SAUTI YA YCS TZ

SAUTI YA YCS TZ MEDIA📡📺
JOURNALIST
Presenter
Sauti Salamu Tv Everyday at 13:00-14:00pm
tiktok.com/

Tunapatikana DonBosco Upanga Dar esSalaam, Makao Makuu ya Tanzania Young Catholic Student-TYCS Jimbo

14/06/2026

*TANGAZO LA HIJA YA KIMATAIFA*

*MASHUHUDA WA UGANDA – NAMUGONGO & KITUO CHA HIJA KIBEHO, RWANDA*
_“Njooni, tusali pamoja mahali patakatifu”_

*Kituo cha Vijana Don Bosco Upanga, Dar es Salaam*, kupitia programu yake ya *St. Dominic Savio Pilgrimage Service*, kinawatangazia vijana na waamini wote nchini Tanzania kushiriki *Hija ya Kiroho na Kihistoria* kwenda Uganda na Rwanda.

*1. MAHALI NA TAREHE*
*Tarehe:* 10 – 20 Novemba, 2026 | Siku 11
*Nchi zitakazotembelewa:* Uganda, Rwanda na Burundi

*2. MAENEO MAKUU YA HIJA*

*A. UGANDA – NAMUGONGO*
Mahali pa ushuhuda wa damu ya Mashahidi Watakatifu wa Uganda. Wahujaji watashiriki ibada maalum na kutafakari imani yao.

*B. RWANDA – KIBEHO*
Kituo cha Hija kinachotambulika na Kanisa Katoliki Duniani, ambako Bikira Maria aliwatokea watoto mwaka 1981-1989. Tutasali kwa amani ya nchi zetu na familia zetu.

*3. ZIARA NYINGINE ZA NYONGEZA*
Ili kuongeza uzoefu wa wahujaji, ratiba inajumuisha:

*Wakiwa Uganda:*
1. Ziara ya heshima katika *Ubalozi wa Tanzania, Kampala*.
2. Kutembelea *Baraza la Maaskofu Uganda (UEC)* kwa baraka na ujumbe wa umoja.

*Wakiwa Rwanda:*
1. Ziara ya heshima katika *Ubalozi wa Tanzania, Kigali*.
2. Kujifunza historia kwa kutembelea *Kigali Genocide Memorial*.
3. Kutenda upendo kwa kutembelea *Kituo cha Watoto Yatima*.

*Fursa ya Ziada:*
K**a muda utaruhusu, tukiwa Kibeho tutapanga ziara fupi katika *Jiji la Bujumbura, Burundi* kwa ajili ya kupumzika na kuona mji.

*4. GHARAMA NA MALIPO*
*Gharama kwa Mhujaji:* *TSh 950,000/=*
*Gharama inahusisha:*
- Usafiri wa kwenda na kurudi kwa basi la hadhi ya juu
- Malazi katika vituo rasmi vilivyothibitishwa
- Chakula cha mchana na jioni katika vituo rasmi
- Kiingilio katika maeneo yote ya ziara
- Bima ya dharura ya msingi njiani

*Muhimu:* _Matumizi ya njiani yatagharamiwa na kila mhujaji mwenyewe._

*Jinsi ya Kulipa:*
Malipo yote yafanyike kupitia:
*Benki:* Mkombozi Bank
*Jina la Akaunti:* [Savio Pilgrimage Service]
*Namb

Karibuni Nyote
12/06/2026

Karibuni Nyote

10/06/2026
27/05/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Sofreth Mwero, Alex Alex, Jackline Langa, Aloyce Kalugwe, Dee Pretty, Alphonce Andrea, Sichone Joseph, Jovitha M***a, Sarah Mbalai Mbalai, Dativa Temba

Address

Upanga
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SAUTI YA YCS TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SAUTI YA YCS TZ:

Share