Mino Bongo

Mino Bongo Enter | Sports | Gossip | Trends | News | Funny | Home of Updates | Exclusive Interviews | Follow Us For MoreπŸ“Ή
(5)

Mino Bongo ni ukurasa ambao unausika kuchapisha maudhui mbalimbali yaki Maisha, Michezo na Burudani, Karibuni Nyote

"Diamond ukiwa naye karibu lazima uwe star, ata ukiwa House boy wake, House Girl au hata mbwa wake lazima uwe Star, sema...
06/10/2026

"Diamond ukiwa naye karibu lazima uwe star, ata ukiwa House boy wake, House Girl au hata mbwa wake lazima uwe Star, sema tu hajaamua lakini akitaka ata uwe nani lazima uwe maarufu, Yaani ilimradi tu uko naye hata uwe mlinzi utakuwa Star, kwasababu yeye ni Star na ana nyota yakusambazia wengine ustar.

Mfano, Hata wewe ukipigwa na Diamond unakuwa maarufu, akikutukana unakuwa maarufu, akikugonga na gari unakuwa maarufu, Ndomana anakwepaga kuwatukana watu mtandaoni, Hata ukimtukana akikupeleka mahak**ani hapo Tayari wewe ushatoboa, Ndomaana Diamond uwa apeleki watu mahak**ani" Amesema Comedian -Kobelo Og.

Video kwenye Comment.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewakata Watu wanne kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya raia wa China, B...
06/10/2026

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewakata Watu wanne kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya raia wa China, Baozhang Ge. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, SACP Jummane Muliro amethibitisha kuk**atwa kwa Watu hao katika maeneo tofauti ndani ya Tanzania ambapo walithibitha kuhusika na mauaji hayo pamoja na kuchukua kiasi cha fedha shilini milioni tisa. Baozhang Ge alikuwa Mmiliki wa Kiwanda cha Kuchakata Makopo maeneo ya Mabibo, ambapo aliuawa Mei 16, 2026.πŸ–Ό millard ayo

"Diva muhimili wake ulikuwa hapa wasafi na hivi kaondoka hapa baasi kaisha, ameanza kujipendekeza huko kwa King Alikiba,...
06/10/2026

"Diva muhimili wake ulikuwa hapa wasafi na hivi kaondoka hapa baasi kaisha, ameanza kujipendekeza huko kwa King Alikiba, King mwenyewe hamtaki hata kidogo, hata wafanya kazi wa Crown awamtaki wanasema kule asisogee" Amesema -Juma Lokole.

Harmonize ameweka wazi kuhusu ukaribu wake na chaupole, Konde akiwa Live kupitia Crown Fm alisema hana udungu wowote na ...
06/10/2026

Harmonize ameweka wazi kuhusu ukaribu wake na chaupole, Konde akiwa Live kupitia Crown Fm alisema hana udungu wowote na Chaupole Licha ya kufanana kwao, nikijana mwenzake tu ambaye wamekutana Mjini na akatokea kumwamini na kumpa nafasi ya kazi Kondegang.

"Watu wengi wanahisi mimi Samchaupole ni ndugu kwasababu tunafanana sana lakini ukweli nikwamba sam sio ndugu yangu kwanza yeye sio mmakonde, nikijana tu ambaye tumekutana mjini nikaona ana Love namimi namimi nikaona anafaa kufanya nae kazi, kwasasa yeye ndo PR wangu" Alisema -Harmonize.

"Nilimuomba msamaa Kajala Hapahapa Mjini Fm na sababu kubwa yakumuomba msamaa nikutokana na Baadhi ya Interview nilizofa...
06/10/2026

"Nilimuomba msamaa Kajala Hapahapa Mjini Fm na sababu kubwa yakumuomba msamaa nikutokana na Baadhi ya Interview nilizofanya nikamsema vibaya yeye k**a mama mtumzima unajua kajala mimi anaweza kunizaa eeh! Hivyo nilifatwa na Dada mwingine pia akanishauri kamuombe kajala msamaa ndo nikaamua kumuomba msamaa hadi leo hii Amekuwa Boss wangu" Amesema -Sophia Amelowa.

"Niliahidi kuwa kwa uwezo wa Mwenyez Mungu nitajitahidi kuhakikisha nawasaidia vijana wenzangu ambao naamini nao wanauwe...
06/10/2026

"Niliahidi kuwa kwa uwezo wa Mwenyez Mungu nitajitahidi kuhakikisha nawasaidia vijana wenzangu ambao naamini nao wanauwezo Mkubwa wa kimuziki ila hawajakuwa na uwezo wa kujiwezesha kutoka ... Inshaallah panapo majaaliwa Jumatatu kwa Mara ya kwanza Nitamtambulisha wa kwanza na Nyimbo yake kwenye Xxl ya Bdozen na Vyombo vyote vya habari ... Mwenyez Mungu amsimamie Safari yake na Wasanii wote Upcoming ambao Wako kitaa wanahaso, Harmonize Tz Harmonize Tz" Aliandika Diamond Platnumz na huo ni mwaka 2015.

Sema Harmonize kwa hili jicho mnaamini Jana huyu Yammi aliondoka pale Kondegang BilaBila kweli?πŸ˜’πŸ˜
06/10/2026

Sema Harmonize kwa hili jicho mnaamini Jana huyu Yammi aliondoka pale Kondegang BilaBila kweli?πŸ˜’πŸ˜

Baada ya serekali yu Marekani kukataa kumpokea Mwamuzi Omar Artan alietarajiwa kuchezesha michezo kadhaa ya Kombe la Dun...
06/10/2026

Baada ya serekali yu Marekani kukataa kumpokea Mwamuzi Omar Artan alietarajiwa kuchezesha michezo kadhaa ya Kombe la Dunia na kumrudisha nyumbani kwao Somalia, Atimae Canada imetoa msaada kwa mwamuzi huyo Omar Artan.

David Eby, Waziri Mkuu wa British Columbia, alisema Omar Artan atakaribishwa katika jimbo hilo. Anaamini Artan anafaa kuruhusiwa kuwa mwamuzi wa mechi za Kombe la Dunia huko Vancouver.

Mume wa mzazi mwenza wa Msanii Harmonize Capttango amemchana Harmonize baada ya jana kwenye interview kusema kuwa anamli...
06/10/2026

Mume wa mzazi mwenza wa Msanii Harmonize Capttango amemchana Harmonize baada ya jana kwenye interview kusema kuwa anamlipia kodi na Ada mtoto wake Zuuh Konde, Tango amesema kuwa yeye sio masikini ajaribu kuwauliza watu kuhusu yeye.

'' Umenishangaza sana Harmonize, Unaendaje kujiongelesha kuwa unamlipiaaa kodiiii Mchaw!!!? that is very disrespectful... i'm not poor guy, ask about me! respectful put my wife out of your big mouth, you have your girl talk about her,'' Ameandika -Capttango

"UZURI WA LION OF AFRICA 🦁πŸ”₯ Hata asipoachia wimbo, bado anatrend. Picha tu linaanza! RETROTOUR yetu inakimbizana na nyim...
06/10/2026

"UZURI WA LION OF AFRICA 🦁πŸ”₯ Hata asipoachia wimbo, bado anatrend. Picha tu linaanza! RETROTOUR yetu inakimbizana na nyimbo zao.πŸ˜…πŸ™ŒπŸΌ". Ameandika Ndugu wa Damu wa Alikiba, Issa Azam ambaye ni shabiki mkubwa wa msanii Diamond Platnumz.

Address

Kinondoni
Michigan Center, MI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mino Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mino Bongo:

Share

Category