
07/08/2025
MKUU WA WILAYA ALAANI WANANCHI KUSHANGLIA KIFO
"kitendo cha baadhi ya wananchi kushangilia kifo cha MNdugai ni kitu kweli kimetushangaza, kwa mila za Tanzania inawezakaje mtu anashanglia kifo.
Amekuwa mwanasisa ametumika miaka mingi hawezi kukosa maadui, lakini hatukutegemea kwamba anaweza kuwa na maadui ambaye hata akifa anashangilia...
Sio ustaarabu wa Kitanzania, hili jambo wazazi wakemee vijana wanako elekea sio kuzuri, hatuna uadui wakushangilia mauti yanapomkuta mtu,
Wote ni wafu watarajiwa na tulipaswa mtu anapofariki tunatunza heshima yake" Mkuu wa wilaya ya Kongwa, ndugu Saimon Mayeka.