Simba SC Footbal

Simba SC Footbal •Akaunti rasmi ya Simba SC Football kwa habari za michezo.
•Fans
•Kwa matangazo ya biashara tutafute WhatsApp 0712 125 518

Siku ya kwanza kwenye uwanja wa mazoezi tukiwa Ismailia.
28/03/2025

Siku ya kwanza kwenye uwanja wa mazoezi tukiwa Ismailia.

Njia pekee ya kuonyesha namna gani tumefurahishwa na maamuzi haya ni kuujaza katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Masr...
28/03/2025

Njia pekee ya kuonyesha namna gani tumefurahishwa na maamuzi haya ni kuujaza katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Masry.

Kikosi cha Simba SC kimeondoka Nchini Alfajili ya leo Ijumaa kuelekea Misri tayari kwa mchezo wa robo fainali ya kombe l...
28/03/2025

Kikosi cha Simba SC kimeondoka Nchini Alfajili ya leo Ijumaa kuelekea Misri tayari kwa mchezo wa robo fainali ya kombe la Shirikisho CAFCC dhidi ya Al Masry

Mchezo huo utapigwa April 02 katika dimba la Suez ndani ya Mji wa Suez.

Kikosi ambacho kitaondoka kesho alfajiri kwenda nchini Misri.
27/03/2025

Kikosi ambacho kitaondoka kesho alfajiri kwenda nchini Misri.

Mabao ya Joshua Mutale na Lionel Ateba aliyefunga kupitia mkwaju wa penati yametosha kuihakikishia Simba SC ushindi muhi...
27/03/2025

Mabao ya Joshua Mutale na Lionel Ateba aliyefunga kupitia mkwaju wa penati yametosha kuihakikishia Simba SC ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Bigman FC na kutinga robo fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB

Ulikuwa mchezo ambao Simba SC ilihitaji ushindi zaidi ili kutinga robo fainali na kuweka nguvu katika mchezo wa robo fainali ya CAFCC dhidi ya Al Masry utakaopigwa April 02 huko Misri

Simba SC iliwakosa wachezaji wake wengi muhimu wa kikosi cha kwanza ambao walikuwa katika majukumu ya Timu za Taifa

Joseph Henock alifunga bao pekee la Bigman FC ambao walionekana kuleta upinzani hasa kipindi cha pili.

FULL TIME: SIMBA SC 2️⃣🆚1️⃣ BIGMAN FC
27/03/2025

FULL TIME: SIMBA SC 2️⃣🆚1️⃣ BIGMAN FC

Mapumziko.
27/03/2025

Mapumziko.

SIMBA SC 2️⃣🆚1️⃣ BIGMAN FCDakika tatu zimeongezwa kukamilisha kipindi cha kwanza.
27/03/2025

SIMBA SC 2️⃣🆚1️⃣ BIGMAN FC

Dakika tatu zimeongezwa kukamilisha kipindi cha kwanza.

Leonel Mbida Ateba anafunga bao la pili kupitia mkwaju wa penati baada ya Elie Mpanzu kufanyiwa madhambi ndani ya 18.   ...
27/03/2025

Leonel Mbida Ateba anafunga bao la pili kupitia mkwaju wa penati baada ya Elie Mpanzu kufanyiwa madhambi ndani ya 18.

Chuma cha kwanza.
27/03/2025

Chuma cha kwanza.

Kikosi cha leo.
27/03/2025

Kikosi cha leo.

Tumefika uwanjani.
27/03/2025

Tumefika uwanjani.

Mchezo wa mwisho wa mwezi Machi, 2025.Karibuni uwanja wa KMC.
27/03/2025

Mchezo wa mwisho wa mwezi Machi, 2025.

Karibuni uwanja wa KMC.

RATIBA KAMILI YA SIMBA SHIRIKISHO CAFCC28/11/2024: Simba SC 🇹🇿 Vs FC Bravos 🇦🇴08/12/2024: CS Costantine 🇩🇿 Vs Simba SC 🇹...
07/10/2024

RATIBA KAMILI YA SIMBA SHIRIKISHO CAFCC

28/11/2024: Simba SC 🇹🇿 Vs FC Bravos 🇦🇴
08/12/2024: CS Costantine 🇩🇿 Vs Simba SC 🇹🇿
15/12/2024: Simba SC 🇹🇿 Vs CS Sfaxien 🇹🇳
05/01/2025: CS Sfaxien 🇹🇳 Vs Simba SC 🇹🇿
12/01/2025: FC Bravos 🇦🇴 Vs Simba SC 🇹🇿
19/01/2025: Simba SC 🇹🇿 Vs CS Costantine 🇩🇿

Je Mnyama atavuna alama ngapi katika kundi hili?

Endelea kufuatilia

Droo ya kombe la shirikisho barani Afrika CAFCC imefanyika Leo huko Misri ambapo Simba SC imepangwa kundi AKatika kundi ...
07/10/2024

Droo ya kombe la shirikisho barani Afrika CAFCC imefanyika Leo huko Misri ambapo Simba SC imepangwa kundi A

Katika kundi A Simba imepangwa na CS Sfaxien (Tunisia🇹🇳) CS Constantine (Algeria🇩🇿) na FC Bravos (Angola🇦🇴)

Pengine ushindani mkubwa unatarajiwa kutoka kwa CS Sfaxien na CS Constantine ambazo zimekuwa zikicheza hatua ya makundi ya michuano hii mara kwa mara wakati FC Bravos hii itakuwa mara yao ya kwanza

Mechi za hatua ya makundi zinatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Novemba 2024 huku Simba akianzia ugenini kati ya tarehe 26-27 nchini Angola.

Endelea kufuatilia Simba SC Football







Droo ya hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika CAFCC itafanyika leo nchini Misri saa 7 mchana Wana Simba wa ...
07/10/2024

Droo ya hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika CAFCC itafanyika leo nchini Misri saa 7 mchana

Wana Simba wa Jiji la Dar Es Salaam saa 6 mchana watakuwa Tawi la Asili ya Simba lililopo Kawe kushuhudia droo hiyo ambayo itabaini kundi ambalo Simba itapangwa.

Endelea kufuatilia Simba SC Football







Wanachama wa Klabu ya Simba mnakaribishwa katika Mkutano Mkuu wa mwaka 2025.Mkutano utakuwa LIVE kupitia Azam Sports 2. ...
05/10/2024

Wanachama wa Klabu ya Simba mnakaribishwa katika Mkutano Mkuu wa mwaka 2025.

Mkutano utakuwa LIVE kupitia Azam Sports 2.

FT: YANGA PRONCESS 0️⃣➖1️⃣ JKT QUEENS JKT Queens wameibuka mabingwa wa kombe la Ngao ya Jamii baada ya kuinyuka Yanga Pr...
05/10/2024

FT: YANGA PRONCESS 0️⃣➖1️⃣ JKT QUEENS

JKT Queens wameibuka mabingwa wa kombe la Ngao ya Jamii baada ya kuinyuka Yanga Princess bao moja kwa bila katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa KMC Complex

Ni bao pekee la Donesia Minja lililofungwa dakika za jioni 88 zimeihakikishia JKT Queens kunyakua taji hilo

Yanga Princess wamekuwa washindi wa pili huku Simba Queens wakiwa washindi wa tatu katika kombe hilo.


Address

Msimbazi
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simba SC Footbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Simba SC Footbal:

Share

Category