ST BONGO TV

ST BONGO TV Local Tanzanian content TV Station ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Baada ya miaka 5 ya kuwa pamoja, Zarinah ( ) na Shakib wametangaza rasmi kuachana kwa makubaliano ya pamoja.Katika taari...
12/06/2026

Baada ya miaka 5 ya kuwa pamoja, Zarinah ( ) na Shakib wametangaza rasmi kuachana kwa makubaliano ya pamoja.

Katika taarifa waliyochapisha, wawili hao walisema kuwa baada ya kutafakari kwa kina wameamua kuhitimisha uhusiano wao kutokana na tofauti ambazo zimeshindwa kupatanishwa.

Wamesema uamuzi huo haukuwa rahisi, lakini wanaamini ndiyo njia sahihi kwa pande zote mbili. Pia wameeleza kuwa wanathamini muda walioutumia pamoja, kumbukumbu walizojenga, na sapoti waliyopeana katika kipindi chote cha mahusiano yao.

Zarinah na Shakib wameweka wazi kuwa hakuna chuki wala kinyongo kati yao, wakieleza kuwa wakati mwingine watu wawili hukua na kuelekea katika mwelekeo tofauti wa maisha.

Licha ya kuachana, wameahidi kuendelea kuwa marafiki wenye kuheshimiana na kuelewana, huku kila mmoja akimtakia mwenzake furaha, mafanikio na kila la heri katika maisha yajayo.

Mwamuzi Wilton Sampaio raia wa Brazil amezua gumzo kubwa baada ya kuongoza mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 kati...
12/06/2026

Mwamuzi Wilton Sampaio raia wa Brazil amezua gumzo kubwa baada ya kuongoza mechi ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 kati ya Mexico na Afrika Kusini na kutoa kadi nyekundu tatu (3) katika mchezo huo mkali uliochezwa Mexico City.

Mechi hiyo ilimalizika kwa Mexico kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, lakini matukio ya nidhamu yamechukua headlines zaidi kuliko matokeo yenyewe.

Afrika Kusini walikumbwa na wakati mgumu baada ya wachezaji wao wawili kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia makosa yaliyokaguliwa kupitia VAR, huku Mexico nao wakimaliza mchezo pungufu baada ya mchezaji wao kuonyeshwa kadi nyekundu dakika za mwisho.

Unamzungumziaje Mwamuzi huyu? ✍️

_____________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGOMAX TV

Kuna Msanii Barani Afrika anaemfikia Burna Kwa Sasa ? Mtaje ! x  ! 🔥________________Usiache KUTAZAMA |   Kila Siku Kupit...
12/06/2026

Kuna Msanii Barani Afrika anaemfikia Burna Kwa Sasa ? Mtaje !

x ! 🔥

________________

Usiache KUTAZAMA | Kila Siku Kupitia > TV3 Sports kwenye

⭐ StarTimes → CH 131 & CH 197
🔵 Azam TV → CH 416
▶️ YouTube → TV3 SPORTS

World Cup 2022 nchini Qatar, zilichezwa jumla ya mechi 64, lakini waamuzi walitoa kadi nyekundu 4 pekee katika mashindan...
12/06/2026

World Cup 2022 nchini Qatar, zilichezwa jumla ya mechi 64, lakini waamuzi walitoa kadi nyekundu 4 pekee katika mashindano yote.

World Cup 2026, licha ya kuwa imeanza na mchezo mmoja tu, tayari kumekuwa na kadi nyekundu 3.

mechi moja tu ya World Cup 2026 imekaribia kufikia idadi yote ya red card zilizotolewa katika mashindano yote ya 2022.

Pengine World Cup 2026 itakuwa na Red Card k**a njugu…!

________________

Usiache KUTAZAMA | Kila Siku Kupitia > TV3 Sports kwenye

⭐ StarTimes → CH 131 & CH 197
🔵 Azam TV → CH 416
▶️ YouTube → TV3 SPORTS. La

12/06/2026

MTO KUHAMA WASITISHA KILIMO NGAPA

Wakulima wa Bonde la Ngapa katika Kata ya Lupiro, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, wamesitisha kilimo cha mpunga baada ya mto uliokuwa ukilisambazia eneo hilo maji kuhama uelekeo na kusababisha ukosefu wa maji ya umwagiliaji.

Wananchi wa vijiji vinne vinavyotegemea bonde hilo wameeleza hofu ya kuathirika kiuchumi, huku juhudi za kurejesha mto huo zikishindikana. Diwani wa kata hiyo amesema hali hiyo pia inatishia ukusanyaji wa mapato ya eneo hilo na kuiomba serikali kuingilia kati.

Kutokana na changamoto hiyo iliyoanza mwezi Aprili mwaka huu, Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Alaudin Hasham, ametembelea eneo hilo na kuahidi kuleta mashine maalum kusaidia kurejesha uelekeo wa mto ili shughuli za kilimo ziendelee.

✍️ ST Bongo, Morogoro

  amewajibu wakosoaji baada ya picha zake akisafiri kwa ndege ya kawaida kuelekea Colombia kusambaa mtandaoni.Kupitia vi...
12/06/2026

amewajibu wakosoaji baada ya picha zake akisafiri kwa ndege ya kawaida kuelekea Colombia kusambaa mtandaoni.

Kupitia video aliyochapisha, The Boss alieleza kuwa ndege yake binafsi kwa sasa inafanyiwa maboresho kwa kufungwa mfumo wa intaneti wa Starlink wenye thamani ya dola 500,000 ( Sawa na Tsh BILIONI 1.3 )

Ross alisema hana tatizo lolote kutumia ndege za kawaida inapobidi, na hata akatania kuwa anaweza kununua sehemu yake binafsi ndani ya Uwanja wa Ndege wa Atlanta ili kukomesha kabisa mjadala huo.

12/06/2026

| Staa wa Muziki Amesema kuwa anaamini Lebo yake ya sasa (YBL) itakua tofauti na ile ya zamani (NextLvel )

FULL INTERVIEW KWENYE YOUTUBE CHANNEL YETU - STBONGO TV

🎤 Cc

________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

12/06/2026

| Staa wa Muziki Amefunguka Kuhusu Stori za Kuwa Gari alilopewa na Lebo yake ya Zamani ilikua ni Michezo Tu na Kuwa Gari hilo alipewa na Mwanamke wake ...Je, Stori hizi Zina Ukweli ??

FULL INTERVIEW KWENYE YOUTUBE CHANNEL YETU - STBONGO TV

🎤 Cc

________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 08:30 - 12:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ST BONGO TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category