28/08/2019
Back to your Roots
Think Different
Habari za Kutwa Ndugu wa Pendwa wa Crazy Blind// Na Tumai Huu Wazima wa Afya na Kwa Wale walio Tofauti ki Afya Basi Mungu na Awazidishie Afya Njema ili Sote Tujumuike Kwenye Harakati zetu za Kila Siku, Basi Nijaribu Kuwa Alika ili Sote Tuchangie kwa Hili Hususan Sisi Tuoko Tayari Ugaibuni na Kwa wale nao Tarajia Kuingia Ugaibuni Kwa Muda Wowote,
Ni Kweli Kwamba Hii Haina Ubishi Kuwa Hamna Njia Sahihi na Maalum katika Kuakikisha Tuna Rudi Kwa Asili yetu, Pia Tunapo Zungumzia Back to your Roots Haimaanishi Kuwa Sisi Sote Tuopo Ugaibuni Turidi Afrika Sasa Hapana, Bali Tunajaribu Kuendelea Kufanya Tafiti Ni Jinsi Gani Tunaweza Kuirudia Asili yetu Sisi K**a Wa Afrika Japo Ni Wazi Kuwa Huwezi Kujisifu Kuwa Wewe ni Yule Kati ya Watu Ambao Bado Wana Izingatia Asili Yao Afuu Unaishi Ugenini!
Na Maanisha Kuwa Ualisia wa Asili yako ni Ile Sehem Ambayo ni Chimbuko la Mizizi ya Ukoo,Jamii na Asili yako,
Basi Tusipoteze Sana Muda Tujaribu Kurudi Kwa Mada yatu Ambayo ni Back to your Roots, Ni mejaribu Kufanya Tafiti Kwa Hili Jambo Majibu yana Utata kidogo Japo Baazi ya Viongozi Wetu wa Kale walijaribu Kuliona Hili Kwa Mapana Zaidi, Na Ikafikia Baazi ya Inch Kutowa Hekari Zaidi ya 500 Elfu Na Kuwatangazia Wa Afrika walio Kuwa Utumwani Pande za Jamaica na usa Huku wa Kisisitizwa Kuwa Haijalishi Wewe Umetoka wapi au kabila Gani, Ukijisikia Kurudi Afrika Njoo Utapewa Sehem ya Kuishi na Maisha Yata Endelea Vizuri, Ni Kweli Baazi Walirudi pande za Egypt,Guinea na Zimbabwe Japo Maisha Yalikuwa Magumu Kwa Kiasi Chake Ukizingatia Hawa Nguruwe hawawezi Kamwe Kumruhusu Mtu yoyote Kurudi Nyumbani Kwa Amani Huku Akikusanya Chake kidogo Alicho Kivuna Utumwani, Maisha yalikuwa Mabaya ikafikia Hatua Baazi Yao wali Kufa Na Wengine Waliamua Kurudi Tena Ugaibuni Na Kwa Wale Wachache walio Kubali Matokeo Hadi Sasa Kizazi chao Kina Thimulia Ujasili wa Wazee wao,
Kwa Upeo Wangu Ebu Tujaribu Kutafuta Mizizi wa Fitina Uko wapi ?
Maana Miaka inazidi Kusogea Je Hatujapata Ufumbuzi Bado ? Je Elemu Ndo Bado inatuaminishi Kuwa Hatuwezi ? Kwa nini Wao Wana Endelea Kumuomba Mungu wa Mababu zao Na Sisi Tuna Shuudia Makuu Yao !! Ni nini Hasa Tunacho Kisubiria, Nilikutana Na Sentesi Moja Inayo Sema Kuwa(Muafrika Ukitaka Asijuwe Kitu Basi Andika Vitabu na Ujaze Maktaba) Hawa Jamaa Wana Amini Ni Ngumu sana Muafrika Kuchukua Muda Mchache na Kujisomea Vitabu, Swali K**a Kweli ni Ngumu Kusoma Vitabu Muda wa Kufanya Utafiki Na Kujiuliza Kwanini Mimi Utapatikana Kweli !!!
Mimi Na Amini na Fasi Bado ipo ni Sisi kujielewa na Kujiuliza Kwa nini Muafrika,
Ni kukumbushe Tu China ni Inch Ambayo Kwa Sasa inakimbiza Kiuchumi Duniani na Watu wengi Sana ila China Haikupoteza Asili yake Kabisa,
Ni Kuwa Makini na Tayari Kwa Kila Kitu au Mabadiliko yetu kwani Bila Kuthubutu Hatu kata Huuu Mzizi wa Fitina Pia hii Ndo Sehem ya Kwanza ya Back to your Roots Japo ipo Kimabano Sana ila Sehem Zifuatazo Tutajaribu Kutowa Tafsiri Kwa Mapana na Muda Ulio Tumika Kwa Matukio na Mifano yetu,Kubwa Zaidi ni Kumalazi Hilo linalo Tuzunguuka la Back to your Roots Na ni Manaeneo Gani Sahihi ya Kujivunia Kuwa Asili yako, Cha Kufanya Hapa LIKE page yetu ya Crazy Blind Pia Usisahau Ku Comment ili Tukusogezee Story za Muafrika na Ualisia wa Ugaibuni Kwa Wati, Kubwa Kuliko Isikose Sehem ifuatayo.
By Joh