Lolo Jikoni

Lolo Jikoni Simplifying Cooking and Home Management

🏠🌽😊-
18/06/2025

🏠🌽😊
-

Simple and Yummy Breakfast😋👌1. Andaa soseji, mayai na mkate kwa kukata sehemu ya katikati (utatumia kwa matumizi mengine...
29/05/2025

Simple and Yummy Breakfast😋👌
1. Andaa soseji, mayai na mkate kwa kukata sehemu ya katikati (utatumia kwa matumizi mengine mf. toast, sandwich)

2. Kwa moto wa wastani, anza kuweka mafuta kwenye frying pan, kisha utaweka mkate na kupanga vipande vya soseji.

3. Mimina mayai hapo kati, yakianza kukauka, utageuza na upande wa pili ukaushe.

Enjoy😊

Utapiga vingapi hapo vya chap chap?-Darasa la Christmas Cooking Class linaendelea na bado napokea usajili. Kwa Tshs. 20,...
28/11/2024

Utapiga vingapi hapo vya chap chap?
-
Darasa la Christmas Cooking Class linaendelea na bado napokea usajili. Kwa Tshs. 20,000 unasoma mapishi zaidi ya 20. Angalia pinned post kuona menu.

Malipo na Mawasiliano: 0717 475-187...Jina ni Glory Lema

Sausage Pops😋Hii ni snack nzuri sana na rahisi kuandaa. Zinafaa sana ukiwa una wageni au wikiendi ukaenjoy na familia.Co...
14/11/2024

Sausage Pops😋
Hii ni snack nzuri sana na rahisi kuandaa. Zinafaa sana ukiwa una wageni au wikiendi ukaenjoy na familia.

Comment neno 'snack' nikutag kwenye video inayoonyesha namna ya kuziandaa.

Ginger Ale🍹Na joto hili upate ikiwa ya bariidiiii🔥💯-Hiki kinywaji kipo kwenye darasa la mapishi la Christmas. Imagine wa...
08/11/2024

Ginger Ale🍹
Na joto hili upate ikiwa ya bariidiiii🔥💯
-
Hiki kinywaji kipo kwenye darasa la mapishi la Christmas. Imagine wageni wanakuja kukutembelea unawapatia Ginger Ale. Classic and Different 😍👌

Darasa ni la online (App ya Telegram) na litaanza tarehe 15.11.2024 kwa Ada ya Tsh. 20,000 tu. Lipia kwa ofa ya Tshs. 18,000 kabla ya tarehe 10.11.2024.

Malipo ni kwenda Tigopesa: 0717475187 - Glory Lema.
Call/WhatsApp: 0717-475187

Mkate na parachichi peke yake huwa tamu, sasa ukiongezea na mayai ndio inakuwa 🔥. Good Morning 😊
05/11/2024

Mkate na parachichi peke yake huwa tamu, sasa ukiongezea na mayai ndio inakuwa 🔥. Good Morning 😊

Tangu nifahamu kuhusu Rosemary, nilipenda sana hichi kiungo na nikaamua kupanda nwenyewe. Mara ya kwanza mche ulikufa😂🙆🏽...
28/10/2024

Tangu nifahamu kuhusu Rosemary, nilipenda sana hichi kiungo na nikaamua kupanda nwenyewe. Mara ya kwanza mche ulikufa😂🙆🏽 Ila hii mara ya pili naona matokeo ni mazuri japo unachukua muda sana kukua ila unavyochanua na kutoa harufu nzuri unazidi kunipa moyo wa kusubiri.
-
December ni mambo ya choma choma, rosemary tea, rosemary garlic potatoes...ni balaa🔥
-
Unaweza ukapanda mint na giligilani na by December unavuna vizuri tu maana zenyewe hukuwa haraka.
-
Pia nimeaandaa darasa la mapishi la X-mas Cooking Class linaloanza 15/11/2024. Jisajili mapema upate punguzo. Maelekezo yote angalia pinned post. Karibu

🇹🇿

24/10/2024

Ukishapatia kuchemsha nyama basi unaenjoy sana! Chemsha nyama na mchanganyiko wa viungo vibichi hasa ukiwa na Green Paste ya ni 🔥. Ongezea chumvi na katia kitunguu maji👌

Nyama hii ya kukaanga simple sana unaweza kula na chipsi, wali au ugali💯

Breakfast Potatoes😋💯Mahitaji:Mafuta, Viazi, Vitunguu Maji, Pilipili Manga, Swaumu ya Unga/Mbichi, Chumvi na Mixed Herbs ...
11/10/2024

Breakfast Potatoes😋💯

Mahitaji:
Mafuta, Viazi, Vitunguu Maji, Pilipili Manga, Swaumu ya Unga/Mbichi, Chumvi na Mixed Herbs ya

Ukitaka nikutag kwenye video ya namna ya kuandaa just comment 'Viazi'😅

08/10/2024

Hii nayo ni Tamuu😋. Haya tupeane ideas nyingine za snacks za chap chap, Wababa waenjoy😊

13/09/2024
Leftovers for Breakfas😋. Spaghetti, Beef Skewer, Sautee Potatoes, Beans with Sausages. Only potatoes have been made fres...
07/09/2024

Leftovers for Breakfas😋. Spaghetti, Beef Skewer, Sautee Potatoes, Beans with Sausages. Only potatoes have been made fresh.

Happy Saturday ❤️

🇹🇿

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Lolo Jikoni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share