Mino TV Enter | Sports | Gossip | Trends | News | Funny | Home of Updates | Call Us |

10/14/2025

Diamond platnumz amemshauri hivi mfanyakazi wa Alikiba, Amwambia Jidaidi Boss wako asijue akijua umeisha📽️

Hebu tuambie kitu gani kinakuvutia zaidi kutoka kwa muigizaji wa filamu Aziza ?
10/14/2025

Hebu tuambie kitu gani kinakuvutia zaidi kutoka kwa muigizaji wa filamu Aziza ?

Nyota wa Mpira wa Miguu kutokea Senegal Keprin Diatta amefunguka machach kuhusu mabinti warembo wa ulaya na pesa ambapo ...
10/14/2025

Nyota wa Mpira wa Miguu kutokea Senegal Keprin Diatta amefunguka machach kuhusu mabinti warembo wa ulaya na pesa ambapo amesema kuwa..

“Nakumbuka mabinti wengi sana walinikwepa wakisema mimi ni mbaya , lakini Mara baada ya kusaini mkataba wangu wa kwanza wa kucheza soka Ulaya , mabinti hao hao na wengine wengi walinitumia jumbe na kusema nimekuwa handsome hali ya hewa ya Ulaya imenibadilisha

“Kwa kweli nilijiangalia kwenye kioo sikuona mabadiliko ndio nikaamini wanawake mbele ya pesa wanaweza kusema na kufanya chochote” Alisema -Keprin

Una lolote la kuchambua kwenye hili?

10/14/2025

Huu hapa ukweli kuhusu mpango wa Harmonize kutoa wimbo mpya na aliekuwa msanii wake Ibraah, Je nikweli wameelewana, Nini ambacho kimefayika🙌📽️

Huu ndiyo mtoko mpya wa muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Hemedy Phd
10/14/2025

Huu ndiyo mtoko mpya wa muigizaji wa filamu kutokea nchini Tanzania Hemedy Phd

Mrembo Paulah kajala amefunguka kuwa video ya Marioo ya Njonzi ilimfanya agombane na mume wake Marioo.''Video iliyonigom...
10/14/2025

Mrembo Paulah kajala amefunguka kuwa video ya Marioo ya Njonzi ilimfanya agombane na mume wake Marioo.

''Video iliyonigombanisha na mume wangu imetoka jamani 😭😂'' Ameandika -Paulah Kajala

Magret ni miongoni mwa watoto wanaokamilisha kundi la kucheza la Tegeta Kids linalopatikana Tegeta Dar es salaam.Sin ali...
10/14/2025

Magret ni miongoni mwa watoto wanaokamilisha kundi la kucheza la Tegeta Kids linalopatikana Tegeta Dar es salaam.

Sin alizocheza Magret kwenye wimbo wa Nani wa msanii Diamond Platnumz zimetokea kuteka hisia za watu wengi waliyoitazama video hiyo.

Mbali na hayo ni story ya kusisimua inayomuhusu Magreth kutelekezwa baba yake mzazi tangu awe na miaka miwili mpaka sasa ana miaka 16.

Hebu tuambie ni muigizaji gani wa filamu wa k**e anaweza kulingana kwa uzuri na Elizabeth Michael?
10/14/2025

Hebu tuambie ni muigizaji gani wa filamu wa k**e anaweza kulingana kwa uzuri na Elizabeth Michael?

Pichani  ni Fahima ambaye ni mzazi mwenza wa msanii wa mziki wa bongo fleva  Rayvanny akiwa kwenye muonekano mpya .
10/14/2025

Pichani ni Fahima ambaye ni mzazi mwenza wa msanii wa mziki wa bongo fleva Rayvanny akiwa kwenye muonekano mpya .

Msanii wa Bongo Movies, Zaiylissa amezungumzia maisha yake baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake Haji Manara, akisema...
10/14/2025

Msanii wa Bongo Movies, Zaiylissa amezungumzia maisha yake baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake Haji Manara, akisema hajatingishika na kwamba sasa mambo ndio yanazidi kumnyookea.

Zaiylissa ambaye anatamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, amesema kuachika kwake kwenye ndoa hakujamfanya akate tamaa ya kuendelea na maisha mengine ya kawaida.

Zaiylissa amesema kuna wanawake wengine wakiachwa huwa wanakuwa k**a wamepatwa na ugonjwa wa kuwafanya washindwe kufanya chochote maishani wakiwaza tu mapenzi, jambo ambalo halipaswi kufanywa na mwanamke anayejitambua.

"Ukweli ni kwamba kuachika kwangu hakujanifanya nishindwe kuendelea na maisha yangu ya kujitafutia riziki. Kwanza nilipoachwa ndiyo maisha yakaninyookea na hivi ninavyokwambia tayari niko katika uhusiano mpya mzuri wenye upendo hivyo yaliyopita nishayasahau," Amesema - Zaiylissa

Zaiylissa alifunga ndoa na Haji Manara Januari 24, 2024 iliyodumu kwa miezi 14 ambapo kwa mujibu wa waliyoyaweka wenyewe mitandaoni ilivunjika Aprili 9, 2025

''Happy Birthday marichuy255_tz ..! Sasa ni wakati sahihi wa kukuletea mdogo wako . Umekua na hata ikitokea bahati mbaya...
10/14/2025

''Happy Birthday marichuy255_tz ..! Sasa ni wakati sahihi wa kukuletea mdogo wako . Umekua na hata ikitokea bahati mbaya kwangu unaweza kumlea mdogo wako . Happy Birthday kipenzi cha DC furaha ya MAMA MWEMBA'' Ameandika -Mwijaku

Kupitia mtandao wa instagram wa muigizaji Jb amechapisha picha mpya za mrembo Ms Anna na kuandika ujumbe ufuatao''Happy ...
10/14/2025

Kupitia mtandao wa instagram wa muigizaji Jb amechapisha picha mpya za mrembo Ms Anna na kuandika ujumbe ufuatao''Happy birthday to you mwanangu ms annah jamani nisaidie kumtakia heri binti yangu'' Ameandika -Jb

Address

Mbagala
Michigan Center, MI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mino TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mino TV:

Share

Category