
19/02/2024
JE WAJUA.....๐คค
BEKI wa Manchester City, Manuel Akanji katika bega lake la Kushoto amechora tattoo ya nembo ya timu ya Taifa ya Negeria Super Eagle ๐ฆ
๐ณ๐ฌ.
Baba yake Akanji ni Mnaigeria lakini beki huyo alizaliwa Uswisi huku akiamua Kulitumikia Taifa la Uswisi badala ya Nigeria ambalo ndio asili ya kwao.