Global Publishers

Global Publishers Global Publishers & General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania

Publishers of Swahili Weekly Newspapers, namely UWAZI, IJUMAA, CHAMPIONI, SPOTI XTRA, RISASI, AMANI and IJUMAA WIKIENDA. Own Global TV Online, +255 Global Radio, Social Media and www.globalpublishers.co.tz

16/01/2026

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewak**ata watu watano kwa tuhuma za kumuua kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Hamza Malingumu Hussein (20) katika eneo la Lukobe, Manispaa ya Morogoro.

Akizungumza kuhusu tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mk**a, amesema kijana huyo aliuawa baada ya kudhaniwa kimakosa kuwa ni mwizi.

Hata hivyo, familia ya marehemu imeeleza kuwa Hamza alikuwa mgonjwa wa akili na mgeni katika eneo hilo, taarifa ambayo pia imethibitishwa na Jeshi la Polisi.

Mjomba wa marehemu, Ngwenje Mohamed, amesema Hamza, mkazi wa Wilaya ya Kilosa, aliondoka nyumbani kwa mjomba wake mwingine, Nassib Ngwenje, mkazi wa Lukobe, majira ya saa tatu usiku bila kufahamika na watu wa nyumbani, kisha akaanza kuzurura mitaani.

“Baada ya kupata taarifa kuwa amepigwa na kupoteza fahamu akidhaniwa kuwa ni mwizi, tulijaribu kumkimbiza hospitali kwa kutumia bajaji, lakini alifariki dunia akiwa njiani,” amesema Ngwenje.

Jeshi la Polisi limesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea, na kwamba hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wahusika wote mara uchunguzi utakapokamilika.

Video full ipo YouTube ya Global TV

🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.

16/01/2026

Shabiki wa Klabu ya Simba, Mustapha Simba (Mzee wa Kujichora) ameeleza kuwa Simba iliyopita ilikuwa bora kuliko Simba hii.

Video full ipo YouTube ya Global TV

🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.

16/01/2026

TUNAKUJA MASOKONI (SIMBA WA BAHARI)

Katika kuelekea Kipindi cha Mapumziko ya Wachina (Chinese New Year) Simba wa Bahari tunakuja katika Masoko yote ya Wafanyabiashara, kuwakumbusha juu ya Manufaa ya Kufanya Manunuzi China kipindi hiki, kabla ya Msimu wa Chinese New Year. TUNAKUJA! 🤝

Maelezo zaidi:

+255 746 813 813




16/01/2026

Simulizi ya Jackline Bakari Mtita ni ushuhuda wa nguvu ya matumaini. Ndoto zake zilikatika baada ya kupata ajali mbaya ya gari akiwa akirejea shuleni Rukole High School, ambapo gari alilopanda liligongana uso kwa uso na lori eneo la Ngara, Karagwe.

Jack alipata majeraha makubwa mbavu zilichomoka na kuchoma mapafu, pamoja na kuumia uti wa mgongo na kusababisha kupooza kuanzia kiunoni. Watu watatu pekee walinusurika.

Miaka mitano baadaye, Jack hakukata tamaa. Ameanzisha TUPO SAWA ORGANIZATION kuwapa matumaini walemavu na kuwathibitishia kuwa wana thamani sawa. Tarehe 14 Februari, atakutana na walemavu wengine kwa ajili ya kushirikiana na kuhamasishana.

Msaada: 📞 0757 613 388 | Tupo Sawa Organization
🏦 NMB: 23810047772 | TUPO SAWA ORGANIZATION

📌 Jackline Bakari Mtita
📷 IG: | 📘 FB: Jackz Tz
✍️ Habari:

16/01/2026

Je, unasumbuliwa na matatizo ya figo, mfumo wa mkojo au uzazi kwa wanaume k**a mawe kwenye figo, UTI inayojirudia, tatizo la mkojo kuziba, kuongezeka kwa tezi dume (BPH), saratani ya figo/kibofu/tezidume, au changamoto za mkojo kwa watoto na watu wazima?

👉 Usikae kimya. Pata tiba sahihi kutoka kwa madaktari bingwa na bobezi.

🗓 Tarehe: 26–31 Januari 2026
📍 Mahali: Hospitali ya KCMC, Moshi – Kilimanjaro

Kambi hii itahusisha madaktari bingwa na bobezi kutoka Sahyadri Hospital – Pune, India, kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa KCMC, chini ya uratibu wa Tanlink Medical Tourism Agency.

🔎 Huduma zitajumuisha:

Magonjwa ya figo na mfumo wa mkojo (kwa watoto na watu wazima)

Matatizo ya mfumo wa uzazi kwa wanaume (ikiwemo tezi dume na nguvu za kiume)

Ushauri, uchunguzi wa kitaalamu na mpango sahihi wa matibabu

📝 Jinsi ya Kujisajili:

Hospitali ya KCMC – Moshi, au

Ofisi za Tanlink Medical Tourism Agency, Dar es Salaam (Ilala, Posta Mpya, Mtaa wa India & Kisutu, Jengo la Haidery Plaza – Ghorofa ya Pili).

📞 Wasiliana nasi:
0744 735 770 | 0711 98 98 38

16/01/2026

Msanii wa Nigeria, Davido, ameripotiwa kumvunja moyo binti aitwaye Anu Adeleke, ambaye amezua gumzo mitandaoni baada ya kudai anahitaji kufanyiwa kipimo cha DNA na Davido ili kubaini k**a yeye ndiye baba yake mzazi au la.

Video full ipo YouTube ya Global TV

🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.

16/01/2026

Silent Ocean leo asubuhi imezungumza na wanahabari kuwakumbusha wafanyabiashara kuchukua hatua mapema kwa kuagiza mizigo yao kupitia kampuni hiyo, ili kuwahi Mwaka Mpya wa Kichina unaotarajiwa kuanza tarehe 12 Februari.

Katika kipindi hicho, maduka na viwanda nchini China hufungwa kwa takribani mwezi mmoja, hali ambayo husababisha ucheleweshaji mkubwa wa mizigo.

Kwa kuagiza mapema, wafanyabiashara watakuwa katika nafasi nzuri ya kuwahi bidhaa kwa sikukuu zijazo za Eid na Pasaka bila usumbufu.

Aidha, Silent Ocean imetangaza ratiba ya meli zinazotoka Foshan, China kuja Tanzania k**a ifuatavyo:
• Tarehe 22, 26 na 30 mwezi huu wa kwanza
• Tarehe 1 na 6 mwezi unaofuata

16/01/2026

Global Publishers

16/01/2026

Global Publishers

16/01/2026

Global Publishers

16/01/2026

Global Publishers

16/01/2026

Ulinzi ulivyoimarika katika ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Peter Magoti alivyofika kukabidhi mifuko 100 ya Saruji katika msikiti wa Kiluvya.

Video full ipo YouTube ya Global TV

🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.

Address

P. O. Box 7534
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 19:00

Telephone

+255719401968

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Global Publishers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Global Publishers:

Share

HAKUNA KILICHO BORA K**A KUNYWA MAZIWA NIYAPENDAYO

Ongeza cowbell, punguza matatizo, watoto uwa na furaha zaidi baada ya kunywa maziwa Bora ya cowbell. Maziwa Bora yenye mafuta yatokanayo na mimea. Sisitiza Cowbell 1kg , kwa matumizi ya familia yako. Ni wajibu wetu kukupatia ufahamu katika maswala mbalimbali, tuunge mkono kwa kunywa maziwa Bora ya @cowbelltanzania.