05/06/2021
K**A UMEZOEA FACEBOOK,INSTAGRAM,SNAPCHAT,TIKTOK NA TWITTER TU BASI UPO NYUMA YA MUDA
Duniani kuna mtandao wa kijamii mpya unaojulikana k**a "Club-house".
Upekee wa mtandao huu ni kuwa unawawezesha watumiaji kupiga stori moja kwa moja bila kurekodi sauti,watu wote wanaweza kuongea kwa wakati mmoja na kujihisi k**a wapo sehemu wanapiga stori.
Ila sasa mtandao huu ni tofauti na mingine,ili uweze kuanza kutumia mtandao huu ni lazima upate mwaliko kutoka kwa mmojawapo wa watumiaji wa mtandao huu (Muulize rafiki yako k**a ameshaanza kuutumia mtandao huu 😃😃)
Ni muhimu kujua kuutumia mtandao wa Clubhouse kwani dunia inapoelekea sasa majadiliano na stori nyingi zitakuwa zinafanyika kupitia mtandao huu kwa mfano matajiri wakubwa Afrika na duniani,wanatumia mtandao huu kuongea na vijana.
K**a unataka kuanza kutumia mtandao huu ili kwenda na fursa zinazopatikana huko jiunge na group letu la whatsapp na huko tutatoa maelezo zaidi kwa wale watakaopenda tuwaunganishe kuanza kutumia mtandao wa Club-house.