Wachuo sports report

  • Home
  • Wachuo sports report

Wachuo sports report Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Wachuo sports report, Media/News Company, .

KOCHA WA BOLI ATUA KWA WANANCHIAnaitwa Romain Folz (35) Kocha mpya wa Yanga,ambae alizaliwa Bordeaux,Ufaransa 🇫🇷amefundi...
23/07/2025

KOCHA WA BOLI ATUA KWA WANANCHI

Anaitwa Romain Folz (35) Kocha mpya wa Yanga,ambae alizaliwa Bordeaux,Ufaransa 🇫🇷

amefundisha klabu mbalimbali

✅ 2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria 🇩🇿

✅ 2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa 🇿🇦

✅ 2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea 🇬🇳

✅ 2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazulu ya South Africa 🇿🇦

✅ 2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana 🇧🇼

✅ 2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt 🇪🇬

✅ 2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda 🇺🇬

Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL

HAKIKA USIMKATIE MTU TAMAAAFT: CHELSEA F.C 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 3-0 PARIS SAINT GERMAIN 🇫🇷⚽️ 22 Palmer                  ⚽️ 30 Palmer ...
13/07/2025

HAKIKA USIMKATIE MTU TAMAAA

FT: CHELSEA F.C 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 3-0 PARIS SAINT GERMAIN 🇫🇷
⚽️ 22 Palmer
⚽️ 30 Palmer
⚽️ 43 Pedro

Klabu ya Chelsea Mabingwa wa FIFA Club World Cup 2025

WATU WANAPIGIKA HUKU 😁😁😁HT: CHELSEA FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 3-0 PARIS SAINT GERMAIN 🇫🇷⚽️ 22" Palmer ⚽️ 30" Palmer ⚽️ 43" Pedro
13/07/2025

WATU WANAPIGIKA HUKU 😁😁😁

HT: CHELSEA FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 3-0 PARIS SAINT GERMAIN 🇫🇷
⚽️ 22" Palmer
⚽️ 30" Palmer
⚽️ 43" Pedro

Mohammed Kudus amekamilisha vipimo vya kujiunga na Tottenham Hotspur akitokea West Ham United Kwa dau la £55m.
10/07/2025

Mohammed Kudus amekamilisha vipimo vya kujiunga na Tottenham Hotspur akitokea West Ham United Kwa dau la £55m.

MADRID KALIWA HUKO ZA KUTOSHAFT: PSG 🇫🇷 4-0 🇪🇦 REAL MADRID06’—⚽️ Fabián Ruiz09’—⚽️ Ousmane Dembélé23’—⚽️ Fabian Ruiz87’—...
09/07/2025

MADRID KALIWA HUKO ZA KUTOSHA

FT: PSG 🇫🇷 4-0 🇪🇦 REAL MADRID

06’—⚽️ Fabián Ruiz
09’—⚽️ Ousmane Dembélé
23’—⚽️ Fabian Ruiz
87’—⚽️ Gonzalo Ramos

VALENTIN NOUMA AACHANA NA SIMBAValentin Nouma amekuwa mchezaji wa mfano tangu alipowasili Simba SC. 👏Tatizo kubwa? Anata...
09/07/2025

VALENTIN NOUMA AACHANA NA SIMBA

Valentin Nouma amekuwa mchezaji wa mfano tangu alipowasili Simba SC. 👏

Tatizo kubwa? Anataka kupata muda zaidi wa kucheza ili kuongeza nafasi ya kuitwa timu ya taifa ya Burkina Faso — kitu ambacho kocha hawezi kumhakikishia. 🇧🇫

Kulikuwa na nafasi ya kuongezewa mkataba, lakini Nouma ameamua kuondoka ili atafute timu atakayopata nafasi zaidi ya kucheza.

HIMID MAO MKAMI "Ninja" ametambulishwa k**a mchezaji mpya aliyesajiliwa na klabu yake ya zamani AZAM FC
09/07/2025

HIMID MAO MKAMI "Ninja" ametambulishwa k**a mchezaji mpya aliyesajiliwa na klabu yake ya zamani AZAM FC

AIR MANULA AREJEA NYUMBANIKlabu ya Azam FC imetangaza kukamilisha usajili wa Golikipa wa zamani wa Klabu ya Simba, Aishi...
09/07/2025

AIR MANULA AREJEA NYUMBANI

Klabu ya Azam FC imetangaza kukamilisha usajili wa Golikipa wa zamani wa Klabu ya Simba, Aishi Manula kwa Mkataba wa Miaka mitatu ambapo Mkataba wake utamalizika June 30,2028.

Familia na wanasoka mbalimbali wamewasili Gondomar kwenye mazishi ya Diogo Jota na André Silva.Virgil Van Dijk na Andy R...
05/07/2025

Familia na wanasoka mbalimbali wamewasili Gondomar kwenye mazishi ya Diogo Jota na André Silva.

Virgil Van Dijk na Andy Robertson wamebeba mashada ya maua yaliyosomeka namba 20 na 30, ambazo ni namba za jezi ya Diogo na André.

Klabu ya Azam FC leo imtambulisha rasmi Kocha wao Mpya Florent Ibenge ambae ameshasaini mkataba wa kuitumikia Azam FC 20...
05/07/2025

Klabu ya Azam FC leo imtambulisha rasmi Kocha wao Mpya Florent Ibenge ambae ameshasaini mkataba wa kuitumikia Azam FC 2025/2026.

Klabu ya Liverpool imeweka wazi kwamba itaendelea kuilipa mshahara Familia ya Marehemu Diogo Jota mpaka pale Mkataba wak...
05/07/2025

Klabu ya Liverpool imeweka wazi kwamba itaendelea kuilipa mshahara Familia ya Marehemu Diogo Jota mpaka pale Mkataba wake wa miaka miwili uliobakia kwenye Mkataba wake na Liverpool

Jota ambaye alifariki wiki hii alikuwa analipwa kiasi cha Shilingi Milioni 370 kwa wiki.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Sc ametoa ufafanuzi kuhusu mkataba wa kiungo Stephanie Aziz Ki na klab...
05/07/2025

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Sc ametoa ufafanuzi kuhusu mkataba wa kiungo Stephanie Aziz Ki na klabu ya Wydad Casablanca na kueleza kuwa makubaliano yao ilikuwa ni kuwatumikia Wydad kwa mkataba wa miezi mitatu.

Kamwe amebainisha kwamba mkataba huo una vipengele viwili ambapo ikiwa miamba hiyo ya Morocco itaridhishwa na kiwango chake basi watamuongezea mkataba wa miaka miwili na ikiwa vinginevyo basi atarejea Jangwani na atakuwepo kwenye mchezo wa Ngao ya Jami..

“Kwa mujibu wa makubaliano ilikuwa hadi kufikia Julai 10 Wydad wawe wameshawasiliana na Yanga Sc. K**a Wydad watakuwa wanaongeza maana yake wamalizie kiasi ambacho tulikubaliana ila k**a watasema arudi sawa arudi aje awashone maana bado amebaki na mwaka mmoja.
amesema Kamwe.

Katika hatua nyingine, Kamwe ameweka wazi kuwa tayari kocha mpya ameshatua klabuni hapo na kwa sasa anapitia 'mafaili' ya watangulizi wake kabla ya kutambulishwa rasmi na kuanza mchakato wa usajili.

Address


Telephone

+255755145700

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wachuo sports report posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share