Hustler

Hustler Electronics Seller (TV, Subwoofer, Blender, Rice& Preasure cooker, Friji& Freezer, Feni, Oven)
TMT

06/10/2025
17/08/2025

Mjukuu wangu 🗣️
09/05/2025

Mjukuu wangu 🗣️

05/05/2025

Some of people have pure heart and they deserve more than just a thank you but lifetime gratitude.

Ni vigumu kupumzika.
18/04/2025

Ni vigumu kupumzika.

If you ever meet someone who makes your life flow easier and makes you laugh a lot, keep them.
14/04/2025

If you ever meet someone who makes your life flow easier and makes you laugh a lot, keep them.

Jitahidi kusikiliza hata kile watu wanacho kushauri, sio watu wote wanakuonea wivu.
12/04/2025

Jitahidi kusikiliza hata kile watu wanacho kushauri, sio watu wote wanakuonea wivu.

Harakati za utafutaji zikiwa zinaendelea ili kutafuta chochote kitu, simu inaita kutoka kijiweni huko wajumbe wanasema k...
24/03/2025

Harakati za utafutaji zikiwa zinaendelea ili kutafuta chochote kitu, simu inaita kutoka kijiweni huko wajumbe wanasema kuna barua imetumwa inahitajika kusomwa kila mwanakijiwe asikie kilichoandikwa. K**a mwanakijiwe mtiifu wito nikaitikia kufahamu yaliyomo ndani ya barua ngeni kutoka kusikojulikana.

Sio barua ya mapenzi wala barua ya urafiki hii ni barua kwenda kwa mtu aliyeamua kuziba masikio na kuinua macho yake kutizama mbele lengo ni kutengeneza historia yake na hakika vitabu vya kumbukumbu havitoliacha jina lake katika kurasa za mbele.

“Salamu kutoka ng’ambo ya mbali ziwafikie kwenu wanakijiwe wote, tupo ndani ya miezi mitakatifu (Ramadan & Quaresma) ni tumaini letu mnaendelea vizuri na kwa wenye matatizo M/mungu awape kheri, tumeona itakua ajabu tusipowatumia barua hii nanyi muisome kwa nguvu.

Ndugu wanakijiwe vitabu vya historia pale England havitolisahau jina la mfalme wa Egypt aliyeamua kwenda kusimika utawala wake mbali na nyumbani, huko katika ardhi ya kigeni na watawaliwa hawakuuchoka utawala wake.

Ndugu wanakijiwe katikati ya mazoea ya mchezaji yoyote bora hawezi kutoka nje ya nchi yao kutokana na malipo mazuri, mfalme huyu amezikacha pesa za visima vya mafuta na kutimkia ughaibuni na huko ndiko jina lako lilikokua limechorwa kabla ya ujio wake.

Ndugu wanakijiwe huenda ilikua ni kiwango kisichoridhisha kilichowafanya wababe wa pale kwao wasimfikirie tangu udogoni mwake lakini kwake yeye ilikua ni ahueni ya kuweza kutoka nje mikono ya wakubwa hao ambao wanaamini yoyote bora lazima awe kwao.

Ndugu wanakijiwe Mo Salah amezunguuka sana lakini Liverpool iliandikwa kwa ajili yake na ameitendea haki nafasi yake, kwa misimu yote aliyokuwepo amekua na muendelezo mzuri namba zake hazijawahi kuchuja, mpaka sasa amekua sehemu ya wafungaji bora wa muda wote wa ligi ya England akiwa ni mfalme kutoka Afrika katika nchi ya Egypt, nchi ambayo hapo mwanzoni waliamini haina haja ya kucheza nje ya kwao kwasababu ya pesa nono wanayoipata nyumbani.”

Ndugu wanakijiwe tulitamani kuandika mengi lakini barua yetu imeishia hapo na kwa hayo machache tuseme Wasalaam!.

  Past is a nice place to visit but not good place to stay!!!
30/11/2024



Past is a nice place to visit but not good place to stay!!!

 Trust is like glass once broken it can't be rebuild but the pieces can be used as step for moving forward!!!
27/11/2024



Trust is like glass once broken it can't be rebuild but the pieces can be used as step for moving forward!!!

26/11/2024



Giving money is not a prove of love and if giving money is what makes the love lasting that is not true love.
~Tiwa Savage

 We suffer because we want to be part of the place that don't value us!!!
25/11/2024



We suffer because we want to be part of the place that don't value us!!!

Address

Tanga
Dar Es Salaam
1961

Telephone

+255673117224

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hustler posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hustler:

Share