SAUTI KUU TV

SAUTI KUU TV We are dedicated to informing our esteemed viewers in matters pertaining to spiritual, social, and economical issues.

23/07/2025

🚨 Rasmi Yanga wamemtambulisha kiungo mkabaji wa Mlandege,Abdulnassir Mohammed Abdallah,maarufu K**a “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu.

Yanga walishinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida.

Usajili wake ulikamilika tangu july 2 mwaka huu

Ikumbukwe Yanga pia imekamilisha usajili wa Moussa bala Conte, offen Chikola na leo hii kuthibitisha usajili wa Casemiro

14/05/2025
Kilele cha sikukuu ya Vijana TAG Kawe
06/10/2024

Kilele cha sikukuu ya Vijana TAG Kawe

Ibada ya Jumapili Tabernacle of Glory TAG Kawe
23/06/2024

Ibada ya Jumapili Tabernacle of Glory TAG Kawe

Ibada ya sikukuu ya watoto Tabernacle of Glory TAG Kawe
16/06/2024

Ibada ya sikukuu ya watoto Tabernacle of Glory TAG Kawe

Sunday Gallery Tabernacle of Glory TAG Kawe
07/04/2024

Sunday Gallery Tabernacle of Glory TAG Kawe

24/05/2023
Kiungo wa Simba, Clatous Chama amefungiwa kucheza mechi tatu na kutozwa faini Sh500,000 kwa kosa la kumkanyaga mchezaji ...
21/05/2023

Kiungo wa Simba, Clatous Chama amefungiwa kucheza mechi tatu na kutozwa faini Sh500,000 kwa kosa la kumkanyaga mchezaji wa Ruvu Shooting Abal Kassim Suleiman wakati wa mechi ya Ligi Kuu iliyomalizika kwa Simba kushinda mabao 3-0.

K**ati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imesema katika tukio hilo Chama alimkanyaga Abal ambaye hakuwa na mpira jambi ambalo mwamuzi hakuliona.

Kwa kufungiwa huko Chama hatocheza mechi mbili zilizobaki msimu huu dhidi ya Polisi Tanzania na Coastal Union pia mechi moja msimu ujao.

Address

P. O. Box 60080
Dar Es Salaam

Telephone

+255678178910

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SAUTI KUU TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SAUTI KUU TV:

Share