Kanyamala Media

Kanyamala Media HABARI | MATUKIO | LIFE STYLE | FASHION | GOAST GOSSIP | HAPA TANZANIA NA NJE YA TANZANIA

Msimu unaokuja wa NBC Premier League  (2025/26) patakua pagumu sana pale msimbazi kwa hii pacha Abdulrazak Hamza na Wils...
21/07/2025

Msimu unaokuja wa NBC Premier League (2025/26) patakua pagumu sana pale msimbazi kwa hii pacha Abdulrazak Hamza na Wilson Nangu.

21/07/2025

DUUH..😂😂😂

MIAKA TISA (9) NDANI YA NDOA_Mtangazaji/ MC maarufu katika ardhi hii ya Nyerere Godfrey Rugarabamu (Gara B) mwaka huu an...
20/07/2025

MIAKA TISA (9) NDANI YA NDOA
_
Mtangazaji/ MC maarufu katika ardhi hii ya Nyerere Godfrey Rugarabamu (Gara B) mwaka huu anaenda kutimiza miaka tisa (9) ya ndoa yake.

Mwanamitindo Mashuhuri hapa Afrika mashariki  Hamisa Mobeto ametema cheche kuwa Zari bado amekuwa na kinyongo kwake na k...
20/07/2025

Mwanamitindo Mashuhuri hapa Afrika mashariki Hamisa Mobeto ametema cheche kuwa Zari bado amekuwa na kinyongo kwake na kwaTanasha Donna.

"Mimi na Tanasha Donna Tupo Sawa Na Tunawasiliana Sana Ila Tatizo lipo Kwa Mwenzetu Labda Hapendi Kuwaweka Watoto Karibu Ila Hainashidah"-Ameongea Hamisa Mobeto

Beki wa kushoto wa Simba Sc Mohammed Hussein  'Tshabalala', amewaaga Mashabiki wote wa Simba Sc baada ya kuhudumu kwenye...
19/07/2025

Beki wa kushoto wa Simba Sc Mohammed Hussein 'Tshabalala', amewaaga Mashabiki wote wa Simba Sc baada ya kuhudumu kwenye timu hiyo kwa miaka 11.

Mwanamuziki  wa Bongofleva  Afande Sele, Siku ya leo ametangaza wazi kuwa mwaka huu mwezi wa nane (8) atafunga ndoa.Hii ...
19/07/2025

Mwanamuziki wa Bongofleva Afande Sele, Siku ya leo ametangaza wazi kuwa mwaka huu mwezi wa nane (8) atafunga ndoa.

Hii ni baada ya kukaa bila mwanamke kwa takribani miaka kumi na moja (11) toka alipo mpoteza Mke wake.

Kwanini Cristiano Ronaldo anachukiwa sana?(1). 2014, Wareno hao walikutana dhidi ya Sweden kwenye Mechi za Kufuzu Kombe ...
19/07/2025

Kwanini Cristiano Ronaldo anachukiwa sana?

(1). 2014, Wareno hao walikutana dhidi ya Sweden kwenye Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia.
Ndoto ya Sweden ili kufuzu kwenye WC ilikuwa ushindi tu ugenini.

Ronaldo alifunga hattrick iliyokatiza ndoto hiyo ya Uswidi.

Sweden ilimchukia kwa hilo.

(2). 2016, Kombe la Euro.
Wareno walikuwa dhidi ya mwenyeji hodari Ufaransa.
Wafaransa hao waliifanya mechi ionekane kuwa ushindi rahisi baada ya kumjeruhi Ronaldo wakati wa mechi.

Lakini Ronaldo alienda mbali zaidi kwa kuifundisha timu hiyo baada ya kuumia na kuachwa.

Na matokeo.

Ufaransa ilimchukia kwa hilo.

(3). 2018, UEFA Champions League.
Bayern Munich vs Real Madrid.
Ni miaka 6 imepita tangu timu yoyote ya Ujerumani ichukue ubingwa na huu ndio wakati.

Ronaldo alivunja kila uwezekano.

Ujerumani ilimchukia kwa hilo.

(4). 2017, Fainali ya UEFA Champions League.
Real Madrid vs Juventus.
Gianluigi Buffon, mmoja wa wachezaji bora wa mchezo ambao hawakuwahi kushinda ligi ya mabingwa alikuwa na matarajio ya kubeba taji hilo hasa kwa wakati huo

alimdhalilisha mara mbili.

Italia ilimchukia kwa hilo.

(5). Katika mechi dhidi ya Albania, umati wa watu ulimshangaza Cristiano kwa kuimba jina la Messi usoni mwake wakati wa kupasha viungo.

Ronaldo alipiga hattrick baadaye usiku huo kwenye uso wao na hivi ndivyo alivyosherehekea

Albania ilimchukia kwa hilo.

(6). Messi aliwadhalilisha mashabiki wa madrid baada ya ushindi katika uwanja wa nyumbani wa Real Madrid, Santiago Bernabeu.

Ronaldo alilipiza kisasi katika uwanja wa nyumbani wa Barcelona, Camp Nou, k**a bosi.

Barcelona na nusu ya ulimwengu walimchukia kwa hilo.

Sababu inayomfanya achukiwe sana : Labda yeye ni bora kuliko mchezaji unayempenda au ameharibu timu yako uipendayo.
Kipindi

"Upendo wako unanitia nguvu, chuki yako inanifanya nishindwe kuzuilika" - Cristiano Ronaldo

🥛 Je, unajua kwamba kuna aina ya mende ambao hutoa "maziwa" yenye lishe bora kwa ajili ya watoto wake?  🌟👶 Mende huyo an...
19/07/2025

🥛 Je, unajua kwamba kuna aina ya mende ambao hutoa "maziwa" yenye lishe bora kwa ajili ya watoto wake?
🌟👶


Mende huyo anayezaa anaitwa Diploptera punctata hulisha watoto wake wanaokua kwa "maziwa" ya kipekee k**a fuwele - sio kioevu k**a maziwa ya ng'ombe, lakini iliyojaa fuwele za protini ambazo zimesheheni virutubisho muhimu k**a vile asidi ya amino, sukari na mafuta yenye afya 🥚🍬💪.


Wanasayansi waligundua maajabu haya ya asili na kupata kuwa na lishe bora mara tatu zaidi ya maziwa ya kawaida ya ng'ombe ⚡🥛!
Fuwele hizi huyeyushwa polepole, na kutoa nishati endelevu kwa mende wachanga wanapokua ndani ya mama yao 🐞➡️👶.


Ingawa "maziwa haya ya kombamwiko" bado si kitu ambacho unaweza kupata madukani, watafiti wanachunguza njia za kuyazalisha kwa kutumia teknolojia ya kibayoteki 🧬🔬 - ambayo inaweza kuunda aina mpya ya vyakula bora zaidi katika siku zijazo 🚀🌱.


Ingawa inaonekana kuwa siyo ya kawaida, kirutubisho hiki cha asili kinatukumbusha jinsi asili inavyoweza kuwa ya ajabu na ya kushangaza 🌿✨.


🔍 Chanzo:

Kang et al., 2016. IUCrJ - "Muundo wa kioo wa fuwele nyingi tofauti, glycosylated, lipid-binding, invertebrate"

Mshambuliaji wa Man united, Marcus Rushford atajiunga na klabu ya Barcelona  kwa msimu ujao dili limeisha kamilika.Man u...
19/07/2025

Mshambuliaji wa Man united, Marcus Rushford atajiunga na klabu ya Barcelona kwa msimu ujao dili limeisha kamilika.

Man united > Barcelona

WALIOMHOJI PATENI WAFUNGIWA _“Watangazaji hao hawajasajiliwa na kupewa Ithibati na Bodi, hivyo wanafanya kazi za kihabar...
18/07/2025

WALIOMHOJI PATENI WAFUNGIWA
_
“Watangazaji hao hawajasajiliwa na kupewa Ithibati na Bodi, hivyo wanafanya kazi za kihabari kinyume na Kifungu cha 19 cha Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229
(Toleo la 2023);

Watangazaji hao walikiuka haki ya faragha na kutweza utu wa mhojiwa kwa kumlazimisha kutoa tarifa binafsi bila ridhaa yake kinyume na Kanuni ya 11(1)(e) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Maudhui ya Utangazaji ya Redio na Televisheni), 2018 (k**a zilivyofanyiwa marekebisho); na
Watangazaji hao walitumia lugha ya kumshushia hadhi mhojiwa kinyume na Kanuni ya 11(1)(f) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Maudhui ya Utangazaji ya
Redio na Televisheni), 2018 (k**a zilivyofanyiwa marekebisho) na Kanuni ya 16(1), ikisomwa pamoja na Jedwali la Tatu aya ya 2(b) ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Maudhui ya Mtandaoni), 2020.

Kutokana na ukiukwaji huo mkubwa wa Sheria na maadili ya taaluma ya habari, Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, imewapiga marufuku watangazaji tajwa hapo juu kujihusisha na masuala ya kihabari kuanzia tarehe 18 Julai, 2025 mpaka hapo watakapotimiza matakwa ya Sheria ikiwa ni pamoja na kuwa na sifa za kielimu na kuzingatia maadili ya taaluma ya habari.

Bodi inatoa ony kali kwa watu wote wanaofanya kazi za kihabari kuhakikisha kuwa wanazingatia matakwa ya Sheria kwa sababu taluma ya habari ni mhimili muhimu wa utawala bora unaotegemea ukweli, uadilifu na heshima kwa utu a binadamu.”

Staa wa maigizo hapa nchini Agness Suleiman Kihamba  (" ") amesemaa wanawake wengi wanakosea sana kupata watoto na wanau...
18/07/2025

Staa wa maigizo hapa nchini Agness Suleiman Kihamba (" ") amesemaa wanawake wengi wanakosea sana kupata watoto na wanaume wasio kuwa na uwezo wa kuhudumia familia (wasio na kipato).

"Yani k**a mwanaume hawezi kukupa Milion 5 na kuendelea pale utakapo ihitaji usimzalie kabisa utawatesa watoto wako, Wanaume tafuteni pesa familia isipate shida."- Amefunguka AggyBaby.

Toa maoni yako______________________________

Aliekuwa mtangazajiwa wa wasafi fm kupitia kipindi cha Lavi davi, akizungumza na waandishi baada ya kutangaza Rasmi kwam...
18/07/2025

Aliekuwa mtangazajiwa wa wasafi fm kupitia kipindi cha Lavi davi, akizungumza na waandishi baada ya kutangaza Rasmi kwamba ameacha kufanya kazi wasafi amefunguka kuhusu vikwazo, chuki na Fitna alizokuwa akikumbana nazo kazini kwake huku akidai kwamba Marehemu "Dida" Alikua anamchaafua kupitia kipindi chao cha Mashamsham enzi za Uhai wake.

Je nisawa Diva kuyasema haya mambo.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kanyamala Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kanyamala Media:

Share