Bartazari funs page

Bartazari funs page welcome to your page i choose you before you chose me

๐—ฅ๐—”๐—ฆ๐— ๐—œ : ASEC Mimosas  Ndio timu ya kwanza kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Africa. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ
21/12/2023

๐—ฅ๐—”๐—ฆ๐— ๐—œ : ASEC Mimosas Ndio timu ya kwanza kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Africa. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ

...๐Ÿ” | ๐— ๐—”๐—ญ๐—˜๐— ๐—•๐—˜ ๐—ข๐—ก ๐—ง๐—ข๐—ฃKwenye kundi la kifo TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ amekwea kileleni ๐Ÿ” ๐—™๐˜‚๐—น๐—น๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฒ :๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids  0 - 1  Mamelodi ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ T...
21/12/2023

...๐Ÿ” | ๐— ๐—”๐—ญ๐—˜๐— ๐—•๐—˜ ๐—ข๐—ก ๐—ง๐—ข๐—ฃ

Kwenye kundi la kifo TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ amekwea kileleni ๐Ÿ”

๐—™๐˜‚๐—น๐—น๐˜๐—ถ๐—บ๐—ฒ :

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids 0 - 1 Mamelodi ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ TP Mazembe 2 - 0 Nouadhibou ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท

๐—š๐—ฟ๐—ผ๐˜‚๐—ฝ (๐—”)

1. ๐ŸŸ๏ธ 4 โšฝ +2 ๐Ÿ…ฟ๏ธ 7 โ€” TP Mazembe ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ
2. ๐ŸŸ๏ธ 4 โšฝ +3 ๐Ÿ…ฟ๏ธ 7 โ€” Mamelodi ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
3. ๐ŸŸ๏ธ 4 โšฝ - 3 ๐Ÿ…ฟ๏ธ 4 โ€” Nouadhibou ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ท
4. ๐ŸŸ๏ธ 4 โšฝ - 2 ๐Ÿ…ฟ๏ธ 4 โ€” Pyramids ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ

๐—ฅ๐—ฒ๐—บ๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฟ :

TP Mazembe anakaa juu ya Mamelodi kutokana na head to head, alimpasua Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ

Kanuni mpya ya CAF inaanggalia head to head kabla ya Goal reference.

Exactly
21/12/2023

Exactly

MFAHAMU KOUASSI ATTOHOULA.๐ŸŸ Jina kamili: KOUASSI ATTOHOULA.โ™ŽWatu wa nyumbani kwao wanapenda kumuita kwa jina la KOUASSI A...
21/12/2023

MFAHAMU KOUASSI ATTOHOULA.

๐ŸŸ Jina kamili: KOUASSI ATTOHOULA.

โ™ŽWatu wa nyumbani kwao wanapenda kumuita kwa jina la KOUASSI ATTOHOULA YAO.

โ™ŠRaia wa Ivory coast...Alizaliwa Anyama,Ivory coast
mnamo Dec 20,1996 (LEO BIRTHDAY YAKE) (Age 27)

๐ŸŸกAna urefu wa 1.68m.

โ™ŽWakala :VV Consulting.

โฌ› Nafasi anayochezea ni beki wa kulia... Nafasi nyingine anayoweza kucheza ni beki wa kushoto/winga.

Alianza maisha ya soka kwenye akademi ya Mimosas na kuitumikia akademi hiyo kwenye vikosi vya U17 na U19.

โœ…Julai 1,2017 akasajiliwa na klabu ya Williamsville ya nchini humo akitumikia kwa miaka miwili.
โœ…Akauzwa kwenda klabu ya O.Khouribga ya nchini Morocco Jan 16,2019 aliitumikia kwa miezi 6 kisha akatolewa kwa mkopo kwenda kwenye klabu ya Kawkab Marrak mnamo Julai 17,2019.

โœ… Mnamo Sep 15,2019 baada ya mkataba wa mkopo kuisha alirejea kwenye klabu yake ya O.Khouribga.
Na mkataba wake ndani ya klabu hiyo uliisha miezi miwili baade.

โœ…๐ŸŸกNdipo akajiunga tena na klabu ya Asec Mimosas ya Wakubwa Nov 9,2020.

Akiwa ligi ya Morocco alicheza mechi 9 na kufunga goli 1.

๐ŸŸจAug 27 mwaka jana akiwa na umri wa miaka 25,miezi 8 na siku 7 alicheza mchezo wake wa kwanza kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast chini ya kocha Jean Louis Gasset.
Mpaka sasa ameichezea hiyo ya taifa (michuano ya CHAN,na timu ya taifa ya pamoja) michezo 6.

โ™ŠAliwahi kuwa beki bora wa msimu wa ligi kuu Ivory Coast 2021/22.
๐ŸŸข Alikuwa miongoni kwa walioiunda kikosi bora cha msimu ligi kuu ya Ivory Coast kwenye msimu wa 2021/22 na msimu uliopita wa 2022/23

๐Ÿ†๐Ÿ† Mshindi wa Makombe mawili ya Ligi kuu Ivory Coast
๐Ÿ†๐Ÿ† Mshindi wa Makombe mawili ya FA.

HAPPY BIRTH DAY BEKI WA KUPANDA NA KUSHUKA.

KLABU YA EL BAYADH YAPATA AJALIKipa Zakaria Bouziani  wa klabu ya Algeria ya  Mouloudia El Bayadh,naibu kocha Khaled Mof...
21/12/2023

KLABU YA EL BAYADH YAPATA AJALI

Kipa Zakaria Bouziani wa klabu ya Algeria ya Mouloudia El Bayadh,naibu kocha Khaled Moftah na wachezaji wengine wanne wamefariki baada ya basi lao kuhusika kwenye ajali ya barabarani

Klabu hiyo ilikuwa safarini kucheza dhidi ya JS Kabylie Club..

RIP TEAM MATE

21/12/2023

Holiday seasons

Yanga wasijisifie sana wamekutana na Medeama ambayo imechoka wanatakiwa kujiandaa vizuri na michezo miwili ya mwisho k**...
20/12/2023

Yanga wasijisifie sana wamekutana na Medeama ambayo imechoka wanatakiwa kujiandaa vizuri na michezo miwili ya mwisho k**a hawatafanya hivyo wanaweza washindwe kufuzu kwenda robo fainali

Kwenye mechi nne (4) hadi sasa klabu bingwa Afrika, Sankara Karamoko amefunga magoli manne na assist moja! Huyu Kijana a...
20/12/2023

Kwenye mechi nne (4) hadi sasa klabu bingwa Afrika, Sankara Karamoko amefunga magoli manne na assist moja! Huyu Kijana ana wastani mzuri mno wa kufunga goli kila mechi, dhidi ya Jwaneng Galaxy amecheza dakika tano (5) tu na kufunga goli moja.

Licha ya kucheza dakika 89 tu kwenye mechi nne hadi sasa za hatua ya makundi kwenye michuano ya CAF amefunga mabao 4 na kutoa assist moja (1). Simba na yanga muhakikishe mnamnasa hyu mtu kwaharaka kwaajili ya mashindano y kimataifa.

Bartazari funs page .. โš”๏ธ | ๐— ๐—ข๐—ž๐—ช๐—˜๐—ก๐—”, ๐— ๐—”๐—ฌ๐—˜๐—Ÿ๐—˜ Kocha wa klabu ya Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ baada ya ushindi (0-1) dhidi ya Pyram...
20/12/2023

Bartazari funs page
.. โš”๏ธ | ๐— ๐—ข๐—ž๐—ช๐—˜๐—ก๐—”, ๐— ๐—”๐—ฌ๐—˜๐—Ÿ๐—˜

Kocha wa klabu ya Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ baada ya ushindi (0-1) dhidi ya Pyramids.

"Fiston Mayele alifikiri tunacheza mpira wa miguu Twitter. // Fiston Mayele thinks we play football on twitter."

ยฉ๏ธ Rulani Mokwena
Please follow my page for more details

Kwenye mechi nne (4) hadi sasa klabu bingwa Afrika, Sankara Karamoko amefunga magoli manne na assist moja! Huyu Kijana a...
20/12/2023

Kwenye mechi nne (4) hadi sasa klabu bingwa Afrika, Sankara Karamoko amefunga magoli manne na assist moja! Huyu Kijana ana wastani mzuri mno wa kufunga goli kila mechi, dhidi ya Jwaneng Galaxy amecheza dakika tano (5) tu na kufunga goli moja.

Licha ya kucheza dakika 89 tu kwenye mechi nne hadi sasa za hatua ya makundi kwenye michuano ya CAF amefunga mabao 4 na kutoa assist moja (1).

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
80607

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bartazari funs page posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bartazari funs page:

Share