UBT Tz

UBT Tz Karibu kwa huduma ya kurecord nyimbo, Matangazo, na kazi zote zinazohusu studio recording.

Ule Muda uliokuwa unasubiriwa Kwa Hamu na Shauku Kubwa Umefika sasa, Ni Uzinduzi Wa Sauti za Kumoyo Ep siku ya Ijumaa ya...
24/07/2023

Ule Muda uliokuwa unasubiriwa Kwa Hamu na Shauku Kubwa Umefika sasa, Ni Uzinduzi Wa Sauti za Kumoyo Ep siku ya Ijumaa ya Tarehe 28.7.2023 kuanzia saa 12 jioni hadi saa4 Usiku
Burudani ya live Kwaajili ya Wageni Waalikwa katika Ukumbi wa Makumbusho Ya Taifa (Posta, Dar es salaam)
Hii Si Ya kukosa, Hakuna Kiingilio ————————————————

Mradi huu wa SAUTI ZA KUMOYO umefadhiliwa na ubalozi wa na

Kupitia FEEL FREE Grants inayotolewa na

Ukitekelezwa na Uswazi Born Talents kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa Tanzania Basata Tanzania .tanzania
na


"

Yaliojiri leo kwenye  KONGAMANO la WAREMBO NA SANAAA   DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC  WAREMBO NA SANAA supported by ...
21/07/2023

Yaliojiri leo kwenye KONGAMANO la WAREMBO NA SANAAA DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC

WAREMBO NA SANAA supported by afd_france & kupitia chini ya usimamizi wa Taasisi kwa kushirikiana na .tanzania





Mwenye KIGAMBONI YAKE MH MKUU WA WILAYA  ATAKUWEPO kwenye KONGAMANO La  Ewe MSICHANA  Mwenye Ndoto ya  kufanya SANAA au ...
19/07/2023

Mwenye KIGAMBONI YAKE MH MKUU WA WILAYA ATAKUWEPO kwenye KONGAMANO La

Ewe MSICHANA Mwenye Ndoto ya kufanya SANAA au Unayefanya SANAA

KUIMBA,KUIGIZA,KUCHEZA ,UBUNIFU WA MAVAZI na Unatamani kufika Mbali Basi tukutane KIGAMBONI IJUMAA hii kuanzia Saa 3 asbh kwenye KONGAMANO la WAREMBO NA SANAAA DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC
Tupeane Madini Jinsi ya KUTOBOA

WAREMBO NA SANAA supported by afd_france & kupitia chini ya usimamizi wa Taasisi kwa kushirikiana na .tanzania





14/07/2023

Kwa WASICHANA Wa DAR ES SALAAM WAPENDA SANAA na WENYE Vipaji vya KUIMBA ,KUCHEZA na KUDJ muziki hii ni ZAMU YENU YA KUTIMIZA NDOTO ,

Tukutane Tarehe 21 /07/2023 Kupata ELIMU YA SANAA na tarehe 22/07/2023 Kushiriki Katika MASHINDANO pale kupitia WAREMBO NA SANAAA DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC,

Supported by afd_france & kupitia chini ya usimamizi wa Taasisi kwa kushirikiana na .tanzania





MKURUGENZI wa  Ndg   leo Alimtembelea MKURUGENZI wa Taasisi Ya  Ndg  kubalishana mawazo hasa Katika maandalizi Ya tamash...
13/07/2023

MKURUGENZI wa Ndg leo Alimtembelea MKURUGENZI wa Taasisi Ya Ndg kubalishana mawazo hasa Katika maandalizi Ya tamasha kubwa la CHIGOGO MUSIC FESTIVAL litakalo Fanyika tar 22-23 Chamwino DODOMA .


Muziki unaongea na SAUTI ZA KUMOYO ndiyo inayoongelewa. Waswahili wanakwambia Mchiriku na Singeli ni bampa to bampa.Stud...
13/07/2023

Muziki unaongea na SAUTI ZA KUMOYO ndiyo inayoongelewa. Waswahili wanakwambia Mchiriku na Singeli ni bampa to bampa.
Studio session na maajabu yake.
Endelea kutufatilia
————————————————

Mradi huu wa SAUTI ZA KUMOYO umefadhiliwa na ubalozi wa na

Kupitia FEEL FREE Grants inayotolewa na

Ukitekelezwa na Uswazi Born Talents kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa Tanzania Basata Tanzania .tanzania
na


Cc:www.ubt.or.tz



"

Utambulisho wa wafadhili na washirika wa Mradi wa THE DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC  Miongoni mwa wafadhili wakuu ni...
11/07/2023

Utambulisho wa wafadhili na washirika wa Mradi wa THE DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC
Miongoni mwa wafadhili wakuu ni
Institut français ni taasisi ya umma inayosimamia shughuli za kitamaduni za Ufaransa nje ya nchi, chini ya usimamizi wa wizara ya Ulaya na Mambo ya Nje na Wizara ya Utamaduni.
Institut français inasaidia utamaduni wa Kifaransa kimataifa. inasaidia kukuza lugha ya Kifaransa, usambazaji wa kazi, na mawazo na uhamaji wa wasanii duniani kote. Inafanya kazi kukuza utofauti wa tamaduni na inachangia kikamilifu kuwa mwenyeji wa wasanii wa kigeni nchini Ufaransa.
--------------------------------------
The official introduction of Donors and Partners of THE DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC


The is among of a major donor
The Institut français is the public establishment in charge of France’s cultural action abroad, under the supervision of the ministry of Europe and Foreign Affairs and the Ministry of Culture
The Institut français supports French culture internationally.it helps to promote French language, circulation of works, and ideas and mobility of artists throughout the world. It works to promote culture diversity and actively contributes to the hosting foreign performers in France.
Supported by &

Kupitia

Chini ya usimamizi wa Taasisi kwa kushirikiana na .tanzania @franceintanzania





Waswahili wakakutana studio,,,ili  kuandaa pishi la SAUTI ZA KUMOYO...wenyewe wanakwambia raha ya shughuli,,,kushughulik...
06/07/2023

Waswahili wakakutana studio,,,ili kuandaa pishi la SAUTI ZA KUMOYO...wenyewe wanakwambia raha ya shughuli,,,kushughulika na hapa tuko na
Huku mambo ni 🔥🔥
————————————————

Mradi huu wa SAUTI ZA KUMOYO umefadhiliwa na ubalozi wa na

Kupitia FEEL FREE Grants inayotolewa na

Ukitekelezwa na Uswazi Born Talents kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa Tanzania Basata Tanzania .tanzania
na


Cc:www.ubt.or.tz



"

06/07/2023

WASICHANA WAPENDA SANAA NA WENYE NDOTO YA KUWA MASTAA Waliopo DAR , TANGA na MORO Hii ndo ZAMU YENU Kutimiza NDOTO kupitia WAREMBO NA SANAAA DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC Project kwa ufadhili wa & kupitia chini ya usimamizi wa Taasisi kwa kushirikiana na .tanzania @franceintanzania




Utambulisho rasmi wa Wafadhili na Washirika wa Mradi wa The Dream of Tanzania Women in Music   ni mmoja wa wafadhili wak...
05/07/2023

Utambulisho rasmi wa Wafadhili na Washirika wa Mradi wa The Dream of Tanzania Women in Music

ni mmoja wa wafadhili wakuu wa Mradi wa WAREMBO na SANAA

Agence Française de Développement (AFD), inasaidia na kuharakisha mpito kwa ulimwengu wa haki na endelevu zaidi. Kuzingatia hali ya hewa, bioanuai, amani, elimu, maendeleo ya mijini, afya na utawala, timu zetu hufanya miradi zaidi ya 4,200 katika idara na maeneo ya nje ya Ufaransa na nchi nyingine 150. Kwa njia hii, tunachangia kujitolea kwa watu wa Ufaransa na Ufaransa kusaidia Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)

——————————————————
Official introduction of Donors and Partners of The Dream of Tanzanian women in Music Project

The is one of main Donor of WAREMBO na SANAA Project

The Agence Française de Development (AFD) Group funds, supports and accelerates the transition to a fairer and more sustainable world. Focusing on climate, biodiversity, peace, education, urban development, health and governance, our teams carry out more than 4,200 projects in France’s overseas departments and territories and another 150 countries. In this way, we contribute to the commitment of France and French people to support the Sustainable Development Goals (SDGs)

Cc @festivalafricolor .tanzania






Hii ni Nembo rasmi ya mradi wa Kusadia wasichana wenye Vipaji kupitia elimu na  Mashindano THE DREAM OF TANZANIAN WOMEN ...
05/07/2023

Hii ni Nembo rasmi ya mradi wa Kusadia wasichana wenye Vipaji kupitia elimu na Mashindano THE DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC utakaosimamiwa na Taasisi ya KUIBUA , KUKUZA na KUENDELEZA VIPAJI kutoka mtaani kwa kushirikiana na kwa ufadhili wa kupitia
——————————————————

This is the official logo of the project to support talented girls through education and talent search , THE DREAM OF TANZANIAN WOMEN IN MUSIC which will be managed by the Institute for SEARCHING,NURTURING and DEVELOPING TALENT from the street in collaboration with .tanzania with the funding of through

Cc





Tunawatakia Watanzania Na Waislam wote sikukuu njema ya Eid al adha.Tembelea: www.ubt.or.tz
29/06/2023

Tunawatakia Watanzania Na Waislam wote sikukuu njema ya Eid al adha.

Tembelea: www.ubt.or.tz

Address

Mikocheni, Mwalimu Nyerere
Dar Es Salaam
14112

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UBT Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category