Kalesa Star

Kalesa Star Football Analyst

SIMBA WAHUNI SANA KUMBE NI KANTE SIO CONTE UMAFIA 🫡
22/07/2025

SIMBA WAHUNI SANA KUMBE NI KANTE SIO CONTE UMAFIA 🫡

Ngoma ame ondoka, Mohamed Hussein ame maliza mkataba na hakuna uhakika wa kubaki, Nouma inaarifiwa ana ondoka na Mpanzu ...
11/07/2025

Ngoma ame ondoka, Mohamed Hussein ame maliza mkataba na hakuna uhakika wa kubaki, Nouma inaarifiwa ana ondoka na Mpanzu Berkane wana mhitaji na wachezaji wa kigeni wakitakiwa na Club K**a hizo kuwabakisha ni ngumu sanaaa

Katika kipindi hiki nilitegemea Viongozi wa Simba wangekua pamoja na kuhakikisha wachezaji wao muhimu katika hii project mpya wana endelea kusalia Simba kwa njia yoyote ile

Kinacho endelea hivi sasa kinatia shaka, Wachezaji wengi muhimu mpaka ivi sasa mustakbali wake haujulikani 🙌🏼

Unapo ruhusu Wachezaji wako muhimu wengi wendelee kuondoka kati kati ya project yako kila siku unaweza kujikuta una tengeza timu tuu

SIMBA WASIPO KUA MAKINI MSIMU UJAO UNAWEZA KUA WAKUTENGENEZA TENA TIMU

🚨 𝐃𝐨𝐧𝐞 𝐃𝐞𝐚𝐥: Yanga imekamilisha usajili wa nyota wa Ivory Coast, Célestin Ecua kutoka Zoman FC kwa mkataba wa miaka miwi...
05/07/2025

🚨 𝐃𝐨𝐧𝐞 𝐃𝐞𝐚𝐥:
Yanga imekamilisha usajili wa nyota wa Ivory Coast, Célestin Ecua kutoka Zoman FC kwa mkataba wa miaka miwili! 🇨🇮✍🏾
Winga huyo mwenye umri wa miaka 23, ambaye alitumia nusu ya msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya ASEC Mimosas, alitajwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Ivory Coast 2024/25.
Alimaliza msimu akiwa na mabao 15 na asisti 12.

Wana yanga hapo vp?

30/06/2025

I got over 4,000 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

The life never been easy
18/06/2025

The life never been easy

14/06/2025

JAMAA ANANASA KWENYE MTEGO WA GARI LA AJABU, SIKU MBILI BILA KULA WALA KUNYWA

Ndani ya miaka mitatu mfululizo Simba walikuwa wanyonge kwa upande wa kuwa na jezi quality na zenye mvuto, lakini baada ...
21/11/2024

Ndani ya miaka mitatu mfululizo Simba walikuwa wanyonge kwa upande wa kuwa na jezi quality na zenye mvuto, lakini baada ya ujio wa Sandaland kuna ushindani sasa umeanza wa jezi bora kati ya Simba na Yanga.

‎NB: Huu u*i hauna mambo mengi yaani (makolokolo) kiufupi umenyooka na unafaa kwa matumizi ya rika zote, HAPA DESIGNER MMEPATA 😎🔥

Baada ya kocha wa yanga kufukuzwa kazi na waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa simba, ghafla aibukia uwanja wa KMC...
11/11/2024

Baada ya kocha wa yanga kufukuzwa kazi na waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa simba, ghafla aibukia uwanja wa KMC complex kufanya maandalizi ya mechi za club bingwa.

‎Wengi walidhani kwamba baada ya kikao kilichofanyika kati ya uongozi wa yanga na kocha GAMOND ndio utakua mwisho wa kocha huyo kuinoa yanga lakini ipo tofauti unaambiwa tabu ipo palepale kiufupi mashabiki wa Simba jiandaeni kwa kipigo mechi ijayo 😂😂😂

SANDA TUNAYO NA TUNATAMBA NAYO WAJIANDAE KUZIKWA TUIn SHABIKI WA SIMBA VOICE. APO VIPI WANASIMBA?
24/07/2024

SANDA TUNAYO NA TUNATAMBA NAYO WAJIANDAE KUZIKWA TU

In SHABIKI WA SIMBA VOICE. APO VIPI WANASIMBA?

🚨 MATOKEOFT: 🇹🇿 SIMBA SC 3-0 EL QANAH 🇪🇬  Jean Ahoua ⚽️⚽️Augustine Okejepha ⚽️
22/07/2024

🚨 MATOKEO
FT: 🇹🇿 SIMBA SC 3-0 EL QANAH 🇪🇬
Jean Ahoua ⚽️⚽️
Augustine Okejepha ⚽️

I've received 35,000 reactions to my posts in the past 30 days. Thanks for your support. 🙏🤗🎉
13/07/2024

I've received 35,000 reactions to my posts in the past 30 days. Thanks for your support. 🙏🤗🎉

🚨 DEAL DONE:  Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu...
07/07/2024

🚨 DEAL DONE: Simba SC imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast 🇨🇮 kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.
Karaboue ana urefu wa futi 6.2 na yuko vizuri kwenye kucheza mipira ya juu kuzuia na kuanzisha mashambulizi.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kalesa Star posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share