Clouds TV

Clouds TV Kituo namba moja cha burudani kwa vijana kikisogeza kila taarifa ya entertainment mbele yako na kuhakikisha hupitwi na yanayojiri ndani na nje ya nchi.

27/11/2025

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akijumuika kufurahi na wahitimu wa fani mbalimbali katika mahafali ya 49 Chuo cha Maji 2025 katika hafla ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Usikose kufatilia show tamu ya Tv   kupitia Clouds Tv kuanzia saa 05:00-06:00 ,ni  atakupa story zote za burudani akiwa ...
27/11/2025

Usikose kufatilia show tamu ya Tv kupitia Clouds Tv kuanzia saa 05:00-06:00 ,ni atakupa story zote za burudani akiwa na atakaye sababisha burudani ya muziki mzuri bila kusahau tutakuwa na kwenye Exclusive interview.

Ukipata chance ya kusafiri na msanii utamchagua nani na kwanini?Coment yako itasomwa na  Kupitia the spark ya Clouds Tv,...
27/11/2025

Ukipata chance ya kusafiri na msanii utamchagua nani na kwanini?

Coment yako itasomwa na Kupitia the spark ya Clouds Tv, ni kuanzia saa 05:00-06:00 Pm

"Mwanzoni wakati naanza kazi hii ya kinyozi ilikuwa ni ngumu lakini napenda kujaribu vitu tofauti pia niliona ni k**a fu...
27/11/2025

"Mwanzoni wakati naanza kazi hii ya kinyozi ilikuwa ni ngumu lakini napenda kujaribu vitu tofauti pia niliona ni k**a fursa kwamba hapa watu wengi wamezoea vinyozi ni lazima wawe wanaume, lakini nikasema natamani.

"Na k**a ninaweza kumuhudumia mteja ambaye amemaliza kunyoa na kufanya scrab, pedicure kwanini nisiweze kuwa full package? Nikaweza kunyoa pamoja na kuendelea na huduma zingine ambazo naziweza"- Mrembo , Kinyozi



"Sisi vinyozi malipo yetu sio makubwa unapohudimia ndipo anapopata commission yako kwa hiyo namna ya kumshawishi mteja n...
27/11/2025

"Sisi vinyozi malipo yetu sio makubwa unapohudimia ndipo anapopata commission yako kwa hiyo namna ya kumshawishi mteja ni njia ya kumtengenezea kipato. Tatizo hatuna namna nzuri ya kuwasilisha kwa mteja"- Mrembo , Kinyozi



"Kwa msichana ukifanya kazi saluni ya kiume boss wake ni kinyozi kwa sababu mmiliki wa saluni hamjui muhudumu wa k**e. N...
27/11/2025

"Kwa msichana ukifanya kazi saluni ya kiume boss wake ni kinyozi kwa sababu mmiliki wa saluni hamjui muhudumu wa k**e. Na kinyozi ana uwezo wa kukwambia chochote kwa sababu yeye ndio ana mamlaka ya kukupa ajira au la"- Mrembo , Kinyozi.



"Kitendo cha kukufuata nyumbani kwako kwa ajili ya huduma ya kukunyoa nimekurahisishia. K**a ni foleni mimi ndio nitahan...
27/11/2025

"Kitendo cha kukufuata nyumbani kwako kwa ajili ya huduma ya kukunyoa nimekurahisishia. K**a ni foleni mimi ndio nitahangaika nazo.

"Wewe utahitaji ni huduma nzuri nyumbani kwako. Kumfuata mteja nyumbani kumnyoa nywelezake inalipa sana.

"Natamani hii sikukuu ya Christmas ya mwaka huu wateja nitakaowafuata wawe ni wateja kuanzia miaka 70 hadi 100. Wale wazee ambao wamestaafu, wanaumwa miguu.

"Ili ajisikie na yeye ni mtu ambaye anahitaji kupendeza hata k**a anaumwa"- Mrembo , Kinyozi.



   Cc: .samsasali360
27/11/2025



Cc: .samsasali360

26/11/2025

Wadau mbalimbali wamejitokeza kumpongezwa Miss Universe Tanzania, Naisae Yona kwa kushinda tuzo ya Most Beautiful People alipokuwa kwenye mashindano ya Miss Universe nchini Thailand.

Aidha kwa upande wake muandaaji wa , amemshukuru mama yake Naisae kwa kumuamini na kumuachia mwanae.

Wadau wengine walioshiriki ni Miss Grand Tanzania 2025, na Miss Tanzania 2022 na wengine wengi.

Karibu LAINI YA NJE YA BOX, kesho timu ya taifa   itakuletea Mrembo  aliyeona Laini ya kuendesha maisha yake hapa town b...
26/11/2025

Karibu LAINI YA NJE YA BOX, kesho timu ya taifa itakuletea Mrembo aliyeona Laini ya kuendesha maisha yake hapa town basi ni kuwa Kinyozi, hii ni fursa kiasi gani ? akiwakilisha Vinyozi wengine wa k**e nchini, wanakutana na changamoto zipi ? na pengine sauti zao zinasemaje kwa ujumla k**a wahudumu wa vichwa vya wengine ?

Usikoseee kuanzia 12:30 live on

26/11/2025

Wazuri wa vijana, akiwa Tunduma mkoani Songwe amekutana na kijana Zakaria ambaye ni mhitimu wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambaye hajapata ajira na kuamua kufanya kazi ya kuuza duka. Waziri ametoa maagizo kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu.



26/11/2025

Moja ya maoni ambayo amepewa Waziri wa Vijana alikuwa akiongea na vijana kuhusu changamoto zinazowakabili ili ziweze kupatiwa ufumbuzi.



Address

Https://www. Facebook. Com/images/places/map/red-pin. Png
Dar Es Salaam
00255

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255222781445

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Clouds TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Clouds TV:

Share