17/01/2026
LIBASSE GUEYE ni mnyama, club ya simba sc imemtangaza rasmi LIBASSE GUEYE kuwa mchezaji wao hali, Simba sc inaendelea kutangaza wachezaji wake walio sajiliwa dirisha dogo la usajili, tetesi ni nyingi ila simba sc inatafuta wachezaji wazuri na imara kwajili ya michuano ya ndani na nje, Simba sc itacheza kesho mchezo wake wa NBC premium league dhidi ya Mtibwa sugar. Simbaaaaaa