Kijiweni24 Tv

Kijiweni24 Tv Taarifa mbalimbali za kimichezo! Kwa matangazo ya kibiashara tupigie 0787326406
(1)

Nickson Clement Kibabage ni mnyama!Mbavu ya kushoto ya Simba mpaka sasa ina1.Clement Kibabage2. Anthony Mligo3. Naby Cam...
16/01/2026

Nickson Clement Kibabage ni mnyama!
Mbavu ya kushoto ya Simba mpaka sasa ina
1.Clement Kibabage
2. Anthony Mligo
3. Naby Camara

Hapo kocha Barker ashindwe mwenyewe tu 🔥


Follow Kijiweni24 Tv

Anaandika Alex Ngereza "Nawakumbusha tu,hakuna mshambuliaji mzuri atatoka Ulaya kuja kucheza Tanzania akiwa kwenye ubora...
16/01/2026

Anaandika Alex Ngereza
"Nawakumbusha tu,hakuna mshambuliaji mzuri atatoka Ulaya kuja kucheza Tanzania akiwa kwenye ubora wake,mchezaji pekee atatoka ulaya kuja kucheza Tanzania ni yule mshambuliaji ambaye ameisha

Yule ambaye anakuja kumalizia soka lake ,huyo ndio atakuja kucheza soka Tanzania

Mnamkunbuka Mohamed Doumbia na Gael Bigirimana?"

Unakubaliana na uchambuzi wake??


Follow Kijiweni24 Tv

Jina la nani litapunguzwa hapa ? ✅️Djigui DIARRA 🇲🇱➡️Frank ASSINKI 🇬🇭➡️Attohoula YAO 🇨🇮➡️Chadrack BOCCA🇨🇩➡️Mousa Balla C...
16/01/2026

Jina la nani litapunguzwa hapa ?

✅️Djigui DIARRA 🇲🇱
➡️Frank ASSINKI 🇬🇭
➡️Attohoula YAO 🇨🇮
➡️Chadrack BOCCA🇨🇩
➡️Mousa Balla CONTE 🇬🇳
➡️Duke ABUYA🇰🇪
➡️Max NZENGELI🇨🇩
➡️Celestin ECUA🇹🇩
➡️Pacome ZOUZOUA🇨🇮
➡️Allan OKELLO 🇺🇬
➡️Prince DUBE 🇿🇼
➡️Aurelio DEPU 🇦🇴
➡️Lassine KOUMA 🇹🇩

Funguka kwenye comments hapo chini 👇👇

Follow Kijiweni24 Tv

🚨 BREAKING: Kwaheri mrithi wa Chama "AHOUA"Kiungo Jean Charles Ahoua atajiunga na timu ya CR BELOUIZDAD ya Algeria 🇩🇿, J...
16/01/2026

🚨 BREAKING: Kwaheri mrithi wa Chama "AHOUA"

Kiungo Jean Charles Ahoua atajiunga na timu ya CR BELOUIZDAD ya Algeria 🇩🇿, Jean Ahoua anaondoka Simba SC baada ya kuitumikia msimu mmoja na nusu.

➡️ Jean Ahoua na Klabu ya Simba mkataba wao ulisalia miezi sita (6) hivyo Simba SC wamefanya biashara na CR Belouizdad.

Kila la Kheri Fundi wa Kandanda, penati na faulo


Follow Kijiweni24 Tv

16/01/2026

Nickson Kibabage ......... Mashabiki wa Simba kaeni mkao wa kula

🚨MZAMIRU HUYOOO KWQ MKOPO TRA UNITED Klabu ya Simba SC imethibitisha kumtoa kiungo wake Mzamiru Yassin kwa mkopo kwenda ...
15/01/2026

🚨MZAMIRU HUYOOO KWQ MKOPO TRA UNITED

Klabu ya Simba SC imethibitisha kumtoa kiungo wake Mzamiru Yassin kwa mkopo kwenda TRA United hadi mwisho wa msimu huu.

Mzamiru, ambaye amebakiza miezi sita kwenye mkataba wake na Simba SC, anatarajiwa kuwa mchezaji huru mara tu msimu utakapomalizika endapo hakutakuwa na makubaliano mapya ya mkataba.

Hatua hii inampa mchezaji nafasi ya kupata dakika zaidi za kucheza, huku TRA United ikiongeza nguvu katika eneo la kiungo kuelekea hatua muhimu za msimu wa 2025/26.

Mpaka sasa TRA wesajili Mazamiru & Valentino Mashaka kutoka Simba na Denis Nkane kutoka Yanga SC.

Follow Kijiweni24 Tv

THE OSBOURNE FAMILYMchezaji wa Yanga SC Max Nzengeli  bada ya kupata tuzo ya mchezaji bora wa Mapinduzi Cup 2026 ameamua...
15/01/2026

THE OSBOURNE FAMILY
Mchezaji wa Yanga SC Max Nzengeli bada ya kupata tuzo ya mchezaji bora wa Mapinduzi Cup 2026 ameamua kuipeleka tuzo hiyo kwa mchungaji wake Pastor Tonny nakuombewa🔥🙏

Always Mtangulize Mungu Kwa Kila jambo

Follow Kijiweni24 Tv

✍️ Anaandika Cheyo Lutengeno tz Yanga SC wamemtambulisha Laurindo Maria 'Depu' kuwa mchezaji wao mpya wa klabu hiyo.Huu ...
15/01/2026

✍️ Anaandika Cheyo Lutengeno tz

Yanga SC wamemtambulisha Laurindo Maria 'Depu' kuwa mchezaji wao mpya wa klabu hiyo.

Huu usajili wa tatu kwa Yanga SC msimu huu wakiendelea kuziba magap, Depu ni raia wa Angola aliyekuwa Radomiak Radom bado umri wa kuhesabu miaka 25 pekee.

Amewahi kukanyaga viunga vya Petro de Luanda na Sagrada Esperança za Angola, Gil Vicente ya Ureno, Vojvodina ya Serbia kabla ya kuwatumiakia Radomiak Radom ya Poland.

Una Prince Dube mtaftaji anaweza kucheza pembeni na hata nyuma ya mshambuliaji wa mwisho kwa sababu ya uwezo wa kuchezea mpira.

Una Mzize winga unaweza mtumia k**a mshambuliaji wa mwisho anakupa nguvu, kupiga mbali, kukaba, pasi na magoli.

Then una Dilson Mario uzoefu pale juu, ujuzi wa kufunga magoli magumu na mepesi, kasi, anakupa pressing kutoka kwenye buld up za wapinzani nguvu na magoli.

Follow Kijiweni24 Tv

15/01/2026

Winga wa Tengueth ya Senegal Libasse Gueye anatajwa kujiunga na Simba SC dirisha hili la January. Taarifa kamili 👇👇👇

Wazee wa majamvi!!! Mzigo upo kwenye channel yetu ya MIKEKA link kwenye comments 👇👇👇 Code ipo kwenye channel yetu Tunaja...
15/01/2026

Wazee wa majamvi!!! Mzigo upo kwenye channel yetu ya MIKEKA link kwenye comments 👇👇👇
Code ipo kwenye channel yetu
Tunajaribu Leo tenaaa, bila kuchoka.

14/01/2026

Kwani Chukuweze amelazimishwa kipiga penati??

14/01/2026

Moroccooooooofainaliiiiiii

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kijiweni24 Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kijiweni24 Tv:

Share