17/05/2020
IBADA IlIYO KUBALIWA NA MUNGU.
Ndugu nawatakia ibada njema wakristo wote na wale wasio wakristo yaani watu wa madhehebu ya kikristo,na wa dini nyenginezo.MUNGU Hana upendeleo .tofauti na wanadamu Ni watu waliojaa upendeleo.nimelijua ili niliposoma katika biblia kitabu cha matendo ya mitume 10:34 (Petro akafumbua kinywa chake akasema ,hakika natambua ya kuwa mungu Hana upendeleo).Petro hapa halielewa vizuri sana mwanzo alijua yesu alikuja kiubaguzi ivyo hata habari ya yes kupewa maji na yule mwanamke msamariya hakuwa nayo .kitendo Cha yesu kuomba maji kwa mwanamke msamaria kilionesha wazi kuwa anavunja kuta za ubaguzi au upendeleo .maana wayaudi walikuwa hawachangamani na na wasamalia (mataifa) .lakini siku ilifika hatimaye Petro alijua mungu Hana upendeleo .alopoona na watu wa mataifa nao awaende.koronelio alikuwa mtu wa mataifa Petro alishangaa kuona aliombiwa na ROHO aende kwa koronelio mtu was mataifa Soma matendo ya mitume 10:28(akawambia, ninyi mwajua kuwa sio halali mtu aliye muyaudi ashikamane na muyu aliye was taifa lingine Wala kumuendea ,lakini mungu amenoonya ,nisimwite mtu awaye yote mchafu wala najisi) Petro alielewa vizuri kile ROHO alichomwambia .
Ndugu inashangaza Leo kuona watu wamejibagua wao wenyewe.wakajitenga kwa kujopa vyeo vikuwa wakisema wait ndio mungu anasema na wao tu.wamejita mchungaji mkuu ,mtume mkuu, nabii mkuu, askofu mkuu, nafasi ya yesu ya ukuu wamebeba wao.wakawabagua washirika wao na kusema mungu anazungumza na wao tu so washirika wakatengeneza mazingira ya kujopatia pesa au Mali kutoka kwa washirika wao au watu wengine pale wanapoende ili waombe kwa jili ya mgonjwa au mwenye shida wao hawawafundishi ukwe kuwa MUNGU Hana upendeleo hakutoa kibali Cha baadhi ya watu tu ndio waondee nao Bali yoyote yule ndio msingi hasa wa maana halisi ya pazia la hekalu kupasuka siku ile yesu aliposurubiwa.sio tu kahani pekee afanye upatanisho au kuongea na mungu Bali yoyote .henyi viongozi wa madhehebu na wa dini nyengine semeni kweli .