ST BONGO TV

ST BONGO TV Local Tanzanian content TV Station ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

01/10/2025

Wananzengo hivi Miezi miwili inatosha Kumjua tabia za mtu ambae unataka kuingia Nae kwenye Ndoa..?

Majibu ya swali hili yanapatikana Sehemu moja tu na Kila Jumamosi saa 4:00 Usiku ndani ya HELLO MIR RIGHT kupitia kwenye kisimbuzi cha StarTimes.

Cc |

ni kila jumamosi saa 4:00 usiku na marudio ni kila jumanne saa 4:00 usiku na jumapili saa 8:00 mchana hapa kupitia CH 161 (antena) CH 401 (Dish).

01/10/2025

Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Ostadh, mkazi wa Mbeshele, mtaa wa Rc, kata ya Olorieni jijini Arusha, anatuhumiwa kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 8, tukio lililogundulika Septemba 28 mwaka huu.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

30/09/2025

Kufuatia tukio lililoibua taharuki siku kadhaa zilizopita likimhusisha mwanamke aitwaye Nancy Godfrey Mshiri almaarufu Chinaa, ambaye alihusishwa na maandamano ya wananchi jijini Arusha, hatimaye viongozi pamoja na wananchi wa mitaa ya Romani Catholic na Mbeshele, kata ya Olorieni, wamefanya kikao cha dharura kujadili sakata hilo.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

30/09/2025

Taja sifa 3 kubwa zinazopatikana mbagara!
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

30/09/2025

Burudani Kutoka kwa Wabantu, namna ambavyo sebenie la Muselu linavyochezwa.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

26/09/2025

Kulingana na Afisa muelimishaji wa umma kutoka kitengo cha Udhibiti wa silaha na Risasi Inspector Silvanus james Rweyumamu
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

25/09/2025

Kwa tabia za Kibantu , Unakubaliana na kwenye hili?
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

24/09/2025

Wale wazee wa "HAPA IPO" kuna ujumbe wenu..

24/09/2025

Kutoka kwa Afisa muelimishaji wa umma kutoka kitengo cha Udhibiti wa silaha na Risasi Inspector Silvanus james Rweyumamu
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

24/09/2025

Kutoka kwa Afisa muelimishaji wa umma kutoka kitengo cha Udhibiti wa silaha na Risasi Inspector Silvanus james Rweyumamu amewasihi wananchi kushiriki kikamilifu katika kampeni ya usalimishaji wa silaha haramu kikamilifu kwa kurejesha silaha zote haramu ili waweze kunufaika na msamaha huo.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

24/09/2025

Hivi nikweli Konde Boy anachezaga hivi..?
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

20/09/2025

Ila wanawake jamani 😂😂 Yupo tayari kumpa mwanaume kitu chochote k**a tu atampa Sasampa 😂

USIKOSE UHONDO HUU LEO HII SAA 4:00 USIKU KUPITIA

Cc |

ni kila jumamosi saa 4:00 usiku na marudio ni kila jumanne saa 4:00 usiku na jumapili saa 8:00 mchana hapa kupitia CH 161 (antena) CH 401 (Dish).

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 08:30 - 12:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ST BONGO TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category