Nukta Fakti

Nukta Fakti NuktaFakti ni ukurasa rasmi ulioanzishwa na tovuti ya Nukta Habari kufuatilia habari za uzushi Tanzania.

Nukta Fakti is the first Swahili fact-checking initiative in Tanzania under Nukta Africa, a fast growing digital media and technology company. We debunk misinformation and disinformation to minimise more harm to our society. We believe in improving people's lives through quality content which is free from disinformation. Share with us any doubtful information for verification and we will do it for you.

JE WAJUAUnaweza kuhakiki na kupata taarifa ya picha kupitia TinEye?TinEye ni injini ya utafutaji wa picha kwa kutumia te...
29/07/2025

JE WAJUA
Unaweza kuhakiki na kupata taarifa ya picha kupitia TinEye?

TinEye ni injini ya utafutaji wa picha kwa kutumia teknolojia ya reverse image search. Badala ya kutafuta kwa maneno, unatumia picha yenyewe ili kupata maelezo kuhusu chanzo chake au matoleo mengine ya picha hiyo mtandaoni.




Na Nukta Fakti

29/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi katika video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Tiktok na kugundua kuwa ni video iliyotengenezwa kwa akili unde (AI).

Katika video hiyo linaonekana jengo la ghorofa likiporomoka wakati mafundi wa jengo hilo wakiendelea na shughuli za ujenzi.

Nukta Fakti imejiridhisha kuwa jengo hilo katika video linaonekana likiporomoka kwa mwendo wa taratibu (slow motion), lakini pia kuna wakati sehemu ya jengo imeonekana kubomoka na kurudi katika hali yake ya kawaida jambo ambalo halipo katika uhalisia na ni makosa ya kawaida katika video zilizotengenezwa na AI.



Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosomeka "Uon...
29/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosomeka "Uongozi wa Rais samia ulivyotoa nafuu makato ya miamala" na kubaini kuwa chapisho hilo ni feki.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo halijachapishwa na Nipashe Digital, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (fonts) zilizotumika kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya chombo hicho cha habari.



Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
29/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani kauli za uchochezi za Maria Sarungi na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo linalosambaa k**a Taarifa kwa Umma kutoka LHRC ni feki, halijachapishwa na LHRC na halipo kwenye kurasa rasmi za kituo hicho. Aidha aina ya mwandiko (fonts) uliotumia kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya Taarifa kwa Umma kutoka LHRC.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
29/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Maria Sarungi amechapisha chapisho linalomshutumu Makamu Mwenyekiti wa Chadema kukivunja chama hicho kwa mikono yake mwenyewe na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na Mwananchi Digital, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (fonts) zilizotumika kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya chombo hicho cha habari.

Pia chapisho la Mtandao wa X lililotumika k**a chanzo cha taarifa, halijachapishwa na halipo kwenye ukurasa rasmi wa Maria Sarungi. Aina ya mwandiko (fonts) na mpangilio (theme) unaoonekana kwenye chapisho sio rasmi unaotumiwa katika mtandao huo.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
29/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Maria Sarungi amechapisha chapisho linalomshutumu Makamu Mwenyekiti wa Chadema kukivunja chama hicho kwa mikono yake mwenyewe na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na Mwanahalisi Digital, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (fonts) zilizotumika kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya chombo hicho cha habari.

Pia chapisho la Mtandao wa X lililotumika k**a chanzo cha taarifa, halijachapishwa na halipo kwenye ukurasa rasmi wa Maria Sarungi. Aina ya mwandiko (fonts) na mpangilio (theme) unaoonekana kwenye chapisho sio rasmi unaotumiwa katika mtandao huo.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linaloonekana k**...
26/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linaloonekana k**a chapisho lililochapishwa na Martin Masese kwenye kurasa ya mtandao wake wa X (zamani Twitter) akimtuhumu mwanaharakati Maria Sarungi kuwa ni mnafiki na kudai kuwa amepasua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kubaini kuwa chapisho hilo ni batili.

Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa chapisho hilo ni feki na halijachapishwa kwenye kurasa rasmi za Martin Masese .Aidha, aina ya mwandiko (font) uliotumika si mwandiko rasmi unaotumika kwenye machapisho ya mtandao wa X.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
24/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Bashiru Kakulwa amkana aliyekuwa Balozi wa Cuba, Humphrey Polepole na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na Jambo Tv, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (fonts) zilizotumika kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
24/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa Bashiru Kakulwa amkana aliyekuwa Balozi wa Cuba, Humphrey Polepole na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na Millard Ayo, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (fonts) zilizotumika kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

NUKUU YA SIKU"Kwa sababu tu umeona kwenye mtandao, haimaanishi kuwa ni kweli". anasema Kelvin J. Makwinya, Mhakiki wa Ta...
24/07/2025

NUKUU YA SIKU
"Kwa sababu tu umeona kwenye mtandao, haimaanishi kuwa ni kweli". anasema Kelvin J. Makwinya, Mhakiki wa Taarifa, ,Nukta Africa.




Na Nukta Fakti

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taa...
23/07/2025

Nukta Fakti imefanya uchunguzi kwenye chapisho linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii hususan Facebok linalosambaza taarifa zinazodai kuwa aliyekuwa Balozi wa Cuba, Humphrey Polepole amefafanua kumpa ujauzito mwananfunzi Cuba na kubaini kuwa taarifa hiyo si ya kweli.

Uchunguzi umebaini kuwa chapisho hilo ni feki, halijachapishwa na Millard Ayo, halipo kwenye kurasa rasmi za chombo hicho cha habari. Aidha aina ya mwandiko (fonts) zilizotumika kwenye chapisho hilo sio unaotumika katika machapisho rasmi ya chombo hicho cha habari.




Na Nukta Fakti

22/07/2025

📰 Usidanganywe na Kichwa Pekee
Je, unajua kuwa kichwa cha habari kinaweza kupotosha k**a maudhui ya habari ni tofauti kabisa?
👉 Soma habari nzima kabla ya kuamini au kushiriki.




Na Nukta Fakti

Address

4th Floor, Dabe House, Mwananyamala Road
Dar Es Salaam
76762

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nukta Fakti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Nukta Fakti:

Share

Category