
27/09/2025
๐จ HABARI ZA MICHEZO ๐จ
Kocha Jose Rebeiro sasa ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuwa kocha mkuu mpya wa Simba SC.
Rebeiro ameonyesha uwezo wake akiwa na vilabu vikubwa barani Afrika k**a:
โฝ Orlando Pirates ๐ฟ๐ฆ
โฝ Al Ahly ๐ช๐ฌ
Sasa macho yote yako kwa Simba SC ๐น๐ฟ, ambapo anatajwa kuwa chaguo namba moja kuchukua mikoba ya benchi la ufundi. ๐ดโช
Mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kuthibitishwa kwa dili hili kubwa! ๐ฅ