ST BONGO TV

ST BONGO TV Local Tanzanian content TV Station ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

13/08/2026

Dkt. Doto Biteko, amehimiza wananchi kuongeza matumizi ya nishati safi, akisisitiza umuhimu wa kuachana na nishati zinazochafua mazingira na kuhatarisha afya.

Amesema matumizi ya nishati safi ni muhimu katika kulinda mazingira, kuboresha afya za wananchi na kujenga maisha bora kwa jamii.



Producer by:

Cc |
________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

BongoMaxTv

13/08/2026

amesema Yanga imefanya usajili mzuri zaidi ukilinganisha na Simba, akieleza kuwa wachezaji waliosajiliwa wameongeza ubora na ushindani katika kikosi cha Yanga.



Producer by:

Cc |
________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

BongoMaxTv

13/08/2026

Baada ya Simba kufungwa na Yanga katika Dabi ya jana, ameibuka na kutoa uchambuzi wake kuhusu mchezo huo, akizungumzia makosa yaliyojitokeza na mambo yaliyowagharimu Simba katika mchezo huo.



Producer by:

Cc |
________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

BongoMaxTv

13/08/2026

amesema kufungwa kwa Simba katika Dabi ya jana kulitokana na uzembe wa beki Toure, akitathmini namna bao lilivyopatikana na makosa yaliyofanyika ndani ya safu ya ulinzi.

Kauli hiyo imeibua mjadala miongoni mwa mashabiki wa soka kuhusu kiwango cha Simba na makosa yaliyogharimu timu hiyo katika mchezo huo.



Producer by:

Cc |
________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

BongoMaxTv

Chama cha Madaktari Uganda, UMA, kimeipa Serikali siku 14 kutatua mzozo kuhusu ajira, upangaji wa vituo vya kazi na masl...
13/08/2026

Chama cha Madaktari Uganda, UMA, kimeipa Serikali siku 14 kutatua mzozo kuhusu ajira, upangaji wa vituo vya kazi na maslahi ya madaktari wanafunzi.

Chama cha UMA kimeonya kuwa iwapo Wizara ya Afya haitatoa majibu ya maandishi na ya kuridhisha ndani ya muda huo, madaktari nchini kote watafanya mgomo wa nchi nzima.

Rais wa UMA, Daktari Frank Asiimwe, amesema: “Ili kulinda heshima ya taaluma ya udaktari pamoja na ubora na usalama wa utoaji wa huduma za afya, madaktari kote Uganda wataanza mgomo baada ya siku 14 kumalizika iwapo Wizara ya Afya itashindwa kutoa mawasiliano ya wazi, ya maandishi na ya kuridhisha kuhusu upangaji na uwezeshaji wa madaktari wanafunzi.”

________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kizimkazi baada ya kuzindua...
13/08/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kizimkazi baada ya kuzindua Mradi wa Maji Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea Kizimkazi Festival, Mkoa wa Kusini Unguja, tarehe 13 Agosti, 2026



________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kutambaa k**a ishara ya kuweka jiwe la msingi ...
13/08/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kutambaa k**a ishara ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Amani Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea Kizimkazi Festival, Mkoa wa Kusini Unguja, tarehe 13 Agosti, 2026



________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti aina ya muembe katika kituo cha Afya Kizi...
13/08/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti aina ya muembe katika kituo cha Afya Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, tarehe 13 Agosti, 2026



________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa ufunguo wa gari la wagonjwa kutoka Mw...
13/08/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa ufunguo wa gari la wagonjwa kutoka Mwakilishi wa Mkurugenzi wa kutoka Shirika la Afya Duniani, kanda ya Afrika Dkt. Ndoungou Salla Ba, wakati wa ziara fupi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kitu cha Afya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, tarehe 13 Agosti, 2026



________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji Kizimkazi katika moja ya matuki...
13/08/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wa maji Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi Festival, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 13 Agosti, 2026.



________________________

Tufuatilie STBongo TV kwenye:
⭐ StarTimes → CH 161 & 401
▶️ YouTube → BONGO MAX TV

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 16:00
Friday 08:30 - 16:00
Saturday 08:30 - 12:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ST BONGO TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category