14/06/2026
Simba wameshinda mechi mbili leo kwa jasho sanaa na sasa wamefukisha alama 61 nyuma ya Yanga alama 63πβ
οΈ
Elie Mpanzu baada ya kufunga leo kafikisha Assist 08 na mabao 05 msimu huu namba nzuri π
Goli la kwanza la Simba wamerudia walichofanya Thomas Muller na Thiago Alcantara wakiwa Bayern Munich π akili nyingii kwa Maema ππ«‘
Goli la Mathew Mwamanyi Tegisi very calm very Composed k**a Zlatan vs NAC Bred mwaka 2004
Henry Lutonja ile bakora yake baada ya kumpindua Duchu akitaka kumuaibisha Kassali πβ‘οΈ
Libasse Gueye goli 08 msimu huu akiwa na assist 01 anakua mfungaji namba moja sawa na Chama (08) na Mwalimu (08) β½οΈπ«‘
Kassali ana makosa mengi ambayo ni ngumu kumtetea na taarifa zinadai kuwa Camara ashauzwa maana yake Simba watalazimika kwenda sokoni kusaka kipa mwingine au mnasemaje?
Kante kafanya makoss 02 moja kaadhibiwa k**a Yaya Sithole dhidi ya Mexico na ya pili ni backpack ambayo almanusura Kassali ajifunge π
Mwalimu Francis Baraza alifanya mabadiliko ya akili sana kwasababu alijua akiwaacha Hassan Kibailo na Amos Charles Kadikilo waweza kupata umeme ππ«‘
Selemani Mwalimu mwamba umemkosesha goli la 09 msinu huuu
Leo hadi mangungu kashangilia ππ
Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo