ST BONGO TV

ST BONGO TV Local Tanzanian content TV Station ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

🥊 KNOCKOUT YA MAMA SEASON 7MAFIA BOXING PROMOTION inafunga na kufungua mwaka kibabe na TV3,Ni Jumamosi ya kufa mtu! Mabo...
23/12/2025

🥊 KNOCKOUT YA MAMA SEASON 7
MAFIA BOXING PROMOTION inafunga na kufungua mwaka kibabe na TV3,

Ni Jumamosi ya kufa mtu! Mabondia wa kutisha wanarudi tena Kuanzia SAA MOJA KAMILI moto kutoka ndani na nje ya nchi

📅 December 31, 2025
📍 Viwanja vya Posta, Kijitonyama
⏰ Kuanzia SAA 1:00 USIKU

KNOCK OUT YA MAMA ITAONEKANA LIVE NDANI YA
- Startimes Ch 197 & 131
- Azam TV Ch 416

Tarehe 31 December kuanzia SAA MOJA Usiku!

22/12/2025

Siku Chache baada ya Waziri wa mambo ya ndani kueleza kumpa Uraia wa Tanzania mwanamuziki kutoka Kongo, mwanamuziki mwingine wa muziki wa dansi kutoka Kongo naye amzungumzia juu ya kuomba na kupewa Uraia wa Tanzania, akieleza kuwa amekua nchini tangu mwaka 1997.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

🥊 KNOCKOUT YA MAMA SEASON 7MAFIA BOXING PROMOTION inafunga na kufungua mwaka kibabe na TV3,Ni Jumamosi ya kufa mtu! Mabo...
22/12/2025

🥊 KNOCKOUT YA MAMA SEASON 7
MAFIA BOXING PROMOTION inafunga na kufungua mwaka kibabe na TV3,

Ni Jumamosi ya kufa mtu! Mabondia wa kutisha wanarudi tena Kuanzia SAA MOJA KAMILI moto kutoka ndani na nje ya nchi

📅 December 31, 2025
📍 Viwanja vya Posta, Kijitonyama
⏰ Kuanzia SAA 1:00 USIKU

KNOCK OUT YA MAMA ITAONEKANA LIVE NDANI YA
- Startimes Ch 197 & 131
- Azam TV Ch 416

Tarehe 31 December kuanzia SAA MOJA Usiku!

22/12/2025

Kupitia kipindi cha The Bantu mwanamuziki wa kingo ametuma ujumbe wa moja kwa moja kwa waziri wa mambo ya ndani Mh.George Simbachawene kuhusu kupatia uraia wa Tanzania akizingatia vigezo na masharti ya kupewa uraia.

Cc
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

Kuwa mkweli ,ikitokea Umefariki leo Simu yako Apewe nani?- Cc |  Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Iju...
22/12/2025

Kuwa mkweli ,ikitokea Umefariki leo Simu yako Apewe nani?
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

21/12/2025

Uganda wamepata bonge la dada wao kenye kampeni za urais wa Museveni

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

21/12/2025

Hapa nani anastahili kupewa lawama...?

Polisi kampiga risasi mbwa ambae alikuwa anamfata kwa lengo la kumshambulia lakini polisi alimuwahi kwa kumpiga risasi mpaka kufa.

Mwenye mbwa wake akatoka akimlalamikia polisi kwanini kampiga risasi mbwa wake...? Je polisi ana kosa au mwenye mbwa ndo mwenye makosa kwa kumuacha mbwa bila kumfunga na kusababisha kuwafata watu.

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

21/12/2025

Huyu hatofanya tena huu uchizi wake 😂

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

19/12/2025

Balaa la kwenye show yake usiku huu nchini Nigeria 🔥

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

19/12/2025

GOD DESIGN ya live performance in Nigeria 🔥

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

19/12/2025

.priscy akifurahia performance ya mume wake

Tufuatilie kupitia ndani ya kisimbuzi cha CH 161 (antena) CH 401 (Dish) pamoja na kwenye YouTube channel yetu ya Kwa Taarifa zaidi.

18/12/2025

Salamu za Pongezi kutoka Kipindi cha The Bantu kwa kushinda tuzo ya 7 ya katika kipengele cha mwandishi bora wa Vitabu.
-


Cc |

Usikose Kutazama The Bantu Kila siku Jumatatu mpaka Ijumaa Kuanzia saa 10 Kamili mpaka 12 Jioni ndani ya kupitia kisimbuzi cha CH 161(antena) CH 401 (Dish) na YouTube Channel yetu ya

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 08:30 - 12:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ST BONGO TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category