George Ambangile Sports

George Ambangile Sports AMBANGILE SPORTS REPORTER

โœ๐ŸปReal Madrid ni k**a vile hawakutaka kabisa Arsenal kupita ndani na ndio maana ule muundo wao wa ulinzi wa 4-4-2. Jude ...
08/04/2025

โœ๐ŸปReal Madrid ni k**a vile hawakutaka kabisa Arsenal kupita ndani na ndio maana ule muundo wao wa ulinzi wa 4-4-2. Jude na Rodrygo wanakabia ndani zaidi na kuacha space ya pembeni . Ni jinsi gani Arsenal walifanikiwa dhidi ya muundo huo ? ( Sababu mbili : Moja Arsenal wenyewe , mbili ni watu wawili wa mbele wa Real Madrid ) kivipi ?

1: Vini na Mbappe ndio walikuwa juu lakini sasa ni k**a vile hawapo uwanjani bila mpira : hawaweki presha kwenye mpira dhidi ya Saliba na Kiwior na wala hawashuki chini haraka k*mnyima Partey uhuru wa kupokea pasi

2: Twende kwa Arsenal sasa : Position ya Skelly na Timber ilikuwa muhimu sana kunyumbulisha block ya Real , walikuwa wanapokelea mpira pembeni ya Jude na Rodrygo ambao walikuwa wanakabia ndani ( na ndio space ilipo pembeni ya hao wawili, maana yake nafasi ipo ya kusogea na mpira mbele - progression )

3: Majuk*mu ya wingers wao ( Saka na Martinelli ) kujitenga 1v1 dhidi ya Fede na Alaba hii inafanya kuitanua safu ya ulinzi ya Real na kufungua space baina ya Asencio na Fede & Rudiger na Alaba kwa Rice na Odegaard kuzishambulia .

โœ๐Ÿป Naomba nikueleze sumu nyingine ya Arsenal leo ni nini na wakina nani ? Partey na Merino positions zao : Partey anasimama nyuma ya mstari wa Vini na Mbappe wakati Merino nyuma ya Camavinga na Modric hii inafanya nini ? Inatengeneza sintofahamu kwa muda gani na wapi wanatakiwa kukabia juu au kushuka chini kwa mstari wa Camavinga + Modric na Asencio + Rudiger ( hii ilisaidia Arsenal kupata spaces na kuwa na spare Man kwenye kila kitendo cha mpira )

โœ๐ŸปReal Madrid wazuri sana kwenye combination play lakini inahitaji mpinzani asinzie kwenye nafasi yake kiulinzi na Arsenal walikuwa bora kuzuia hasa nje ya penati box lao .

NOTE

1: Courtois kapunguza sana idadi ya magoli " Jini lile "

2: Skelly na Timber wamekabiliana vizuri Vs Vini + Rodrygo

3: Partey ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ utulivu na passing game yake

4: Finishing ya Merino k**a TEKA ๐Ÿ”ฅ

5: Saka Saka hapo hata sio fit 100% ngumu sana k*mnyamazisha๐Ÿ”ฅhuyu faulo zote mbili kutoka kwake

6: RICE.Zile ndio ยฃ100M ๐Ÿ”ฅ. Kipa aina ya Courtois ndio anafungwa vile. Zile freekicks hazizuiliki hata kidogo.

FT: Arsenal 3-0 Real Madrid.

Don't FORGET TO SHARE ๐Ÿ’ฏ

04/03/2025

Jina:- ๐Š๐ˆ๐‰๐ˆ๐‰๐ˆ ๐‚๐‡๐€ ๐–๐€๐‚๐‡๐€๐–๐ˆ
Sehemu: 04
Mwandishi: jrjames (0684554460)

Razi hakujibu mara moja. Aliinua mkono wake na kupitisha kidole juu ya fimbo yake. Mara moja, upepo uliongezeka nguvu, ukizungusha vumbi na majani kwa mduara mkali. Majivu meusi yalianza kuinuka kutoka ardhini, yakielea angani k**a moshi wa moto wa zamani uliokuwa umezimika.

Mzee Mukami, aliyekuwa miongoni mwa wazee wa kijiji, alisogea mbele kwa tahadhari. "Tafadhali, Razi. Tuambie ni nini kinachoendelea. Tumeishi kwa hofu kwa miaka mingi. Tunahitaji ukweli."

Razi alishusha pumzi nzito. "Mliohubiri uongo kwa muda mrefu, sasa ni wakati wa ukweli kujulikana," alisema kwa sauti iliyosikika k**a ya zaidi ya mtu mmoja.

Ghafla, ardhi ilianza kutikisika. Wenyeji walipiga kelele za hofu, wakijaribu kutafuta pa kujificha. Kutoka ardhini, alama za kale zilianza kung'aa, zikijitokeza k**a michoro iliyoandikwa kwa lugha isiyoeleweka. Mti mkubwa uliokuwa katikati ya kijiji ulianza kutoa sauti k**a mtu aliyekuwa akilia kwa uchungu.

Bi. Zulaiha alitabasamu. "Hatimaye, mlango wa ukweli unafunguka."

Kutoka msituni, miili yenye vivuli vya ajabu ilianza kuonekana, ikisogea polepole kuelekea kijiji. Walikuwa ni viumbe waliokuwa wamesahaulika kwa muda mrefu, waliolaaniwa na historia ya kijiji hiki. Wenyeji walizidi kutetemeka kwa hofu.

Razi aligeuza uso wake kwa Bi. Zulaiha. "Wakati wa kulipa deni la roho zilizoteswa umefika. Kila mtu aliyeshiriki katika kuvunja amani ya kale atajua maumivu yao."

Bi. Zulaiha alitikisa kichwa, uso wake ukionesha furaha isiyoelezeka. "Ndiyo, Razi. Hii ndiyo sababu nilikuita. Leo, historia inajirudia, na wale waliowahi kuwa na nguvu wanarejea kuchukua kilicho chao."

Ghafla, kilisikika kilio cha mwanamke kutoka upande wa kijiji.

๐™„๐™๐˜ผ๐™€๐™‰๐˜ฟ๐™€๐™‡๐™€๐˜ผ......!?

Timu ipo Tabora, wewe upo Kitambaa Cheupe halafu unasema timu iko vizuri,Itachukua Ubingwa...huo ujasiri unautoa wapi? A...
31/01/2025

Timu ipo Tabora, wewe upo Kitambaa Cheupe halafu unasema timu iko vizuri,Itachukua Ubingwa...huo ujasiri unautoa wapi? Au ndio kuipa hype mechi kutafuta mapato ya klabu?

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

โœ๏ธ๐Ÿšจ Mfumo mpya wa UEFA Champions League upo kiufundi sana, Watu waliobuni huu mfumo mpya ni watu sana hapa wamejua kutup...
31/01/2025

โœ๏ธ๐Ÿšจ Mfumo mpya wa UEFA Champions League upo kiufundi sana, Watu waliobuni huu mfumo mpya ni watu sana hapa wamejua kutupa burudani mashabiki

Yaani Tunashuhudia Mechi kubwa kubwa hata kabla ya Hatua zile ngumu, Robo Fainali nusu na Fainali ๐Ÿ”ฅ

Elimu kwa Wale ambao wanajiuliza 16 bora itakuwaje

1. Mshindi kati ya Real Madrid Vs Man City na Celtic Vs Bayern Munich Wawili wataopita watakutana na Atletico Madrid au Leverkusen kwenye 16 bora UCL.

2. MShindi kati ya PSG Vs Brest na AS Monaco Vs SL Benfica zitakutana na Barcelona au Liverpool 16 bora

3. Mshindi kati ya Sporting Lisbon Vs Dortmund na Atalanta Vs Club Brugge watakutana na LOSC Lille au Aston Villa kwenye hatua ya 16 bora

4. Mshindi kati ya Juventus Vs PSV Eindhoven na AC Milan Vs Feyenoord watakutana na Arsenal au Inter Milan kwenye hatua ya 16 bora ya Champions league

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

โ€œ...Simba wanaenda kukutana na Mechi ngumu ambayo haijawahi kutokea tangu dunia iumbwe, wasije na matokeo yao mfukoni hi...
28/01/2025

โ€œ...Simba wanaenda kukutana na Mechi ngumu ambayo haijawahi kutokea tangu dunia iumbwe, wasije na matokeo yao mfukoni hii Tabora ya sasa ni tofauti na waliyowahi kucheza nayoโ€

๐ŸŽ™Christina Mwagala
Afisa Habari Tabora United

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

๐Ÿšจ Aston Villa iko tayari k*muuza mshambuliaji Jhon Duran ikiwa ofa ya ยฃ80m itatolewa na klabu yoyote,๐ŸฅดChelsea ndio klabu...
28/01/2025

๐Ÿšจ Aston Villa iko tayari k*muuza mshambuliaji Jhon Duran ikiwa ofa ya ยฃ80m itatolewa na klabu yoyote,๐Ÿฅด

Chelsea ndio klabu inayopewa nafasi kubwa kupata saini ya mshambuliaji huyu mwenye miaka 21. ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ด ๐Ÿ”ต

Leo amezaliwa beki bora kuwahi kutokea nchini Tanzania...Moja kati ya mabeki bora Afrika.Happy Birthday shomari๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š...
28/01/2025

Leo amezaliwa beki bora kuwahi kutokea nchini Tanzania...Moja kati ya mabeki bora Afrika.

Happy Birthday shomari

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

EDO: VIONGOZI WA YANGA WANAKOSEA KUMBANIA MZIZE."Hata hivyo, inapofikia mchezaji anatakiwa na klabu fulani ambazo zinach...
28/01/2025

EDO: VIONGOZI WA YANGA WANAKOSEA KUMBANIA MZIZE.
"Hata hivyo, inapofikia mchezaji anatakiwa na klabu fulani ambazo zinacheza katika ligi kubwa kuliko yetu nadhani busara inabidi itumike kwa ajili ya taifa. Labda mchezaji ataenda kupata uzoefu mkubwa zaidi kuliko alivyo sasa. Iliwahi kutokea kwa Samatta, Simon Msuva na sasa inatokea kwa Novatus Dismas. Inaweza pia kutokea kwa Mzize k**a akienda kucheza Ligi Kuu ya Morocco, au Afrika Kusini, ingawa itakuwa vema zaidi k**a akienda Ubelgiji k**a nilivyosikia. Ina msaada kwa Taifa"
EDO KUMWEMBE, Mchambuzi WASAFI TV.

โœ๐ŸปPep Guardiola leo alichanganya mipango yake jinsi ya kukabiliana dhidi ya Chelsea kwa staili mbili 1: KWANZA : Fullbac...
26/01/2025

โœ๐ŸปPep Guardiola leo alichanganya mipango yake jinsi ya kukabiliana dhidi ya Chelsea kwa staili mbili

1: KWANZA : Fullbacks wake kusogea juu kabisa pembeni ili kuwaruhusu Foden na Marmoush kuingia ndani kuwa karibu karibu na kutengeneza Box Midfield pamoja na Gundogan na Kovacic wakiwa nyuma yao , kwanini ?

2: Ili kuwafanya fullbacks wa Chelsea kukabia chini kabisa na kutengeneza sintofahamu kww Madueke na Sancho wapi kuanzia kukabia na nani wa k*m track back

3: PILI : Kucheza mipira mirefu . Kwamba acha Chelsea waende kukabia juu halafu piga mpira kwa Haaland ambaye alikuwa hodari kwa kufanya vitu viwili sahihi kabisa ambavyo straika anayekuwa mbele peke yake anatakiwa kufanya : A) Kucheza vizuri goli la mpinzani ukiwa umelipa mgongo na kuwasubiri wenzako ( k**a goli la Foden ) : B) Kuishambulia mipira inayodondoshwa nyuma ya walinzi wawili wa Chelsea .

โœ๐ŸปMpango wa Maresca ulikuwa mzuri hasa kipindi cha kwanza kilichokosekana ni wachezaji wake kutotekeleza vizuri . Mpango ulikuwa

1: Waache City waje kufanya pressing ili wao ( Chelsea ) watumie spaces ambazo City wanaacha nyuma yao kwa kuishinda pressing yao ( Artificial transition )

2: Caicedo na Reece ( kazi yao ni kuishinda press ya City kwa kupita ndani ) huku Sancho na Madueke watumike kuipita pressing ya City pembeni . Dhumuni kuu ni kufika haraka sana nyuma ya mstari wa kiungo wa City kwa pasi chache . Lakini mara kadhaa Maresca aliangushwa na ufanisi wa wachezaji wake katika nyakati muhimu .

โœ๐ŸปKipindi cha pili Chelsea unaona wapo uwanjani wanakosa ideas , wanawafunguaje Man City ? Aina gani ya runs wazifanye ? Muundo wao wa ulinzi ni upi pale wakiwa wao wana mpira ? City alikuwa comfortable sana .

NOTE

1: Khusanov atahitaji kuisahau hii mechi haraka sana .

2: Hivi Palmer alikuwepo uwanjani leo ? ๐Ÿค”

3: Enzo akiwa na mpira mguuni yupo makini ๐Ÿ”ฅ

4: Sanchez na makosa ni damu damu milele ๐Ÿ˜€

5: Gundogan leo hasa akiwa na mpira . Umakini sana

6: Marmoush kuna mtu mule ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ

7: Haaland Vs Colwill + Chalobah ni k**a Mwanaume Vs Wavulana : Nguvu na maarifa kawazidi

8: GVARDIOL .. upande wa kushoto wote wake . Umakini kidogo angepiga Hat Trick ๐Ÿ”ฅ

FT: City 3-1 Chelsea

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

Mimi nasimama na Roberto Sanchez kuwa ni moja ya magolikipa bora kuwahi kupita pale darajani ๐Ÿ˜€ acheni kulia mbona nyie n...
25/01/2025

Mimi nasimama na Roberto Sanchez kuwa ni moja ya magolikipa bora kuwahi kupita pale darajani ๐Ÿ˜€ acheni kulia mbona nyie ni wabovu mnooo .

Ila Vichekesho vya Sanchez ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Wanangu wa Chelsea tafuteni kipa kwanza aiseeee

WANANGU KWANI NYIEE MNA HOFU NA ROBERTO SANCHEZ ?๐Ÿ˜€

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

OMAR MARMOUSH โœ๏ธHana hata wiki ndani ya English Premier league , Hana muda mrefu akiwa na Manchester City ya Pep Guardio...
25/01/2025

OMAR MARMOUSH โœ๏ธ

Hana hata wiki ndani ya English Premier league , Hana muda mrefu akiwa na Manchester City ya Pep Guardiola lakini leo kaonesha uwezo wake wa Bundesliga.

Mchezo wakwanza wa mchezaji asiye na muda mrefu ndani ya kikosi kuna tabia ya Makocha kusema kwa mchezaji"Cheza kwanza uwezavyo alafu baada ya Mechi tuanze kuongeza vitu na kupunguza vitu " .

Bundesliga na Epl ni mtu na mjomba wake , Vipi kiwango cha Omar Marmoush umekionaje leo ?

๐Ÿšจ๐Ÿ†•๐ƒ๐จ๐ฐ๐ง๐ฅ๐จ๐š๐ ๐€๐๐ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ข๐ฅ๐ข ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐Œ๐ž๐œ๐ก๐ข ๐ณ๐จ๐ญ๐ž ๐ณ๐š ๐‹๐ข๐ ๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ƒ๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข ๐๐ฎ๐ซ๐ž๐ž ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š. ๐๐Ž๐๐˜๐„๐™๐€ ๐‡๐€๐๐€โฌ‡๏ธ ๐Š๐”๐ƒ๐Ž๐–๐๐‹๐Ž๐€๐ƒ๐Ÿ‘‡โฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/LiveFootballTv.apk

BUNDESLIGA RB Leipzig watakuwa nyumbani Red Bull Arena wakiwakaribisha mabingwa watetezi Bayer Leverkusen. Je, ni RB ya ...
25/01/2025

BUNDESLIGA

RB Leipzig watakuwa nyumbani Red Bull Arena wakiwakaribisha mabingwa watetezi Bayer Leverkusen.

Je, ni RB ya kocha Marco Rose ama Leverkusen ya Xabi Alonso nani kuondoka na alama tatu?

Mtanange huu utaruka mbashara kupitia App hii hapa chini hakikiaha una download๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Wakati Freiburg watawakaribisha vinara Bayern Munich.

BONYEZA HAPA โฌ‡๏ธ KUDOWNLOADโฌ‡๏ธโฌ‡๏ธ
https://uploadapk.store/view-app.php?id=82uploads/apk/Live%20Football%20Tv.apk

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when George Ambangile Sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share