GTV MEDIA

GTV MEDIA Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from GTV MEDIA, Media/News Company, Dar es Salaam.

GRAPHITETV,
Is online televition deals with entertainment News/Gossip /Sports /Lifestyle
Based in Tanzania and global�
Make sure you follow our pages
Instagram we found as (gtvmediatz)
Youtube (gtv media)

05/11/2021

Changanya wix whitening serum katika mafuta yako ya cocoa butter moisturizing ili ujipatie kale karangi katamu Sana bila kupata sugu Wala mabaka katika ngozi yako Yani hii set ni balaa na bei yake ni 60,000 tu

IG

05/11/2021

Changanya wix whitening serum katika mafuta yako ya cocoa butter moisturizing ili ujipatie kale karangi katamu Sana bila kupata sugu Wala mabaka katika ngozi yako Yani hii set ni balaa na bei yake ni 60,000 tu

IG

02/11/2021

COCOA NI MOJA ☄️

WIX NI MOJA TU EPUKA JANJA JANJA ✨

KWANN UNATESEKA NA NGOZI YAKO ?,,

HATA UPAKE NIN HAISIKII MAFTA???

kipupwe hiki usikubali ngozi yako kufubaa Au kukosa nuru kubabuka au ngozi kukak**aa.

🧨Tuzijali ngozi zetu tuwekeze kweny ngozi zetu ngoz nzuri Ni brand ngozi ngozi haiwi nzuri kwa vipodoz vyenye kemikali kali je utafanyaje kutunza ngozi yako???

WIX PRODUCT NDIO JIBU LAKO

❌❌HAINA KEMIKALI

❇️inaifanya ngozi kuwa n unyevu mda wote
❇️infanya ngozi kuwa na rangi moja
❇️inatumiwa na RIKA LOTE watoto kwa watu wazma
❇️inasaidia kufta madoa katka ngoz
✅ pia kwa wa mama wajawazto hii lotion n nzuri mno
Ina ujazo wa g500
💸inapatikana kwa shilling elf 40000 tu za kitanzania
💥💥💥INATUMIWA KWA RIKA ZOTE

NB: WIX HAICHUBUI

LOTION ZETU NI ORIGINAL KBSA NA ZINETHIBITISHWA NA TBS

HAKIKISHA UNAPONUNUA LOTION YAKO YA WIX IWE KOPO KUBWA AU NDOG LAZIMA IWE NA SEALED 🔨🔨🔨

:::Kwa ushaur wa ngozi yako tupigie 0746448190

Instagram follow

Leo hii Rayvanny ameandika maneno haya kwenye page yake ya Instagram."Muziki wetu unapoenda sio pabaya na utafika mbali ...
27/10/2021

Leo hii Rayvanny ameandika maneno haya kwenye page yake ya Instagram.

"Muziki wetu unapoenda sio pabaya na utafika mbali tukiacha chuki na kuumia unapoona mwenzako anafanya vizuri ... Wenzetu mmoja wao akifanya vizuri wote wanamsapoti basi nasisi tufanye k**a wenzetu ili tufike mbali ..... NASAPOTI KILA ANAEFANYA VIZURI SABABU MMOJA AKIFANIKIWA IMEFANIKIWA INDUSTRY YETU LETS GO GLOBAL"

Huyu jamaa anasema tukiacha chuki muziki utaenda mbali, wakati yeye binafsi ana chuki za wazi wazi kwa Harmonize, Kipindi Harmo anaanza kupiga shows marekani, Rayvanny pia alikuwa anapost show zake za zamani akiperfome marekani, hii ni kuonesha tu kwamba Rayvanny hapendi maendeleo ya harmonize, na anajaribui kujilinganisha nae wakati ukweli Wanao wapenzi wa Muziki.

Anazungumzia kwamba mtu akifanya vizuri asapotiwe, huu ni unafiki mkubwa, yeye mwenyewe na WCB nzima haipendezwi na mafanikio ya Harmonize, kutwa kumpondea kuwa hajazi watu katika shows zake marekani, HARAFU LEO ANAANDIKA UPUUZI.

HUU UNAFIKI UTAISHA LINI, RAYVANNY ASIONE WATANZANIA NI MAZUZU, TUNAAKILI SANA ZAIDI YA ANAVYOFIKIRI.

Story inayotrend kwasasa ni suala la jana  simba kuchezea kipigo cha Mabao matatu, mbali na Hii mechi, hivi karibuni Sim...
25/10/2021

Story inayotrend kwasasa ni suala la jana simba kuchezea kipigo cha Mabao matatu, mbali na Hii mechi, hivi karibuni Simba wameonekana wakiwa dhaifu mno, lakini ukitizama profile za wachezaji wa simba utagundua simba inakikosi bora zaidi Tanzania bt why hawafanyi vizuri licha ya kupata pre-season nzuri?

kitendo cha kuudharau mchango wa manara na kumbambikizia kesi ya usaliti hadi akatoa machozi ile ni nuksi/laana tosha inayoitafuna simba bila kujijua.

pendekezo ni kwamba, uongozi wa simba wamuite manara hata kimya kimya wamalize tofauti zao, kinyume na hapo laana itaendelea kuitafuna simba kwa muda mrefu.

Yale mambo ya Watu maarufu kuiga Upuuzi kutoka nje yanaendelea na zaidi yanaharibu Cv zao, maana video hizo hazitafutika...
21/10/2021

Yale mambo ya Watu maarufu kuiga Upuuzi kutoka nje yanaendelea na zaidi yanaharibu Cv zao, maana video hizo hazitafutika kamwe, mpaka vizazi vyao vitashuhudia upuuzi wao, Juzi Imetoka clip moja ikimuonesha Tiwa Savage akifanya mapenzi na mpaka sasa ni story kubwa Afrika na Duniani kote.

Mbali na Tiwa Savage, Harmonize, Amberruty, menina na mwijaku ni baadhi ya watu maarufu Tanzania ambao Jambo la kuvuja kwa video zao uchi limewahi kuwakumba.

JE NINI KIFANYIKE ILI MASTAR WAACHE HUU UPUUZI, MAANA WAO NDIO KIOO CHA JAMII.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GTV MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to GTV MEDIA:

Share