Mkuki na Nyota Publishers

Mkuki na Nyota Publishers Most prolific publishing house in Tanzania. Based in Africa and taking our ideas and voices worldwid

Through our work we aim to encourage and develop a culture of reading in Tanzania, as well as nurturing indigenous literature as a method of preserving and sharing stories. Our Books are distributed all over Tanzania and are available in bookshops throughout East Africa. African Books Collective (ABC) is our main distributor in Europe and North America. In addition, MNP books are available through

a variety on online resellers including: Amazon; Barnes & Noble; Nook; Foyles; Kalahari; Lightning Source (UK and US); and Gardners (UK).

Jiunge nasi katika Kalam Salaam ya kipekee ambapo tutajadili na kucheza  —mchezo wa kwanza wa bodi kwa Kiswahili unaocha...
26/09/2025

Jiunge nasi katika Kalam Salaam ya kipekee ambapo tutajadili na kucheza —mchezo wa kwanza wa bodi kwa Kiswahili unaochanganya maarifa, burudani na utamaduni wa Kitanzania.

Mwezeshaji wetu ataeleza asili ya mchezo huu, maudhui yake, na namna unavyochezwa—na zaidi ya hapo, utapata fursa ya kuushiriki moja kwa moja!

Ikiwa unapenda michezo, fasihi, au unapenda kujifunza kwa njia tofauti—hii ni nafasi ya kipekee ya kushuhudia fasihi ikifumbatwa ndani ya mchezo.

Hii ni sehemu ya FEF CREATION AFRICA TANZANIA. Tunawashukuru Ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania () na Alliance Française ya Dar es Salaam () kwa kuunga mkono mradi wetu chini ya FEF Creation Africa Project. Endelea kufuatilia na jiunge nasi kwa habari zaidi. Tembelea washirika wetu hapa chini kujifunza zaidi kuhusu miradi yao:


tanzania










We are excited to be at the 2025 Nairobi International Book Fair!Visit us at Booth 117 to 118 and explore our latest tit...
23/09/2025

We are excited to be at the 2025 Nairobi International Book Fair!

Visit us at Booth 117 to 118 and explore our latest titles.

Karibuni sana.

Uzinduzi wa kitabu cha Mara Yangu ya Kwanza  ulikuwa ni safari ya vicheko na msisimko! Balozi Liundi ametufungulia milan...
15/09/2025

Uzinduzi wa kitabu cha Mara Yangu ya Kwanza ulikuwa ni safari ya vicheko na msisimko!

Balozi Liundi ametufungulia milango ya kumbukumbu zake za mara ya kwanza—ndoa, imani, familia, diplomasia na kazi.

Ni hadithi zinazotufanya tucheke, tujifunze na kutafakari maisha yetu wenyewe.

Tunatoa shukrani za dhati kwa Jumba la Urusi na wote walioshiriki uzinduzi huu.

Jiunge nasi mubashara katika uzinduzi wa kitabu cha Mara Yangu ya Kwanza cha Balozi Christopher Liundi.Kupitia kitabu hi...
06/09/2025

Jiunge nasi mubashara katika uzinduzi wa kitabu cha Mara Yangu ya Kwanza cha Balozi Christopher Liundi.

Kupitia kitabu hiki, Balozi Liundi ameandika mambo mbalimbali yaliyotokea kwenye maisha yake kwa mara ya katika siasa, taaluma, diplomasia, mahusiano na mambo mengine mengi.

Uzinduzi huu wa kipekee unawakutanisha wadau wa fasihi, diplomasia na historia kusherehekea kumbukumbu binafsi ambazo sasa zimegeuka kuwa sehemu ya urithi wa taifa.

Pata nakala yako sasa kupitia www.mkukinanyota.com au tembelea , 24 Samora Avenue, Posta.

Signed copies of Living with Cancer: Diaries of a Multiple Myeloma Patient are now available in limited stock. Hurry and...
18/08/2025

Signed copies of Living with Cancer: Diaries of a Multiple Myeloma Patient are now available in limited stock.

Hurry and grab yours today through our website www.mkukinanyota.com or visit .

Shukrani nyingi sana kwa wote mliohudhuria uzinduzi wa Sankara wa II cha !  Tukio lilikuwa la kipekee na la kusisimua.Tu...
14/08/2025

Shukrani nyingi sana kwa wote mliohudhuria uzinduzi wa Sankara wa II cha ! Tukio lilikuwa la kipekee na la kusisimua.

Tulipata kusikiliza kipande kifupi cha sauti kilichotupa hamasa ya kutaka kujua zaidi — simulizi ya mhusika mkuu aliyejiita Sankara wa II kwa ujasiri wa kufichua maovu yaliyokuwa yakifanyika.

Ni heshima kubwa kuwa na Balozi Liundi na tunamshukuru sana kwa kuzindua kitabu hiki.
Tunawashukuru wote mliojumuika nasi katika uzinduzi huu

Pata nakala yako sasa kwa sh. 18,000 tu.

Usikose uzinduzi wa kitabu cha Sankara wa II cha  utakaofanyika TPH Bookshop, 24 Samora Avenue, tarehe 14/08/2025, kwanz...
07/08/2025

Usikose uzinduzi wa kitabu cha Sankara wa II cha utakaofanyika TPH Bookshop, 24 Samora Avenue, tarehe 14/08/2025, kwanzia Saa 10:30 jioni mpaka Saa 1:30 Usiku.

Vitabu vitapatikana kwa ajili ya kusaini. Karibuni sana.

Mamlaka, mapenzi, usaliti na kisasi.Jiunge nasi kwenye uzinduzi rasmi wa kitabu Sankara wa II utakaofanyika TPH Bookshop...
04/08/2025

Mamlaka, mapenzi, usaliti na kisasi.

Jiunge nasi kwenye uzinduzi rasmi wa kitabu Sankara wa II utakaofanyika TPH Bookshop, 24 Samora Avenue, kuanzia saa 10:30 jioni.

Kitabu hiki kinaelezea safari ya Meja Jenerali (MJ) mwenye ndoto kubwa za mafanikio, lakini anazama katika giza la kisasi baada ya mapenzi kuvunjika na siri nzito kufichuka.

Mahali: TPH Bookshop, 24 Samora Avenue
Muda: Saa 10:30 jioni - Saa 1:30 Usiku
Tarehe: 14/08/2025

Kitabu kitapatikana na kusainiwa na mwandishi.

Some more highlights from last night’s launch of Living with Cancer  - an unforgettable evening  filled with emotion, co...
30/07/2025

Some more highlights from last night’s launch of Living with Cancer - an unforgettable evening filled with emotion, courage, and inspiration with Professor Mark Mwandosya at by Sheraton (New Africa).

Kwa heshima kubwa, kitabu cha Living with Cancer – Diaries of a Multiple Myeloma Patient cha Prof. Mark Mwandosya, kimez...
30/07/2025

Kwa heshima kubwa, kitabu cha Living with Cancer – Diaries of a Multiple Myeloma Patient cha Prof. Mark Mwandosya, kimezinduliwa rasmi.

Tunatoa shukrani za dhati kwa Mhe. Doto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, kwa uwepo wake katika uzinduzi huu. Tunaishukuru pia Hoteli ya Four Points by Sheraton (New Africa) kwa kufanikisha shughuli hii.

Hii ni simulizi inayoelimisha na kugusa moyo. Pata nakala yako sasa!

On July 26, UNESCO’s International Day for the Conservation of Mangrove Ecosystems, we unveiled Mangroves of Pemba by Ha...
27/07/2025

On July 26, UNESCO’s International Day for the Conservation of Mangrove Ecosystems, we unveiled Mangroves of Pemba by Haji Massoud, Matt Clark, and Suleiman Mohd Salim in the enchanting setting of The Secret Garden - Emerson Spice Hotel, Stone Town, Zanzibar.

It was a joy to bring together authors, conservation champions, and community advocates; all united in celebration of Pemba’s extraordinary mangrove forests. We were especially honoured by the presence of Hon. Ali Khamis Juma, Permanent Secretary of the Ministry of Agriculture, Irrigation, Natural Resources and Livestock, who officially launched the book.

Huge gratitude to our partners, Emerson Zanzibar Foundation and The Emerson Spice Hotel Zanzibar, for their essential support in making this moment possible.

Mangroves of Pemba is more than a book, it’s a tribute and call to protect our coastal heritage. Join us in spreading its message of beauty, conservation, and coastal resilience.

@emersonzanzibarfoundation

Address

24 Samora Avenue
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 13:00

Telephone

+255676558448

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkuki na Nyota Publishers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mkuki na Nyota Publishers:

Share

Category