Marble Africa

Marble Africa We deliver timely, accurate, and engaging stories across various topics, ensuring our audience stays informed and inspired..
πŸ“Œ WE ARE AFRICA

Jumamosi hii kwenye  unaifahamu nguvu nyuma ya nsfasi/uhusika wako kwenye maisha ya kila siku, elimu, kazi yako, mahusia...
09/01/2026

Jumamosi hii kwenye unaifahamu nguvu nyuma ya nsfasi/uhusika wako kwenye maisha ya kila siku, elimu, kazi yako, mahusiano yako na kadhalika.

Ungana na pamoja na kujadili na kuelewa kwa kina zaidi undani na uzito wa hoja hii.
Saa 10:00 Jioni kupitia Youtube channel ya Marble Africa pekee.

Jumamosi hii kwenye  Msimu wa pili sehemu ya kwanza tutakuwa na muandaaji wa maudhui (Legal Content Creator)  kuangazia ...
01/01/2026

Jumamosi hii kwenye Msimu wa pili sehemu ya kwanza tutakuwa na muandaaji wa maudhui (Legal Content Creator) kuangazia kwa kina zaidi namna gani Cyber Bullying na uvujaji wa video mtandaoni vinaweza kuibua maoni mseto katika jamii zetu.

Ungana na pamoja na Jumamosi 3/01/2026, Saa 10:00 Jioni kupitia Youtube channel ya Marble Africa pekee.

Tunapenda kuwatakia heri ya sikukuu za Krismas na Mwaka mpya πŸŽ„βœ¨οΈβ€οΈWishing you a Merry Christmas and a Happy New Year.
24/12/2025

Tunapenda kuwatakia heri ya sikukuu za Krismas na Mwaka mpya πŸŽ„βœ¨οΈβ€οΈ

Wishing you a Merry Christmas and a Happy New Year.

Every smile tells a story of hope.Together, we empower lives and build brighter futures.Your support makes it possible.
23/12/2025

Every smile tells a story of hope.
Together, we empower lives and build brighter futures.
Your support makes it possible.

RASMI MSIMU WA PILI WA  UTAANZA JUMAMOSI, TAREHE 20/12/2025.Ungana na  pamoja na  kujadili na kuchambua kwa kina mambo m...
15/12/2025

RASMI MSIMU WA PILI WA UTAANZA JUMAMOSI, TAREHE 20/12/2025.

Ungana na pamoja na kujadili na kuchambua kwa kina mambo mbalimbali yanayohusu maisha, vijana, elimu, jamii zetu na kadhalika.

Kila siku ya Jumamosi, saa 10:00 jioni. Kupitia Youtube channel ya Marble Africa pekee.

The conversations are louder. Season 2 begins πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
12/12/2025

The conversations are louder. Season 2 begins πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Trust us, you’re not ready. πŸŽ™οΈπŸ”₯
11/12/2025

Trust us, you’re not ready. πŸŽ™οΈπŸ”₯

The wait is over!... Season 2 begins πŸŽ™πŸ”₯πŸ”₯
10/12/2025

The wait is over!... Season 2 begins πŸŽ™πŸ”₯πŸ”₯

12/09/2025

DRC: Mahak**a ya Kijeshi ya DRC inatarajia kutoa hukumu ya rais wa zamani Joseph Kabila Ijumaa hii. Kabila, ambaye yuko uhamishoni kwa zaidi ya miaka miwili, anakabiliwa na tuhuma nzito za kushirikiana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda.

Mashirika ya kiraia yanadai fidia ya mabilioni ya dola, huku chama chake PPRD kikiita kesi hii njama ya kisiasa. Hatima yake iko mikononi mwa mahak**a, na dunia inasubiri kuona kitakachotokea.

Bunge la Rwanda limepitisha kwa kauli moja makubaliano ya amani kati yake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Mak...
31/07/2025

Bunge la Rwanda limepitisha kwa kauli moja makubaliano ya amani kati yake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Makubaliano hayo yalisainiwa Juni 27, 2025 mjini Washington chini ya usimamizi wa Marekani, na kupitishwa rasmi na Bunge Julai 30 jijini Kigali.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, aliwaeleza wabunge kuwa Rwanda haitalegeza hatua zake za kiusalama hadi kundi la waasi la FDLR litakapoangamizwa. Pia alisisitiza umuhimu wa Kinshasa kutekeleza kikamilifu makubaliano hayo k**a ishara ya dhamira ya kweli ya kurejesha amani ya kudumu.

Baada ya kupitishwa na Bunge la Rwanda, mkataba huo sasa utapelekwa kwenye Seneti kwa hatua zaidi. Kwa upande wa DRC, bado hakuna taarifa rasmi ya kuwasilishwa kwa mkataba huo bungeni, kwani Bunge lao liko likizoni, japo baadhi ya wabunge wameomba suala hilo lijadiliwe mara moja likirejea.

Katika kuendeleza utekelezaji wa makubaliano hayo, Rwanda na DRC zinatarajiwa kukutana wiki hii mjini Washington kwa kikao cha kwanza cha Kamati ya Pamoja ya Kusimamia Makubaliano. Kamati hiyo itaangazia malalamiko, uchunguzi wa ukiukwaji, utatuzi wa migogoro, na mapendekezo ya hatua stahiki kuhakikisha amani ya kweli inafikiwa.

Klabu ya Chelsea Football Club ya nchini Uingereza imefanikiwa kutwaa taji la kombe la dunia kwa ngazi ya vilabu (FIFA C...
13/07/2025

Klabu ya Chelsea Football Club ya nchini Uingereza imefanikiwa kutwaa taji la kombe la dunia kwa ngazi ya vilabu (FIFA CLUB WORLD CUP 2025) mara baada ya kuifunga klabu ya PSG ya nchini ufaransa kwa magoli 3-0 katika mchezo wa fainali wa mashindano hayo.

Mchezo huo uliopigwa kuanzia majira ya saa 4 kamili za usiku katika dimba la MetLife stadium,mjini New Jersey nchini Marekani umeshuhudiwa na watu mbalimbali dunia kote akiwemo rais wa Marekani Donald Trump.

Magoli ya Chelsea yaliyofungwa na Cole Palmer(alifunga mawili) na Joao Pedro yalitosha kuwapa ubingwa wababe hao wa London,na kuwa klabu ya kwanza kuwa mabingwa wa kombe hilo toka lilipobadirishwa muundo wa kiushindani.

✍️|

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Marble Africa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Marble Africa:

Share