PNTV-Kiswahili

PNTV-Kiswahili Pata Habari MBALI MBALI zikiwemo Michezo,BURUDANI,Biashara na Uchumi, Teknolojia nk
(1)

MPIRA UMEMALIZIKA  UGANDA 2-0 NIGER Fuatilia               Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni majina ya...
11/08/2025

MPIRA UMEMALIZIKA


UGANDA 2-0 NIGER Fuatilia



Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni majina ya Biashara KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu 0682188544

57'  UGANDA 2-0 NIGER Fuatilia Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni majina ya Biashara KUOMBA vibali vya ...
11/08/2025

57'
UGANDA 2-0 NIGER Fuatilia

Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni majina ya Biashara KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu 0682188544

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amewasili jijini Cairo kwa ziara ya kikazi kwa mwaliko wa Rais Abdel Fattah el-Sisi. Kuli...
11/08/2025

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amewasili jijini Cairo kwa ziara ya kikazi kwa mwaliko wa Rais Abdel Fattah el-Sisi.

Kulingana na Museveni, ziara yake inalenga kuimarisha uhusiano kati ya kampala na Cairo.

📸Ikulu ya 🇺🇬

SOMA NA HII👇👇
Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na kwa Simu 682188544

FULL TIME  SOUTH AFRICA 2-1 GUINEA          Fuatilia pia kurasa HIZIPNTV-Kiswahili SOMA NA HII👇👇Je unahitaji Usaidizi wa...
11/08/2025

FULL TIME


SOUTH AFRICA 2-1 GUINEA



Fuatilia pia kurasa HIZI
PNTV-Kiswahili

SOMA NA HII👇👇
Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu Namba 0682188544

63' SOUTH AFRICA 2-1 GUINEA          Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vib...
11/08/2025

63'

SOUTH AFRICA 2-1 GUINEA



Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu Namba 0682188544

Sadio Kanoute amesaini dili la Miaka miwili kuwatumikia matajiri wa Chamazi Azam fcFollow PNTV-Kiswahili Je unahitaji Us...
11/08/2025

Sadio Kanoute amesaini dili la Miaka miwili kuwatumikia matajiri wa Chamazi Azam fc

Follow PNTV-Kiswahili

Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu 0682188544

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wahariri na Waandish...
11/08/2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wahariri na Waandishi Waandamizi wa Vyombo vya Habari leo Jumatatu Agosti 11, 2025 katika Ofisi Ndogo ya CCM Makao Makuu, Lumumba, jijini Dar es Salaam,kuhusu
harambee ya kuchangia kampeni za chama hicho itakayozinduliwa rasmi kesho katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Harambee hiyo inalenga kukusanya Shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya maandalizi ya kampeni, ikiwemo gharama za magari, mabango, mafuta, fulana na kanga.
Fuatilia PNTV-Kiswahili

Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa simu

  Timu ya wanasayansi wa Italia walisema waliweza kwa usahihi kuitambua tarehe ya Sanda ya Turin, na kwamba inaonyesha k...
11/08/2025

Timu ya wanasayansi wa Italia walisema waliweza kwa usahihi kuitambua tarehe ya Sanda ya Turin, na kwamba inaonyesha kuwa ilikuwa ni ya wakati wa Kristo.

Utafiti huu, uliochapishwa hapo awali mnamo 2022, unapinga mtazamo kwamba mabaki ya Sanda hiyo ni "bandia" na inaweza kuwa imetengenezwa katika Zama za Kati.

Utafiti huo, ambao ulichapishwa hivi karibuni, umechapishwa na vyombo vya habari vya nchini Uingereza, Marekani na Ireland.
Cc BBC

Fuatilia pia PNTV-Kiswahili
Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu 0682188544

  Waandishi 5 wa Aljazeera wauawa katika shambulio la Israel GazahChanzo cha picha,Social MediaKituo cha habari cha Al J...
11/08/2025

Waandishi 5 wa Aljazeera wauawa katika shambulio la Israel Gaza
hChanzo cha picha,Social Media
Kituo cha habari cha Al Jazeera kimethibitisha kwamba waandishi wake watano wameuawa katika shambulio la anga la Israel lililotokea karibu na lango kuu la Hospitali ya Al-Shifa, mjini Gaza.

Kwa mujibu wa taarifa ya kituo hicho, waandishi wa habari Anas al-Sharif na Mohammed Qreiqeh, pamoja na wapiga picha Ibrahim Zaher, Mohammed Noufal na Moamen Aliwa, walikuwa ndani ya hema maalum la waandishi wa habari lililokuwa limewekwa katika hospitali hiyo, wakati walipolengwa moja kwa moja na shambulio hilo la Jumapili.

Al Jazeera imelitaja tukio hilo k**a “mashambuli mengine ya wazi na ya kupangwa dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari.”

Hata hivyo Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilithibitisha baadaye kuwa lilimlenga Anas al-Sharif, likidai kupitia chapisho la Telegram kwamba alikuwa kiongozi wa kikosi cha wapiganaji wa Hamas.

Follow PNTV-Kiswahili

Mchezaji wa liverpool Mohamed Salah amelikosoa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA baada ya shirikisho hilo kutuma ujum...
11/08/2025

Mchezaji wa liverpool Mohamed Salah amelikosoa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA baada ya shirikisho hilo kutuma ujumbe wa pole kufuatua kifo "Pele wa Palestina" Suleiman al-Obeid, ujumbe ambao hata hivyo ulikosa kusema kwamba mchezaji huyo wa zamani wa kimataifa alifariki baada ya kupigwa risasi na wanajeshi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

Obeid, 41, aliuawa siku ya Jumatano wakati wanajeshi wa Israel walipowashambulia watu waliokuwa wakisubiri msaada wa kibinadamu kusini wa Gaza kulingana na taarifa ya shirikisho la mpira wa miguu la Palestina (PFA).

Baada ya ujumbe wa pole wa UEFA, Mo Salah aliuliza "Mnaweza kueleza alifariki vipi, wapi na kwa nini?"

Mzaliwa wa Gaza City, Obeid, aliichezea timu ya Palestina mechi 24 za kimataifa.

Fuatilia PNTV-Kiswahili

Waasi wa M23 waliodhibiti mwaneo ya mashariki mwa DRC wamekana madai ya kuwauwa raia katika jimbo la Kivu Kusini pamoja ...
11/08/2025

Waasi wa M23 waliodhibiti mwaneo ya mashariki mwa DRC wamekana madai ya kuwauwa raia katika jimbo la Kivu Kusini pamoja na madai ya kuajiri askari watoto.

Msemaji wa M23 , W***y Ngoma ameiambia BBC kuwa sio lengo lao kuwalenga raia.

"Hatuui raia ... Tunawezaje kuua raia ambao tunapaswa kuwalinda? Hatuwezi hata kuua kuku wao... tunaheshimu raia," anasema Ngoma.

SOMA NA HII👇
Je unahitaji Usaidizi wa Huduma ya kusajili kampuni, majina ya Biashara, KUOMBA vibali vya Kuendesha MICROFINANCE? Wasiliana na Phidtech Ict & Business Solutions Limited kwa Simu Namba 0682188544

Address

Mikocheni B
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PNTV-Kiswahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PNTV-Kiswahili:

Share