ST BONGO TV

ST BONGO TV Local Tanzanian content TV Station ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

08/01/2026

Kwa wale wenye ndoto ya Kuzamia South Afrika Msikilize Baharia Mohamed Msangi, Unaweza kujifunza Kitu hapa.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

08/01/2026

Kutoka kwa Baharia Mohamed Msangi, hapa ametuelezea maisha Halisi ya watu wa Afrika Kusini na Uhalisia wa Mambo.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

08/01/2026

🤣🤣🤣🤣 Mbwa kawa Simba, Watalii Hawaamini Wanachokiona....

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

Mwaka 2026 Umeanza kwa Kuchangamka, Sasa kutoka kiwanda cha Bongo Movie muigizaji Wema Sepetu ni k**a ameamua kuwajibu w...
08/01/2026

Mwaka 2026 Umeanza kwa Kuchangamka, Sasa kutoka kiwanda cha Bongo Movie muigizaji Wema Sepetu ni k**a ameamua kuwajibu wote wanaomsema kuhusu swala la uzazi na yeye kutokua na nyumba wala mafanikio yeyote kulingana na jina alilonalo nalo.
-
Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

Njama ya kumuua kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, imeshindwa kufanikiwa, kwa mujibu taarifa i...
07/01/2026

Njama ya kumuua kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, imeshindwa kufanikiwa, kwa mujibu taarifa iliyotolewa msemaji wa wa taifa hilo la Afrika Magharibi.

Taarifa imeadai kwamba mpango huo ulipangwa kitaalamu na Luteni Kanali Paul Henri Damiba, afisa wa kijeshi aliyeondolewa madarakani na Traore mnamo Septemba 2022.

Katika taarifa yake kwa umma, Waziri wa Usalama amesema, “Mipango yetu ya ulinzi na kijasusi iliingilia kati mpango huo haramu katika saa za mwisho za utekelezaji. Walikuwa wamepanga kumuua kiongozi wa taifa kisha kushambulia taasisi nyingine muhimu, wakiwemo baadhi ya viongozi wa kiraia,” amesema Mahamadou Sana na kuongeza kwamba njama hiyo imefadhiliwa na nchi jirani.

Hakuna maoni yoyote yaliyotolewa na Kanali Damiba au nchi iliyolalamikiwa kufadhili tukio hilo.

Tangu alipochukua madaraka, Kapteni Traore amekabiliana na jaribio la mapinduzi takribani mara mbili, hii ikiwa ya tatu na pia amekuwa akikabiliana na waasi, hatua ambayo imesababisha mamilioni ya watu kuondoka kwenye makazi yao.

Licha ya changamoto hizi na sifa yake ya kuwa kiongozi mkali, kiongozi huyo wa kijeshi mwenye umri wa miaka 37 anaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wananchi na amejipatia mashabiki kote barani Afrika kutokana na maono yake kuhusu umajumui wa Afrika na ukosoaji wake wa siasa za Magharibi kuhusu Afrika.

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

Raia wawili wa China, Weisi Wang (41) na Yao Licong (32) wamefikishwa katika mahak**a ya Hakimu mkazi Kisutu, ambapo wan...
07/01/2026

Raia wawili wa China, Weisi Wang (41) na Yao Licong (32) wamefikishwa katika mahak**a ya Hakimu mkazi Kisutu, ambapo wanakabiliwa na mashtaka mawili mazito ambayo ni kuongoza genge la uhalifu na utakatishaji fedha, wanayodaiwa kuyafanya katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

07/01/2026

"Marekani imethibitisha mara nyingine tena kuwa tuna jeshi lenye nguvu zaidi, lenye uwezo mkubwa wa kuangamiza, la kisasa zaidi na lenye kutisha zaidi kwenye sayari hii. Na hakuna nchi inayotukaribia hata kidogo," amesema Rais Trump kwa kujiamini akizungumza, jana January 6, 2026, mbele ya Wabunge wa chama cha Republican katika mkutano wao wa kila mwaka uliofanyika katika Kituo cha Trump-Kennedy (zamani kikijulikana k**a Kennedy Center) mjini Washington.
-
Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

07/01/2026

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi Tanzania limesema linafuatilia na kuchunguza picha mjongeo inayomwonesha raia wa kigeni mwenye asili ya China akiwa na mifuko ya sandarusi iliyojaa fedha za ndani na za kigeni.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema baada ya uchunguzi kukamilika atatoa taarifa kamili kuhusu tukio hilo.

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

07/01/2026

Kutoka kwa Mwanamitandao ameeleza kusikitishwa na baadhi ya watu aliowataja kusaidiwa na Mkubwa Fella ambae kwa sasa ni mgonjwa , kushindwa kurejesha fadhila kwa kumsaidia k**a ambavyo aliwasaidia katika muziki wao.
-
Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

07/01/2026

Rapa wa Marekani amefanikiwa kununua 'PRIVATE JET' yake.

T Pain amewafanyia 'Suprise' familia yake ya kuwaonesha Ndege hiyo aliyonunua ambayo Ina muonekano mzuri sana.

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka wilayan...
07/01/2026

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 33 mkazi wa eneo la Katindiuka wilayani Mvomero mkoani humo kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake mwenye umri wa miaka 14.

Taarifa ya Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo imesema kuwa tukio hilo lilitokea Desemba 31, 2025 ambapo mtuhumiwa alidaiwa kumfungia chumbani kwake mtoto huyo na kumwingilia kinguvu.

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

Inawezekanaje mkawa kwenye ndoa na hamkutani kimwili, nani amemuelewa Muigizaji Jackline Wolper?Tufuatilie kupitia   nda...
07/01/2026

Inawezekanaje mkawa kwenye ndoa na hamkutani kimwili, nani amemuelewa Muigizaji Jackline Wolper?

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 08:30 - 12:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ST BONGO TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category