Mino TV Enter | Sports | Gossip | Trends | News | Funny | Home of Updates | Call Us +255755449629
(1)

Mkiambiwa acheni kutoa Mimba zaeni mapema, kuzaa mapema kuna Raha yake mnatuona hatuna akili, Haya oneni Princyla na mam...
08/02/2025

Mkiambiwa acheni kutoa Mimba zaeni mapema, kuzaa mapema kuna Raha yake mnatuona hatuna akili, Haya oneni Princyla na mama yake mzazi nik**a mtu na mdogoake Full RAHAπŸ˜‚πŸ˜‚

"Namkubali sana Mo Dewji naweza kusema ni mzazi wangu wa kufikia, unajua hatua niliyofikia siyo ya stage ya kuwadekea wa...
08/02/2025

"Namkubali sana Mo Dewji naweza kusema ni mzazi wangu wa kufikia, unajua hatua niliyofikia siyo ya stage ya kuwadekea wazazi hata nisipowaweka kwenye bado wanajua nawapenda" Alisema- Ankonzala

Mchekeshaji Chenjeu_tz amefunguka kwa mara ya kwanza sababu ya mahusiano yake kuvunjika na Chanuo_nchakali2."Chanuo haku...
08/02/2025

Mchekeshaji Chenjeu_tz amefunguka kwa mara ya kwanza sababu ya mahusiano yake kuvunjika na Chanuo_nchakali2.

"Chanuo hakunipenda alizipenda pesa nilizokuwa namiliki zamani nimeishiwa ameamua kuniacha" Alisema Chenjeu

Picha mpya kutoka kwa mke wa Juma Jux ,Priscilla .Vipi unamuonaje mama kijacho mimba imempenda πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›?
08/02/2025

Picha mpya kutoka kwa mke wa Juma Jux ,Priscilla .

Vipi unamuonaje mama kijacho mimba imempenda πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›?

Pichani ni Chama na mke wake mrembo wakitoka kwenye Date Night ya kimahaba!Wakiwa wamependeza kwa mitoko ya usiku, coupl...
08/02/2025

Pichani ni Chama na mke wake mrembo wakitoka kwenye Date Night ya kimahaba!
Wakiwa wamependeza kwa mitoko ya usiku, couple hii imeendelea kuonyesha kuwa mapenzi ya kweli bado yapo β€” class, upendo, na umoja vikitawala. ✨

Baada ya kuwa pamoja kwa muda mrefu na kujaliwa kupata mtoto mmoja, sasa Marioo na Paula wanaelekea kwenye hatua kubwa z...
08/02/2025

Baada ya kuwa pamoja kwa muda mrefu na kujaliwa kupata mtoto mmoja, sasa Marioo na Paula wanaelekea kwenye hatua kubwa zaidi ya maisha yao.

Katika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya 'Girlfriend', Paula alitangazia mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuchapisha maneno yaliyogusa mioyo ya wengi: "Apparently, this was my last girlfriend's day... Babe said next year I'll be celebrating as a wifey."

Ujumbe huu mzito unaashiria kuwa Marioo, kwa mapenzi yake makubwa, amemwahidi Paula kumuoa, na sasa anajiandaa kuacha maisha ya 'girlfriend' na kuanza safari mpya k**a 'wifey' (mke).

Mashabiki wengi wametuma pongezi zao na wanasubiri kwa hamu sherehe ya harusi inayotarajiwa mwaka ujao.

Klabu ya Iafc kutoka Ligi Kuu ya Marekani (MLS) Imempa Heshima Nyota Wa Muziki Afrika 🦁 Diamondplatnumz baada ya kumwali...
08/02/2025

Klabu ya Iafc kutoka Ligi Kuu ya Marekani (MLS) Imempa Heshima Nyota Wa Muziki Afrika 🦁 Diamondplatnumz baada ya kumwalika kwenye mechi yao dhidi ya timu ya Pac Usiku Wa Kuamkia Leo. Diamond alionekana uwanjani akiwa amepewa jezi rasmi ya timu hiyo.

Jezi hiyo ilibeba namba 7 na kuandikwa jina β€œPlatnumz,” jambo lililowavutia mashabiki wengi wa soka na muziki duniani. Tukio hili linaashiria ushirikiano unaokua kati ya tasnia ya michezo na burudani, huku LA FC wakionekana kuvutiwa na ushawishi wa star huyo kutoka Afrika Mashariki.

Diamond alipokewa kwa Heshima na kupigwa picha Na Waandishi Pamoja na mashabiki wa LA FC Akiwa Uwanjani Hapo, jambo lililoonyesha heshima kubwa aliyopewa. Lakini Pia Shabiki Mmoja Alionekana Hadi Kuchora Tattoo Ya Sura Mwanamuziki Huyo Kichwani Kwake K**a Ishara Ya Kumkubali Na Heshima Kwake.

Hii ni hatua nyingine muhimu kwa Diamond katika kuendelea kutambulika kimataifa, si tu kwenye muziki bali pia kwenye matukio ya kimataifa ya michezo.

Kwenye tamthilia ya Pressure ya muigizaji Chado masta ianaendela kupamba moto sana na hii ni baada ya kuonekana Baba mza...
08/02/2025

Kwenye tamthilia ya Pressure ya muigizaji Chado masta ianaendela kupamba moto sana na hii ni baada ya kuonekana Baba mzazi na mtoto wake wa damu kabisa kuwa katika mahusiano na haba zito πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚sasa sijui itakuwaje Chado akija kujua .

''HUYU DOGO NDO UNATAKA UMKATISHE TAMAA?πŸ˜…Si kweli.Enzi hizi sasa namuangalia sharukhan zee world! Na kwenye CD ZA KUCHOM...
08/02/2025

''HUYU DOGO NDO UNATAKA UMKATISHE TAMAA?πŸ˜…
Si kweli.

Enzi hizi sasa namuangalia sharukhan zee world! Na kwenye CD ZA KUCHOMA. Aaah dah

Hii nguo nilkua naipenda sana mama alininulia eid flan iv ya pilau nyingiπŸ™ˆπŸ˜

Hapo nilkua nimejibadilisha dini nwenyewe yan Mashallah nimekua muslim sjui hata kusoma Alhamdu ila nilkua nasali ivo ivo! Nakaa kimya watu wakiinama nainama wakiinuka nainuka! Mpaka leo nachapa rakaa 11 mwenyewe sio poa!

Proud of you nie❀️
Izo masai mguun zilkua kila zikikatika nazoshona! Nilkua nazipenda sana! Alianza kuvaa mama alaf akanigawia mm😍 upendo β€οΈπŸ‘Œ.Ameandika-Niffer

Jumalokole ameweka wazi kuwa mchekeshaji Asmah na msemaji wa Yanga Alikamwe ambaye amefunga ndoa hivi karibuni kuwa wali...
08/02/2025

Jumalokole ameweka wazi kuwa mchekeshaji Asmah na msemaji wa Yanga Alikamwe ambaye amefunga ndoa hivi karibuni kuwa walikuwa na mahusiano ya kimapenzi lakini wakashindwana wakaamua kuachana.

''Eeeeeh ndiyo alikuwa mtu wake kwani kibaya nini alikamwe handsome boy asmah sister duh mzuri tu kwahiyo hamna kinachoshindana ila mafahali wawili hawawezi kukaa kwenye z**i moja kwahiyo kuachana nilikuwa natarajia hilo.Alisema-Juma Lokole

''Happy birthday MUME WANGU BBY WANGU MY HUSBAND ROHO YANGU BBF WANGU Moseiyobo MSHIKAJI WANGU KATIKA MAISHA YANGU SIJAW...
08/02/2025

''Happy birthday MUME WANGU BBY WANGU MY HUSBAND ROHO YANGU BBF WANGU Moseiyobo MSHIKAJI WANGU KATIKA MAISHA YANGU SIJAWAHI KUPATA MWANAUME K**A WW KIUKWELI UNASIFA ZOTE KUANZIA KITANDANI TENA UNAJUWA KUNIFURAHISHA PINDI TUKIWA KITANDANI MAANA UNANIGUSA KIDOLENI MPAKA KWENYE NYWELE πŸ₯°πŸ₯° ACHA NIKWAMBIE KITU MOSE WANGU HATANILIO KUWANAO NYUMA HAWAJAWAHI KUNILIZISHA KITANDANI HAWAKUWA MALIJALI YANI SIJUI KWANN NIMECHELEWA KUKUJUA MAPEMA DAH NAKUPENDA WW MWANAUME WANGU MAANA UNAJUWA KUNICHEZESHA KITANDANI KONA ZOTE UNAPITA SIO KIMAPENZI TU HATA KIMAISHA KIUKWELI NAMSHUKURU MUNGU KUKUPATA WW Moseiyobo KWANZA UNAJALI MAENDELEO KULIKO KITU CHOCHOTE KINGINE NILITAKA KUSAHAU MOSE WANGU UNAJUWA KUCHEZA NA MAZIWA YANGU MM NAINJOI JAMANI MARA UMEYABEBA UMEYATUPA UKUTANI UNAJUWA KUYANYANYASA JAMANI NAKUPENDA SANA SIFIKIRII KUONDOKA KATIKA MAISHA YAKO YOTE K**A TULIVYO KULA KIAPO CHA DAM HATUTOACHANA MPAKA KIFO CHETU NAKUPENDA SANA Moseiyobo WANGU MAOMBI YANGU KWAKO MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU SANA AKULINDE KWA AJILI YANGU β€οΈβ€οΈπŸ™πŸ».Ameandika-Mashalove

Pichani ni moja ya wasanii wakubwa sana hapa nchini Tanzania je umemtambua ni nani?
08/02/2025

Pichani ni moja ya wasanii wakubwa sana hapa nchini Tanzania je umemtambua ni nani?

Address

224 POWELL Street SE, GRAND RAPIDS, MI 49507-1158
Michigan Center, MI
49503

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mino TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mino TV:

Share

Category