Bnet Hub

Bnet Hub Shaloom! Ungana nasi kupata mafundisho na maoni huru yenye lengo la kusaidia watu katika nyanja mbalimbali za maisha kwa mtazamo wa wazi na wa kidini.

Tunampenda Yesu Kristo
Tufatilie

07/10/2025

1 Wakorintho 6:18-20
Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Jiunge na channel hii kupata mstari wa siku: 👇
https://whatsapp.com/channel/0029VamocnxJP21D2SPnOp27

Siku yako na Ibarikiwe Mwana wa Mungu.


 Zaburi 91:55 Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,___English VersionPsalm 91:5Thou shalt not be afraid fo...
29/09/2025



Zaburi 91:5
5 Hutaogopa hofu ya usiku,
Wala mshale urukao mchana,
___
English Version
Psalm 91:5
Thou shalt not be afraid for the terror by night; nor for the arrow that flieth by day;
____

Wagalatia 6: 1-51. Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu k**a huyo kw...
23/09/2025

Wagalatia 6: 1-5
1. Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu k**a huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.

2. Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.

3. Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.

4. Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake.

5. Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.

Siku yako na Ibarikiwe
___

1 Wakorintho 10:13Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawa...
26/08/2025

1 Wakorintho 10:13
Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili.




Ayubu 38:12Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza? Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?          bibleverse
25/08/2025

Ayubu 38:12
Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza?
Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?

bibleverse

Yakobo 4:6Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyek...
20/07/2025

Yakobo 4:6
Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu.

Siku yako na Ibarikiwe
___
Jiunge na WhatsApp Channel kupata mstari wa Biblia kila siku: Click link hii: https://whatsapp.com/channel/0029VamocnxJP21D2SPnOp27

Neno la Mungu.Waefeso 4:22-24mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye...
16/07/2025

Neno la Mungu.

Waefeso 4:22-24
mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.

Siku yako na Ibarikiwe
Jiunge na WhatsApp Channel kupitia link hii ili kupata mstari wa Biblia kila siku na mafundisho ya Neno la Mungu.
https://whatsapp.com/channel/0029VamocnxJP21D2SPnOp27
____

Address

Dar Es Salaam
255

Telephone

+255754060464

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bnet Hub posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bnet Hub:

Share