
24/06/2025
Vijana 57 watia nia udiwani, ubunge Chato -
VIJANA wapatao 57 kutoka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Chato mkoani Geita wameonesha nia ya kuchukua fomu na kugombea nafasi mbalimbali Uchaguzi Mkuu 2025.Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Chato, Frank Kuzenza ametoa taarifa hiyo Juni 23 kwa waandishi wa habari mara baada ya kikao cha Baraza Soma Zaidi
VIJANA wapatao 57 kutoka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Chato mkoani Geita wameonesha nia ya kuchukua fomu na kugombea nafasi mbalimbali Uchaguzi Mkuu 2025.Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Chato, Frank Kuzenza ametoa taarifa hiyo Juni 23 kwa waandishi wa habari mara baada ya ki...