Africa TV2 TZ

Africa TV2 TZ Link ya kujiunga Diploma ya Sharia ya Kiislam
https://africaacademy.com/sw/?page_id=4745&lang=sw

16/08/2025

🔴 ;KIPINDI - ULIZA UJIBIWE NDANI YA AFRICA TV2 - 16/8/2025

16/08/2025

“Zaka inalenga kujenga nguvu za kiuchumi kwa wanajamii” 🎤SHEIKH HAJI MRISHO LUBIBI

Leo Jumamosi, 16 Agosti 2025, Baytul-Mal (Mfuko wa Zaka) imetoa msaada wa zaka kwa walengwa wa makundi mbalimbali ya kijamii, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuunga mkono juhudi za kupambana na umasikini nchini. Tukio hili limefanyika katika ukumbi wa Luminous International School, iliyopo Masjid Kisumu, Magomeni Mikumi.
Msaada huu wa zaka wa jumla ya TZS 10 milioni umetolewa kwa walengwa 20 waliopatikana kupitia uchambuzi wa vigezo vya Shariah. Kila mlengwa amepatiwa TZS 500,000 ili kusaidia mahitaji muhimu k**a vile chakula, afya, elimu na miradi midogo ya kujikimu.
Makundi ya walengwa ni pamoja na:
1, Wahitaji katika kujiendeleza kiuchumi
2, Wahitaji katika kulipia gharama za elimu
3, Wagonjwa
4, Wenye madeni na
5, Wenye ulemavu

16/08/2025

🔴 ;KIPINDI - JIFUNZE QUR'AN [WARATIL] NDANI YA AFRICA TV2 - 16/8/2025

16/08/2025

“ZAKA INASAFISHA MALI NA INAMSAFISHA MMILIKI WA MALI”

Jumamosi, 16 Agosti 2025, Baytul-Mal (Mfuko wa Zaka) imetoa msaada wa zaka kwa walengwa wa makundi mbalimbali ya kijamii, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuunga mkono juhudi za kupambana na umasikini nchini. Tukio hili limefanyika katika ukumbi wa Luminous International School, iliyopo Masjid Kisumu, Magomeni Mikumi.

Msaada huu wa zaka wa jumla ya TZS 10 milioni umetolewa kwa walengwa 20 waliopatikana kupitia uchambuzi wa vigezo vya Shariah. Kila mlengwa amepatiwa TZS 500,000 ili kusaidia mahitaji muhimu k**a vile chakula, afya, elimu na miradi midogo ya kujikimu.

Makundi ya walengwa ni pamoja na:

1, Wahitaji katika kujiendeleza kiuchumi

2, Wahitaji katika kulipia gharama za elimu

3, Wagonjwa

4, Wenye madeni na

5, Wenye ulemavu

📖✨ Jifunze Qur'an LIVE!Ungana nasi Leo Tarehe 16 Agosti 2025 kuanzia Saa 11 - 12 Jioni kupitia Africa TV 2 kwenye Azam T...
16/08/2025

📖✨ Jifunze Qur'an LIVE!
Ungana nasi Leo Tarehe 16 Agosti 2025 kuanzia Saa 11 - 12 Jioni kupitia Africa TV 2 kwenye Azam TV Channel 457.
Mwenyeji wako: Sheikh Ali Asaa Ali 🕌

📺 Usikose — tuzidishe maarifa na nuru ya Qur’an pamoja 🌙

16/08/2025

“MSIKITI WA VETENARI KWA SHEIKH KISHKI KUVUNJWA LEO AGOSTI 16,2025”

Ameyasema hayo sheikh nurdin kishki wakati akitoa khutba Ya Ijumaa jana Tarehe 15/08/2025 katika msikiti huo Masjid Ihsaan uliopo vetenary Temeke Na Kuanza Kufanyiwa Maboresho Upya .

👉 "Africa TV – Muongozo wa maisha"

16/08/2025

“WATU WASIACHE KUSWALIA JENEZA KUNA FADHILA KUBWA”

🎤SHEIKH IBRAHIM GHULAAM
👉 "Africa TV – Muongozo wa maisha"

16/08/2025

🔴 ; ASUBUHI NJEMA JUMAMOSI NDANI YA AFRICA TV2 - 16/8/2025

22 Safar 1447 Hijria | 16 Agosti 2025   : ni jina lililokusanya kila kinachopendwa na kuridhiwa na Allah katika matendo ...
16/08/2025

22 Safar 1447 Hijria | 16 Agosti 2025

: ni jina lililokusanya kila kinachopendwa na kuridhiwa na Allah katika matendo na kauli, ya dhahiri na ya siri.

Ibada haizingatiwi kuwa ni ibada mpaka ifanywe kwa ajili ya Allah pekee na kutafuta radhi zake na ichukuliwe kwa Mtume - rehema na amani ziwe juu yake - kwani yeye ndiye mjuzi zaidi wa lipi linapendwa na kuridhiwa na Allah Mtukufu.

Kufanya pamoja na kumtegemea Allah katika kupata manufaa (maslahi) na kuepukana na madhara ni sababu ya kupata furaha ya duniani na akhera (milele) na kuepukana na shari zote.

Alhamdulillah! Tuna sababu zaidi ya 130,000 za kutabasamu, na wewe ni miongoni mwao..Tunawashukuru wafwatiliaji wetu wot...
15/08/2025

Alhamdulillah!

Tuna sababu zaidi ya 130,000 za kutabasamu, na wewe ni miongoni mwao..

Tunawashukuru wafwatiliaji wetu wote 130,000 katika ukurasa wetu wa Facebook. Ahsanteni sana kwa kuwa pamoja basi katika safari hii.. 🥳

15/08/2025

“BABA NA MAMA WANAWAJIBIKA KTK JUKUMU LA MALEZI WANAPOACHANA”

🎤SHEIKH RAMADHAN KWANGAYA
👉 "Africa TV – Muongozo wa maisha"

15/08/2025

🔴 ; KUTOKA MIMBARINI NA ISSA NGUCHUKI NDANI YA AFRICA TV2 - 15/8/2025

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Africa TV2 TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Africa TV2 TZ:

Share