28/05/2025
za Tamko Huru
Kila mmoja wetu anakutana na changamoto mbalimbali; kuanguka, kukataliwa, au kuonekana k**a ameshindwa. Lakini je, unajua nini kinamfanya mtu awe mkubwa (strong) kweli? Sio ukamilifu wa viungo, elimu, n.k, bali ni uamuzi wa kutokata tamaa.
Ujumbe wa leo ni huu: Usiruhusu kushindwa kukufanye ujione huwezi, endelea. simama tena, kuna ukubwa ndani yako unaosubiri kuonekana kwa walimwengu. Na mara nyingi, unaonekana baada ya kushindwa mara nyingi.
Ungana nasi kwa mafundisho ya maisha, jamii, imani na hekima zitakazokujenga kila siku. Fuatilia akaunti zetu ili usikose ujumbe k**a huu unaogusa maisha yako kwa undani.
“Mwanamume ni mkubwa si kwa sababu hajawahi kushindwa, bali ni kwa sababu kushindwa hakujamzuia kusonga mbele.” — Msemo wa hekima
___