07/10/2025
1 Wakorintho 6:18-20
Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
Jiunge na channel hii kupata mstari wa siku: π
https://whatsapp.com/channel/0029VamocnxJP21D2SPnOp27
Siku yako na Ibarikiwe Mwana wa Mungu.