Tz football news

Tz football news Official FB profile of Tanzania Football News (TFN)

🚨✍️Kama Ivory coast itashinda mchezo wake wa kesho dhidi ya Kenya bas watafuzu moja kwa moja kombe la dunia mwakani. Hiv...
13/10/2025

🚨✍️Kama Ivory coast itashinda mchezo wake wa kesho dhidi ya Kenya bas watafuzu moja kwa moja kombe la dunia mwakani. Hivyo basi kunauwezekano mkubwa tukapata mwakilishi au mchezaji kutoka NBC premiere league endapo kocha wa Ivory Coast atamwamini Pacome na kumpa nafasi.

🚨✍️Licha ya uvumi wa Yanga kua na mpango wa kubadilisha kocha lakini msemaji wa club hio Ali Kamwe amekanusha na kusema ...
08/10/2025

🚨✍️Licha ya uvumi wa Yanga kua na mpango wa kubadilisha kocha lakini msemaji wa club hio Ali Kamwe amekanusha na kusema kua kwa sasa Yanga sc haina mpango wa kubadilisha kocha hivo bas wapenzi na mashabiki pamoja na wanachama wawe watulivu wasiyumbishwe na kuingia kwenye mtego wa watu ambao hawana nia nzuri na Yanga yao.

🚨✍️Baada ya kuwasikiliza Mashabiki kadhaa wa Simba sc nikagundua kua hawjash*tuka kujiuzulu kwa CEO wao Zubeda na Chef s...
04/10/2025

🚨✍️Baada ya kuwasikiliza Mashabiki kadhaa wa Simba sc nikagundua kua hawjash*tuka kujiuzulu kwa CEO wao Zubeda na Chef scout wao. Wanachodai ni bora watoke Matola na Mangungu😁😁. Swali la kujiuliza Mangungu na Matola wanashida gani?

🚨Habari ndugu zangu👋 K**A UMEMSIKILIZA HUYU MWAMBA TUAMBIE KWENYE COMMENT UMEELEWA NINI?
04/10/2025

🚨Habari ndugu zangu👋 K**A UMEMSIKILIZA HUYU MWAMBA TUAMBIE KWENYE COMMENT UMEELEWA NINI?

🚨DIMITAR PANTEV HARUHUSIWI KUKAA KWENYE BENCH MECHI ZA CAF: SIMBA AMESAJILIWA K**A MENEJA MKUU NA SIO K**A WATU TULIVYOD...
03/10/2025

🚨DIMITAR PANTEV HARUHUSIWI KUKAA KWENYE BENCH MECHI ZA CAF: SIMBA AMESAJILIWA K**A MENEJA MKUU NA SIO K**A WATU TULIVYODHANI.

🚨UTOVU WA NIDHAMU WAMPONZA BACCAIbra Bacca amefungiwa michezo mitano ya ligi kuu na kamati ya masaa 72 kutokana na utovu...
03/10/2025

🚨UTOVU WA NIDHAMU WAMPONZA BACCA

Ibra Bacca amefungiwa michezo mitano ya ligi kuu na kamati ya masaa 72 kutokana na utovu wa nidhamu alioufanya katika mchezo baina ya Mbeya City na Yanga.

🚨Drop your comment 👇👇
03/10/2025

🚨Drop your comment 👇👇

🚨✅️BREAKING Baada ya kupitia CV zote Simba imeamua kumchukua aliyekua kocha wa Gaborone United. Dimitar now deal is done...
02/10/2025

🚨✅️BREAKING
Baada ya kupitia CV zote Simba imeamua kumchukua aliyekua kocha wa Gaborone United. Dimitar now deal is done.

🚨Hakuna haja ya kusajili kocha mwingine Matola anatosha. Mnaosema Matola aachiwe timu mpo?
01/10/2025

🚨Hakuna haja ya kusajili kocha mwingine Matola anatosha. Mnaosema Matola aachiwe timu mpo?

🚨VERY INTERESTING Leo Jesus Moloko alikua akimtazama Mkongomani mwenzake Fiston Mayele huko Rwanda kwenye game ya round ...
01/10/2025

🚨VERY INTERESTING
Leo Jesus Moloko alikua akimtazama Mkongomani mwenzake Fiston Mayele huko Rwanda kwenye game ya round ya awali ya mashindano ya CAF yaliyoikutanisha club ya APR na Pyramid ya Misri.

🚨Ngoma ngumu maka sasa dk ya 85 milango migumu, sio Mbeya City wala Yanga sc hakuna aliyepata gori.
30/09/2025

🚨Ngoma ngumu maka sasa dk ya 85 milango migumu, sio Mbeya City wala Yanga sc hakuna aliyepata gori.

🚨✍️Mashabiki wa Yanga hawatamani kabisa kusikia suala la Nabi kuinoa Club ya Simba, nadhani wanahofia uwezo wake wa kufu...
30/09/2025

🚨✍️Mashabiki wa Yanga hawatamani kabisa kusikia suala la Nabi kuinoa Club ya Simba, nadhani wanahofia uwezo wake wa kufundisha ni mkubwa au wenda anaijua Yanga vizuri.

Licha ya Nabi alinukuliwa akisema kua kwa sasa anahitaji kupumzika baada ya kuachana na Kaiser Chiefs lakini yupo Tanzania na ni moja ya makocha waliofanya mazungumzo na Simba sc.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tz football news posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tz football news:

Share