28/10/2025
Mwanadada Halima Kaisi, mkazi wa Tanzania anayeishinchini India, amewaomba Watanzania kumsaidia ili aweze kurejea nyumbani kutokana na hali mbaya ya kiafya anayopitia kwa sasa.
Halima ameeleza kuwa amekuwa akilazwa hospitalini kwa takriban miezi mitatu, lakini hali yake bado haiko vizuri, jambo ambalo limesababisha kushindwa kutembea na kuhitaji msaada wa dharura kwa ajili ya matibabu na usafirishaji kurudi Tanzania.
Video full ipo YouTube ya Global TV
🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.