Lolo Jikoni

Lolo Jikoni ✝️ Walking in Grace
❤️ Exploring Food & Everyday Life
🍳 Easy Recipes & Smart Kitchen Tips

11/06/2026

Ila 😂😂

Kwa watakaopenda kununua recipe e-book ya Pika na Lolo;

💰 BEI YAKE NI: TZS 20,000 TU

📌 JINSI YA KUPATA E-BOOK:
1. Tuma malipo kupitia Mixx by Yas: 0717-475187. Jina litakuja Glory Lema.
2. Tuma ujumbe wa malipo + email address yako kwenye namba hiyo hiyo.
3. Utatumiwa e-book kupitia Google Drive (view-only)

🎁 BONUS:
Kila atakayenunua ataingia kwenye community ya kipekee kwenye WhatsApp ambapo nitakuwa nashare:
✨ Tips & tricks zaidi
✨ Feedback ya mapishi
✨ Content za kipekee

10/06/2026

Wanasema life is spiritual ehh?
Haya, Mimi leo sina caption ya hii video, naomba nyie watu wangu mnipatie caption nzuri kwenye comments🤭.

Mwenye caption yenye likes nyingi atajishindia kitabu hiki chenye mapishi zaidi ya 25 (vitafunwa, vinywaji, saladi na mapishi mengine mengi ya kila siku).

Kwa watakaopenda kununua recipe e-book ya Pika na Lolo;

💰 BEI YAKE NI: TZS 20,000 TU

📌 JINSI YA KUPATA E-BOOK:
1. Tuma malipo kupitia Mixx by Yas: 0717-475187. Jina litakuja Glory Lema.
2. Tuma ujumbe wa malipo + email address yako kwenye namba hiyo hiyo.
3. Utatumiwa e-book kupitia Google Drive (view-only)

🎁 BONUS:
Kila atakayenunua ataingia kwenye community ya kipekee kwenye WhatsApp ambapo nitakuwa nashare:
✨ Tips & tricks zaidi
✨ Feedback ya mapishi
✨ Content za kipekee

10/06/2026

Sio kila siku mnakula nyama nyumbani, mpaka watoto waanze kukataa chakula kisa hamna nyama🤭…. Msinipopoe jamani, mimi ni mjumbe tu😂

Halafu hizi sufuria nilipewa na Mama yangu, zina miaka karibia 10. Sasa, hizi sufuria zinazouzwa siku hizi, nzuri nzuri…ni za kudumu kweli, au hela yangu nifanyie mambo mengine😂😂😂

Wapenda viporo Hiiiiii👋🏼😂Chakula gani kingine kinanoga zaidi ukila baadae au kesho yake?
06/06/2026

Wapenda viporo Hiiiiii👋🏼😂
Chakula gani kingine kinanoga zaidi ukila baadae au kesho yake?

01/06/2026

MY FIRST RECIPE E-BOOK IS HERE 🥹🍽️✨

Baada ya maombi mengi, hatimaye naleta recipe e-book yangu iliyojaa kila kitu unachohitaji kujifunza na kuboresha mapishi yako❤️

Ndani yake utapata:
🍛 Vyakula vya Kiswahili & mapishi ya kila siku
🥗 Saladi & juisi fresh
🍰 Keki & vitu vitamu
🍢 Bites & snacks rahisi

Iwe wewe ni beginner au unatafuta ideas mpya jikoni… hii ni kwa ajili yako 👩🏽‍🍳🔥

💰 BEI YA UZINDUZI: TZS 20,000 TU

📅 UZINDUZI RASMI: Kesho (02/06/26) saa 1:00 usiku (7:00 PM). Unaweza kufanya PRE-ORDER kuanzia sasa!

📌 JINSI YA KUAGIZA:

1. Tuma malipo kupitia Mixx by Yas: 0717-475187. Jina litakuja Glory Lema.
2. Tuma ujumbe wa malipo + email address yako ya gmail
3. Utatumiwa e-book kupitia Google Drive (view-only)

🎁 BONUS:
Kila atakayenunua ataingia kwenye community ya kipekee kwenye WhatsApp ambapo nitakuwa nashare:
✨ Tips & tricks zaidi
✨ Feedback ya mapishi
✨ Content za kipekee

Hii sio recipe book tu… ni experience kamili ya kupika 💛

Uko tayari kupika na mimi?

27/05/2026

Happy Eid Faves💕

🎉 Facebook recognised me as a top rising creator this week!
26/05/2026

🎉 Facebook recognised me as a top rising creator this week!

23/05/2026

Hauhitaji nyama kuenjoy mchuzi mtamu☺️
Na Royco Mchuzi Mix ndio star of the dish…utajilamba nakuambia😋🤣👌🏼

🇹🇿

03/01/2026

Ukifika kwa ndugu, jiko linakuhusu k**a mimi au nikuache wewe ni mgeni rasmi😂🙊

Viungo vya ni muhimu, uzuri hadi kijijini kabisa viungo hivi unavipata. Ni Royco Sotojo Cube na Royco Mchuzi Mix, ladha k**a zoteee👌🏼😋

mapishi yako,

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lolo Jikoni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share