

ALLASANE KANTE ni Mnyama kiungo wa boli Caisedo + Enzo = Kante
30/07/2025

ALLASANE KANTE ni Mnyama kiungo wa boli

Caisedo + Enzo = Kante

KOCHA WA BOLI ATUA KWA WANANCHIAnaitwa Romain Folz (35) Kocha mpya wa Yanga,ambae alizaliwa Bordeaux,Ufaransa πŸ‡«πŸ‡·amefundi...
23/07/2025

KOCHA WA BOLI ATUA KWA WANANCHI

Anaitwa Romain Folz (35) Kocha mpya wa Yanga,ambae alizaliwa Bordeaux,Ufaransa πŸ‡«πŸ‡·

amefundisha klabu mbalimbali

βœ… 2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria πŸ‡©πŸ‡Ώ

βœ… 2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦

βœ… 2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea πŸ‡¬πŸ‡³

βœ… 2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazulu ya South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦

βœ… 2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana πŸ‡§πŸ‡Ό

βœ… 2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt πŸ‡ͺπŸ‡¬

βœ… 2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬

Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255755145700

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wachuo sports report posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share