
28/06/2025
Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican.
Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic.
Vatican wana jeshi lao special linaitwa Swiss Guards
Pale Italia wana pesa yao, ila haitumiki ukiingia Vatican. Kule Vatican wana pesa yao na unaweza kuitumia Italy.
Rais wa Italia, Bwana Sergio Mattarella hana mamlaka katika serikali ya Vatican, ila Papa ana mamlaka makubwa katika serikali ya Italia.
Mtu wa Vatican anahesabika ni Muitaliano pia, ila Muitaliano haesabiki k**a Mvatican.
Vatican wana jeshi lao linaitwa Swiss Guard ni kikosi maalum cha kijeshi kinacholinda Papa na makazi yake katika Vatican.
Kikosi hiki kilianzishwa rasmi tarehe 22 Januari 1506 na Papa Julius II, na ni mojawapo ya vikosi vya kijeshi vya zamani zaidi vinavyoendelea kufanya kazi duniani.
Polisi wa Italia wakienda Vatican, kuna sehemu hawatakiwi kukanyaga kabisa, yaani wamewekewa mipaka ya kuvuka nchini humo.
Vatican ina raia 800 tu!
Vatican hakuna hospital, so hakuna suala la kusema umepata uraia kwa kuzaliwa. Wao washajiwekea ni watu 800 tu.
Akifa mmoja, analetwa mwingine.
Hapo Vatican kuna museum 70,000 ambapo utaangalia historia za sehemu mbalimbali. Wana vitabu vya historia ya kila taifa duniani. So wanazijua nchi zote mpaka serikali zake. Na kwa siku hupokea watalii 25,000.
Vatican ina miaka 95 tu tangu alianzishwe.
Ndani ya Vatican, kuna maeneo mtu mwenye tattoo haruhusiwi kuingia.
Papa halipwi ila Vatican huingiza mapato ya dola milioni 300 kwa mwaka ambazo hutumika kwa ajili ya chakula, pesa kidogo kwa papa na kugharamia safari zake.
Wanajeshi kutoka nchini Uswisi ndio wanaoilinda Vatican.
Vatican haizitambui nchi mbili tu duniani, China na Korea Kaskazini.
Benki ya Vatican inamiliki assets ya dola bilioni 64.
ITAENDELEA