12/01/2026
πβ¨ Zimebaki siku 35 kufika mwezi mtukufu wa Ramadhan 1447H/2026.
Tunaendelea kujiandaa kwa kipindi cha baraka, rehema na msamaha.
Ψ§ΩΩΩΩ
Ψ¨ΩΨΊΩΨ§ Ψ±Ω
ΨΆΨ§Ω π€²π
Ungana nasi Africa TV 2 kupitia Azam TV β Channel 457 kwa matangazo na vipindi maalum vya kuelekea Ramadhan.