Clouds TV

Clouds TV Kituo namba moja cha burudani kwa vijana kikisogeza kila taarifa ya entertainment mbele yako na kuhakikisha hupitwi na yanayojiri ndani na nje ya nchi.

Una utaratibu wa kuwasaidia wenye uhitaji?
15/01/2026

Una utaratibu wa kuwasaidia wenye uhitaji?

15/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uchaguzi wa mwaka 2025 ulikuwa na mafanikio makubwa ikiwamo kufikia asilimia 44 ya wabunge wanawake huku mchakato huo ukigharamiwa kwa fedha za ndani.

Hata hivyo, licha ya mafanikio hayo, Dkt Samia amebainisha changamoto illyojitokeza ya kuzimwa mtandao na kuwapa pole mabalozi kutokana na usumbufu uliojitokeza, akiahidi kujidhatiti kuikabili hali hiyo isijiridie.

Dkt Samia ameeleza hayo Alhamisi Januari 15,2026 wakati akifungua mwaka wa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania, hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

“Washirika wetu jumuiya ya kimataifa na wageni wanaoishi hapa Tanzania, ninatoa pole kwa sintofahamu iliyotokea, kukosekana kwa huduma na kuzimwa kwa mtandao mlikopitia. Ninawahakikishia tumejizatiti kulinda usalama wenu na kuhakikisha hili halitajirudia tena” amesema Dkt Samia.

Kwa mujibu wa Dk Samia, wanatambua kwa moyo mgumu yaliyotokea siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi. Amesema ilikuwa ni muhimu kuingilia kati ili kuilinda amani na usalama kwa mujibu wa Katiba.

“Demokrasia ni safari ya ukuaji na kila safari ya aina hiyo ina maumivu yake, hivyo ni wazi kwamba hivyo ni wazi kwamba hakuna kanuni moja ulimwenguni kwa changamoto hii ya kipekee,” ameeleza.

Moyo wa mawingu udunde Mkoani Manyara kugusa familia hii inayopitia wakati wenye kitendawili kigumu.Wiki iliyopita kupit...
15/01/2026

Moyo wa mawingu udunde Mkoani Manyara kugusa familia hii inayopitia wakati wenye kitendawili kigumu.

Wiki iliyopita kupitia clouds tv na ukurasa wa instagram wa mwandishi na mtangazaji wa Clouds tv kulisambaa video inayoeleza hali ya ufukara, maradhi na kutoweka kwa Mama mlezi wa familia iliyopo kijiji cha Hirbdaw Wilaya ya Hanang mkoani Manyara kiasi cha kuibua hisia tofauti kwa wadau wa masuala ya ustawi wa jamii. Ni nini kinaendelea kwenye familia hii na visa gani wanapitia watoto hawa?

Comment yako itasomwa na  kwenye show tamu ya Tv   na atasimamia Burudani ya muziki Ikifika saa 05:00 washa Tv yako kish...
15/01/2026

Comment yako itasomwa na kwenye show tamu ya Tv na
atasimamia Burudani ya muziki

Ikifika saa 05:00 washa Tv yako kisha weka Clouds Tv .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Shere...
15/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Sherehe za Mwaka Mpya na Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa (Diplomatic Sherry Party), hafla iliofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo January 15, 2026.

15/01/2026

Kuelekea katika shindano la Miss & Mr UDSM, ametaka kujua maisha ya mwanafunzi wa chuo kikuu hicho kikongwe yapoje toka kwa William, Emmanuel; Rais Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Judith Mollel ambaye ni Project Coordinator wa shindano hilo

15/01/2026

Uwepo wa wageni wanaofanya kazi na biashara zinazoweza kufanywa na Watanzania imekuwa gumzo kwenye Mastori ya Town

Kubwa kwenye Mastori ya Town ni ongezeko la ving’ora barabarani hasa muda ambao kuna foleni, baadhi yakiwa ni magari ya ...
15/01/2026

Kubwa kwenye Mastori ya Town ni ongezeko la ving’ora barabarani hasa muda ambao kuna foleni, baadhi yakiwa ni magari ya watu binafsi wasiotaka kukaa kwenye msongamano. Nini kinachangia ongezeko hili?

Fuatilia live kupitia | Azam channel no 403| Dstv no 387| Startimes no 109| antenna/497 na YouTube ya CloudsMedia

14/01/2026

Kutokana na uchakarikaji na utafutaji alionao , Harris Kapiga ametoa ushauri kwa wanaume ambao hawajaoa kutafuta wanawake wapambanaji.

14/01/2026

Msanii wa Muziki wa Taarabu .


14/01/2026

Msanii wa Muziki wa Taarabu


14/01/2026

Msanii wa Muziki wa Taarabu amesema kati ya mambo anatamani ni kuona Maafisa Usafirishaji yaani bodaboda pamoja na Askari au Trafiki wanakuwa marafiki.


Address

Https://www. Facebook. Com/images/places/map/red-pin. Png
Dar Es Salaam
00255

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255222781445

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Clouds TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Clouds TV:

Share