Mino TV Enter | Sports | Gossip | Trends | News | Funny | Home of Updates | Call Us |

paka sasa kwa taarifa zilizopo  mwanadada Snach ndiye mpenzi mpya wa msanii wa mziki wa bongo fleva Harmonize.Vipi unamu...
09/25/2025

paka sasa kwa taarifa zilizopo mwanadada Snach ndiye mpenzi mpya wa msanii wa mziki wa bongo fleva Harmonize.

Vipi unamuonae shemeji yetu mpya ?

Harmonize na mrembo snachiworld wamenaswa chemba na camera za paparazi wakijiachia mabusu k**a yote, penzi lamoto sana, ...
09/25/2025

Harmonize na mrembo snachiworld wamenaswa chemba na camera za paparazi wakijiachia mabusu k**a yote, penzi lamoto sana, unaambiwa konde kafa kaoza!🎥

Aunty Molly amefunguka kwa mara nyingine na kusema kuwa Harmonize siyo mpenzi wake bali ni rafiki yake  anayefanya naye ...
09/25/2025

Aunty Molly amefunguka kwa mara nyingine na kusema kuwa Harmonize siyo mpenzi wake bali ni rafiki yake anayefanya naye mazoezi tu na hakuna mapenzi kati yao.

Kupitia mtandao wake wa instagram wa Aunty Molly ameandikaujumbe ufuatao''Rajabu and I are nothing but gym partners and good friends, but we've never been romantically involved. I respect him, his music and everything around him.I understand how our posts may have sparked public interest and gave the illusion of a relationship. However we just really good friends.I'm not his gf or anything along those linesSIaf For the past week I've been bullied for no reason and so have other women. I don't condone that at all. And I'm tired of it.I hope that answers 'Who is Harmonize to you'' Ameandika -Molly

Msanii Nandy ametangaza ujio wa Album yake Mpya, Amewajulisha Mashabiki wake habari njema hizo Kupitia Ukurasa wake wa I...
09/25/2025

Msanii Nandy ametangaza ujio wa Album yake Mpya, Amewajulisha Mashabiki wake habari njema hizo Kupitia Ukurasa wake wa Instagaram Ameandika "26-9-2025 ROAD TO ALBUM🚨?

Malkia Wa nyimbo za injili Tanzania  Rose Muhando amefunguka jinsi wimbo  wa Nibebe ulivyompa pesa nyingi.''nibebe niliu...
09/25/2025

Malkia Wa nyimbo za injili Tanzania Rose Muhando amefunguka jinsi wimbo wa Nibebe ulivyompa pesa nyingi.

''nibebe niliuza nikaja nikanunua prado niliwahi kulipwa mimi milioni tano kenya shiling kwa mara hii moja nibebe imeuzwa nikaenda kuchukua pesa zangu milioni tano shilings ni sawa na milioni miamoja za tanzania '' Alisema -Rose Muhando

Mchekeshaji huyo maarufu anayefahamika kwa jina la Dullvani amvalisha pete mpenzi wake siku yake ya kuzaliwa.Tukio hilo ...
09/25/2025

Mchekeshaji huyo maarufu anayefahamika kwa jina la Dullvani amvalisha pete mpenzi wake siku yake ya kuzaliwa.
Tukio hilo la kumvalisha pete mpenzi wake alilisindikizia na caption inayosema kuwa''Ikiwa leo ni 24/9 siku nilozaliwa nilisema sitofanya chochote kwaajili angu ila nitamzawadia ( promise ring 💍) mpenzi wangu ❤️ pete ya silver na dini la tanzanite … iyo yote ni kuonesha namna gani nathamini uwepo wake kwenye maisha yangu amekuwa na umuhimu na mchango mkubwa kwangu 🤍 …hakuwa anajua chochote kuhusu tukio hili nilimwambia lets go for a ride chap chap 🤣🙌🏾nakupenda sana ❤️ " Amenadika -Dullvani

Hebu tuambie ni wimbo gani wa msanii wa mziki wa bongo fleva Yammi unaoukubali zaidi?
09/25/2025

Hebu tuambie ni wimbo gani wa msanii wa mziki wa bongo fleva Yammi unaoukubali zaidi?

Picha mpya za msanii Juma jux akiwa pamoja na mkewe Princylla pamoja na mtoto wao❤️🎥
09/24/2025

Picha mpya za msanii Juma jux akiwa pamoja na mkewe Princylla pamoja na mtoto wao❤️🎥

“Kuna watu wanapendaga sana kunitafuta, Nikipost tu picha yangu nimenoga utasikia,Oh, uvivu tu wa kuolewa, Oh! kwanini u...
09/23/2025

“Kuna watu wanapendaga sana kunitafuta, Nikipost tu picha yangu nimenoga utasikia,Oh, uvivu tu wa kuolewa, Oh! kwanini uolewi, weeeh!, Kaa kimya!

Nikaolewe kwani ichi kidudu chako! Kikafanywe k**a ratiba ya ndege mara kumi kwa siku, wewe hujui sharti namba moja ya ndoa ninini, unaenda kutumika bure.

Mimi ni Mtu Maarufu nikaolewe tena na huu mwili wangu, Aaah Nitatumiwa vibaya sana, siwezi kabisa” Maneno ya Mrembo -Nicoleberry😂🎥

Una lipi lakumshauri?

Mtengeneza maudhui ya mtandaoni Papichulo amesema kuwa hawezi kumsindikiza mwanamke bonge wakati akija kumtembelea nyumb...
09/23/2025

Mtengeneza maudhui ya mtandaoni Papichulo amesema kuwa hawezi kumsindikiza mwanamke bonge wakati akija kumtembelea nyumbani kwake.

''Mimi siwezi msindikiza mwanamke bonge tukunymea '' Alisema -Papichulo

Mwanamuziki  Alikiba ameonyesha kufuraishwa na kitendo alichokifanya msanii mwezake Kusah kumpatia zawadi ya Wheelchair ...
09/23/2025

Mwanamuziki Alikiba ameonyesha kufuraishwa na kitendo alichokifanya msanii mwezake Kusah kumpatia zawadi ya Wheelchair rafiki yake mwenye ulemavu wa Miguu.

Tukio hili la kutoa zawadi hii ya wheelchair liliandaliwa na Kusah ambapo aliposti katika ukurasa wake wa Instagram akionyesha upendo na kuahidi kumjenga hadi nyumba rafiki yake huyo.

Alikiba alifuraishwa baada ya kuona video hiyo na Kudai kuwa ni moja ya vitu vinavyo mpatia furaha katika moyo wake.

Aliandika hivi" Dah nakuonea donge brother hivi ndio vitu vina nipa furaha katika moyo MUNGU akuzidishie ulipotoa TUMEAGIZWA UPENDO ❤️🙌"

Ambapo pia kusah alimjibu hivi.. " Alikiba MY BROTHER HII KUBWA MNOOO NIMEFARIJIKAA SAANA KUONA HII COMMENT MUNGU AZIDI KUKUBARIKI KAK WEWE NI MFANO WANGU MKUBWA 🙏🙏🙏

Mchungaji Joshua Mhlakela kutoka Afrika Kusini amezua taharuki baada ya kudai kuwa alipokea ndoto kutoka kwa Yesu Kristo...
09/23/2025

Mchungaji Joshua Mhlakela kutoka Afrika Kusini amezua taharuki baada ya kudai kuwa alipokea ndoto kutoka kwa Yesu Kristo, ndoto iliyomwambia kwamba siku ya unyakuo na mwisho wa dunia itakuwa tarehe 23 au 24 Septemba 2025.

Taarifa hizo zimeenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, hususan TikTok kupitia tagi maarufu ya RaptureTok, ambapo baadhi ya watu sasa wanaamini kwamba hukumu ya mwisho inakaribia. Wengine hata wamefikia hatua ya kuacha kazi na kuuza mali zao kwa ajili ya kujiandaa na tukio hilo.

Licha ya hayo, wachambuzi wa Biblia wamekumbusha maandiko yanayosema kuwa hakuna anayeweza kujua siku wala saa ya kurudi kwa Kristo, huku kumbukumbu za historia zikionyesha mara nyingi unabii k**a huu umewahi kutolewa lakini haukutimia.

Kwa sasa, unabii huu umeendelea kuwa mjadalala mkubwa mtandaoni, ukiwagawa watu kati ya wanaoamini na wale wanaotilia shaka.

Je unadhani huyu mchungaji atakuwa sahihi au??

Address

Mbagala
Michigan Center, MI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mino TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mino TV:

Share

Category