Jax media TZ.

Jax media TZ. Kwahabari kem kem za burudani, michezo, siasa, afya, magazeti na makala mbalimbali, like page yetu.

 MKUU WA WILAYA ALAANI WANANCHI KUSHANGLIA KIFO"kitendo cha baadhi ya wananchi kushangilia kifo cha MNdugai ni kitu kwel...
07/08/2025



MKUU WA WILAYA ALAANI WANANCHI KUSHANGLIA KIFO

"kitendo cha baadhi ya wananchi kushangilia kifo cha MNdugai ni kitu kweli kimetushangaza, kwa mila za Tanzania inawezakaje mtu anashanglia kifo.

Amekuwa mwanasisa ametumika miaka mingi hawezi kukosa maadui, lakini hatukutegemea kwamba anaweza kuwa na maadui ambaye hata akifa anashangilia...

Sio ustaarabu wa Kitanzania, hili jambo wazazi wakemee vijana wanako elekea sio kuzuri, hatuna uadui wakushangilia mauti yanapomkuta mtu,

Wote ni wafu watarajiwa na tulipaswa mtu anapofariki tunatunza heshima yake" Mkuu wa wilaya ya Kongwa, ndugu Saimon Mayeka.

-----------------------------------------------RAIS SAMIA AMLILIA NDUGAI--------------,"Nimepokea kwa masikitiko taarifa...
06/08/2025

-----------------------------------------------RAIS SAMIA AMLILIA NDUGAI--------------

,"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mheshimiwa Job Yustino Ndugai, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ninatoa pole kwa familia, wanachama wote wa Chama Cha Mapinduzi, watumishi wa Bunge na Wabunge wote aliotumikia nao akiwa Spika wa Bunge letu, wananchi wa Kongwa, ndugu jamaa na marafiki.

Tuungane pamoja kumuombea kwa Mwenyezi Mungu na kuwaombea familia, ndugu, jamaa na marafiki uvumilivu, faraja na moyo wa ibada katika kipindi hiki kigumu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Amina."


  Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa an...
06/08/2025

Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai amefariki Dunia leo August 06,2025 akiwa anaendelea kupatiwa matibabu Hospitalini baada ya kuugua ghafla.

Ndugai aliyezaliwa January 22,1960 alishinda kura za maoni za Ubunge wa Jimbo la Kongwa.

 : AMBAKA MAMA YAKE KISHA KUMUUA--------------------------Polisi huko Molo nchini Kenya,  wamemkamata mwanafunzi wa miak...
27/07/2025

: AMBAKA MAMA YAKE KISHA KUMUUA--------------------------

Polisi huko Molo nchini Kenya, wamemkamata mwanafunzi wa miaka 16 wa Fomu 3 ambaye ilidaiwa alibaka mama yake na baadaye akamuua kwa kutomwonyesha baba yake halisi (wa kumzaa)

Kijana huyo baada ya mauaji alikuwa ameandaa kaburi lisilo na kina ambapo alikusudia kumzika mama yake kwa siri.

Address

Charambe Former Mbagala Temeke Municipal Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jax media TZ. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jax media TZ.:

Share