Bongo brush

Bongo brush WELCOME TO BRASH TV
(1)

Kuwa muwazi JE unamkubali msanii yupi kati ya Mbosso Khan na Chino wanaman
17/09/2025

Kuwa muwazi JE unamkubali msanii yupi kati ya Mbosso Khan na Chino wanaman

Umemtambua nani kwenye picha hii?
17/09/2025

Umemtambua nani kwenye picha hii?

Weka neno Moja kwa wanaume Wote mabahiri
17/09/2025

Weka neno Moja kwa wanaume Wote mabahiri

Awamu hii Serikali Haimuachi salama Gigy
17/09/2025

Awamu hii Serikali Haimuachi salama Gigy

Unatumia Njia ipi kutambua yai zima na yai bovu
17/09/2025

Unatumia Njia ipi kutambua yai zima na yai bovu

Twambie unapenda nini kutoka kwa mchekeshaji Mc Mboneke
17/09/2025

Twambie unapenda nini kutoka kwa mchekeshaji Mc Mboneke

Mwanamitandao maarufu Nana Mapozi ameibuka na kumkingia kifua rafiki yake Gigy Money na kusema kuwa siyo yeye aliyeoneka...
17/09/2025

Mwanamitandao maarufu Nana Mapozi ameibuka na kumkingia kifua rafiki yake Gigy Money na kusema kuwa siyo yeye aliyeonekana kwenye video zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

''Acheni kumpaka matope bff wangu roho yangu kipenzi changu msiri wangu wabongo mnatafuta content mnapenda kuchafua us!ng us!ng wanajua kabisa wala siyo gigy yule lakini wameshupalia ujinga gigy hana tattoo kwenye begaaa tattoo yake ipo kwenye paja yule sio gigy wanamsingiziaaaa tuuuuu
'' Ameandika -Nana Mapozi

Toa maoni yako 👇🏾

DIAMOND ANATAMANI KUZAA NA MIMIMwanamitindo maarufu hapa East Africa Jasinta Makwabe [Candy Boo] ameweka wazi kuwa k**a ...
17/09/2025

DIAMOND ANATAMANI KUZAA NA MIMI

Mwanamitindo maarufu hapa East Africa Jasinta Makwabe [Candy Boo] ameweka wazi kuwa k**a akihitaji kupata mtoto na Diamond Platnumz atampata hata kesho kwani Diamond hawezi kupindua kwake.

"Hakuna mwanaume asiyevutiwa kimapenzi na mimi, hata huyo Diamond Platnumz nikimwambia nataka mtoto hawezi kuchomoa kabisa, Kuna kipindi aliniambia anatamani kupata mtoto na mimi sema sikuwa tayari kwa hilo."- Amefunguka Jasinta.

Toa maoni yako___👇🏾

Tobaaaaaaaa 😂😂😂😂🔥
17/09/2025

Tobaaaaaaaa 😂😂😂😂🔥

Zari the Boss Lady amezua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusambaa kwa video  amabyo anasikika akimuita ...
17/09/2025

Zari the Boss Lady amezua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusambaa kwa video amabyo anasikika akimuita mtoto wake Tiffa Juma.

Mashabiki wameshangazwa na jina hili la Juma kutokana na wengi wao wanaamini Tiffa anaitwa Tiffa Naseeb jina la baba yake ambaye ni Diamond Platnumz,

Mpaka sasa watu wanjiuliza Juma ni nani au Diamond Platnumz amebadili jina anajita Juma?

Tua maoni yako 👇🏾

Twambie wewe umeona nini Kwenye picha ya pacome ZOUZOUA 😂
17/09/2025

Twambie wewe umeona nini Kwenye picha ya pacome ZOUZOUA 😂

Address

Goba
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bongo brush posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share