East Africa Hit Music

East Africa Hit Music Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from East Africa Hit Music, Social Media Agency, Dar es salaam, Dar es Salaam.

Mwanamke mmoja raia wa Kenya aliyetambulika kwa jona la Margaret Nduta Macharia (37), aliyek**atwa mwaka 2023 nchini Vie...
16/03/2025

Mwanamke mmoja raia wa Kenya aliyetambulika kwa jona la Margaret Nduta Macharia (37), aliyek**atwa mwaka 2023 nchini Vietnam na dawa za kulevya kilogramu mbili za Co***ne, anatarajiwa kunyongwa hadi kufa kesho Jumatatu Machi 17, 2025.

VN Express inaripoti kwamba Nduta, 37, alikuwa ameajiriwa na mwanamume mmoja nchini Kenya kusafirisha koti hadi Laos, nchi iliyoko Kusini-mashariki mwa Asia. Aliagizwa kupeleka mizigo kwa mwanamke huko Laos na kurudi na 'bidhaa' ambazo hazijatajwa.

Pia, taarifa hiyo inaeleza kuwa alifanikiwa kupita katika viwanja vitatu vya ndege bila kuk**atwa, kabla ya kugundulika Vietnam. Viwanja hivyo ni; Jomo Kenyatta (Kenya), Bole (Ethiopia) na Hamad (Qatar).

Hata hivyo, Margaret akijitetea mahak**ani nchini Vietnam alidai hakufahamu k**a mzigo ule ulikuwa ni dawa za kulevya.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Vietnam, Margaret atakula chakula chake cha mwisho kesho saa 1:30 usiku na kisha kunyongwa saa 2:30 za usiku.

Sheria ya Vietnam inasema nini kuhusu hukumu ya kifo?

Siku ya Alhamisi, Machi 6, mahak**a ya Watu wa Jiji la Ho Chi Minh ilimhukumu kifo Nduta, ikiimarisha sera ya Vietnam ya kutovumilia kabisa makosa yanayohusiana na dawa za kulevya.

Chini ya mfumo wa kisheria wa nchi, watu wanaopatikana na hatia ya ulanguzi wa dawa za kulevya wanakabiliwa na baadhi ya adhabu kali zaidi duniani, ikiwa ni pamoja na kifungo cha muda mrefu au adhabu ya kifo, kulingana na ukubwa wa uhalifu.

Baada ya hukumu ya kifo kutolewa nchini Vietnam, mfumo wa kisheria hutoa mchakato wa mapitio ya kina kabla ya kutekelezwa. Kwa kawaida, kesi huchunguzwa kwa mara ya kwanza na Mahak**a ya Juu ya Watu na Utawala Mkuu wa Watu, ambayo ina hadi miezi miwili kutathmini rufaa yoyote ya kipekee.

Tena, mtu aliyepatikana na hatia ana siku saba za kumwomba Rais wa Taifa amuhurumie. Juhudi hizi zisipofaulu, utekelezaji umeratibiwa, ingawa ratiba ya matukio inatofautiana kulingana na mambo ya kisheria na maelezo mahususi ya kesi.

Credit by

13/10/2024
14/08/2024

Uyu muntu natanguye kumubona kumbuga nyishi baguma bamupostinga ncantora akanya ko kumutohoza nsanga nagahomeramunya 🤔 irabire nawe ngaha ugire like 👍 na share nabandi bamenye ukuri :,👇👇👇👇
https://youtu.be/wQYXzQ-C1yk?si=skjSPE2e6kDk5pm1

30/07/2024
14/07/2024
Congratulations my boss
05/07/2024

Congratulations my boss

IBURAMBI MUHIRA NIMBA ATANZIGO GIRA SHERE NA JAIME KUKO NITERAMBERE RYA TWESE NUWAMBERE AFISE VIEW NA SUBSCRIBE Iburambi fans

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Jeff Shaku Shaku, Ntakirutimana Samweri
19/06/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Jeff Shaku Shaku, Ntakirutimana Samweri

Penzi  lipya
17/06/2024

Penzi lipya

Hatutaki shoboo

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when East Africa Hit Music posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share