Kalesa Star

Kalesa Star Football Analyst

08/10/2025

SIWEZI SHARI

07/10/2025

KUPITIA MACHO HAYA MNAANZA KUPOKEA PESA

07/10/2025

MACHO YANATOA PESA NA BARAKA

07/10/2025

MAFANIKIO YAPO KILA SEHEMU FUATA MAELEKEZO HAYA

SIMBA WAHUNI SANA KUMBE NI KANTE SIO CONTE UMAFIA ๐Ÿซก
22/07/2025

SIMBA WAHUNI SANA KUMBE NI KANTE SIO CONTE UMAFIA ๐Ÿซก

Ngoma ame ondoka, Mohamed Hussein ame maliza mkataba na hakuna uhakika wa kubaki, Nouma inaarifiwa ana ondoka na Mpanzu ...
11/07/2025

Ngoma ame ondoka, Mohamed Hussein ame maliza mkataba na hakuna uhakika wa kubaki, Nouma inaarifiwa ana ondoka na Mpanzu Berkane wana mhitaji na wachezaji wa kigeni wakitakiwa na Club K**a hizo kuwabakisha ni ngumu sanaaa

Katika kipindi hiki nilitegemea Viongozi wa Simba wangekua pamoja na kuhakikisha wachezaji wao muhimu katika hii project mpya wana endelea kusalia Simba kwa njia yoyote ile

Kinacho endelea hivi sasa kinatia shaka, Wachezaji wengi muhimu mpaka ivi sasa mustakbali wake haujulikani ๐Ÿ™Œ๐Ÿผ

Unapo ruhusu Wachezaji wako muhimu wengi wendelee kuondoka kati kati ya project yako kila siku unaweza kujikuta una tengeza timu tuu

SIMBA WASIPO KUA MAKINI MSIMU UJAO UNAWEZA KUA WAKUTENGENEZA TENA TIMU

๐Ÿšจ ๐ƒ๐จ๐ง๐ž ๐ƒ๐ž๐š๐ฅ: Yanga imekamilisha usajili wa nyota wa Ivory Coast, Cรฉlestin Ecua kutoka Zoman FC kwa mkataba wa miaka miwi...
05/07/2025

๐Ÿšจ ๐ƒ๐จ๐ง๐ž ๐ƒ๐ž๐š๐ฅ:
Yanga imekamilisha usajili wa nyota wa Ivory Coast, Cรฉlestin Ecua kutoka Zoman FC kwa mkataba wa miaka miwili! ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎโœ๐Ÿพ
Winga huyo mwenye umri wa miaka 23, ambaye alitumia nusu ya msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya ASEC Mimosas, alitajwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Ivory Coast 2024/25.
Alimaliza msimu akiwa na mabao 15 na asisti 12.

Wana yanga hapo vp?

30/06/2025

I got over 4,000 reactions on my posts last week! Thanks everyone for your support! ๐ŸŽ‰

The life never been easy
18/06/2025

The life never been easy

14/06/2025

JAMAA ANANASA KWENYE MTEGO WA GARI LA AJABU, SIKU MBILI BILA KULA WALA KUNYWA

Ndani ya miaka mitatu mfululizo Simba walikuwa wanyonge kwa upande wa kuwa na jezi quality na zenye mvuto, lakini baada ...
21/11/2024

Ndani ya miaka mitatu mfululizo Simba walikuwa wanyonge kwa upande wa kuwa na jezi quality na zenye mvuto, lakini baada ya ujio wa Sandaland kuna ushindani sasa umeanza wa jezi bora kati ya Simba na Yanga.
โ€Ž
โ€ŽNB: Huu u*i hauna mambo mengi yaani (makolokolo) kiufupi umenyooka na unafaa kwa matumizi ya rika zote, HAPA DESIGNER MMEPATA ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ”ฅ

Baada ya kocha wa yanga kufukuzwa kazi na waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa simba, ghafla aibukia uwanja wa KMC...
11/11/2024

Baada ya kocha wa yanga kufukuzwa kazi na waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa simba, ghafla aibukia uwanja wa KMC complex kufanya maandalizi ya mechi za club bingwa.
โ€Ž
โ€ŽWengi walidhani kwamba baada ya kikao kilichofanyika kati ya uongozi wa yanga na kocha GAMOND ndio utakua mwisho wa kocha huyo kuinoa yanga lakini ipo tofauti unaambiwa tabu ipo palepale kiufupi mashabiki wa Simba jiandaeni kwa kipigo mechi ijayo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kalesa Star posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share