Kijiweni24 Tv

Kijiweni24 Tv Habari za Michezo {Uchambuzi, Usajili, Matokeo}
Updates za haraka kila siku
(1)

Simba wameshinda mechi mbili leo kwa jasho sanaa na sasa wamefukisha alama 61 nyuma ya Yanga alama 63πŸ‘βœ…οΈElie Mpanzu baad...
14/06/2026

Simba wameshinda mechi mbili leo kwa jasho sanaa na sasa wamefukisha alama 61 nyuma ya Yanga alama 63πŸ‘βœ…οΈ

Elie Mpanzu baada ya kufunga leo kafikisha Assist 08 na mabao 05 msimu huu namba nzuri πŸ‘

Goli la kwanza la Simba wamerudia walichofanya Thomas Muller na Thiago Alcantara wakiwa Bayern Munich πŸ‘ akili nyingii kwa Maema πŸ‘πŸ«‘

Goli la Mathew Mwamanyi Tegisi very calm very Composed k**a Zlatan vs NAC Bred mwaka 2004

Henry Lutonja ile bakora yake baada ya kumpindua Duchu akitaka kumuaibisha Kassali πŸ˜‚βš‘οΈ

Libasse Gueye goli 08 msimu huu akiwa na assist 01 anakua mfungaji namba moja sawa na Chama (08) na Mwalimu (08) ⚽️🫑

Kassali ana makosa mengi ambayo ni ngumu kumtetea na taarifa zinadai kuwa Camara ashauzwa maana yake Simba watalazimika kwenda sokoni kusaka kipa mwingine au mnasemaje?

Kante kafanya makoss 02 moja kaadhibiwa k**a Yaya Sithole dhidi ya Mexico na ya pili ni backpack ambayo almanusura Kassali ajifunge 😁

Mwalimu Francis Baraza alifanya mabadiliko ya akili sana kwasababu alijua akiwaacha Hassan Kibailo na Amos Charles Kadikilo waweza kupata umeme πŸ‘πŸ«‘

Selemani Mwalimu mwamba umemkosesha goli la 09 msinu huuu

Leo hadi mangungu kashangilia πŸ˜‚πŸ™Œ

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

Kwa waliotazama mechi zote 2 Simba vs Pamba na Mexico vs South Africa  watakua mashahidi kwamba Yaya Sithole na Alessane...
14/06/2026

Kwa waliotazama mechi zote 2 Simba vs Pamba na Mexico vs South Africa watakua mashahidi kwamba Yaya Sithole na Alessane Kante wamefanya makosa yanayofanana na makosa yote yamesababisha timu zao kuruhusu bao ⚽️

Kante aliwekewa presha eneo sawa na lile la Yaya Sithole vs Mexico na kilichofuata ni adhabu ya bao

HT: Simba 1-1 Pamba Jiji

NB: Kuna uwezekano kuwa faulo lakini haiondoi uhalisia kuwa tayari ni bao ⚽️

Nani kuondoka na ushindi leo baada ya dakika 90?

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

14/06/2026

Haiyaaaa 1-1 huko πŸ”₯
Ila Rushine kateseka πŸ˜‚
Huyu Tegisi k**a Yamal au mnasemaje wadau?

14/06/2026

Simba 1-0 Pamba
Mara ya mwisho goli k**a hilo walifunga Bayern, Thiago X Muller

Kikosi cha Simba SC kitakachoanza dhidi ya Pamba Jiji Nani kusepa na alama 03 leo??Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za k...
14/06/2026

Kikosi cha Simba SC kitakachoanza dhidi ya Pamba Jiji
Nani kusepa na alama 03 leo??

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

14/06/2026

Mechi y huzuni zaidi kwa Kichuya Ramadhani ni hii hapa πŸ‘‡πŸ‘‚

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

Pichani ni Nestrory Irankunda ambaye ni mzaliwa wa Kigoma kabla hajatimkiaa duniani na kupata jina kubwaJana alifunga go...
14/06/2026

Pichani ni Nestrory Irankunda ambaye ni mzaliwa wa Kigoma kabla hajatimkiaa duniani na kupata jina kubwa

Jana alifunga goli lake la kwanza katika mechi yake ya kwanza ya mashindano ya WC ni historia ya aina yake kwa mzaliwa huyo wa kigoma kwa Waha πŸ˜‚πŸ‘

Huyu amepita Bayern Munich na sasa Watford πŸ‘πŸ”₯

Hongereni sana wana kigoma πŸ‘ lazima dunia itambue mchango wenu

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

14/06/2026

Mzee wa Jambia anawatakia Jumapili njema kabisaaπŸ˜‚

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

14/06/2026

Mechi bora kwa Kichuya ni hii hapa πŸ‘‡

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

14/06/2026

Shiza Ramadhan Kichuya anagusia mkasa wake aliowahi kukutana nao kwenye Ndondo Cup πŸ”₯πŸ˜‚

Je! Wewe umewahi kukutana na msala k**a huu?

Follow Kijiweni24 Tv kwa taarifa za kimichezo

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255659676102

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kijiweni24 Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kijiweni24 Tv:

Share