Kijiweni24 Tv

Kijiweni24 Tv Taarifa mbalimbali za kimichezo! Kwa matangazo ya kibiashara tupigie 0787326406
(2)

๐Ÿšจ HABARI ZA MICHEZO ๐ŸšจKocha Jose Rebeiro sasa ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuwa kocha mkuu mpya wa Simba SC.Rebeiro am...
27/09/2025

๐Ÿšจ HABARI ZA MICHEZO ๐Ÿšจ

Kocha Jose Rebeiro sasa ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuwa kocha mkuu mpya wa Simba SC.

Rebeiro ameonyesha uwezo wake akiwa na vilabu vikubwa barani Afrika k**a:
โšฝ Orlando Pirates ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
โšฝ Al Ahly ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ

Sasa macho yote yako kwa Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, ambapo anatajwa kuwa chaguo namba moja kuchukua mikoba ya benchi la ufundi. ๐Ÿ”ดโšช

Mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kuthibitishwa kwa dili hili kubwa! ๐Ÿ”ฅ

๐ŸšจOFFICIAL Harry Kane amekuwa mchezaji wa kwanza Ulaya kufunga mabao 100 katika michezo michache akiwa Bayern.โšฝ๏ธ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ H...
27/09/2025

๐ŸšจOFFICIAL
Harry Kane amekuwa mchezaji wa kwanza Ulaya kufunga mabao 100 katika michezo michache akiwa Bayern.โšฝ๏ธ

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Harry Kane - Michezo 104 - Mabao 100
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น Cristiano Ronaldo - Michezo 105 - Mabao 100
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Erling Haaland - Michezo 105 - Mabao 100
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡พ Luis Suarez - Michezo - 120 - Mabao 100
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ช Zlatan Ibrahimovuc - Michezo 124 - Mabao 100

KIINGILIO NI MGUU WAKO TU- Mchezo wa Singida Black Stars dhidi ya Rayon Sports ambao utachezwa siku ya kesho tarehe 27 S...
26/09/2025

KIINGILIO NI MGUU WAKO TU

- Mchezo wa Singida Black Stars dhidi ya Rayon Sports ambao utachezwa siku ya kesho tarehe 27 Septemba 2025 kwenye uwanja wa Azam Complex hautokuwa na kiingilio mashabiki wataingia Bure kabisa.

- Mchezo wa kwanza ulimalizika kwa Singida Black Stars kushinda goli 1 ambalo lilifungwa na Marouf Tchakei.

- Kesho twendeni kwa Wingi tukaipe support Singida Black Stars ๐Ÿคฉ mchezo utachezwa majira ya saa 1 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

KOCHA Nasreddine Nabi AMEZUNGUMZA KWANINI AMECHUKUA UAMUZI WA KUONDOKA KAIZER CHIEFS.๐Ÿ—ฃ๏ธ"Kutengana kwangu na Kaizer Chief...
26/09/2025

KOCHA Nasreddine Nabi AMEZUNGUMZA KWANINI AMECHUKUA UAMUZI WA KUONDOKA KAIZER CHIEFS.

๐Ÿ—ฃ๏ธ"Kutengana kwangu na Kaizer Chiefs ilikuwa makubaliano ya pande zote mbili na uongozi wa klabu, kufuatia uzoefu wenye mafanikio na changamoto. Kwa sasa, nahitaji muda wa kupumzika, kuzingatia zaidi familia yangu, na kufuatilia afya ya mke wangu, ambayo imenihitaji kuwa karibu naye katika kipindi kilichopita,

๐Ÿ—ฃ๏ธ"Ni kweli klabu kadhaa kubwa za Afrika na Uarabuni zimewasiliana nami, lakini sitaingia kwenye mazungumzo yoyote kwa wakati huu, kipaumbele changu ni kutojihusisha na mpira kwa muda na kupumzika.

๐Ÿšจ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Yusuf Kagoma (29) atakosa mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika  dhidi ya Gaborone United baada y...
26/09/2025

๐Ÿšจ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Yusuf Kagoma (29) atakosa mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United baada ya kuumia mguu wa kulia.

Kagoma aliumia kipindi cha kwanza cha mchezo wa jana dhidi ya Fountain Gates, akaendelea kucheza kwa muda lakini alilazimika kutolewa mapema kipindi cha pili. Uchunguzi umeonyesha jeraha lake ni kubwa kuliko ilivyodhaniwa awali, hivyo hatakuwa sehemu ya kikosi cha marudiano.

Simba SC itamkosa mchezaji muhimu katika mchezo huu wa kuamua hatma yao kwenye ligi ya mabingwa. ๐Ÿ”ฅ

26/09/2025

ROMAN FOLZ NA AZIZ ANDAMBWILE WANAUNGURUMA

26/09/2025

MKUTANO WA YANGA SC NA WAANDISHI WA HABARI

MKUTANO WA YANGA SC NA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA MECHI YA KESHO YA CAFCL DHIDI YA WILIETE BENGUELA, BENJAMINKAPA.FULL...
26/09/2025

MKUTANO WA YANGA SC NA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA MECHI YA KESHO YA CAFCL DHIDI YA WILIETE BENGUELA, BENJAMINKAPA.

FULL INTERVIEW IPO YOUTUBE CHANNEL YA KIJIWENI24 TV

25/09/2025

HIYU KAGOMA NI ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
K**A ....... PALE MAN CITY

25/09/2025

SIMBA 2-0
AHOUA โšฝ

25/09/2025

SIMBA TAYARIII HUKO
RUSHINE โšฝ
SIMBA 1-0 GATE

ANAANDIKA SWEETBERT LIHEKAKwanza kabisa Nimpongeze Eng Hersi said kwa kutuliza kichwa wakati wa kufanya scouting ya wach...
25/09/2025

ANAANDIKA SWEETBERT LIHEKA

Kwanza kabisa Nimpongeze Eng Hersi said kwa kutuliza kichwa wakati wa kufanya scouting ya wachezaji kwenye dirisha kubwa la usajili na kuibuka na Jina la "Duduwasha" ร‡elestine Ecua k**a miongoni mwa wachezaji wanaohitajika na yanga

Yes, ร‡elestine Ecua ni Aina ya winga ambaye yanga sc ili struggle muda mrefu kumpata, Winga mwenye kasi inayobatana na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira sambamba na kujenga mashambulizi

Licha ya hayo yote, Binafsi naona kuna kitu ambacho ร‡elestine Ecua anawadhulumu wananchi, Ule uharaka wa kutoa pasi za mwisho wakati ambao timu inajenga shambulizi umemezwa na "Dribbling" zake anazozifanya wakati ambao timu inafanya movement ya kutafuta bao

Wakati mwingine Anakosa utulivu na kushindwa kufanya maamuzi sahihi kwenye final third ya mpinzani, pengine ataamua kupiga wakati ambao kuna nafasi bora zaidi ya kutoa pasi ya usaidizi au atachagua kutoa pasi wakati ambao angelazimika kupiga, kiufupi anashindwa kujua ni lipi chaguo sahihi kwa wakati sahihi

Unless otherwise, Kwangu ร‡elestine Ecua ni miongoni mwa ingizo bora katika kikosi cha wananchi ambalo linahitaji muda ili ku prove ni kwanini alikuwa MVP wa ligi ya ivorycoast msimu uliopita.

[Jogoo la shamba] โœ๏ธ

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kijiweni24 Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kijiweni24 Tv:

Share