Mino Bongo

Mino Bongo Enter | Sports | Gossip | Trends | News | Funny | Home of Updates | Exclusive Interviews | Follow Us For More📹
(4)

Mino Bongo ni ukurasa ambao unausika kuchapisha maudhui mbalimbali yaki Maisha, Michezo na Burudani, Karibuni Nyote

Msanii wa muziki wa bongo fleva Tid ameweka wazi kuwa siri ya mafanikio yake kwenye maisha ni kuwa  anafanya mazoezi san...
08/10/2026

Msanii wa muziki wa bongo fleva Tid ameweka wazi kuwa siri ya mafanikio yake kwenye maisha ni kuwa anafanya mazoezi sana ,anakunywa maji na hajavunja amri ya sita kwa miezi 6.

''Nalala mapema nakunywa maji mengi sijafanya s8x kwa miezi sita sasa ''Amesema -Tid

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nandy amechapisha picha mpya kwenye ukurasa wake wa  instagram akiwa amebeba mkoba wa Gu...
08/10/2026

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nandy amechapisha picha mpya kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa amebeba mkoba wa Guchi Guglio ambao kwa wastani unaweza dola 1850 hadi dola 2500.

Mwanamuziki Akon ameweka wazi kuwa aliwahi kulipwa kufanya show mbele ya watu watatu kwa kiasi cha shilingi bilioni 2.Ak...
08/10/2026

Mwanamuziki Akon ameweka wazi kuwa aliwahi kulipwa kufanya show mbele ya watu watatu kwa kiasi cha shilingi bilioni 2.

Akon ameeleza kuwa ulikodiwa ukumbi mkubwa ila vikawekwa viti vitatu pekee ambao nindiyo alifanya show mbele yao baada ya hapo akaondoka na mpunga wake wa bilioni 2.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Dancer kutokea Tanzania Ranykida ameweka wazi kuwa dancer Delux amefariki Dunia.Mpaka sa...
08/10/2026

Kupitia ukurasa wa instagram wa Dancer kutokea Tanzania Ranykida ameweka wazi kuwa dancer Delux amefariki Dunia.

Mpaka sasa bado hazijawekwa wazi taarifa za chanzo cha kifo cha dancer Delux.

''Daaah😭 Pumzika kwa Amani kaka M/Mungu akupunguzie azabu ya kaburi nmepata taarifa ya kifo chako sjawah umia k**a nlvoumia leo Pumzka kaka .e.l.u.x__ k**a utani yani💔😭 pumzika kaka pumzikaaa Homeboy 🙌⚰️''Ameandika-Ranykida

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Johari Chagula amesema kuwa miongoni mwa matukio aliyopigwa kwenye mahusiano...
08/10/2026

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Johari Chagula amesema kuwa miongoni mwa matukio aliyopigwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ni kuachwa gafla.

Johari ameeleza kuwa kuna kipindi alikuwa anajuwa bado yupo kwenye mahusiano na mwanaume wake kumbe mwanaume alishamtoa kitambo.

''Matukio ni mengi lakini kikubwa kikubwa ambacho kinanisikitisha niliachwa gafla ''Amesema -Johari Chagula

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Johari Chagula amesema kuwa kwasasa bado yupo single hajapata mwanaume wa ku...
08/10/2026

Muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Johari Chagula amesema kuwa kwasasa bado yupo single hajapata mwanaume wa kumuoa.

Johari amesema kuwa akijitokeza mwanaume kumuoa yupo tayari na kwasasa hivi alipofikia hana vigezo anahitaji mwanaume awe anapumua tu .

''Bado sijapata mtu wa kunioa naweza nikasema hivyo nipo free mtu akijitokeza kunioa nipo tayari kwasasa hivi nilipofikia awe tu anapumua''Amesema -Johari

Mwanamitindo kutokea nchini Tanzania Flaviana Matata amesema kuwa hakuna mtu asiyempenda Alikiba kwasababu anakipaji kik...
08/10/2026

Mwanamitindo kutokea nchini Tanzania Flaviana Matata amesema kuwa hakuna mtu asiyempenda Alikiba kwasababu anakipaji kikubwa na yeye ni shabiki mkubwa wa Alikiba.

''Nani ampendi alikiba kwasababu anakipaji kikubwa yeah ni mwanamuziki mzuri sana yeah ni shabiki yake ''Amesema -Flaviana Matata

Mwanamitindo kutokea nchini Tanzania Flaviana Matata amesema kuwa siri ya urembo wake ni kuwa na furaha sana moyoni mwak...
08/10/2026

Mwanamitindo kutokea nchini Tanzania Flaviana Matata amesema kuwa siri ya urembo wake ni kuwa na furaha sana moyoni mwake kwasababu unachojisikia moyoni mwako ndicho kinachoonekana usoni.

Flaviana amesema kuwa pia anakula kitu kitu lakini kwa kiasi na anafanya sana mazoezi anazingatia kunywa maji na kulala.

''Nafikiri nakula kitu lakini kwa kiasi nadhani pia furaha moyoni kwako kwasababu wanasema unachopitia moyoni mwako kinaonekana usoni ,usingizi kitu cha msingi maji kitu cha msingi''Amesema -Flaviana Matata

Mrembo Nai Official ameutumia ukurasa wake kuweka wazi kuwa wamekuwa wakitishiwa kuuawa yeye na mdogo wake Majesty .Nai ...
08/10/2026

Mrembo Nai Official ameutumia ukurasa wake kuweka wazi kuwa wamekuwa wakitishiwa kuuawa yeye na mdogo wake Majesty .

Nai ameeleza kuwa mwanzoni alikuja k**a mteja lakini baadae akabadilika na kuanza kuwatishia kuwa atawaua.

''"Mimi na mdogo wangu Majesty tunasikitika na tukio lililo tutokea Jana usiku tulijawa na Mtu k**a mteja lakini baada ya kutoka kumkaribisha ndani alitubadilikia na kuanza kututishia maisha, kwa mwisho wetu umefika na tushuhudie maana yupo na sisi mpaka anahakikishia pumzi imekata 😭🥺''Ameandika -Nai

Yanga wamepigika dhidi ya Les Aigle du congo 1-2 Kwenye siku yao maalum ya Yanga Day "Siku ya wananchi" una maoni gani k...
08/09/2026

Yanga wamepigika dhidi ya Les Aigle du congo 1-2 Kwenye siku yao maalum ya Yanga Day "Siku ya wananchi" una maoni gani kuhusu mchezo wa Leo wa Yanga🙌

Address

Kinondoni
Michigan Center, MI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mino Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mino Bongo:

Shortcuts

Share