13/08/2026
Dkt. Doto Biteko, amehimiza wananchi kuongeza matumizi ya nishati safi, akisisitiza umuhimu wa kuachana na nishati zinazochafua mazingira na kuhatarisha afya.
Amesema matumizi ya nishati safi ni muhimu katika kulinda mazingira, kuboresha afya za wananchi na kujenga maisha bora kwa jamii.
Producer by:
Cc |
________________________
Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV
BongoMaxTv