Nguvu ya Buku😊
Japo kwenye masoko makubwa kabisa unaweza ukakipata hata kwa Tshs. 500.
#kitchenhacks #kitchentips #lolojikoni #tanzania🇹🇿
Nguvu ya Buku😊
Japo kwenye masoko makubwa kabisa unaweza ukakipata hata kwa Tshs. 500.
#kitchenhacks #kitchentips #lolojikoni #tanzania🇹🇿
Nyama ya Kukaanga
Ukishapatia kuchemsha nyama basi unaenjoy sana! Chemsha nyama na mchanganyiko wa viungo vibichi hasa ukiwa na Green Paste ya @lina_organic_products ni 🔥. Ongezea chumvi na katia kitunguu maji👌
Nyama hii ya kukaanga simple sana unaweza kula na chipsi, wali au ugali💯
#lolojikoni #beef #easyrecipe #kitchentips #mapishi #tanzania
Na hili joto, uipate ikiwa ya baridiii😊. Utaenjoy sana💯. Badala ya kuweka tangawizi, unaweza weka iliki kama utapenda.
#lolojikoni #tamarindjuice #ukwaju #juicewrld #tanzania
Na hili joto, uipate ikiwa ya baridiii😊. Utaenjoy sana💯. Badala ya kuweka tangawizi, unaweza weka iliki kama utapenda.
#lolojikoni #tamarindjuice #ukwaju #juicewrld #tanzania
Hii nayo ni Tamuu😋. Haya tupeane ideas nyingine za snacks za chap chap, Wababa waenjoy😊
#lolojikoni #snackideas #mayaipasua #eggs #easyrecipe
Leo nimeandaa vuruga ya Ndizi mzuzu na Nyama ya ng'ombe...Utamu wa hii kitu ni 🔥💯
Unaweza tumia soseji badala ya nyama ya ng'ombe.
#lolojikoni #foodie #easyrecipe #plantain #tanzania
Hii nayo imeenda Group of Schools🥪😋
Unaweza kula kama breakfast au snack😊
-
Kama una watoto pia unaweza waandalia hii Peanut Butter & Banana Toast, natumaini wataipenda sana.
#toast #breadlover #breakfastideas #lolojikoni #tanzania🇹🇿
Yummy Maandazi😋
Unga wa ngano - 500g/ Vikombe 4
Sukari - ½ Kikombe
Baking Powder - Kijiko kidogo 1
Iliki ya unga - Kijiko kidogo 1
Chumvi - ¼ Kijiko kidogo
Hamira - 11g/ Kijiko kikubwa 1
Maji ya vuguvugu - ¾-1 Kikombe
✅️ Umusha hamira kwa maji ya vuguvugu robo kikombe na sukari kijiko kidogo kwa dk 3-5 utaona imefura.
✅️ Weka maji kidogo kidogo wakati wa kukanda.
#lolojikoni #maandazi #swahilifood #swahilisnacks #tanzania🇹🇿
Yummy Maandazi😋
Unga wa ngano - 500g/ Vikombe 4
Sukari - ½ Kikombe
Baking Powder - Kijiko kidogo 1
Iliki ya unga - Kijiko kidogo 1
Chumvi - ¼ Kijiko kidogo
Hamira - 11g/ Kijiko kikubwa 1
Maji ya vuguvugu - ¾-1 Kikombe
✅️ Umusha hamira kwa maji ya vuguvugu robo kikombe na sukari kijiko kidogo kwa dk 3-5 utaona imefura.
✅️ Weka maji kidogo kidogo wakati wa kukanda.
#lolojikoni #maandazi #swahilifood #swahilisnacks #tanzania🇹🇿
Happy New Week Wapendwa😊
-
Popcorn/Bisibisi za Sukari;
Mahindi - ½ Kikombe
Chumvi - ½ Kijiko Kidogo
Sukari - Vijiko 2 vikubwa
Mafuta - Vijiko 2 vikubwa
✅️ Chumvi si lazima ila napenda ladha ya chumvi na sukari pamoja.
Kama hupendi sukari basi weka chumvi kijiko kidogo kimoja ila kisijae sana.
✅️ Chagua mahindi yako, kama yana vumbi yaoshe na uache maji yakauke.
✅️ Kaanga mahindi, mafuta na chumvi kwa moto wa wastani.
✅️ Ikianza ku-pop moja weka sukari na uwe unachanganya kwa kuzungusha sufuria ili sukari isiungue na popcorn zote zipate sukari.
#popcorn #snack #foodie #lolojikoni #tanzania🇹🇿