Mkuki na Nyota Publishers

Mkuki na Nyota Publishers Most prolific publishing house in Tanzania. Based in Africa and taking our ideas and voices worldwide

Through our work we aim to encourage and develop a culture of reading in Tanzania, as well as nurturing indigenous literature as a method of preserving and sharing stories. Our Books are distributed all over Tanzania and are available in bookshops throughout East Africa. African Books Collective (ABC) is our main distributor in Europe and North America. In addition, MNP books are available through

a variety on online resellers including: Amazon; Barnes & Noble; Nook; Foyles; Kalahari; Lightning Source (UK and US); and Gardners (UK).

06/12/2025

Pata muhtasari wa yale yaliyojiri kwenye Kalam Salaam Funga Mwaka.

Tamthiliya ya Aliyeonja Pepo iliigizwa jukwaani, ikaleta vicheko, burudani na utamaduni wa mwambao.

Tunawashukuru sana , Director Faustin, Germaine na , na wote mliohudhuria na kuburudishwa na tukio hili.

Tukutane tena mwaka ujao. Tunawatakia msimu mwema wa sikukuu!

Nakala za Aliyeonja Pepo na A Taste of Heaven (Tafsiri) zinapatikana . Karibuni Sana

Hivi ndivyo tulivyofunga Kalam Salaam kwa mwaka 2025 hapo jana. Tamthiliya ya Aliyeonja Pepo, iliyoasisiwa na kazi ya Fa...
05/12/2025

Hivi ndivyo tulivyofunga Kalam Salaam kwa mwaka 2025 hapo jana.

Tamthiliya ya Aliyeonja Pepo, iliyoasisiwa na kazi ya Farouk Topan, iliitawala jukwaa na kuiteka hadhira kwa maadili yake, vichekesho na ladha ya tamaduni za mwambao, na kuwapa wote burudani ya kipekee.

Asante sana kwa ushirikiano tuliokuwa nao katika kipindi hiki chote cha Kalam Salaam, asante kwa Director Faustin, Germaine na

Shukrani za dhati kwa wote mliohudhuria na kuifanya funga mwaka hii kuwa ya pekee na yenye mafanikio. Tukutane tena mwaka ujao.

Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA. Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project. Endelea kufuatilia na jiunge nasi kwa habari zaidi. Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:


tanzania









**
* *

28/11/2025

Thank you to everyone who visited our booth and made 2025 truly unforgettable.
We loved sharing our stories and connecting with so many passionate readers, authors, and fellow book lovers.
For those who couldn’t make it, here’s a look at how it all unfolded.

27/11/2025

Another milestone for us, and this one comes straight from Dar es Salaam.

We’re honoured to have been recognized as the Most Creative Exhibitor at the Tanzania International Book Fair 2025.

Our journey keeps taking us from one city to another, carrying the richness of Tanzanian and East African stories to every space we showcase in. Each display, each book, each moment reminds us why we do this work.

We’re grateful to the Publishers Association of Tanzania for the recognition, and to the writers, readers, partners, and supporters who keep pushing us forward.

Stick with us as we continue to amplify voices and share powerful stories from Tanzania and across the continent.

Uzinduzi wa Tawasifu ya Balozi Daniel Ole Njoolay!Kutoka Olkokola chini ya Mlima Meru hadi katika meza za maamuzi za dun...
27/11/2025

Uzinduzi wa Tawasifu ya Balozi Daniel Ole Njoolay!

Kutoka Olkokola chini ya Mlima Meru hadi katika meza za maamuzi za dunia, hii ndiyo safari ya Balozi Daniel Ole Njoolay. Mwanadiplomasia aliyeamini kinachosemwa si kinachopendeza; aliyeongozwa na mkono usioonekana na kusimama imara katika ukweli, uadilifu na utumishi bora.

Tawasifu yake ni kioo cha Tanzania na somo kwa kizazi kinachotafuta maana ya kuwa kiongozi.

Uzinduzi huu ni KWA MWALIKO TU.

Tumehitimisha Rasmi!Tunawashukuru wote mliofika kwenye banda letu na kufanya Maonesho haya ya vitabu 2025 kuwa tukio la ...
26/11/2025

Tumehitimisha Rasmi!

Tunawashukuru wote mliofika kwenye banda letu na kufanya Maonesho haya ya vitabu 2025 kuwa tukio la kipekee na lisilosahaulika.

Pia, tunawashukuru waandishi wetu waliofika na kusaini vitabu vyao. Imekuwa furaha kubwa kushirikiana nanyi.

Kutana na waandishi wetu mahiri siku ya Jumanne!Pata nafasi ya kusainiwa nakala yako na kuzingumza na waandishi kwenye B...
25/11/2025

Kutana na waandishi wetu mahiri siku ya Jumanne!

Pata nafasi ya kusainiwa nakala yako na kuzingumza na waandishi kwenye Banda letu katika Maonesho ya 32 ya Kimataifa ya Vitabu.

Kalam Salaam Funga Mwaka!Jiunge nasi kwenye funga mwaka ya kipekee, usiku wa tamthiliya na fasihi ya jukwaani.Njoo ushuh...
24/11/2025

Kalam Salaam Funga Mwaka!

Jiunge nasi kwenye funga mwaka ya kipekee, usiku wa tamthiliya na fasihi ya jukwaani.

Njoo ushuhudie Aliyeonja Pepo, igizo lililotokana na Tamthiliya ya Farouk Topan, ikichezwa katika jukwaa la Alliance Francaise, Dar es Salaam. Kutana na maudhui anuwai yaliyobeba maadili, vichekesho na tamaduni ya mwambao.

Njoo tuamshe fikra, hisia na mijadala ambayo haitabaki jukwaani tu.

Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA. Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project. Endelea kufuatilia na jiunge nasi kwa habari zaidi. Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:


tanzania










22/11/2025

Timu yetu bado ipo katika Maonesho ya Kimataifa ya 32 ya Vitabu Tanzania katika viwanja vya Maktaba Kuu Dar es Salaam.

Tembelea banda letu ujipatie vitabu vya aina mbali mbali na punguzo la hadi 50%.

Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu Tanzania yameanza kwa upekee!Tumefurahi kukutana na waandishi wetu, wapenzi wa vitabu na...
21/11/2025

Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu Tanzania yameanza kwa upekee!

Tumefurahi kukutana na waandishi wetu, wapenzi wa vitabu na wachapishaji wengine.

Shukrani nyingi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Palamagamba Kabidi, kwa kututembelea k**a mgeni rasmi.

Karibu ujipatie vitabu unavyovipenda, kutana na waandishi na ufurahie punguzo la hadi asilimia 50%

Usikose fursa ya kukutana na waandishi wetu mahiri!Karibu usainiwe nakala yako na kuwafahamu zaidi kupitia mazungumzo ma...
17/11/2025

Usikose fursa ya kukutana na waandishi wetu mahiri!

Karibu usainiwe nakala yako na kuwafahamu zaidi kupitia mazungumzo mafupi kwenye banda letu katika Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu Tanzania.

Address

24 Samora Avenue
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Telephone

+255676558448

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkuki na Nyota Publishers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mkuki na Nyota Publishers:

Share

Category